Nyie wazee mlibeba sna hip hop ya Tanzania namchukia sana shetani aliye wasimamisha apa kati lakin pia nimependa sana hiii kitu mmerudi kwa nguvu kubwa sana ❤❤🎉 legends on the top
Weusi mko vizuri since day 1.. ilitakiwa nae Mh Nick awepo...au angefanya clip yake hata akiwa kwa ofisi then iunganishwe..Tena ingekuwa bomba saana kwakuwa tunajua Sasa hivi ni mtu wa ofisini
Tupeni likes wakenya japo tupo kwenye maandamano ila mziki wa Tanzania unatuliwaza 🇰🇪 🇹🇿
🇹🇿🇰🇪❤️
One love
@@CornelioMsangi-ui7dq 🇰🇪🇹🇿❤️
Wew na nan
#reject
Sio kwamba hip hop ilikua imekufa Bali weusi walikua hawajatoa ngoma.
"nimefungua bucha nachinja MAGOAT Meeeh" kama umeelewa huu mstari unamhusu nani basi like HII HAPA comment
Paul maker... 🙌 ..beat is 🔥 chord is 💣
Lord eyes always killing it
Youngkiller mwenye killer zake mamae! 🎉🎉🎉
Unyama ni mwingi.kinoma hiii apa iii
Mbona Mheshimiwa HAYUPO WAZEE… #ICON SIJAPENDAA 🙌🙌🙌☹️☹️
Group pekeee linaloishi Tanzania toka kitambo🔥🔥🔥🔥🔥 weusi let gather here
Nyie wazee mlibeba sna hip hop ya Tanzania namchukia sana shetani aliye wasimamisha apa kati lakin pia nimependa sana hiii kitu mmerudi kwa nguvu kubwa sana ❤❤🎉 legends on the top
Chuga hip hop ngumu kmeza👊👊
Tunawakilisha uhuru na usawa ...🇰🇪 Tuko imara...mko juu love from Mombasa Kenya 🇰🇪
Best hiphop group in Africa ❤❤❤❤
Hiphop on point✌️
Weusi team gonga like yako hapa tujuane🇹🇿🇹🇿🇹🇿👑👑👑👑🔥🔥
black ndo hii
Niki 🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Skanka inanuka juu ya anga puff puff 💨 whoooouuuuff
Good work my brothers.. hakika ngoma imefika sehemu salama hapa mozambique 🇲🇿
Natamani Lord Eyes 🇹🇿afanye ngoma na Redsun 🇰🇪
Burundi 🇧🇮 we are here to show love ❤❤❤
Weusi mko vizuri since day 1.. ilitakiwa nae Mh Nick awepo...au angefanya clip yake hata akiwa kwa ofisi then iunganishwe..Tena ingekuwa bomba saana kwakuwa tunajua Sasa hivi ni mtu wa ofisini
Lord ni king anajua
Joh makini unajua sana kaka🇰🇪🔥🔥
Hii hapa hii
This is what we have been missing for so long.
Wausii wanatisha sanaa
Wanangu wa chugaa waaaapiii
Hii hapaa
Nakubali chuga man weusi ndiyo ranging ya Tz. Ma home boy
Weusi mnatisha💪
Mnawanyoosha
Kampuni kubwa!! Uuuuf
Arushaaaa is inna di areaaaa
Kwelii wajombaa wa A.town hip hop ni toratii...hiii hapaa👊
Safi sana wanangu,ila chorus mbona kama mmemkopi 50 cent😂
Hii hapa🔥🔥🙌🚀
Kazi Kubwa ☝️🇨🇩
Safii Kali sana
Lord eyes sumu na nusu
A city❤
ok!ok!
Hatari hili gomaaa
Makini kaua sana
The only music from bongo that makes sense
Kwel weusi kampuni💥💥💥
Kaboom mahome boyz
Joh mkali wa kuswitch flow, gnako fashion killer, lord eyes punch line killer
First from 🇺🇬
Movieeee 🔥🔥🔥🔥
Dope 🔥🔥🔥🔥
Yule mjinga mmoja kenya anayejiita OG aje sasa afundishwe hip hop
Mngempata Nikki ingekuwa Bomba zaidi ya hapa 🎉😊
Niki wa pili ameingiza mistari yake humo baada ya joh makini sema kwenye video hajaonekana
Muheshimiwa hawezi tokea kwa video
Unyama sana
🔥🔥🔥👍
A city in da house ❤❤
Kubabake,🔥🔥🔥🔥
Balaaaaaaahhhh weusiiiiiii
🔥🔥🔥🔥
💥💥💥
🔥🔥🔥
🍻🍻👍👍
Mmetsha
Lord Eyez kaua sana na Joh Makini 🔥
all time masters 💥💣
💯💯💯
Awesome
🔥
Goma kali kinyama👍👍
Safi sana cjawai kuwasikia nyimbo kali km hii tangia kundi lianze safi sana
umesahau wapolo gere show time nk
Okay okay
Unyama mwingi...
Siku munisaini weusi namimi nije kufanya jambo❤. Cheki kazi zangu apo #tellaaxistz
❤❤
A town Stand up for Weusi... Hii hapa hii
🎉🎉
💥💥💥💥
Hii 🔥🔥🔥
Nikii cjamuona
Hii kaliii
Ngoma kali hii hapa hii #Weusi nooooma
Booom🎉
Aaah wazeee mmezingua bhan 😮
Ok 👍
Nooooomaaàaaa
Kwishaa kwishaaaaaaaa
Kali saaaana🔥🔥🔥
Respect brothers👊🏽👊🏽👊🏽👊🏽
Oky okyy iliapa hilii❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Lodi✊🏿
Hii apa hii
Hii hapa hiii oke oke🎉🎉 GANG
Hamjawai kosea
Hatareee🎉🎉
Big up weusi 💯💪
Love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 a collabo ft wakadinali will really be amazing
My broo
Ngoma ya maana sana
Ngoma kaliii kweli
Ila nyie miamba hatarii saaan yaaan on 🔥🔥🔥🔥
WEUSI MY TEAM since day one 🔥🔥🌚
G nako baba yaooo