PROFESSOR JAY: DIAMOND tayari, Ningependa kufanya na ALIKIBA
Vložit
- čas přidán 26. 03. 2018
- LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interview kutoka kwa masta unaowakubali.
Hakikisha una Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp au mitandao yako ya kijamii (facebook na twitter).
Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
/ lilommy
/ lilommy
www.lilommy.com
for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea lilOmmy.com - Zábava
Lilommy nakukubali kinomaa kwenye itaviue zako unapenda kuwagonga wasanii maswalii kama hayuko active anaweza kukimbia stundio hu hu hu hu hu hu hu
Hawa ndio wenye bongo Music nashangaa kenge zingine zinazosimama na kusema wao ni zaid ya wengine Ona Historia hii ilivyotulia Big up Professor J
Mtangazaji hapaswi tu kuwa na sauti nzuri na ya mvuto.. Ila nadhani inabidi inabidi ajue kwa undani sana kuhusu kile anachopresent kama entertaininment lazima awe deep huko kwa maana ya kujua wasanii na historia zao.. Sasa ndo mana nasema kwamba lil Ommy ni mmoja kati ya top three zangu za mapresenter wakali sana afrika mashariki... KIZAZI SANA TAMBWEEEEEEE
"ALBUM ni kama KITABU na singles ni kama CHAPTERS". Mh Profesa Jay 👏👏👏
Profesa Hata akiongea ni punchline tosha
G.O.A.T
Professor Jay ndo number one Legend Tanzania kabisa! Wa kina Fid Q wanakuja badae hao. God bless him with long life. Lil Ommy wewe pia ni mtangazaji muzuri sana kabisa. God bless u 2!
Nimetamani sana nielewe safari ya mziki ya Prof Jay, all time favourite Mcee. Hii interview ina majibu yote, Ahsante sana Tambwe
Nakukubali sana Prof, nyimbo zako nilikiluwa nimezimeza zote nikiwa primary school,nikiwa na cassate yangu geto,Du nakuelewa sana we jamaa,
Pr Jay nakukubali kinoma noma na wimbo wako ndio mzee nakumbuka kipind hicho nilikua na saloon ukija offsin kwangu hukosi album zako zote nilikua nazo nakumbuka kipindi hicho ilikua ninomaa
#LilOmmy hii interview imenipeleka nyuma kusikiliza NYIMBO karibia zoote za #ProfessorJay.. napenda sana unavouliza alaf unamuacha interviewe afunguke, umefanya the same almost interviews zako zoote.... Fresh sana, #KIBABE...
#PAGAMISA
This is the best show in the region, LilOmmy you are a serious and matured interviewer.
Prof Jay hata akija Kenya kutafuta ubunge bado tutampa tu, He is the king of Bongo hip hop
Wapi prof. Ludigoooo EA fanyeni mumtafute bhana tuchonge nayee, Nigga J nimekuelewa sana big up, kama unasaport LIKE
Professor the legend,
yeah
My favorite interview... Professor Jay always ranks #1 and LilOmmy you the best interviewer ever u always ask right question..
tbh you always killed me whenever you said, Kizazi 😂😂😂
A true Fan Playlist No Moja Haina Makeke Bless Fan Hon.Jizee ((THE REAL 0NE))ShoutOut Tambwe Eeeh Oii Salut💥🙌🏽♥️🎶🔥❤️🇰🇪🙌🏽🙏🏾
Nashangaa kuna 6dislikes unachukiaje interview like this, I wonder what kind interviews do you like?
Big up sana #ProfessorJay u still the Greatest Of All Time (GOAT)
Ramazani Mulongeca wivu mzee na roho mbaya 😂😂😂😂
Ramazani Mulongeca @wengine hawajui wanabonyeza tu 😂😂😂
Festo Edward1
😀😀😂😀😂Wanafikirije yani...
Nass Stewart
Kweli kabisa, au fikra fupi kama umeme waLuku...😁😁😁😂
mmoja wa mc bora kabisa wa hiphop kutokea bongo anahistoria kubwa sana na amebadili game ya hiphop heshima kwake
MC shupavu, mwana wa msolopagazi balaaa sana ww ni hatariiiii😍😍😍😍😍
Jay nakuelewaga sana Mzee Baba najua wangekuwa wale wengine no, yes, offcoz, yayaaah zingekuwa nyiiiingi hapo
Huyu professor ni fundi sana
tambwe you are the best entertainer presenter all over the eastern side of the continent blesses on bro
Nmesikitika sana hapo aliposema awards zimevunjika pindi nyumba ikibomolewa
respect brother j umeitoa mbali bongo fleva
Safy prof j. Nakukubali balaa..mungu akubariki
Jey umetoka mbali isey JAH BLSS U
Ndioo nimekupata. @Dj_Prof_J_Uncle. Namkubali. Sana. @Joseph_haule. Kiufupi ana @kazinzuli sana
mbunge anaeongoza binadam na wanyama 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Big up to y'all#Prof Jay&Tambwee
Big up the #MVP&Professor
upo vizuri mzee
Jina langu... the hottest
#Big up sana blood lilOmmy mamb ni motto upo na professor j
From moz nakukubali prof Jay
More respect Big.
I appreciate the way you step.
Wewe Prof hakika unastahili,,
Tambweeeeee.. Prof yuko vizuri sana.
Namkubali Sana professor
Mwana Hip Hop Bora Kati Yawanojua East Africa
Good jay umetisha
Professor Jay namkubali sama
Pease jina lake nani MC wahatali congratulation bro
kazi nzuli sana 10 kwa 10
Good jize
Mwenye ngoma za HBC afanye kweli bc
Nakubali
swag kal mzazi,jiunge wcb sasa lil omy
Vizuri jay
Wewe ni legend wa zaidi
The fest rapper in my top Five, profisa J ,fid Q, joh makin ,mwana F ,darasa wa enzi zile
Young killer umenuacha nje
Yaaap respect intervew
Definitely 😁😁😁@lilomy
Godfather great inspiration
show ya moto sana
Professor niatari j upo the first one
Shoo lakibabe
Heavy weight Mc Pr J
Heshima kwako profesa
htr
Professor
nakubari san omi
kweli Pro ni Icon
🔥🔥🔥
I appreciate
Analog recording!!! Noma sana
MaBulldozer walioparua wakatengeneza njia, halaf watu wengine wanaleta mapozi!!
Heri ya mafanikio bro interview zako ziko poa xna
From kenya💕💕 first viewer
Pamoja sana, Bless
From Kenya
kizazi sana ...from Nairobi
LilOmmy no one like uuuuuu bro clouds have already die
🎉
🇰🇪👍
LEGEND!!!!!!!
bg
🔥
medylove_tz medylove_tz poa vp
💣💣💣💣💥💥💥💥
Piga kazi bro maneno muachie
Afande sele wa ngara
Hahahahah
kubali sana l
Prof J uko Good
kweli kwa jide Umenena ila wenye bifu naye wajibebe tuuu
Hataree pendaa untaviw zako omy
Mubunge anaeongoza binadam na wanyama
Legend🔥🔥
The icon tangu na tangu
professor jay ni mgodi unaotembea
J m2mzima miaka mia
tambwe unaujua mzik San yan unamhoji MTU mpk mtazamaj anafeel
Huyu ndio wa kuchonhewa sanam wapumbavu nyoooo nyoo
Mtazamo ni katiba ya Mziki wa Tanzania
Tambweee noma sana mwamba
Professor jay nakubal Sana ndg pia kipid kile unatoa show pale kakora bulyahuru mwaka 2000 year , ludi Sasa tupo pamoja tunasubiria mashahiri yako!!
heavyweight mcee
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Fireeeee
Pr jizze really legendary
Tambwee
prf jay ukofa ww nitauzunika sana
Omary Mbalala point gan izoo utatangulia ww xx
unauhakika ataanza yy akuache ukiwa hai..??
Omary Mbalala
the heavy weight mc
xana j
Nisubirini me bado naangalia
Twataka nn amapaka mungu atupe gunia la chawa
Kuhusu kiba hpo potzea brz coz kiba hawez fanya kaz na mtu ambaye mond kshfny nae
Mbona naye kashafanya inteview na liomy
I mean collabo braza
Bonge la interview
jey umetisha san
czcams.com/video/0xhAxP5Mwx0/video.html
*Nyimbo iliyo mfanya diamond amtafute yamungu 👇👇*
czcams.com/video/0xhAxP5Mwx0/video.html
ongea
Gusa link kuona alicho kizungumza *daimond platinumz*
BONGOLIVE huyu jamaaanatishaaa
tambweee Niko kosaga interview zako sijielew
uko good j
kingwendu
Mwenye ngoma za HBC afanye kweli bc