KWAME OPOKU |GOALS & SKILLS | KARIBU SIMBA SPORTS CLUB
Vložit
- čas přidán 14. 11. 2022
- KWAME OPOKU |GOALS & SKILLS | KARIBU SIMBA SPORTS CLUB
.
🎥 Jisajili kwetu kwenye CZcams:
📸 Tufuate kwenye Instagram: / simba_fan_tv
👤 Tufuate kwenye Facebook:
💬 Tufuate kwenye Twitter:
📲 Tufuate kwenye TikTok:
🛍 Nunua Bidhaa za Simba Fan TV:
🖥 Tembelea tovuti yetu:
🔴 SimbaFanTV ndio mtandao mkubwa zaidi wa mashabiki wa soka Tanzania! Kwa upendeleo kuelekea Klabu ya Soka ya Simba Sports Club, sisi ndio mahali ambapo maoni ya shabiki ambayo hayajadhibitiwa yanaweza kusikilizwa kabla, wakati na baada ya filimbi kupulizwa. Jiunge nasi na utufuate kwa muhtasari wa kandanda, mechi mubashara, mawazo ya mashabiki, podikasti na zaidi. Hapa ndipo sauti ya shabiki inasikika!
🙋 Je, una pendekezo la maudhui ambayo ungependa kuona kwenye AFTV?
➡️
⚠️ KANUSHO: Kandanda ni mchezo mzuri na mashabiki wana shauku. Lugha ya rangi wakati mwingine hutumiwa, na maoni yenye utata yanatolewa. Maudhui mara nyingi hutiririshwa moja kwa moja, na huwa hatuwezi kuhariri au kuhakiki nyenzo mapema. BUSARA YA MTAZAMAJI INASHAURIWA. Mawazo, maoni na maoni yaliyotolewa ni ya wachangiaji na si lazima yawe au kuakisi yale ya SimbaFanTV.
#SimbaFanTV #SimbaSportsClub #Soka - Zábava
I really follow your league especially simba fc
Am a fan of your team
Where are you come from ??
Wew mwenye hela utamsajiri matako wew
Mimi wanilteee tu manzoki na adabayo hao wa afutatu hapana au miqeson jmn
Mzito sana
Yuko vizuri
Wakaida sana
Hamna mchezaji humu
Simba inatimiza kijima inabidi wafanyeusajili dilishadogo
Viongozi waongo
Mimi kwa sasa siamini tetesi yeyote ile maana zimezidi mwisho wa wanasajiliwa wengine
Aje kufunga hapa bongo ndo atakua mwamba
Ety wadau naskia miquesone anarudi
Mimi Simba ,lakini ukweli ni kwamba miquison hawezi kurudi Simba yupo zake Asia uko kwa waarabu , hatuna hela ya kumlipa yule tangu alivyoenda Al ahly.
Acha kudanganywa utakuwa bwege
Kibu mtupu..Hamna striker humu
Hakuna striker humo.
Mwamba anabalaaa huyuu
Simba imebaki timu ndogo sana Tanzania viongozi hawana hela....timu inawachezaji wasio na viwango mfano Boko haya Ihefu hapati namba
Wewe uliembeza bocco njoo uendelee kumzihaki na leo
Kwakwel
Huyo jamaa nibaraa
Amna mchezaji hapo hata ykpe alikuwa hhivyo
2namtak manzonki, , , , a2taki wa aftatu
Sio kweli
Bado naona hana maamuzi ya haraka kwenye kushoot
Kama Boko aondoki awezi kufunga ata BAO.
ndo zao washaanz biashar zao
Kwani dirisha dogo linafunguliwa lini.?
15 Mwez Wa12..
Simba Haina hela ya kusajili mchezaji kama huyo
Tulia weee usiongee kwa usicho kijuwa
NA WANAZO TUMIA PESA ZA BABAKO???
anazo babako
Mimi wanilteee tu manzoki na adabayo hao wa afutatu hapana au miqeson jmn