Kumbe lawi tayali wetu , huyu dogo namkubali vibaya mno,, alafu soccer data tunaomba utupe uchambuzi juu ya maeneo Simba wanayotakiwa wafanye replacement ili tuludi kuwa bora
Ibrahim Ame Varane ni zaidi ya Hussein kazi, Lameck lawi na Kennedy juma ..... Ni mchezaji ambae hakuwa na bahati then alienda kipindi ambacho ilikuwa ngumu kwake kucheza mbele ya wawa, joash, Inonga
Acha kushangaa kwani wewe unamkadilia anayo mingapi yakwako sema watu mnawaangalia kwenyesim au tiv zinawadanganya umeisha kutana nae macho kwa macho live ndiyo utamjua mtu kuwa nimkubwa au mdogo
Noma sana
Kazi kazi huyu beki harembi namkubali sana
Hatari sana
Yup saw
Uchambuzi uliotukuka sana huu ❤❤
Boss kwema
Vipi Ibrahim Ame
Kumbe lawi tayali wetu , huyu dogo namkubali vibaya mno,, alafu soccer data tunaomba utupe uchambuzi juu ya maeneo Simba wanayotakiwa wafanye replacement ili tuludi kuwa bora
😂😂😂 ndo maana mnafanya vibaya kumbe
@@mwanangusana nabado tupo tunaishi
Unazan basi tunapata hata kidonda🤣
Naomba link ya ile video ya Application tano anazotakiwa kuwa nazo mwanamichezo.
Wamurudishe na Ibrahim Ame jaman dah
Ibrahim Ame Varane ni zaidi ya Hussein kazi, Lameck lawi na Kennedy juma ..... Ni mchezaji ambae hakuwa na bahati then alienda kipindi ambacho ilikuwa ngumu kwake kucheza mbele ya wawa, joash, Inonga
lawi anabaki coastal union kwa ajili ya kimataifa coz ameongezewa mshahara na pia pale simba anaenda kutokea benchi
Hatukuelew anabak cost au anaenda bench simba
@@jofreymfugale4752😂😂😂 itabidii uelewe scenario zote mbili ....
Kumbe anafiti ss
Broo tunaomba ya joshua mutale piia
Hivi David kameta Duchu tutakuwa nae au ndio kama kawaida watamuacha ?
mmmh kumbe anamiaka 18 ila bongo nyoso
Acha kushangaa kwani wewe unamkadilia anayo mingapi yakwako sema watu mnawaangalia kwenyesim au tiv zinawadanganya umeisha kutana nae macho kwa macho live ndiyo utamjua mtu kuwa nimkubwa au mdogo