KIUFUNDI: USAJILI WA LAMECK LAWI SIMBA UBORA & UDHAIFU | PENGO LA INONGA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 06. 2024
  • Sport

Komentáře • 21

  • @RamanhoDossantos
    @RamanhoDossantos Před měsícem

    Noma sana

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 Před měsícem +3

    Kazi kazi huyu beki harembi namkubali sana

  • @RamanhoDossantos
    @RamanhoDossantos Před měsícem

    Hatari sana

  • @labanboy-d2g
    @labanboy-d2g Před 11 dny

    Yup saw

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 Před měsícem +1

    Uchambuzi uliotukuka sana huu ❤❤

  • @richardmachange9471
    @richardmachange9471 Před měsícem +1

    Boss kwema

  • @andrewdaudindullu1749
    @andrewdaudindullu1749 Před měsícem +1

    Vipi Ibrahim Ame

  • @scollamwanisisi2739
    @scollamwanisisi2739 Před měsícem +4

    Kumbe lawi tayali wetu , huyu dogo namkubali vibaya mno,, alafu soccer data tunaomba utupe uchambuzi juu ya maeneo Simba wanayotakiwa wafanye replacement ili tuludi kuwa bora

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před měsícem +1

      😂😂😂 ndo maana mnafanya vibaya kumbe

    • @scollamwanisisi2739
      @scollamwanisisi2739 Před měsícem

      @@mwanangusana nabado tupo tunaishi
      Unazan basi tunapata hata kidonda🤣

  • @hamisiselemani220
    @hamisiselemani220 Před měsícem +1

    Naomba link ya ile video ya Application tano anazotakiwa kuwa nazo mwanamichezo.

  • @BigDreamsWorldwide
    @BigDreamsWorldwide Před měsícem +2

    Wamurudishe na Ibrahim Ame jaman dah

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před měsícem

      Ibrahim Ame Varane ni zaidi ya Hussein kazi, Lameck lawi na Kennedy juma ..... Ni mchezaji ambae hakuwa na bahati then alienda kipindi ambacho ilikuwa ngumu kwake kucheza mbele ya wawa, joash, Inonga

  • @fadhiligasper8194
    @fadhiligasper8194 Před měsícem +2

    lawi anabaki coastal union kwa ajili ya kimataifa coz ameongezewa mshahara na pia pale simba anaenda kutokea benchi

    • @jofreymfugale4752
      @jofreymfugale4752 Před měsícem

      Hatukuelew anabak cost au anaenda bench simba

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před měsícem +1

      ​@@jofreymfugale4752😂😂😂 itabidii uelewe scenario zote mbili ....

  • @hamisimtente2126
    @hamisimtente2126 Před měsícem

    Kumbe anafiti ss

  • @malisa_1449
    @malisa_1449 Před měsícem

    Broo tunaomba ya joshua mutale piia

  • @user-fj3ny9cp4p
    @user-fj3ny9cp4p Před měsícem

    Hivi David kameta Duchu tutakuwa nae au ndio kama kawaida watamuacha ?

  • @ramboiddrambo3056
    @ramboiddrambo3056 Před měsícem

    mmmh kumbe anamiaka 18 ila bongo nyoso

    • @saidsalum6101
      @saidsalum6101 Před měsícem

      Acha kushangaa kwani wewe unamkadilia anayo mingapi yakwako sema watu mnawaangalia kwenyesim au tiv zinawadanganya umeisha kutana nae macho kwa macho live ndiyo utamjua mtu kuwa nimkubwa au mdogo