SIRI YA MTENDE NA MWEREZI WA LEBANONI MITI ALIYOIIMBA AMBWENE KWENYE WIMBO UNIKUMBUKE YAFICHULIWA.
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- Tunaomba radhi kwa baadhi ya dakika kukosa picha, kutokana na hitilafu ya kiufundi. TUNAAMINI HITILAFU HII HAITAKUZUIA KUJIFUNZA SOMO HILI MUHIMU.
Nimebarikiwa sana fundisho la kipekee sana watumishi wa Mungu mbarikiwe sana.
USHUHUDA UMENIJENGA SANA. NAMI KWA NEEMA YA MUNGU NITAKUWA MTENDE. SAFARI INAENDELEA . ASANTE. TU NFANO WA MUNGU NDUYO MAANA MUNGU ANATUSIMAMISHA. TUZIDI KUMTANGAZA KWA HALI ZOTE . KITU KIKUBWA SANA.
Ahsante ujumbe mkuu umenijenga mnoo
Aisee kumbe mtende ni noma!! Na tustawi kama mitende!
Mbona madini sana haya roho wa Bwana asante kwa ibada hii mbarikiwe watumishi wa BWANA kwa kunipa chakula cha uzima nawapenda.
I got my potion today. I have eat a very wonderful food today. Very delicious
Thanks brothers for ur teachings, that's a really Theology
Nice mtumishi ambwene, nimefurahi sikuhizi unaongea tena live , najifunza napata vitu
Ubarikiwe sana nimepata neno lenye elim kubwa sana.
Asante zangu za dhati kwenu...
Nimepata kitu kikubwa sana
Hapo najua Kaka Ambwene atatoa nyimbo kali
This theology ni next level
Duh nimependa sana hili somo Mungu awabariki
Pr Maotola Lumbe alietoa somo ilo anapatikana youtube kwa jina Maotola tv utapata mahubiri mengi mazuri
Amina, somo zuri sana sana, be blessed
Akika Mungu wetu ni wa ajabu sana
Mungu awabariki sana nimejifunza kwamba mungu hafungamani na chochote
Legendary
🔥👏
Nimejifunza kitu kikubwa sanaa Mungu awabariki watumishi wa kristo
SoMo zuri,Mungu awabariki
Hili somo zuri zaaana nimelisikiliza
Amen kaka
Ameni
🙏🙏
Ni kweli Ambwene hapo lazima aje na wimbo maana ana akili nyingi sana.
Dar !!!! Jaman Nimeupenda huu ujumbe na haya mafundisho
Nawasikikiza nimejua maana mtende na kustawi kama mwerezi barikiwe
Powerful
God is good
Wow wow wow
Amen
❤️❤️❤️
Ameeni kubwa nimeona kitu.
Nawa penda sana wapendwa.
Naanza kuelewaaa
Pr Lumbe
Kuna tofauti gani Kati ya mtende na mwelezi
Tafsiri ya kipekee
🙏🙏