Jomireso voices Tz - Nenda
Vložit
- čas přidán 13. 09. 2024
- Artist : JOMIRESO VOICES TZ ( +255 765 766 438 )
Song : #NENDA
Composer : Pro EPH
Arrangement : Pro EPH
Audio :Pro EPH
Video :RJ STUDIO
Reference:
Yohana 5 : 1-15
Palikuwa na sikukuu ya Wayahudi; naye Yesu akakwea kwenda Yerusalemu. Na huko Yerusalemu penye mlango wa kondoo pana birika, iitwayo kwa Kiebrania Bethzatha, nayo ina matao matano. Ndani ya hayo jamii kubwa ya wagonjwa walikuwa wamelala, vipofu, viwete, nao waliopooza, [wakingoja maji yachemke. Kwa maana kuna wakati ambapo malaika hushuka, akaingia katika ile birika, akayatibua maji. Basi yeye aliyeingia wa kwanza baada ya maji kutibuliwa, akapona ugonjwa wote uliokuwa umempata.] Na hapa palikuwa na mtu, ambaye amekuwa hawezi muda wa miaka thelathini na minane. Yesu alipomwona huyu amelala, naye akijua ya kuwa amekuwa hali hiyo siku nyingi, alimwambia, Wataka kuwa mzima? Yule mgonjwa akamjibu, Bwana, mimi sina mtu wa kunitia birikani, maji yanapotibuliwa; ila wakati ninapokuja mimi, mtu mwingine hushuka mbele yangu. Yesu akamwambia, Simama, jitwike godoro lako, uende. Mara yule mtu akawa mzima, akajitwika godoro lake, akaenda. Nayo ilikuwa ni sabato siku hiyo. Kwa sababu hiyo Wayahudi wakamwambia yule aliyeponywa, Leo ni sabato, wala si halali kwako kujitwika godoro. Akawajibu, Yeye aliyenifanya kuwa mzima ndiye aliyeniambia, Jitwike godoro lako, uende. Basi wakamwuliza, Yule aliyekuambia, Jitwike, uende, ni nani? Lakini yule mtu aliyeponywa hakumjua ni nani; maana Yesu alikuwa amejitenga, kwa sababu palikuwa na watu wengi mahali pale. Baada ya hayo Yesu akamkuta ndani ya hekalu, akamwambia, Angalia, umekuwa mzima; usitende dhambi tena, lisije likakupata jambo lililo baya zaidi. Yule mtu akaenda zake, akawapasha habari Wayahudi ya kwamba ni Yesu aliyemfanya kuwa mzima.
Ujumbe huu unamguso Sana katika maisha ya mwanadamu tunahitaji Imani Kama hiii
Nambari za simu za mwalimu tafadhali.
Who watch in 2021......nice song ...mbarikiwe sana.
✊✊✊✊
Amenn 🙏😋
Amen
Mungu na azid kuwatumia vyema .
Ubarikiwe sana
Yaani mimi naendelea kubarikiwa tu na huu wimbo big up my favorite choir mmenikuza kiroho...Prod.Ephraim,Dir.Rj,Mwl Majogoro na wengine wote Mmbarikiwe....
Amina barikiwa sana mtu wa Mungu
Aiseeeee Hatari hatari duh,hongereni
Eiiish 🔥🔥😅
Mbarikiwe saanaaaa wapendwa
Barikiwen Sana watumishi wa baba mfike mbal Sana katka utumish wenu wa injili
Amina sana
Huu wimbo umeyagusa sana maisha yangu mbarikiwe sana wanaimbaji wa jomireso Bwana azidi kuwatumia zaidi
Amina barikiwa zaidi
My benta I see you 🥰🥰..... Nice song
Amina xn
Naipenda sana hii nyimbo mungu awa baliki
Amina ubarikiwe sana
Nice song
Amina!
Nimebarikiwa sana na huu.hadi nimepona
Amina sana na MUNGU azidi kukubariki mtu wa Baba
Mbarikiwe sana kwa wimbo mzuri
Barikiwa zaidi mtu wa Mungu
Barikiwa nahuu wimbo
Amen
Mpo vizuri aise
Amina mr Godfather
Bigup grace and ur crew ....be blessed & Keep t up!
Waoooo am blessed sanaaa na muende mbali sanaaaa
Uuuuuuuiiiiiii wakisii njooni msikie ule eimbo.. meen this is so beautful
amina mbariwe sana
wooow nice music
Inuka uende. Wimbo wenye maneno matamu mno
Amen 🙏 🙏
Amina kwa mbaraka huu
Amina barikiwa
Amina ninabarikiwa sana na huduma yenu
Baraka mbona kama mkono wako kweny utunzi
Amina mbarikiwe sana
Eeeish my people this amazing Aminaaa Sana barikiweni
Amina
Wonderful song
Niiceee❤️
Get up and go,
Good voice
Smiling faces
MWALIMU wangu majogoro I see you.
Hakika iman imeniponya
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen
Oooh haleluyaaaa,,,, 👏👏👏👏👏
Barikiweni watumishi wa Bwana, beautifu song❤🙏🙏🙏
🙌 its like 10 times naskiza huu wimbo na bado sijachoka n I think it’s may first time nauskiza mbarikiwe sana huduma yenu inanibariki sanaa
Barikiwa zaidi
Jaman jomyy. Mbarikiwe mnoo
Nakuonaa mdg wangu
🙌🙌🙌
Inuka uende.
Mungu awabariki vijana kwa kuimba wimbo mzuri sana wa matumaini💪💪💪
Amen
Mbarikiwe JOMIRESO Voices Tz na Mungu awafikishe Mbali zaidi na mzidi kuwa Mibaraka Kwa watu pia . Nawapenda Bureee😘 inuka uwendeeee ..........Imani imekuponya 🙏
Nimebarikiwa na huu wimbo its just like a surprise INUKA👏👏👏
Barikiwa zaidi
Amina, mbarikiwe zaidi
Inuka,Uinuke na Tuinuke Twende.
I love you guys. Amazing song
Be a blessing
Wow... Nice voices... Am so blessed...😍
Amazing
Aya watu waimbe sasa, mbarikiwe
Wimbo mzuri...mbarikiwe sana waimbaji
Amina barikiwa pia mtu wa Baba
And the song was rearranged in such a sweet way.....I love the new chorus 😋😋🥰🥰🙏🙏
Amen
Amen!!!!!
Amen my family ...... Endeleeni kuuwasha moto wa injili kwa sauti tamu.🙌
Amina endelea kupokea mibaraka kutoka kwa Mungu mtu wa BABA
may God bless you guys, mnaimba vizuuuriiii sana.....
So happy to see my friend Happy Josiah, keep praising God with your amazing voice😊🙏
Music that heal🙏❤
Amen Nice Song
Wonderful voices.. I love u guys a lot
We love you too
Nimeshindwa hata cha kukoment kwakweli ckutegemea kwakweli kwa huu wimbo huu mmenipa suprise kwakwele
Endelea kubarikiwa ..tunahitaji maombi yako saana pia mtu wa Baba
@@jomiresovoicestz amen
Eita glória
One of my favorite groups❤❤❤❤
Be blessed
Be blessed family nice voices
👌
JOMIRESO ndo nini?
Where is this groupe situated
Can I have the contacts of a leader of this group?
Ubarikiwe sana
👌
JOMIRESO ndo nini?
Where is this groupe situated
Can I have the contacts of a leader of this group?
Kila wimbo uko na contacts kwenye discription Mr. Tumia hizo kuwasiliana na kiongozi mtu wa Baba