Mtangazaji huna Adabu kwanza unaenda kazini kumuhoji mtu umevaa kipensi upuuzi mtupu vaa kiheshima ukitaka kuvaa kipensi nenda beach au upo uwani kwenu yaani hovyo kabisa kenge maji
Maswali ya huyu mtangazaji sijayapenda hivi unauliza ajee kama nyumbani kwako una ishi na nani, mnakaa wangapi, umehamia lin, umejenga lini. Inakuwa kama sensa au TASAF kama vile unataka kuleta msaada wa kaya au kusaidia kuweka dirisha chandarua au kuchumbia Maswali ya namna hiyo tuna takiwa tuwe makini kuyajibu maana unaweza kuletewa uharifu bila wewe mwenyewe kujua.
Mama yangu kipenzi nakupenda toka hata SIJAANZA KUSHIKA SMARTPHONE ❤ HATIMAYE SAIVI NAMILIK SMARTPHONE
Hongera sana 😂😂😂
@@salomewandya7257 Asante San kwa kweli kitambo icho
Your cameraman should learn about the use of ND filters. Your outdoors videos look bad!
Mamaa na Asha Baraka Iron Lady Malkia wa Nguvu Mungu Akupe Maisha Marefu Sauti Nzuri Sanaa
Uko vizuri mama
Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mengi ya kujifunza aisee,Mungu ampe Maisha marefu Mama tetu
Jamani aanze kutubu Kwa mungu Sasa
Mnaishi wa 2? Au wa 3 sasa
Hongera sana mama wa nguvu ❤❤nimejifunza vitu vingi sn kwako😘😘🙏
hii nyumba nakumbuka marehem kanumba aliwahi kuigizia,,
Katika mov gani
Movi gani kaigiza
M'bembe m'bondo kutoka congo 🇨🇩 wote na mama mondi sema walizaliwa kigoma
Dada wa mjini kitambo Bima mjanja wa mjini ana kaka zake uingereza 😅
Azeek mama asha❤❤❤sana 🎉
Vjti vya bar seating room mweeh alitumzwa nini
Wanaishi wawili tu, yeye na mwanae Imani...baba mwenye nyumba je?
Waandishi mbona hamjauliza hilo swali?
Siku nyingine mtangazaji vaa suruali
NINGESHANGAA,,KAMA ANGEKUWA HANA NYUMBA.
Kama uliona movie ya Kanumba na Jennifer na Patrick inaitwa This is It ile nyumba waloektia ni ya Asha Baraka
Kikushangaze Nini na kawaida tuu
Alikuwa Mzur mashallah
Huyu mama nakuelewa na namkubali sana.anauvumilivu sana.kuna kipindi twanga iliyumba kichiz.lakini nakumbuka alija akasema tutaenda nayo hivyo hivyo.
Wanaishi 2 na mdada wa kazi je? Sio watatu kweli?
Aseeh huyu mazaa katisha pazur kwel nyumban kwake
Mashaallah , micikici
😂😂😂
Hongera mama😍😍😍🇪🇭🇪🇭
Boss wangu.Almento's fast food.kinondoni.I miss you.na mitusi yako.
Kumbe anamitusi 🤣
Kweli maisha ni kupambana
Nakupa maua yako mama yangu bi asha baraka
Superwoman❤Ila nahic anapata tabu akiongea cjui kifua😢mashalaah angela damas jaman mweupeeee cjui kapotelea wapi Sasa nimzee
Ndio sauti yake kama halima mdee
wanaishi 2 yeye na mwanae imani, huyo dada wa kaz hajahesabiwa
Ongera mazingira mazuri
maa shaa Allah😍
JAMANI HAYO MASWALI YENU SIO MAZURI MENGINE YANAHATARISHA MAISHA YA WATU WANAOISHI KATIKA HIZO NYUMBA
HUYU NDO IRON LADY WA TZ ANA PESA ANA MIRADI SIO MUUZA PAPA
Mtangazaji huna Adabu kwanza unaenda kazini kumuhoji mtu umevaa kipensi upuuzi mtupu vaa kiheshima ukitaka kuvaa kipensi nenda beach au upo uwani kwenu yaani hovyo kabisa kenge maji
Huyu mama kashika hela kitambo sana
Naanaakili sikm wengine
Saaana na bado anapambana 👌👌😍
❤❤❤❤ you 👩 mom
Kwahiyo Asha Baraka na Zamaradi Mketema Ni ndugu.???
Apana Zamaradi ni mnyarwanda. Asha na mama Dangote njo ndugu . Wabembe wakutoka Kigoma
@@adijaniyonkuru9731Asante dear kumbe Zama mnyarwanda ❤
@@adijaniyonkuru9731mtanzania unyarwanda ndo nini wanyarwanda wako Kigali huko mbona wangoni hamuwaiti wasauz africa
Yaduniani umefuzu,sijui akhera ,siri minalah
Maranyingi mwenye kufuzu ya Dunia huwa anaharibu ya akhera Kwanza
🎉🎉🎉❤❤❤
Nakukubali Asha baraka nakatangu Uko Bila mwangaikaji wewe
Friday🎬
❤️❤️❤️
Ma
Saleh we mbea duuh 😂😂😂
Salehe naomba mtembelee na Denzel trainer
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
mama mpe ukuu wa wilaya pls
Kwann asikupe wewe
Elimu yake ipoje? Ukuu wa wilaya walau uwe na bachelor ya kitu fulani
@@israelkisaila8401ukuu wa wilaya haiitaji elimu!
Maswali ya huyu mtangazaji sijayapenda hivi unauliza ajee kama nyumbani kwako una ishi na nani, mnakaa wangapi, umehamia lin, umejenga lini.
Inakuwa kama sensa au TASAF kama vile unataka kuleta msaada wa kaya au kusaidia kuweka dirisha chandarua au kuchumbia
Maswali ya namna hiyo tuna takiwa tuwe makini kuyajibu maana unaweza kuletewa uharifu bila wewe mwenyewe kujua.