PATANISHO : MKE WANGU ALINIAMSHA NA MAKOFI
Vložit
- čas přidán 2. 05. 2021
- Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya
Subscribe to RadioJambo CZcams - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220 - Zábava
Team qatar 🇶🇦 nipeni likes my friends
aky wanaume niwaongo hata umpate akiwa ndani haezi kubali.. wangu nlichoka ndio maana nko hapa. team hamam mko wapi.
Hata shaggy alipatwa akiwa ndani na akasema it wasn't me
😂😂😂😂
Umeen ulumpata Ndani ooooh pole ukamwacha anafika climax😭😭😭😭😭😭
@@shakemantauro3494 😀😃😀😃😀😃😀😃 Ndani ya nn ama bedroom?
@@shakemantauro3494 wanaume n mafala sana na kuwashika n haraka sana
Wueh, noma sana. Let's respect our family, marriage.
Huyu wakuleta hadi kwa nyumba amezidi, Pack and leave he is taking you for granted. Maugonjwa pia Zitakupata, leave and let go.
I'm a man bt hii imeniuma kiukweli men we have to change tulinde familia zetu
I like this
Although the man seems to be stupid,,he is not fianacially stable na analeta mpango wa kando...let him look for money first hadi ishide wife wake control,,bure hii tabia ya kuomba wife pesa ya lunch anatuibisha sisi wanaume.
Hadi akafuliziwa na mkewe lunch na mpango ya kando 🙆🙆
Huyu jamaa ni legend
Kkkkkkkkkkkkkkkkkk
That is exactly how my husband hukataanga story ... consistency kwa kudanganya
How do you handle it aki
@@athleticskenya5504 u ignore them and continue with your live and mind your biz.mine comes everyday at 3.am.n he finds me good.
@@firstmumz7460 JESUS CRIST!!!!
@@firstmumz7460 3a.m aki siezi.you need to take the behavior into extinction.do you laugh at him ama how do you behave ju l guess you're denied your rights as a. Woman
-#3#÷
Mapenzi yanamambo aisee
all the way from 🇹🇿
Team beirut ndani ndani kwa mmpigo🤗
mbona wanawake wa plot hujua kila time unaleta dem hata iwe usiku but ukiibiwa mchana hawajuwangi mwizi
😅😅😅
100% umeongea
🤣🤣🤣🤣🤣 hii nayo ni ukweli
🤣🤣
🤣🤣🤣
Apo kwa kuamswa na makofi 😃😃😃😃😃 heri ghost agekuwa studio akuchekele na ile kicheko yake 😃😃😃tungekuwa na mwokota chini 😃.ako wapi tunamumiss sana
Ghost we need you back
Listening 🎧 from UAE Dubai beach residence
Hahah mm nko hapa mall of emirates naskiza saana
Surely ladies are just persevering in the marriages 🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
the woman looks faithful. hakuna kitu huuma kama kuwa mwaminifu kwa mumeo kisha yeye anaenda nje ya ndoa
In every serious relationship or marriage,,one of the partiner must be irrational or a player or lucrative for the deal to work out,,all of you mkiwa smart no marriage or relationship is there.
Team #radiojambo, ghost ako wapi jameni, tuna mmiss tena sana
India
Am moureen listening from Saudi...wakenya...wanaume
Tupatanishwe basi
Wanaume wacha kuanyaanya mtapiwa makofi😂😂😂😂😂😂😂
The wall have eyes... and ears too 🤣🤣🤣🤣
Respect is very important
1 year marriage and already infidelity wah. Kama hauko ready kuoa, sema. Don't waste people's time with lies
Exactly
💯
Treu
I really miss Mr Ghost 😂
Namiss kicheko chake sana😅😅😅
Just asking GHOST alienda wapi?juu ni muda mrefu sijafatilia radio Jambo.
@@Ubuntu............. niliskia kwa radio alikuwa amepeleka mtu wao India treatment akiwa huko akadecide kuinvestigate kwa nini yeye huu snore usiku alafu akakuwa diagnosed na sleep apnea so he got operated.
Achanna na wanaume
Bebii ukiona hii comment yangu naomba unifulizie niko job na sina lunch😂🤣🤣🤣
Caro kemunto watching from Saudi. Wenye tukichoka mko wapi?????
Hello my dear ....sema ....unaniskia ,,enyewe my dear ni mm nilikutafuta na siwezi fanya kitendo kaa hio😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Watching from Kuwait sasa gidi
uyu mama sinmpoa aki ati una fululizia mtu mzima pesa ati za lanch😳😳😳 nijikute🚶♀️🚶♀️🚶♀️
Gidi kuckia 2 eti kuleta mwanamke kwa kitanda changu😂😂😂😂,,ameweka cmu chini haraka sana 😂😂😂😂😂😂
😳😳😳😳🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️why is he lying and gidi had said the story don’t make sense why bring a woman in your matrimonial home that’s bad manners
Our brother did it again, a legend he deserves respect
🤣👊🏿
Gidi kuna vile umesahau kumuuliza huyo mwanamke je.... alimuuliza huyo mwanamke aliekuja kubisha mlango alisema nini ama waliongea nini ndio ungejuwa kuwa huyo mwanaume anadanganya ama vipi
Hawezi uliza
Unaezaje lala na mwanamke mwengine kwa kitanda ya bibiyako uyu ni mpuuzi
Huyu anamdharau mke wake sana ,,Hw?? Aiiiii , marriage bed should be respected..alaaaaah
Hapo kwa fuliza nkt huyo mwanaume n muongo sana aaaai so bad 😭 but accept what you did and all will be well nkt may God give you strength young woman
Huyo wakuleta kwa kitanda cha ndoa hapana me namuadvice 🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃 and let her never turn back maradhi yapo yasiyokuwa na Tina afadhali asonge mpele kusuri
@@linetnekesa8019 yeah hyo n madharau mbaya na anakataa ukweli nkt
@@verahmunala4019 na n ndoa ya mwaka hata nkama hawana mtoto anangoja apate mtoto ndo ataonyeshwa madharau sahi bado hajaona kitu atakuwa anaambiwa ale kwa kitu na mtoto mke mwezie ale bed nabwana
@@linetnekesa8019 yeah for sure wacha avute wire mbali aangalie ya kesho ningekuwa yy ningekanyaga kubwa kubwa I can't tolerate such nonsense
@@verahmunala4019 wacha anyone kuletewa aids ndo atoke
Huyu mwanaume ameanza mapema na hivo ndo ataendelea ..once a cheater forever Hamo.. unawezaleta aje mwanamke kwa nyumba ya wife wako
😂😂😂😂deny deny🏃🏃na viatu je alipeana
Hakunaaa ukweli Mimi nitakuambia haha wapii likes za wanaume
QR to Gidi an his bro,GOD heal them an the whole world 🌞🙏🇰🇪.
Not Gidi ni Ghost
Kwani weee ni mgeni uku its ghost not gidi weee
Mike denies even after the truth revealed.
Kile kitu hunishangaza uki shuku wanaume Ana cheat huwa ni ukweli ata kama hujaabiwa na mtu.. Wangu alikuwanga hivo
Number 3wapi like za team Asia
Kutoka saudia massive uyo jamaa n muongo
Fity
Hiyo caption tu nimecheka kabla sijasikiliza 🤣🤣🤣😂😂😂
Usicheke Madada zetu wanatumia Huku nje
aliamshwa na MAKOFI🤣🤣
Ghost anarudi lini kutoka India i really miss him a lot.
Alienda kudo nini india?
@@jeccym8715 sijui but ako uko
Alienda kudonate kidney kwa bro wake
@@jeccym8715 kumtolea ndugu yake figo
Itabidi basi tungoje safari za India zimefungwa 4 now
how do you bring your mpango i your matrimonial home
😂😂😂😂😂Ishanitokea nkawapata live nje ya gate akiwa juu
The most painful thing ever out of experience
Nice job
Alaah 🔥
Michael, umepatikana. Kubali tu and move on. Umepatikana kabisa
Just apologize. Hii denying haisaidi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣aki hii caption,Radio jambo nyinyi
These men aki....wangu anaeza danganya udhani amefanya PHD in lying🤕🤕
😂😂😂
Apo kwa PhD umeniweza
🤣🤣
That is a real man...
Let the man say the truth Vane from beirut
Dogs remain dogs
All the way from gulf mapezi ww aki
Hapo hakuna bwana..just a community husband within the first year of marriage yet mume amekuwa pathological lier
Young man.hiyo ilikua tu warm-up me heeeeeeee.. mummy . don't even think about coming back to him ati my dear shame on you
Niliwahi kuwa na mwanaume wakenya alikuwa akileta mwanamke ndani had anachukua nguo zangu, kwakwel nilimwacha huyo jamaa, vizur sana dada shikilia mpaka akwambie ukweli
Sasa we ulimwacha na unaadvice mwingne akae ndoa ya mwaka moja hayo madharau c akae bila bwana watu tumekaa tena na Amani sana
Wapi Host
Gost ako wapi jamani,tumemis kicheko chake aki.
@@cleophasayiro10 ghost uko India alipeleka Kaka yake kwa matibabu
@@linetnekesa8019 ninahabari,bt amekaa uko Sana,unajua kicheko yake tu huwa inafanya nipende patanisho tu Sana.
Hii ndume iache ukora🤣
Mwanaume hata umpate juu akitigiza kiuno naumuulize atakataa tu.
😂😂😂😂😂
Mike ni mhanyaji lakini anaogopa kusema ukweli asiwachwe😂😁
Heri ghost angekua hapa amcheke kwa kupigwa makofi🤣🤣🤣🤣
Yeah
We really miss ghost loughter
Riri kenya yes natusaudie ghost kumchekelea. Ghost tunakumiss plz kuna haraka
Young lady mwanaume hawezi kubali hata ufanye nini..ungemkaba koo huyo dem angekuambia ukweli befo aende. No proper evidence that the gal was in ur house just an information from a kid. Just forgive him na urudi kwako natumaini safari hii amekoma hatarudia tena. U had caught him earlier on and u forgave him..sahii hujamshika. Rudi mkasuluhishe..nawewe mume tabia mbaya kuleta dem kejani..nenda guest ukishindwa kuvumilia..hata 500 ya kuhongana unafuliziwa na mkeo? Shameless man😜
Hataforgive hadi lini!?,ataletewa ukimwi na maugonjwa kwa nyumba bila kujua
That's true no good evidence,wasameheane. Otherwise jamaa ataokolewa na huyo invader,mapenzi
Hiyo ni dhambi mbaya sana kushare kitanda mnacholalia na bibi yako na mpango wa kando
Huyu jama ameshikwa akubali tu
Respect your matrimal bed
Even me i can't tolerate that nonsense... Mike keep that wife swallow your pride and say the truth
Roba, hii huku nayo si, angeenda room ata ya 150 kwa vane
Aki.men mungu awasamehe..
hiyo si poa hadi alimfulizia
Hapo qwa makofi 🤣🤣🤣
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🤞tuned
Uyu jamaa amejikaanga kabisa, na bado anakataa tu kabisa ajui huyu mpango wa kando, akubali alikosa sababu bibi amekubali kumsamehe😓😓😓
asikubali kabisaaa akatea tu hvo,,the woman loves the guy,,but immendiately he will admit,it will be done,the wife will be using it as a weapon to discontract him whenever there is a quarrel..hata ,mm nipatwe nko ndani,,truly nitamwaga then baadae nitakataa sikuwa mm.hehehehehe
Jamani Gidi ulipeleka wapi ghosti?
Waaah caption 🤣🤣🤣🤣
Hii ndio shida ya kupenda kiuno na hauna pesa, cheza friendly games, cheza mbali peleka uko kitengela rudi kawangware without evidence, wewe paka evidence na exhibit iko alienda na viatu. League cheza kwa nyumba, friendly away game peke isikuje home ground please ALL MEN ARE POTENTIAL CASANOVA'S
👍👍👍👍😁😁 veet true
Very true
Gidi wacha kuegemea upande ya mwanamke...if the guy is right hes right na Mike if that's your real truth move on wanawake ni wengi....Gidi kazi ni kuskizana familia sio kuegemea wanawake...You just have to listen and reconcile them...Mike amesimama na ukweli wake....
Wengi ahaaa, maybe you can donate one to Mike, unless he stops his infidelity the next one will also leave. Running away from the problem is not solving it. Zip up period.
alikuwa kazi toka saa tatu hadi saa kumi na mbili jioni
Si mtu aongee ukweli jamani
Hawezi
Ndio ukweli huo aliamshwa aliamshwa na makofi 🤣
😂😂😂😂😂😂waaaaah
Huyu mwanaume n mkora kabisaaa
Wanaume hawawezi kukubali
wee mwanamme zidi kunyimwa na uzidi kuchapwa😂😂😂😂
Hapo sasa
Hahaaa
Rule No.1 Usiwahi kubali.
Mimi nilikuwa napigiwa hadi simu naambiwa Iko ndani😂😂😂I'm single for life sitaki stress
Ghaiiiii some men hawananga shame aki sasa unaletaje mwanamke mwengine kwa hao kama bibi ametoka cheiiii
Nkt
Hii ni jinga ya mwisho, the exbit is the shoes where did she get the shoes from.
Freddy kubali tu yaishe
Bwana wacha uwongo mingi
Idle kenyas the can’t allow me to comment first 😠😠😠😠
So unfortunate
Hehee..poleni sana ..
Jamaa kubali,uombe msamaha,usamehewe yaishe...
Balaa
Never accept a liability.... It will be a weapon against you man
Mwanaume malaya kama si mara ya kwanza basi ana dharau kama ni mimi sirudiani nawe haki kitandani kwangu mara mbili
It’s not the 1st time🙆🏾You were got red handed by Jane’ your wife.Your girlfriend left with Jentrix’s sportswear👟👟.Hungetafuta nyumba ya kumpeleka huyo mpango wako wa kando💃🏼Hiyo ni madharau kwa mkeo uko na kesi ya kujobu wewe🫵🏾
Sisemi kitu😂
My question is do they still live together?
Swali ! naeza cheza mara ishirini? Mia moja mara 20? ama ni mara moja?juu nimetaka kucheza mara kadha. Please Radio Jambo I will appreciate for your feedback. Thank you.
Huyo mwanamume anataka tu kujua Ninani wakiabiwa wife apigane nao , hataki kuaccept amekwamilia ni uongo hajui
Gidi plz I want unishikanishe na my man in kenya mimi nko gulf hamamm I miss him so much
😂😂😂😂😂wee endelea kusugua hammam achana na wanamme
Aki wewe bdo sungua hammam dada
Waaasaassss.kuna.wanaume.watu.na..wanaume.viyatu..wanaume.hujifanya..werufu.sana.na.ni.akili.kidogo.sana..huyo.mwanaume.alidanganya.huyu.deem.hana.mke..wachs.kujiteteyana.ni.ukweli