AHMED ALLY APEWA KUKU AMWAGA MAKOPA KWA HUSSEIN ABEL NA FREDDY/"FREDDY AMEKUA TISHIO
Vložit
- čas přidán 16. 05. 2024
- SUBSCRIBE NOW:
▶
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App: Iphone User: apps.apple.com/us/app/simba-s...
📱 App: Android User: play.google.com/store/apps/de...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC CZcams Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi - Sport
Mungu ibaraki Simba tuna kuomba Mungu msimu ujao tuchukue ubingwa wa michuano yote tutakayo shiriki🙏💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻
Alhamdulilah tunashukur Mungu tumepata alama tatu muhimu Simba nguvu moja naipenda Simba mpaka naipenda tena 🥰🥰🥰🦁🔥
Tunaipenda wote my frend
Tuipende timu yetu yote ni mapito tu yatakwisha Inshallah 🙏
Kweli kabisa kuipenda Simba kuko palepale
Simba nguvu moja
Mpira mwingi.❤❤❤
Abely ni kipa mzuri Sanatunapenda kumuona mara kwa mara akicheza tunashukuru kwa viongozi kumpa nafasi kipa huyu aminiwe ahsante Sana SIMBA NGUVU MOJA
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ simba
Semaji la caf 👏👏👏👏👏👏👏👏
Badilisheni Mic bhana mnatuangusha bhana Digital
Let's go simba 🎉🎉
SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante mungu
😂😂😂😂 semajiii oyeeeeee ❤❤❤
Vipi leo, wamejituma?
Wewe umeonaje!
Mungu ni wetu sote
Hakika mungu ni mwema hatatuacha mpaka mwisho amiiiiiiiin
Amiin
SIMBA NGUVU MOJA
Mashine ya mnyam🎉❤
Asante Mungu tumepata ushindi
Simba yangu mim🤍🤍🤍❤️❤️❤️
Simba nguvu moja lkn tukishindwa tusitukane viongozi
Mic miyeyesho bhana
Husen Abery nbonge kipa Mimi sehem ya golikipa sina swali kabisa
Daaah jamaa anaonekana hana furaha kabisa. Sema mtakaa sawa tu.
MUNGU atubariki pamoja na kwanza wenzetu young Africa Wana maduka 6 kwenye NBC bado tuna itafuta nafasi ya 2 au 3
Ukitoa point za bure walizo pata yanga kwenye izo team 6 ambazo Ni 36
Utagundua Young Africa alitakiwa amalize nafasi ya ngap
Goli la 6 hlo mpenz sio la 5🙌🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️
Simba simba semaji kapewa kuku om mh mangu
Golini pale sina hofu kabisa
Hatuna kocha wa viungo
njooni mcheze na huku Arusha bas
Tuna itaka nafasi ya pil😢😮
Freddy sio mchezaji mbaya ila naona asiwe tegemeo msimu ujao maana tuna hitaj kuionyesha dunia kuwa Simba ni mkubwa msimu ujao
🤍🤍🤍🤍🤍❤️❤️🦁🦁🦁💪💪💪💪💪
Nina wasiwasi na huyo kuku kwa jins mashabiki wa simba walivochafukwa wanakuzadia kuku
ALAMA TATU ZA NINI SASA,SASAHIV KINACHOHITAJIKA N MAGOLI MENGI SIO ALAMA 3
Kabixa maana azam xo pow
KWANI AZAM NA SISI TUKIWA POENTI ZETU SAWA WANAPITA WAO?? AU NIJULISHENI PLZ.
Muhimu point tatu magoli baadae tungetoka Leo tatu tatu ntukapata magoli mengi na point moja ingesaidia nini
Wanapita wao wanatuzidi goli 5
@@adventureernest5599 DUH KUMBE SIMBA MWAKA HUU SIDHANI KAMA TUTAPITA
Hivi jamani kwanini wachezaji wetu wanaumia mara kwa mara shida nini? 😭😭😭😭
Umri
Ni njia ya wapinzani wabayakabisa kuitengua timu na nguvu na plani yake Jambo ambalo Simba imepitia mfululizo mfani siku ile beki kisiki inonga alipoumizwa mgumu na kutoka nje ndo lango la Simba lilipoanzwa kufungwa magoli na kupoteza mchezo,na pia wengine siku nyingine hivyo mfululizo.
@@kaismwambona9860NI NJAMA ZAO MACHOGO FC
Hawana fitness kabsa hao kocha wa viungo hatuna
Mimi ni Yanga ila namkubali Ally Kamwe hakasiriki kabisa anafaa kuwa msemaji.
ALI KOMO MSEMAJI WENO MACHOGO FC 😂😂😂😂😂😂
Sasa Kuna ally kamwe hapa mwiko nyuma bhn
Ali kuma
@@user-bn3yn8uj7p🙄 Duhhh 😂😂😂😂