KUTENGANA SISI NA MASHIA NI HARAM - SHEIKH ALHAD MUSSA AKIZUNGUMZA MBELE YA VIONGOZI WA KISHIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 04. 2024
  • Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
    CZcams: / @babdeomiladu

Komentáře • 74

  • @muhammadbamba9445
    @muhammadbamba9445 Před 2 měsíci +2

    Hatuwezi kuungana na Mashia wanaosema Quraan imepotoshwa rejea kitabu chao cha Mauqifu Rraafidhwa minal Quranil Karim
    Wanasema pia" Quraan sio hoja mpaka awepo imamu" rejea kitabu chao Usuulu kaafi juz 1,Uk:169 cha Al kulayn

  • @ramadhanibahati2829
    @ramadhanibahati2829 Před 2 měsíci +1

    Good Shekh alhad mussa salum ❤❤❤

  • @omaryissa2562
    @omaryissa2562 Před 2 měsíci +3

    Innalillah wainnailay rajiun

  • @saidybhoky-lb7hg
    @saidybhoky-lb7hg Před 2 měsíci +3

    sheikh acha njaa allah akulaani

  • @khalidhassan9845
    @khalidhassan9845 Před 2 měsíci +4

    Njaaa mbaya sana wallahi

  • @ibnsuleyman4140
    @ibnsuleyman4140 Před 2 měsíci +3

    Njaa mbaya

  • @mrsultanzimbwe6746
    @mrsultanzimbwe6746 Před 2 měsíci +2

    Sjui wapataje nafasi kuongea porojo mana hujui waongea ninii?

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před 2 měsíci

    Shekhe hitakii llah, muogoope Allah hivo vipesa vya iran unavyopewa kuwahami maaduui wa mtume na maswahaba kumbuka kuna mauti kesho utaenda kuulizwa ww, kuwatetea mashia ni sawa na kuwaambia endeleni kutukkana maswahaba wa mtume,umoja huo mtakuwa nao ninyi. Masufi mnaotaka dunia ambao amuogipi akhera sisi ahlsunnna tutaendelea kuwahami maswahaba wa mtume mpk kiama, leo upo na mashia wanaowatukana maswahaba ijumaa unapanda mimbari katika. Hotuba unawataja na kkuwatakia radhi si unafiki huo leo upo na maadui zake wawatettea

  • @almustafamediajamiumosques7951
    @almustafamediajamiumosques7951 Před 2 měsíci +4

    kila kukicha ushia utakuwa na nguvu wale wagonjwa wenye roho mbaya juuu ya ushia .shia ni dhehebi safi na haki hakuna njaa wallahi

    • @yusufkhanna
      @yusufkhanna Před 2 měsíci

      Hakuna nguvu yoyote watakayokuwa nayo kwaajili ya kuwatukana vipenzi wa mtume

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 2 měsíci +2

      Nguvu ya kumtuhumu Abubakary na omary na othman na aiysha na afsa kuwatakia raana waja wema mnasema mnapata nguvu au hasala hiyo ushia ni dinni kama dini zingine tuu, majusi mayahudi na manaswara ushia na uislamu ni kama magharibi na mashariki mmemtuhumu hadi mtume jamaa wanaitikadi mbovu Hawa ni finnari jahanamu hawatokuwa na msaidizi motoni.

    • @user-tl8cj8gw6p
      @user-tl8cj8gw6p Před 2 měsíci

      ​@@yusufkhannab
      daah!! kumbe unajua aisee😢😢 tetea go ahead bro kweli ushia ikoña utamu wake kwahyo enjoy bro Allah akuone vzr

    • @yusufkhanna
      @yusufkhanna Před 2 měsíci

      @@user-tl8cj8gw6p Mm nasimama na haki katika sunnah kama mtume alivyotuusia,Ushia sio uislamu jifunze na usimame na haki hata kama ni uchungu,duniani tunapita na mahali pa kupanda nafaka zako ni hapa,kesho ni hisabu bila ya amali,leo ni amali bila hesabu kwahvyo eka maneno haya kwa akili yakoo

  • @abufirdaus4254
    @abufirdaus4254 Před 2 měsíci +1

    Pesa mbaya sana .....hususan njaa ikipanda kichwani....unauza dini mchana kweupe

  • @TheIslam1681_
    @TheIslam1681_ Před 2 měsíci +1

    Ulitukanwa na mange kimambi roho ilikuuma na ukaja juu, wanatukanwa maswahaba na hao mashia lkn roho haikuumi. Unavyojiona ww ni bora kuliko Abubakar na umar (Radhi za Allah ziwe juu yao)??? Hakika jibu utalipata ukiwa chini ya Ardhi lau km hautabadilika. Pesa ni nyepesi kuliko mchanga wa kaburi.

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před 2 měsíci +1

    Njaaa mbaya

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l Před 2 měsíci +2

    Huyu hatoshekagi na pesa

  • @seifsalum3018
    @seifsalum3018 Před 2 měsíci +2

    Njaa na kutafuta umaarufu ndomaan mwaiacha haki

  • @muhammadbamba9445
    @muhammadbamba9445 Před 2 měsíci +1

    Hatuwezi kuungana na Mashia wenye kuamini UIMAMU KWAO NI NGUZO NA HUMKUFURISHA YULE ASIYEAMINI NGUZO HIYO
    Wanasema" Yule ambae haamini uimamu wa maimamu 12 haitimii imani yake Mpaka akiamini na kuitikadi hivyo" rejea Aqaaidul imaamiyya uk 78

  • @arafatkhan6465
    @arafatkhan6465 Před 2 měsíci +1

    Pesa mbaya

  • @mwambashiiddi9295
    @mwambashiiddi9295 Před 2 měsíci +1

    Quran sio moja kwa mashia wanaamini inamapungufu vip wasema nimoja?

  • @rushu1232
    @rushu1232 Před 2 měsíci

    Mawahabi wacheni matusi ushia na mashia uko na wako ulimwengu mzima kama walivyo makafiri ila wao wanajinasibisha na uislamu tunashirikiana nao kiubinadamu naujirani wao wana miskiti yao wala hatuendi huko wala hakuskilizi darsa zao wala hatusomi vitabu vyao.

  • @hassanmohdally5217
    @hassanmohdally5217 Před 2 měsíci

    Huyuu jmaaa boraaa walivyomtoaa bakwataa daaah aiseee mtihani

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před 2 měsíci

    Shekhe unafiki huwo itaqi llah, muogope Allah unaatumika na mashia kusaidia kuwatukana swahaba hii dunia tuuu, kumbuka kuna mauti na allah subuhana huwataala hatowatazama kwa huruma yaumal kiama watu ambao waliuza dinni yao kwa tamaa za kilimwengu na wakaficha hakki ndo masufi njama zenu na mashia ni kitu kimoja ndomana hata kenya kuna shekhe wa kifsufi alimtukana swahaba wa mtume muhawia, mtakuwa wamoja nyie masufi na mashia sissi ahlsuna tutaendelea kuwatetea maswahaba wa mtume mpk kiama na ttutalinda hishima yao sasa ijumaa muache kuwatakia radhi basi sabu kama mnawapa nguvu wanao watukana na ijumaa. Unassimama kwenye mimbari kuwatakia razi huku unashilikiana na maadui wenye kuwatukana mtakuwa wanafiki baasi hamna ukweli hapo.

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Před 2 měsíci

    Rabb msamehe hajui anachokifanya

  • @abuuabdirrahmaan4132
    @abuuabdirrahmaan4132 Před 2 měsíci

    MAJITU KAMA HAYA HAWA WANAORUSHA KLIP ZAO WANA DHIMMA YA KUUHARIBU UMMA MBELE YA ALLAAH
    NA KILA MMOJA ATALIPWA KWA ALICHO KICHUMA

  • @HabibuMudhwahir
    @HabibuMudhwahir Před 2 měsíci

    Fafiiiiiii

  • @JailaniRamadhan-it3kp
    @JailaniRamadhan-it3kp Před 2 měsíci +1

    Mashaallah ahsante

  • @mwambashiiddi9295
    @mwambashiiddi9295 Před 2 měsíci

    Itikadi yenu na mashia tofautii acheni kutaka umaarifi

  • @alimau7939
    @alimau7939 Před 2 měsíci

    Kuna watu wanauza akhera yao kwa dunia

  • @allywaziry6419
    @allywaziry6419 Před 2 měsíci +2

    Huyu sio njaa, kwa uwekezaji wake tmk, pesa anayo shida hapa ni umaarufu na Dunia ambavyo vyoote vya kupita.

    • @HabibuMudhwahir
      @HabibuMudhwahir Před 2 měsíci +1

      Wew utabaki nachuki dhidi ya mashia wala haitokusaidia mashia wapo nawataendelea kuepo

    • @topfreelancer5151
      @topfreelancer5151 Před 2 měsíci +1

      Sasa wewe mashia unawapendea kuwatukana maswahaba? Baba ako angetukanwa usingesema chuki lkn maswahaba unaona sawa si ndio?​@@HabibuMudhwahir

    • @allywaziry6419
      @allywaziry6419 Před 2 měsíci +1

      Mijitu inayotukana maswahaba wazi wazi Kuna haja gani ya kuzipenda?

    • @MansourKabuhaya
      @MansourKabuhaya Před 2 měsíci

      ​@@HabibuMudhwahirwe hunielewi, kasome kwanza ndo ucomment

  • @hassanbilali1697
    @hassanbilali1697 Před 2 měsíci

    Sijaona baya alilolizungumza shekh
    Nyie mnaokosoa hoja iko wapi nisaidieni ktk hayo alozungumza. Usitoke nje ya maneno yake

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 2 měsíci

      Ubaya upo anawasaidia watu ambao wamemtukana mtume, wanamtuhumu kipenzi cha mwenyezi mungu ujumbe alokuja nao unamapungufu, wamewtukana maswahaba arafu unatafuta waislamu waone sawa wakati Hawa ni maadui wa mtume kama kawapenda yeye awafate kisirisiri so adharani sisi tutapinga tuu, huwezi kututukania swahaba afu ukasema tuwapende watu Hawa Shia ni viumbe wabaya sana juu ya uslamu ni bora ya hata hawo manaswara so hawa jamaa itikadi zao mbovu sana mpk Allah wamemtusi kuwa anafanya Jambo linaloendana na akili ya mtu anavyotaka mmmh ama njaa zitawaingiza mashekhe wengiotoni huyu alhadi so kama hajui anajuwa Ila uroo wa pesa anauza dini yake

  • @nassor6333
    @nassor6333 Před 2 měsíci

    Kuna watu huwa wanabisha haya leo simmeona kua hawa watu wa mawlid na mashia ni ndugu😅😅😅

  • @allychard7562
    @allychard7562 Před 2 měsíci +1

    Mnaiyona msalaba kwenye bango

  • @yousuphnzira3209
    @yousuphnzira3209 Před 2 měsíci

    Mashia ni kama Wakristo tu hawana tofauti

  • @muhammadbamba9445
    @muhammadbamba9445 Před 2 měsíci

    Makafiri wa kishia hatuwezi kiungana nao kwani wao Mashia wenyewe hawataki kuungana na waislam ambao mola wao ni Yule ambae khalifa wa mtume wake ni Abubakari
    Angalia kitabu cha kishia cha Al- Anwaaru Nnu'maaniyya(Juz:2,Uk: 278) cha Al-jazaariy
    Wanasema" Hakika sisi hatukusanyiki pamoja nao [Sunni] juu ya Mola wala nabii wala khalifa kwa sababu wao wanasema Mola wao ni yule ambae mtume wake ni muhammad na khalifa wa mtume huyo ni Abubakari na sisi hatumkubali mola wala Nabii huyo bali tunasema mola ambae khalifa wa mtume wake ni Abubakari huyo sio mola wetu,Wala Nabii huyo si Nabii wetu"
    Vipi tutaungana na Makafiri hawa??

    • @muhammadbamba9445
      @muhammadbamba9445 Před 2 měsíci

      Hatuwezi kuungana na Makafiri wa kishia wanaosema
      "Allah anamtembelea Hussein ibn Ali na anampa mkono na kukaa pamoja naye juu ya kitanda"
      Rejea kitabu cha kishia "Swahiifatul Abraarij(juz 2,uk:140) cha Mirza Taqiy

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Před 2 měsíci

    Huyu sio njaa hela anayo ila ni kama vile abu jahal aliijua haki akaikataa muacheni tu

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 2 měsíci

    Labda kama unatukumbusha tunajua hayo mambo yenu.

  • @user-ug4du2kv6v
    @user-ug4du2kv6v Před 2 měsíci

    hivi ni kweli kutukanwa maswahaba ,hhilo halituumi mpk kuungana na hao watukananyi?wallah una dhima kwa allah wewe haikuumi kuvunjiwa heshm wake za mtume wew?

  • @RamadhanRamadhan-uq2qi
    @RamadhanRamadhan-uq2qi Před 2 měsíci

    Nyie mwajua nn katika ilmu bana musiropoke maneno shekhe yupo sawa mbona

  • @omarsuleiman9064
    @omarsuleiman9064 Před 2 měsíci

    Hilo mtalijua nyie kwamba nyinyi kutengana na mashia ni haramu njaa imewatala sana kwahyo hyo mtajijua wenyew

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Před 2 měsíci

    Hawa ni mayahudi nyuma ya pazia la ahlul bayt

  • @user-fd3ci8mp2j
    @user-fd3ci8mp2j Před 2 měsíci

    ANAYEFANANA NA WATU NI KTK WAO

  • @tigerroar3545
    @tigerroar3545 Před 2 měsíci

    Njaa haijamuacha mtu salama

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 Před 2 měsíci +3

    Hakika ukisoma sana dini ni dhahiri utawaona shia wako kwenye haki na wanawazuoni wa kishia wana elimu kubwa sana ya dini na dunia.Kama elimu yako ni ndogo utapata tabu sana kuwaelewa Mashia.

    • @nduwimanaamidou4009
      @nduwimanaamidou4009 Před 2 měsíci +1

      Kwakuwatukana maswaaba ndiyo elimu acha izo we

    • @mahawijr96
      @mahawijr96 Před 2 měsíci

      Natunapokwendea kwenye kizazi cha kuhoji na kutafiti watuwengi watakua mashia. kwasababu icho kizazi akitauliza malamoja na wala awataacha kuchunguza na jibu lenyewe.

    • @ashachitemo7816
      @ashachitemo7816 Před 2 měsíci

      @@mahawijr96 ni kweli watu Kwa Sasa wamesoma sana dini na Wana uelewa.mfano mfupi ni huu:sala ni Tano ila Quran imeelekeza nyakati za sala ni tatu.Mashia wanasali Kwa nyakati tatu.asubuhi,adhuhuri na laasiri Kwa wakati mmoja na magharibi na ishaa Kwa wakati mmoja, hivi ndiyo mara nyingi alivyosali nabii muhammad

    • @mahawijr96
      @mahawijr96 Před 2 měsíci

      @@ashachitemo7816 Nandio maana wanasema usisome kwa mashia au wanakuelekeza cha kusoma, eti mashia wanatukana maswahaba wameandika kwenye vtabu vyao wakati kuna wanao tukana Mwenyezi Mungu kumwambia anamakalio, Najikinga kwake kwakuwa Mwenyezi Mungu awezi kua hvyo, wanajisahaulisha kuwa ukimpa Mwenyezi Mungu sifa za Binadamu maanayeke unapingana na Qur'an Mwenyezi Mungu aliposema(Na wala akuna anaefanana nae) sasa kama anayo makalio yaliotokeza katika Halshi atakua na tofauti gani na kibonge muza samaki..😅 unatofauti gani na wale wasemao ana mtoto.

    • @user-tl8cj8gw6p
      @user-tl8cj8gw6p Před 2 měsíci

      ​@@ashachitemo7816..... SUBHANA 😢😢

  • @mrsultanzimbwe6746
    @mrsultanzimbwe6746 Před 2 měsíci

    Kwakuimbaaaaa?!!!!!!! Polepoleni na hizo sharhi zenu tafsiri

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 Před měsícem

    Wew auna lolote shekh Mchele 2 nani akujuwi wew kazi unaangaria maslay yako binafsi 2 wew ndio mnafiki mkubwa katka waslam ndani ya tz

  • @abuurayaan3902
    @abuurayaan3902 Před 2 měsíci +1

    Masufi munaumbuka 2 pole pole ushia mulio uficha vifuani mwenu

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před 2 měsíci

    Usufi na ushia ni ndugu wa baba mmoja tuu,wote lao moja huyu shekhe Ana takiya hamjui tuu,huyu ni mshia imebaki kujidhirisha tuu, mbona mengi xana yakishia huyafanya huenda iran kuna nini si kupongezwa kazi anayo fanya ni nzuri na wamefaulu mashia kupitia masufi bora swahaba watukanwe arafu wadai wapenzi wa mtume hawaaaa et wahabi awampendi mtume haya leo Allah anafichua unafiki katika swafu zenu za kisufi, muone laivu kuwa hawa so watu wazuri, twende kihoja mawahabi namunyi mnaodai wapenzi wa mtume mnayaona live, kumsaidia mzinifu bila shaka na ww utaingia kwenye dahambi ndo kuwasaidia mashia mnadhihirisha kwamba usufi na ushia ni kitu kimoja lengo na kampeni kuvunja uislamu kupitia maswahaba huyu baba ni mshia bado kudhihirisha tuu Allah awaongoze kwakeeli

    • @binaamour318
      @binaamour318 Před 2 měsíci

      Kwa hiyo alhAdi amewakilsha usufi pale? Hebu kuweni na insaafu mnapozungumza Jambo la dini simameni usawa Kwanza alafu ndio uhukumu misimamo ya masufi!

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 2 měsíci

      Sisi mnaotuita mawahabi linatuuma kututukania maswahaba wa mtume na wakeze mtume, tutaendelea kuwahami maswahaba wa mtume na maadui Hawa wa kishia ninyi wenzetu kama haiwaumi basi sisi tutapambana nao Shia kihoja mpk kiama potelea mbali hata mkituchukia tuiteni majina mpendayo ninyi wenye mahaba na maadui wa mtume endeleni kuwapenda si haiwaumi kutukanwa omary, Abubakary, othman aiysha,Afsa

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 2 měsíci

      Nyi wenzetu haiwaumi kutukaniwa maswahaba sisi mnaotuita mawahabi tukiwahami swahabat Rassuluh mnatuona tunasingizia sisi tutawahami maswahaba wa mtume mpk kiama nyi wenzetu wenye mapenzi na watu hawa wenye vinywa vichafu kwa maswahaba hatuta waacha tutapambana nao kwa hojja na kuwatetea maswahaba mpk kiama sisi linatuuma hili ninyi kama mnamahaba na hawa jamaa kuliko mtume wetu na swahaba zake atukubali hilo potelea mbali tuiteni majina memgi na mabaya yote muwezayo ila tutawaradi mashia kwa ukafiri wao mpk kiama kitakapo simama.

  • @MuhammadHamisi
    @MuhammadHamisi Před 2 měsíci

    acha ujinga bas wewe

  • @HamadHamduni
    @HamadHamduni Před 2 měsíci

    Huyo alihadi nae ni kafiri

  • @hamynas
    @hamynas Před 2 měsíci

    wala hakuna ubaya wowote kuwa pamoja na mashia masuni maibadh nakadhalika,,,ni kasumba mbaya tumelishana kuwa mashia siyo waislamu mashia sijui makafiri mashia sijui maswahaba...uwongo mtupu sisi waislamu tuna taabu saana tumekua maadui sisi kwa sisi tumemsahau adui wa kweli ambaye ni mzayuni anayeua wapalestina mchana na usiku na hatuna cha kumfanya kitu zaidi ya kulia na kuhuzunika...aibu kubwa saana