Holy Trinity Studio - Nampenda Mungu ( Official music video )
Vložit
- čas přidán 29. 08. 2024
- Nampenda Mungu,
kwa moyo wangu wote,
mimi,
kwa akili yangu,
nauweza wangu wote. X 2
Nampenda MUNGU,
amenitendea makuu
yasiyoweza hesabika,
nampenda.... X 2
UMPENDE MUNGU,
KWA MOYO WAKO WOTE,
KWA AKILI ZAKO ZOTE,
NI AMRI YA MUNGU.
Nampenda Mungu,
kwa moyo wangu wote,
mimi,
kwa akili yangu,
nauweza wangu wote.X 2
Nampenda MUNGU,
amenitendea makuu
yasiyoweza hesabika,
nampenda....X 2
MPENDE NA JIRANI,
KAMA UNAVYO JIPENDA,
KWANI YESU ALISEMA,
NI AMRI YA MUNGU.
Nampenda Mungu,
kwa moyo wangu wote,
mimi,
kwa akili yangu,
nauweza wangu wote.X 2
Nampenda MUNGU,
amenitendea makuu
yasiyoweza hesabika,
nampenda.... X 2
UPENDO WA MUNGU,
KWETU SISI WANADAMU,
HAUNA MIPAKA KWETU,
MUNGU TUKAMPENDE
Nampenda Mimi,
Nampenda Mungu,
katika mambo yote,
yeye kimbilio..
tumsangilie,
leo tukampe sifa Mungu,
tupige makofi,
leo tukampe sifa Mungu,
kwa vigelegele,
leo tukampe sifa Mungu..
Asante sana mtunzi na waimbaji. Excellent, excellent!! Huu wimbo haunichoshi kuusikiliza na hata kuuangalia. Traditional gospel song yenye vionjo vya uchezaji vya Mwanza, Kagera na Mara. Aah, catholic melody. Mpiga kinanda utaniua kwa vionjo vyako.... Aaaah mbarikiwe sana watoto wa Mungu, nami nampenda Mungu.u
Mbarikiwee wanakwaya wenzangu mlipo huko msipungukiwe na chochote ktk maisha yenu
Wimbo mtaaaamu sana God bless you guys🎉❤🎉❤❤❤
Hongereni sana Wana ngudu kwimba nimevutiwa
Ahsante sana kwa wimbo mzuri mno .I love catholic
Wimbo mzur saaana jaman tujitahd Roma ivyoivyo
Wimbo mzuri Sana hongereni sana
Nampenda Mungu
Mwabeja sana bhanakwaya
Hakika Mungu ametutendea makuu,kazi nzuri Sana
A very nice song. I love the video too.
You did a good job guys God bless you 🎉🎉❤
Wimbo mzuri sana hongereni sanasana mungu awatangulie ktk uinjilishaji wenu
Ni ajabu sana wimbo uyu muzuri saana yanataga kweli kumpenda Mungu kwa moyo wote iyo na mapashwa yangu kwa yote Baba Mungu aliyo nitendea. Mungu Mwenyezi awajaze baraka yake. Maendeleo mema . Alphonse Marie.
Wimbo mzuri, wasisimua na kuburudisha kweli?
Kazi nzuri sana hongereni sana. Hongera wanakwaya. hongera mtunzi na hongera HT
Navo upenda huu wimbo ❤️❤️kila ck asbh kabla yakwenda kwa miangaiko yang lazima niuckilze🔥🔥🔥🔥🔥
Hongereni sana kwa nyimbo nzuri
Mmeyaheshimisha mszingira ya nyumbani kabisa. Hamkuwa washamba wa kuyatafuta majengo makubwa mazuri ya kifahari au madaraja, ziwa wala bahari.
Mnastahili kuigwa. Wimbo mxuri kabisa. Ninyi na Bukene (Pangusaneni), big up
Ni wimbo mzuri ambao maadhui yake hayatachuja wabarikiwe sana mtumzi na waimbji wote. AMINA
Ahsanten Sana wimbo mzr Mungu awaongoze
Nampenda Mungu wang.... Najvunia Kuwa m Catholic
Nampenda Mungu kwa moyo wangu wote. Ungamo zuri sana
❤kumsifu Mungu ni raha kwa kweli 🙏
Aliliiiiiiiiiiiii....alii aliiiiii! Nimeangali hii video ila natamani kuamka kitandani nicheze; hongereni saaaaaana,wimbo mzuri sana,,,,hakika najivunia daima kua mkatoliki
2pp0w
Ni mimi wasema wallahi
Hongereni sana wanakwaya Mungu awabariki
Mko safi sana mt. Maria
Mungu abariki kazi zenu.
Hakika tumsifu mungu hata kwa uzima tu,pesa magar tutaziacha ni mbwembwe za dunia ila mungu kwanza
Hatarii sio kwa mizuka hiyo mingoma sasa Nouma hakika mmenibariki
Waaaaa hii kiukweli Mungu awabariki maana ukweli amenitendea makuu
Hongeleni sana wapendwa nimeangalia wimbo huu nimzur sana
Holly Trinity mnafanya kazi nzuri sana.
Wanakwaya.. wimbo ni mzuri.. endeleeni kututafakarisha na kutuamsha kimwili na kiroho katika kumsifu na kumtukuza Mungu.. 🌹🌹🥰🥰
@@HOLYTRINITYSTUDIOS kinanda amepiga nani jaman?
Hongera Sana Wana choir Kwa wimbo mzuri Sana..+254
czcams.com/video/UWbuppK_p78/video.html Karibu kusikiliza Zaidi Muziki mtakatifu. Ukipendezwa please subscribe🙏🏽
@@Msemwa sante Sana kaka
Wimbo mtamu time signature dynamics
Aiseee Mungu awabariki kwa wimbo mzuri san
Nampenda Mungu ni mweñye huruma na upendo anifundisha up.en
Wow great am touched
Mu barikiwe marafiki kwa ngoma kali
Asanteni kwa wimbo bora kabisa.
Wawoooo wimbo mzuriii saana
Jaman utamadun wetu Africa unapotea kwa kuufufua kwaujumbe huu mzur nampenda MNGU asir yandan kabisa mbarikiwe
Mungu awabariki..nikijaliwa neema ya kufika Tz nitahakikisha nimewaona kwa macho nicheze nanyi pia..
hongereni sana, wimbo mtamu wenye ladha ya kipekee ya kiafrica hakika najivunia kuwa mkatoliki.
Good keep it up iam learning shahili bit by bit iam a zambian
Napenda sana dahhh...inanibariki
I love the way they beat those drums
Asante Sana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu yote Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote nakuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
Safi sana
Safi Sana ujumbe mzuri
Nazipenda nyimbo za tanzania..mungu na awazidishie nguvu ili mukaiendeleze kazi yake....
Barikiwa sana
Mbarikiwe sana waimbaji wenzangu!!!
Asante Sana wanakwaya wa Ngudu. Mnazidi kutuimarisha kiimani. Mungu aendelee kuwatumia katika kuineza injili kwa njia ya nyimbo. Asanteni mungu awabariki Sana.
Ubunifu mzuri sana hapo
Wimbo huu naukubari sana mara yangu ya kwaza kuusikia niliusikia kwenye kwaya ya mt paulo kimara inaujumbe mzuri sana
its very nice song l like it
Kweli nampenda Mungu wangu kwa makuu yasiyoweza hesabika.
Mungu awabariki sana wanakyaya wote wanao litangaa neno la mungu
Viva R.C viva....wimbo mzuri...video nzuri..hongeren
Kazi nzuri Mungu awabariki
Waauuhh what a wonderful song
Sauti nzuri na miondoko pia.ujumbe umefika
Ni kweli tumupende mungu kwa moyo wetu wote na mapendo miye
❤ viumbe vyote vinavyoonekana na visivyoonekana lazima vimpende Mungu wa kweli na wapekee.
Mambo mazuri sana hapa.Nice one Brothers
the song is so nice hongera wana kwaya mungu asidi kuwapa maneno ili muendelee kuwaimbia mwenyezi mungu tukiomba atlinda sisi wote
A very blessing song, asanteni sana kwa kujitolea kusambasa injili, mungu awabariki sana
Mmenibariki sana. Mungu wa Mbinguni akawabariki siku zote za maisha yenu
Safi saana Mungu awabariki
Itoshe Kusema Sihitaji Kuongeza Neno @The real Lovely Catholic Song's Acha Iwe
Wakora munooooo.... !!!!!!!!. 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Akanana kaire konaaa..!!!!
czcams.com/video/UWbuppK_p78/video.html Karibu kusikiliza Zaidi Muziki mtakatifu. Ukipendezwa please subscribe🙏🏽
🎉🎉🎉🎉A very nice song
Wimbo mzuri Mungu Mungu zaid kuwabariki
wimbo mzuriiii sanaaa, hongerenii sanaaa
Sawa upendo wa mungu kwa wanadamu ni mkubwa lkn ss hatumpendi mungu wa mbinguni arie hai .eg mwanamke asivae nguo zimpasao mwanaume pia na mwanaume
Nampenda mungu, kazi nzurii naipendaa Rc
czcams.com/video/UWbuppK_p78/video.html Karibu kusikiliza Zaidi Muziki mtakatifu. Ukipendezwa please subscribe🙏🏽
Asante kwa wimbo mzuri. Mungu awabariki.
Nivyema,Mungu ainuliwe
Hongereni sana, mbarikiwe, mi nimeufurahia sana wimbo huu, jamani duniani kuna watu wamebarikiwa sana
Spiritually i feel enriched by this song. Nimerudia ...na bado ni wimbo taMu. May God bless 🙏
Nice one
Hakika ujumbe mzur Mungu awalinde ,na kuendelea kutoa jumbe nyingine❤
Utukufu kwa Mungu Juu heshima na Utukufu kwa Mungu Nampenda Mungu wangu hakika mmebarikiwa!!!!!
Amin nafarijik na kway Ang rc 4ever
Hongerani Sana mmbarikiwe
Hakika hongereni kwa wimbo huu
Je suis amoureuse de cette chanson bien que je ne connais pas la langue mais je sais que c'est pour la gloire de Dieu félicitations 👏👏 au groupe
Wimbo mzuri, video nzuri na vifaa vya mziki safi. Hizo ngoma na mazingira reminds me so many things about sukuma tribe
Kudos guys, the interlude and song content is well composed and amazing. Naipenda hii kazi na Mungu awatie nguvu na baraka kwa kazi nzuri
Hakika kazi n nzuri sana asante kwayo.!
Mbarikiwe sana HT.
Mungu awaongezee maarifa zaidi kazi ziwe nzuri siku hadi siku.
Amen
czcams.com/video/UWbuppK_p78/video.html Karibu kusikiliza Zaidi Muziki mtakatifu. Ukipendezwa please subscribe🙏🏽
Am moved by this song tamu sauti ,Glory be to God
He has been so faithful🙏,my mouth will sing the goodness of Good😭😭😭 today and forever.
Mbarikiwe sana wanakwaya.
Kongole kwenu kutoka kwa jirani kutoka hapa Kenya.
Mungu ametuumba ili Tumjuwe, Tumpende, Tumtumkie na Mwisho Twende Mbinguni. Hongereni sana kwa kutimiza wajibu wenu. Mnamtangaza vema Mungu wetu. Mungu awabariki sana
Wimbo wenye ujumbe hakika
Hongera sana mtunzi na wanakwaya wote hakika wimbo mzuri👏
Hongereni. Sana
Good work GOD bless
Hongera
Nice song there
Wimbo mzuri sana. Mwenyezi Mungu awalinde na kuwa bariki.
Nyce song with amessage
Wow! Asanteni sana. Wimbo mzuri, halafu mmeonyesha kwamba mwampenda Mungu kwa nguvu zenu zote mnavyomchezea vizuri. Mada ya Upendo kila mara inanigusa moyo.
God bless you for beautiful song
I'm a Ugandan and I love the song. Be blessed.
Kweli mumependeza na ni who wangu penbwa
Mko vzr
Woo, I can't explain how I enjoy this powerfully song at this evening,
I still learning swahili pole pole
Tumsangalie
Leo tukampe sifa Mungu
Prosper from Rwanda 🇷🇼🇷🇼🇷🇼
Nice work director....nmependa picha hzo sana💪
@@HOLYTRINITYSTUDIOS 🤝