RECAP: ZUCHU AMEWAACHA MBALI IBRAAH & TOMMY FLAVOR, WALITAMBULISHWA PAMOJA, MAPUNGUFU WIMBO WA IBRAA
Vložit
- čas přidán 2. 07. 2024
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny - Zábava
Sio kawaacha mbalitu ni kawaacha mbali na mbali sana tena 😂😂😂😂
Mbona wamlinganisha Zuchu na watoto wadogo jaman c darassa ashawambia Zuchu n queen
We funga kinywa ule ni mchumba tu ibraah ni 💥🇨🇩🇨🇩☝️
@@Akili820 dey play Zuchu is a big deal stop comparing her with small kids
Huwezi kuilinganisha Wasafi na Konde music na kings,,,, Wasafi babalao...
Ibraah ni 🔥🔥🔥
Kweli
Wcb❤🔥🔥🔥
🔥🔥
Kaka elmadro Zuchu ni international artist usilinganishe na hao kaka unakosea.
Yani, international Zuchu!!!!!!!!! Ivi jamana amuna v2 viakongeia? Tangu lini Zuchu awe international, na yimbo gani? Kkkkkkkkk
Angalia Sukari ina views ngapi na ni mataifa mangapi wameangalia Ile Ngoma.
Zuchu kapiga sukari pekee imefika 100m views mbona ilinganishe...?
Tatizo zuchu ni wcb
Wapi zuchu views anapata Kwa Sababu ya diamond na ku trend Kwa Sababu ya kuachwa achwa Kila saa
Na we trend 😮 lavalava nae , mbosso nae roho mbaya tuu
True
Weeeee acha kumfananisha zuchu na utoporo
Konde gang haina doooo hiyo
Zuchu akutie kidole
kaka mtangazaji mm ni shabiki wako siyo leho nakwambiya ibraah aipata matatizo tangu aihanza paikuwa matatizo tangu aanze