AHMED ALLY: AKUBALI YANGA BINGWA | ATANGAZA VITA NA AZAM FC, "NAFASI YA PILI YETU".

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 05. 2024
  • Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
    Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
  • Sport

Komentáře • 66

  • @Maro_tv05
    @Maro_tv05 Před 15 dny +8

    Yaaaah.!!! Kwanza kbx tuwapongeze kwa kua mabingwa watani wetu, great Semaji kwa kauli nzuri

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu Před 15 dny +5

    Sawa sawa Ahmed aly leo ndio nimeku kubali kwakuiponge za yanga inshaallah mwakani

  • @SadiSurutani
    @SadiSurutani Před 14 dny

    Umeongea ukweli Leo ashamed alli mungu akubiriki katika kaziako

  • @khatibramadhan8740
    @khatibramadhan8740 Před 15 dny +5

    watu weweeeeeeeeeh umeme umekatika huo au mnaniona hapo😂😂😂

  • @hamadihamisiambale8943
    @hamadihamisiambale8943 Před 15 dny +2

    Jamani mi shabiki wa yanga bt hupenda sana kumuanglia semaji kama semaji❤

  • @chrisantusnditi8670
    @chrisantusnditi8670 Před 14 dny

    Nafasi ya pili hapo kuna goal deffence (GD).Simba inabidi kupambana sana kwa kuongeza idadi ya magoli.

  • @hassansau7710
    @hassansau7710 Před 15 dny +3

    Yaani Ile ahadi ya kumsaidia Fei toto imebadilika aisee😂,kweli keep adolescent buzy

  • @SamwelMnaga
    @SamwelMnaga Před 15 dny +4

    Leo umeonge point ila ni huruma sana aisee😢😢😢😂😂😂😂

  • @bongotitus4693
    @bongotitus4693 Před 15 dny +3

    Hivo poa kwa mara ya kwanza Ahmed Ally umeongelea hali halisi ya ligi ya NBC ilivyo mi ni shabiki wa Yanga nakupongeza kwa usemaji bora leo

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c Před 15 dny +4

    Hamna kituhapo wezenu hawajaenda uturuki wamekaa hp tz na wamefanya vizuli mpk wameingia robo fainali ya klabu bingwa na wamechukua kombe tena,

  • @user-kz2jk1jf5l
    @user-kz2jk1jf5l Před 15 dny +4

    Ameisha kata tama kabisa jama 😂😂😂😂😂

  • @Shekhan851
    @Shekhan851 Před 14 dny

    Yanga wanaomba kuruhusiwa tena kugombea nafasi ya pili

  • @NyunduMtewele-ez7ei
    @NyunduMtewele-ez7ei Před 14 dny

    maneno ya akiba n muhimu Ahmed kashtuka mapem

  • @yaminijerome2054
    @yaminijerome2054 Před 15 dny +3

    😂😂😂amakweli kurukaruka kwa maharagwe ndo kuivakwake sasa yameivaaaa Ahmed amekubaliiiiii😅😅😅😅😅😅

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je Před 15 dny +2

    Hiv ahmedy ally unangaliaga hizi clip zako maana utadhani ni watu watatu tofauti wanaongea

  • @ShedrackSamwel-zg1cx
    @ShedrackSamwel-zg1cx Před 13 dny

    Ahamed ally utafanyaje zaid ya kukubal wanaume n bingwa .. Yanga oyee

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing Před 15 dny +3

    Ila Ahmed Mda Mwengin Anajuwag Kuchekesh Kweli😂😂😂

  • @maryfides591
    @maryfides591 Před 15 dny +2

    Hayo ndio maneno mtani

  • @NyunduMtewele-ez7ei
    @NyunduMtewele-ez7ei Před 14 dny

    Ahmed Leo ndo wakuongea ivi

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 Před 15 dny +6

    Simba mmepata ushindi wa games 2 kwa kubebwa na refa. Game ya Simba vs Tabora ilikuwa sare, Simba vs Azam milkiwa mtoe sare pia ila refa aliwabeba pia

  • @alihumaid3492
    @alihumaid3492 Před 15 dny

    Ahmad Ali
    Wa kwanza kabisa kuondoka Simba ni freddy na JOBE.....
    ONDOENI HAO HARAKA...
    NA ANAEHUSIKA NA USAJILI WA HAWA WACHEZAJI PIA AONDOLEWE HAFAI KABISA

  • @user-bh1tf6is7n
    @user-bh1tf6is7n Před 15 dny

    Sioo shidaa mutaendaa shirikishooo

  • @saidmraja8424
    @saidmraja8424 Před 15 dny

    Ndivo ahmadi mpira ndo ulivo

  • @user-nl3vl4kn9g
    @user-nl3vl4kn9g Před 15 dny

    Sisi yanga tuna waziri wa burudani skudu kwa Simba ni Ahmed Ally 😂😅💯👍

  • @bonnytonny8989
    @bonnytonny8989 Před 15 dny +2

    Semaji bora la Nguruwe Fc

  • @jacksportman5181
    @jacksportman5181 Před 15 dny +2

    Semaji Hidaya😂😂😂😂

  • @johannmaloda6027
    @johannmaloda6027 Před 15 dny

    MLITAKIWA kusema hv kabla Mambo hayajawaharibikia😂😂😂,yn ukweli ungewapa picha halisi ya ubovu wenu na mnge enenda kulingana na ubovu wenu...sasa mlikazana kujifariji ad makaaminishana n wazur ndo matokeo yake hayo

  • @dennissamora729
    @dennissamora729 Před 14 dny

    Imekuwa nfs ya pili tena, na sio ya kwanza?🤣
    Mpaka aiite maji mma huyo limbukeni

  • @cynthiapwani1383
    @cynthiapwani1383 Před 14 dny

    Yani leo ndo umeongea hahahahah jmni nyie ukibanwa kwenye koo unatulia hahahaha

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Před 15 dny +5

    Umechangia magoli 7 na point 6, utaachaje kutupongeza?😂

    • @KazdaJehovan
      @KazdaJehovan Před 14 dny

      Muombe msamaa haji manara maana ww haujui mpila unaongea tuu

    • @KazdaJehovan
      @KazdaJehovan Před 14 dny

      Hapo Simba utapata kombe lkn we Ni mshabiki sio msemaj

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před 14 dny

    Simba nguvu moja

  • @alihumaid3492
    @alihumaid3492 Před 14 dny

    Ahmad Ali
    Huo mfano wako wa kamba na mamba ni mzuri......!!!!!
    LAKINI SIO KWA FORWARD LINE YA FREDDY NA JOBE
    UTAENDELEA KUPATA TABU SANA
    FREDDY NA JOBE WAONDOKE
    SIMBA INASHIRIKI MASHINDANO YA AFRIKA..... HUWEZI KWENDA NA HAYO MAGARASHA......
    FREDDY NA JOBE!!!!!!!

  • @user-yf2ro1wb4y
    @user-yf2ro1wb4y Před 15 dny

    Daah ila Ahmed mpaka nakuonea huruma yaani unajitaidi ila tu huna timu maskini

  • @abdullahkafito2215
    @abdullahkafito2215 Před 14 dny

    Kwenye umeme sasa😅😅

  • @jei_maimu6957
    @jei_maimu6957 Před 14 dny

    😂😂Watu blweeeeeeee umeme Umekatika👐👐..Tulia wewe tunataka Nidham namna hio

  • @NuhuAdam-re9tz
    @NuhuAdam-re9tz Před 15 dny

    Kwa mara yakwanza mashine yakukoboa ndo nimeiskia ikiipongeza yanga du

  • @DaudiTungira
    @DaudiTungira Před 15 dny +1

    Shida unaongea saana kijana!

  • @user-jn3nf7uw1w
    @user-jn3nf7uw1w Před 14 dny

    Duniani waropokaji hutamba baada ya matokeo..
    Sio unatoa matokeo KABLA

  • @MuddyZege
    @MuddyZege Před 15 dny

    Makolo poleni ndio mpira😭😭😭😭😭

  • @MohamedMustafa-id5gr
    @MohamedMustafa-id5gr Před 15 dny

    Hayo makosa unayosema madogomadogo ndo yametufikisha hapo kugombania nafasi ya pili (simba yangu dah')

  • @user-rv2qp3rc2j
    @user-rv2qp3rc2j Před 15 dny

    Sisi Yanga tumeamua kushangilia fai toto 😅kama semaji wa dunduka umemkana leo

  • @mtumeananiasjohachim8760

    Ila huyu jamaaaaa😂😂😂😂

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před 15 dny

    Pambaneni wenyewe kama ndugu(mtoto wa mjomba na shangangazi, sisi tupo paleee.).

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c Před 15 dny

    Nyie majigambo tu na mnasajili manzese na kuchonga yule mwnykiti wenu si alisema mtachukua kombe kiko wapi sasa?

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c Před 15 dny

    Mashabiki wanahaha kila mtu anaongea lake, mlivyomfukuza babla mkampa mwanya gsm anafanya yake ubingwa msahau labda ngonjera

  • @HamdaniFuku
    @HamdaniFuku Před 15 dny +3

    Ivi ubingw wote walokuwa wanapat Simba mo alishawai kushangilia kama Eng na vijana wake wa yanga

    • @mtumeananiasjohachim8760
      @mtumeananiasjohachim8760 Před 15 dny

      Sasa Hilo nalo ni lakuhoji? Kwahyo unataka Kila anachofanya eng aigwe na mo? Sasa Kila mtu na life style yake

    • @KazunguMathias
      @KazunguMathias Před 14 dny

      Hashangilii Kwa sababu cyo shabiki halisi Wa timu ila pale yupo kufanya biashara na hana uchungu na timu ila engineer Wa yanga ana mapenzi ya dhati na timu ndio maana anafurahia timu yake inapofanya vzuri hajaenda pale kufanya biashara ila ni shabiki pia Wa timu hyo

    • @HamdaniFuku
      @HamdaniFuku Před 14 dny

      Fact kazungu nimekupata vizur kwaiyo Wana Simba tunatakiwa tutafute mtu Kama Eng ambae anaumia moyoni timu ikianguka

  • @jacksportman5181
    @jacksportman5181 Před 15 dny

    Yan anajitekenya halafu anacheka mwenyew 😅😅😅😅

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 Před 15 dny

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣eti kombe la shirikishi sio bayaaaa

  • @jafarimsigwa277
    @jafarimsigwa277 Před 15 dny

    Duuu hili semaji linaroho ngumu kama paka.

  • @prospermpanda1507
    @prospermpanda1507 Před 15 dny

    Zezeta

  • @fadhilinyengo8262
    @fadhilinyengo8262 Před 14 dny

    Mpaka sasa haujui mnakosea wapi mpumbabu wewe. Kwa miaka mitatu mnaokota okota wachezaji magarasa arafu unajifanya hamjui mnakosea wapi

  • @user-iq4pl5nn6q
    @user-iq4pl5nn6q Před 15 dny

    Jua mpira wewe Simba Hana haja na marefa Kama wale wanaotoka kadi nyekundu halafu badae inabadilishwa kuwa njano points hazibadilishwi.

  • @LiberatusKanyambo
    @LiberatusKanyambo Před 14 dny

    Uturuki mlienda kuuza nini nyie makoro bwaja au mirundi mlipeleka kuuza

  • @mtumeananiasjohachim8760

    😂😂😂😂😂 achana na maneno ya wapuuzi wewee,,,, wakati walikuwa wanatuambia hivyo kipindi sisi tunafika fainali

  • @justinekamala9703
    @justinekamala9703 Před 15 dny +1

    Acha kumpongeza huyu mnafiki msema hovyo, Yeye muda wote alikuwa anaiongelea vibaya sn Yanga, utafikir aliajiriwa kwa ajili ya kuisema vibaya Yanga,
    Viongoz wa Yanga wanaijenga timu wewe unakalia kuisema vibaya Yanga, sasa kajifunze mpira, mpira haujawahi kuwa comedian,
    Clip nyingi unawadanganya mashabiki ety ubingwa wa mwk huu ni wenu sasa yako wapi? Acha unyonge ongea kwa mbwembwe zako kwann umepoa? Hahahahaha!!!! Yanga bingwa mala 30😃😃😃😃😃😃

  • @bongotitus4693
    @bongotitus4693 Před 15 dny

    Hivo poa kwa mara ya kwanza Ahmed Ally umeongelea hali halisi ya ligi ya NBC ilivyo mi ni shabiki wa Yanga nakupongeza kwa usemaji bora leo