AHMED ALLY: AKUBALI YANGA BINGWA | ATANGAZA VITA NA AZAM FC, "NAFASI YA PILI YETU".
Vložit
- čas přidán 12. 05. 2024
- Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv - Sport
Yaaaah.!!! Kwanza kbx tuwapongeze kwa kua mabingwa watani wetu, great Semaji kwa kauli nzuri
Sawa sawa Ahmed aly leo ndio nimeku kubali kwakuiponge za yanga inshaallah mwakani
Umeongea ukweli Leo ashamed alli mungu akubiriki katika kaziako
watu weweeeeeeeeeh umeme umekatika huo au mnaniona hapo😂😂😂
Jamani mi shabiki wa yanga bt hupenda sana kumuanglia semaji kama semaji❤
Nafasi ya pili hapo kuna goal deffence (GD).Simba inabidi kupambana sana kwa kuongeza idadi ya magoli.
Yaani Ile ahadi ya kumsaidia Fei toto imebadilika aisee😂,kweli keep adolescent buzy
Leo umeonge point ila ni huruma sana aisee😢😢😢😂😂😂😂
Hivo poa kwa mara ya kwanza Ahmed Ally umeongelea hali halisi ya ligi ya NBC ilivyo mi ni shabiki wa Yanga nakupongeza kwa usemaji bora leo
Hamna kituhapo wezenu hawajaenda uturuki wamekaa hp tz na wamefanya vizuli mpk wameingia robo fainali ya klabu bingwa na wamechukua kombe tena,
Ameisha kata tama kabisa jama 😂😂😂😂😂
Dah! Haina namna,inabidi akubali tu 😂😂
Yanga wanaomba kuruhusiwa tena kugombea nafasi ya pili
maneno ya akiba n muhimu Ahmed kashtuka mapem
😂😂😂amakweli kurukaruka kwa maharagwe ndo kuivakwake sasa yameivaaaa Ahmed amekubaliiiiii😅😅😅😅😅😅
Hiv ahmedy ally unangaliaga hizi clip zako maana utadhani ni watu watatu tofauti wanaongea
Ahamed ally utafanyaje zaid ya kukubal wanaume n bingwa .. Yanga oyee
Ila Ahmed Mda Mwengin Anajuwag Kuchekesh Kweli😂😂😂
Hayo ndio maneno mtani
Ahmed Leo ndo wakuongea ivi
Simba mmepata ushindi wa games 2 kwa kubebwa na refa. Game ya Simba vs Tabora ilikuwa sare, Simba vs Azam milkiwa mtoe sare pia ila refa aliwabeba pia
Tabora iliniuma sana ile game
Ukibebwa bebeka
@ngulathfundikira42nabwewe ungeiuma05
Ila kwa yanga hawakubebeka licha ya kubebwa
Ahmad Ali
Wa kwanza kabisa kuondoka Simba ni freddy na JOBE.....
ONDOENI HAO HARAKA...
NA ANAEHUSIKA NA USAJILI WA HAWA WACHEZAJI PIA AONDOLEWE HAFAI KABISA
Sioo shidaa mutaendaa shirikishooo
Ndivo ahmadi mpira ndo ulivo
Sisi yanga tuna waziri wa burudani skudu kwa Simba ni Ahmed Ally 😂😅💯👍
Semaji bora la Nguruwe Fc
Semaji Hidaya😂😂😂😂
MLITAKIWA kusema hv kabla Mambo hayajawaharibikia😂😂😂,yn ukweli ungewapa picha halisi ya ubovu wenu na mnge enenda kulingana na ubovu wenu...sasa mlikazana kujifariji ad makaaminishana n wazur ndo matokeo yake hayo
Imekuwa nfs ya pili tena, na sio ya kwanza?🤣
Mpaka aiite maji mma huyo limbukeni
Yani leo ndo umeongea hahahahah jmni nyie ukibanwa kwenye koo unatulia hahahaha
Umechangia magoli 7 na point 6, utaachaje kutupongeza?😂
Muombe msamaa haji manara maana ww haujui mpila unaongea tuu
Hapo Simba utapata kombe lkn we Ni mshabiki sio msemaj
Simba nguvu moja
Ahmad Ali
Huo mfano wako wa kamba na mamba ni mzuri......!!!!!
LAKINI SIO KWA FORWARD LINE YA FREDDY NA JOBE
UTAENDELEA KUPATA TABU SANA
FREDDY NA JOBE WAONDOKE
SIMBA INASHIRIKI MASHINDANO YA AFRIKA..... HUWEZI KWENDA NA HAYO MAGARASHA......
FREDDY NA JOBE!!!!!!!
Daah ila Ahmed mpaka nakuonea huruma yaani unajitaidi ila tu huna timu maskini
Kwenye umeme sasa😅😅
😂😂Watu blweeeeeeee umeme Umekatika👐👐..Tulia wewe tunataka Nidham namna hio
Kwa mara yakwanza mashine yakukoboa ndo nimeiskia ikiipongeza yanga du
Shida unaongea saana kijana!
Duniani waropokaji hutamba baada ya matokeo..
Sio unatoa matokeo KABLA
Makolo poleni ndio mpira😭😭😭😭😭
Hayo makosa unayosema madogomadogo ndo yametufikisha hapo kugombania nafasi ya pili (simba yangu dah')
Sisi Yanga tumeamua kushangilia fai toto 😅kama semaji wa dunduka umemkana leo
Ila huyu jamaaaaa😂😂😂😂
Pambaneni wenyewe kama ndugu(mtoto wa mjomba na shangangazi, sisi tupo paleee.).
Nyie majigambo tu na mnasajili manzese na kuchonga yule mwnykiti wenu si alisema mtachukua kombe kiko wapi sasa?
Mashabiki wanahaha kila mtu anaongea lake, mlivyomfukuza babla mkampa mwanya gsm anafanya yake ubingwa msahau labda ngonjera
Ivi ubingw wote walokuwa wanapat Simba mo alishawai kushangilia kama Eng na vijana wake wa yanga
Sasa Hilo nalo ni lakuhoji? Kwahyo unataka Kila anachofanya eng aigwe na mo? Sasa Kila mtu na life style yake
Hashangilii Kwa sababu cyo shabiki halisi Wa timu ila pale yupo kufanya biashara na hana uchungu na timu ila engineer Wa yanga ana mapenzi ya dhati na timu ndio maana anafurahia timu yake inapofanya vzuri hajaenda pale kufanya biashara ila ni shabiki pia Wa timu hyo
Fact kazungu nimekupata vizur kwaiyo Wana Simba tunatakiwa tutafute mtu Kama Eng ambae anaumia moyoni timu ikianguka
Yan anajitekenya halafu anacheka mwenyew 😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣eti kombe la shirikishi sio bayaaaa
Duuu hili semaji linaroho ngumu kama paka.
Zezeta
Mpaka sasa haujui mnakosea wapi mpumbabu wewe. Kwa miaka mitatu mnaokota okota wachezaji magarasa arafu unajifanya hamjui mnakosea wapi
Jua mpira wewe Simba Hana haja na marefa Kama wale wanaotoka kadi nyekundu halafu badae inabadilishwa kuwa njano points hazibadilishwi.
Uturuki mlienda kuuza nini nyie makoro bwaja au mirundi mlipeleka kuuza
😂😂😂😂😂 achana na maneno ya wapuuzi wewee,,,, wakati walikuwa wanatuambia hivyo kipindi sisi tunafika fainali
Acha kumpongeza huyu mnafiki msema hovyo, Yeye muda wote alikuwa anaiongelea vibaya sn Yanga, utafikir aliajiriwa kwa ajili ya kuisema vibaya Yanga,
Viongoz wa Yanga wanaijenga timu wewe unakalia kuisema vibaya Yanga, sasa kajifunze mpira, mpira haujawahi kuwa comedian,
Clip nyingi unawadanganya mashabiki ety ubingwa wa mwk huu ni wenu sasa yako wapi? Acha unyonge ongea kwa mbwembwe zako kwann umepoa? Hahahahaha!!!! Yanga bingwa mala 30😃😃😃😃😃😃
Hivo poa kwa mara ya kwanza Ahmed Ally umeongelea hali halisi ya ligi ya NBC ilivyo mi ni shabiki wa Yanga nakupongeza kwa usemaji bora leo