Polisi 8 Kuuawa Kibiti: Polisi Wajibu Mashambulizi waua Majambazi Wanne

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 04. 2017
  • Majambazi walioua Polisi zaidi ya kumi sasa tutawashughulikia kikamilifu na hakuna atakae baki Wananchi mtuwie radhi katika hili mtaona sura halisi ya jeshi la polisi akiongea kwa hisia kali Msato Marijani Mssanzya - PC (Kamishna wa Operesheni na Mafunzo)

Komentáře • 275

  • @kissakabuje6577
    @kissakabuje6577 Před 7 lety +9

    inauma saana, Mungu awape uvumilivu na kuwatia nguvu wafiwa wote katika kipindi hiki kigumu

  • @kassimmsimba9152
    @kassimmsimba9152 Před 7 lety +13

    Naogopa sana nguvu itakayotumika kuwasaka waha wahalifu naomba hekima busara itumike jazba isitangulie mbele baada ya oparation ninataka watanzania tujifunze jambo je watakuwa ni wale mashekhe wachochezi na magaidi au ndiyo Alshababi wenyewe, poleni wafiwa mungu awape subira.

  • @ruqaiyaibrahim1865
    @ruqaiyaibrahim1865 Před 7 lety +16

    Mmmh mnanikumbusha baba yangu MNDOGO aliuawa mwembe chai/ dar poleni sana jaman

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 Před 7 lety +2

    poleni sana jeshi la polisi mungu azilaze roho za marehemu mahali pema palipo na wema peponi AMEEN

  • @davidbendera5480
    @davidbendera5480 Před 7 lety

    poleni ndugu zetu mlioopteza ndugu zenu.pia poleni sana jeshi la polisi.

  • @hussenhassan5287
    @hussenhassan5287 Před 7 lety +3

    Ushaur wang kilasilaha yaselikal ingedungwa microcheap for secret ili ikiibiwa silaha isomwekwenye GPS uwondo utakuamwishowasilaha kuibiwa

  • @leahkazeba5850
    @leahkazeba5850 Před 7 lety +1

    poleni sana wafiwa mungu awe pamoja nanyie

  • @godfreykanelela9448
    @godfreykanelela9448 Před 7 lety +11

    rip mungu yu pamoja nasi ukiua kwa upanga na we utakufa kwa upanga

  • @kassimmsimba9152
    @kassimmsimba9152 Před 7 lety

    kunatatizo kubwa tu, majambazi wa kuua askari 8 na kupora silaha si tukio la kitoto busara hekma zitangulie na sio jazba mimi natoa wito kwa jeshi la polisi fanyeni kazi zenu kwa uadilifu na msifanye vitu vinavo wafanya raia kuamini vitu tofauti na hatimae watu kukosa mapenzi na imani na jeshi lao, poleni sana wafiwa Mwenyezi mungu akupeni subra.

    • @yassinenglish8027
      @yassinenglish8027 Před 7 lety

      Innalillah wa-inna ilayhr Rajiun! Hili ni tatizo kubwa na pigo kwa jeshi la polisi. Niwape pole familia za marehemu waliofikwa na msiba huo wa kuuawa kwa watu wao waliowapenda na kuwategemea. Mungu azilaze roho za marehemu wote mahali pema peponi. Ila ningependa kutoa rai kwa serikali yetu ingawa sidhani kama inasikiliza maoni ya wananchi,
      1. Ijitahidi kujenga na kukuza mahusiano mazuri na yenye ukaribu kwa wananchi wao na kuachana na mambo ya siasa kwenye mambo mazito.
      2. Polisi waepuke kutumia mabavu dhidi ya raia, hii inatengeneza mwanya mkubwa kwa raia kujitenga na jeshi la polisi hali inayohatarisha na kukwamisha juhudi za kiusalama na wakati mwingine hata wao wenyewe kuwa kwenye uwezekano mkubwa wa kupatwa na majanga ya namna hiyo na zaidi ya hapo.
      3. Polisi litumie akili, hekima, busara na uwezo wa kiintelijensia katika kutafiti au kukamata mhalifu. Nasema hivyo kwa sababu utakuta wanatumia silaha, nguvu na jazba nzito kwa jambo la kawaida sana. Pamoja na juhudi za serikali kuwapatia vifaa vya kisasa ila isiwe sababu ya polisi kujiona wababe. Nadhani unakuta wanatumia silaha za moto kwenye jambo ambalo lingetumia akili tu ya kawaida na saikolojia ya kumlainisha mhalifu ajisikie yupo kwenye chombo salama.
      4. Polisi waachane na tabia ya uonevu kwa raia kwa sababu wao ndio msaada mkubwa kwao hasa katika usalama.
      5. Serikali ingeunda tume ya siri ya kushughulikia uchunguzi na ukamataji wa silaha zisizohalali kumilikiwa na raia. Hii itapunguza sana matukio ya kijambazi na ujambazi wenyewe.
      6. Dhana ya uzalendo imetoweka ndiyo maana upendo wa wananchi na nchi yao umepungua kiasi cha kuona haki ya kupokonya maisha ya wengine kwa maslahi binafsi. Mfumo wa mapato serikalini ungeangaliwa upya na kuvitaka vyombo mbalimbali kama polisi kujisifu katika kuingiza pato la nchi kwani huwenda wakawa wanatumia nguvu na uonevu kwa wasio na hatia kwa kuwatoza faini zisizostahili. Mfano kumbambikia raia mnyonge makosa kwa kisingizio cha uzururaji.
      7. Serikali iwe inatennga vipindi maalum kwa jeshi la polisi kuhudhuria semina mbalimbali za kiintelijensia na kijeshi zinazolenga kuongeza ufanisi pasipo kuleta madhara kwa yeyote.
      8. Hali ngumu ya kimaisha. Serikali inapaswa kuangalia namna ya kupunguza makali ya changamoto za kimaisha kwa raia wake. Ikumbukwe wazi kuwa Rais ndiye mfariji mkuu wa nchi kwa wananchi wake. Kwahiyo kuwa na misimamo isiyoashiria upendo kwa wananchi wake kunaweza kuathiri usalama wake na taifa kwa ujumla. Tuyachukulie matatizo haya kuwa funzo kwetu. Ndhani inawezekana baadhi ya mapendekezo niliyoyataja hapo yanafanywa ila nguvu ya kuboreshwa iangaliwe upya, tunakosea wapi, viongozi wanapaswa kuwa na maono ya mbeleni na siyo kuwaza siasa na maslahi binafsi.
      Yangu ni hayo tu.
      Mungu ibariki Tanzania na Afrika yote mchana na usiku, daima na milele. Amina!

  • @saidwilson6529
    @saidwilson6529 Před 7 lety +1

    wote walio fariki kwenye matukio haya polisi pamoja na hao majambazi basi mungu azilaze roho zao mahali pema peponi.......

  • @seifathumani3524
    @seifathumani3524 Před 7 lety

    poleni sana walinzi wetu wa taifa,kwa msiba mzito wa kitaifa,mungu awaweke mahali pema peponi ndugu zetu waliotangulia mbele ya haki,wote waliohusika na mauwaji haya ya askari wetu wasakwe kwa gharama yoyote.

  • @simbasalumu5394
    @simbasalumu5394 Před 7 lety +1

    Tukumbuke hakuna anaependa mwenzake apate shida au matatizo, Pia hawa askari wetu waliopatwa na matatizo wana ndgu na familia na watoto ambao wanawategemea, Pia tukumbuke kuwa hawa watu lengo Lao cyo kuua polisi pekee, Mkuranga/Rufiji viongozi wangapi wa vijiji na watendaji wamekufa, chakujiuliza kama polisi wanapigwa vile je mm na wewe tunataka, cyo mda wa kuanza kushabikia kwa sasa, nimda wa kupeana moyo kwa haya matukio, leo kwao kesho kwetu, Mwenyezi Mungu aziweke roho za askari wetu mahali pema Peponi. Amina

  • @petermahoiga7882
    @petermahoiga7882 Před 7 lety +19

    MUNGU IBARIKI TANZANIA, TUEPUSHE NA MABAYA YOTE.

  • @sabinamakumbuki3308
    @sabinamakumbuki3308 Před 7 lety

    mungu ibariki Tanzania poleni sana jeshi LA polis

  • @mamymamy8971
    @mamymamy8971 Před 7 lety

    mungu ibariki tanzania poleni sana wanafamilia wote mungu awape subra kipindi hiki kigumu hawa watu ni wabaxa sana ee mungu tusaidie

  • @zenasalumu2560
    @zenasalumu2560 Před 7 lety +3

    Poleni sana jeshi la polic

  • @johdefinnest1928
    @johdefinnest1928 Před 7 lety +2

    muuaji akifiwa hulia machoz halis na sio bandia mlishaambiwa muwe mnafnya kwa kitendo cha harakaharaka

  • @sylviatheophilus6449
    @sylviatheophilus6449 Před 7 lety

    poleni sana jeshi la police

  • @bwizayasini2153
    @bwizayasini2153 Před 7 lety +10

    poleni sana jishi LA polisi

    • @gwantwaemanuel2219
      @gwantwaemanuel2219 Před 7 lety +1

      inauma sana mungu awarehem

    • @waxmoney3212
      @waxmoney3212 Před 7 lety +8

      mungu ibariki Tanzania iwe na Amani

    • @lucyyohana7444
      @lucyyohana7444 Před 7 lety +2

      +Wax Money kabisa jamn aman ni muhim sana tucthubutu kuipoteza pollen police wetu kwa pigo mlilopata lkn naamin watapatikana tyu

  • @mottofoundationinc.3492
    @mottofoundationinc.3492 Před 7 lety +6

    ACHENI MIKWARA NYIE......SIMNGEWAUA WOOTE WAKATI MNAPAMBANA NAO..

  • @DanielDaniel-ey8th
    @DanielDaniel-ey8th Před 7 lety +1

    Pumzikeni kwa Amani, Amina!

  • @ashahaji4936
    @ashahaji4936 Před 7 lety +2

    hili genge litakua limeandaliwa na liko imara mm imeniuma sana maana hawa c jambaz cjui niwaiteje hawa mbwA mwitu!!!!!

  • @shupajunior2282
    @shupajunior2282 Před 7 lety +4

    Polen sna najiuliza ni wapi tunaelekea jamn serikali wapen wananch uhkika mara kutekwa mra wanaotulinda wanauwaw tunakwendwa wapi

  • @mohamedimcheni2068
    @mohamedimcheni2068 Před 7 měsíci

    poleni sana

  • @hongerakkachawasemewwkzbut4996

    Ewe Muumba mbingu na aridhi tunakuomba uwalinde nguvu kazi yetu ya taifa kwani hawalali kwa jili ya taifa letu la tanzania Amin

  • @ashahaji4936
    @ashahaji4936 Před 7 lety +2

    Allah inusuru Tanzania yetu

  • @josephmihambo4872
    @josephmihambo4872 Před 7 lety +20

    Watafutwe popote walipo wakamatwe kwa njia yoyote ile wapatikane

    • @marblebaswige614
      @marblebaswige614 Před 7 lety +9

      sio wakamatwe hapana baada ya kutoa maelezo wana lengo gani jeshi la polisi na aliye watuma ni nani ndio wapelekwe kusikojulika hata ikiwezekana watupwe kwenye pipa la acid

    • @abdallahdataguy
      @abdallahdataguy Před 7 lety +3

      pipa la acid.......nimechekajeeeeee

  • @jazirshabanishabani6962
    @jazirshabanishabani6962 Před 7 lety +7

    Raia wangapi ambao wanakufa kwa kuuliwa na mapolisi lakini hamshughuliki leo mmeguswa mnaanza kusema asakari 10 kwa raia 50 wapi ambao wanauchungu kati ya jeshi la police na raia muache ujinga

  • @mathiaslukas1233
    @mathiaslukas1233 Před 7 lety +5

    Mungu alitoa mungu ametwaa jina la bwana lihimidiwe

  • @nzuna5049
    @nzuna5049 Před 7 lety

    Mungu azilaze roho za marehemu pema peponi, amina

  • @radhiasalum833
    @radhiasalum833 Před 7 lety

    polen sana

  • @masumbukosiyougomvi7900

    watanzania pollen sana... inauma sana watz baaz kushangilia askari kuuliwa? ama kweli MTU huvunja utu wake mwenyewe.

  • @derickcowly6681
    @derickcowly6681 Před 9 měsíci

    Amna chochote kazi yenu ni kuwaoneya upinzani na wasema kweli

  • @mako331
    @mako331 Před 7 lety

    TANZANIANS STOP POLITICIZING EVERYTHING, sio kila saa siasa, poleni mashujaa

  • @brunokarangali4596
    @brunokarangali4596 Před 7 lety

    Watanzania tufunge nakumuomba mungu atuepusha na aya mabaraha ya kutisha, nchi yetu ina istoria moja tu yakupigana vita kwahyo tuombe isijekutokea tena

  • @swedijuma7873
    @swedijuma7873 Před 7 lety

    inasikitishaxana poleni sanapolisi nalazima muhakkishe mnawatia mbaroni ikiwezekana naowauwawe

  • @chubimabassa4460
    @chubimabassa4460 Před 7 lety

    Polesana jeshiletula Porisi

  • @fatumahalifa6623
    @fatumahalifa6623 Před 7 lety

    innallillah wainnailah rajiun mungu warehemu askar wetu kwan kwan wanajitolea kwa ajil yetu

  • @maftahmusa9513
    @maftahmusa9513 Před 7 lety

    msiba mkubwa inanikumbusha walivyo dunguliwa raiya vijana wadogo kwa risasi na kupoteza maisha pale mwembechai na mwanafunzi Chiku Adhumani akitokea shule kupigwa risasi mpaka sasa kilema,,

  • @edinahjames1976
    @edinahjames1976 Před 7 lety

    jamani huko pwani sasa tumechoka kila cku mauaji......Eeeeeh mola tuhurumie kila cku rufiji

  • @tembaapriscus7640
    @tembaapriscus7640 Před 7 lety

    poleni xana jeshi polisi kwa kuwapoteza wenzenu .ushauri wangu kwa uma ni kwamba ulinxi ni watu sote si kwa askari tu .tunaomba ushirikiano kwa rai wema kutoa taarifa punde aonikanapo mtu ambae unawasiwasi nae

  • @nassorozawiya5778
    @nassorozawiya5778 Před 7 lety

    polisi 7 kuuwawa.......,,,,, huyu aliye andika heading inaonekana c mtanzania.

  • @daimavlog
    @daimavlog Před 7 lety +1

    Polis wana SMG wanatekwa
    Na kuuwawa dah!

  • @nipolive..2745
    @nipolive..2745 Před 7 lety

    Nashndwa kujua niuzembe kiasiga mpaka wore kwa pamoja wauwawe iv kama pols wote hao wameuwawa .VP. Kuhusu wana nchi ulnzi wao

  • @arafsaaa8844
    @arafsaaa8844 Před 7 lety +1

    duh allah barik tz😢😢😢😢😢

  • @derickcowly6681
    @derickcowly6681 Před 9 měsíci

    Laana ya Mbarikiwa inaanza na ile yaNgorongoro na Bandari

  • @erickdioniz4217
    @erickdioniz4217 Před 7 lety

    polen sana ndugu na jamaa wa marehemu

  • @Selemanian
    @Selemanian Před 7 lety

    safi sana. Wapigwe tu hao majambazi

  • @MrAsifiwe
    @MrAsifiwe Před 7 lety

    Poleni Makamamda,,hebu sasa muuvae huo ukamanda

  • @mahmoudukusso4488
    @mahmoudukusso4488 Před 7 lety

    kwa kweli hili ni tukio la kutisha na kuhuzunisha ,lkn bado Nina imani na serikali,wizara husika na jeshi la polisi kwa pamoja tutafanikiwa kama taifa
    Mungu ibariki Tanzania

  • @rosemarybenjamin5866
    @rosemarybenjamin5866 Před 7 lety +5

    ni more than pain aise polen. saaan Nchi yangu Tz police kwa ujumla na wafiwa ,,,yan mkikamat ao ni kichwa kwa kwichwa iyo itakua tu migaid

  • @omaryabdalah2044
    @omaryabdalah2044 Před 7 lety +3

    poleni ndugu Jàmaa na watanzania wengu kwa vifo vya askari wetu.

  • @veronicalucas580
    @veronicalucas580 Před 7 lety

    duu tumeumia sana kazeni but hao watu watatukost acha maneno mengi kuwen Sirius

  • @hasanipoy3976
    @hasanipoy3976 Před 4 lety

    Poleni

  • @adiosmalobo4507
    @adiosmalobo4507 Před 7 lety +4

    poleni

  • @kotadapotar5094
    @kotadapotar5094 Před rokem

    Kumbe mulikua mnawajua walipo Ao majambazi mpaka wamefanya tukio ndio mnasema mtawafwata uko walipo mnapajua siku njingi sehemu zao

  • @issakasara6636
    @issakasara6636 Před 7 lety +1

    Innah llilah wainnah illahi rajiun Allah awape shufaa ndugu duh Allah awajaalie makazi mema Inshaa Allah

    • @hassanussi1747
      @hassanussi1747 Před 7 lety

      Issa Kasara
      إنا الله وإنا إليه راجعون

  • @hamisiseif7562
    @hamisiseif7562 Před 7 lety

    Poleni sana askariwetu mungu yupo pamoja nanyinyi ila kwatukiohilo ndo mujifunze kwamba jambazi c mtuwakumchezea nyie mukiwaona majambazi gonga lisasi tu mpaka washike adabu

  • @coutinhofanaka2839
    @coutinhofanaka2839 Před 7 lety

    Mnastahili kupewa pole, ila punguzeni ubabe kwa raia maana inafika wakati tunashindwa kujua kama mpo kwaajili ya ulinzi wa raia au mpo kwaajili ya kututesa.

  • @mariachahe7077
    @mariachahe7077 Před 7 lety

    inauma sana poleni jeshi La polisi, R.I.P

  • @emmanueldavidy4913
    @emmanueldavidy4913 Před 7 lety

    poleni sana makamanda wetu

  • @varentinemhoja8019
    @varentinemhoja8019 Před 7 lety

    Daaa R.I.P wapambanaji wetu lkn Mungu asaidie na hao majambaz wote waliobaki wauwawe pia

  • @784055
    @784055 Před 7 lety +4

    pole sana jeshi la Polisi na familia za marehemu

  • @cheddykibwita7471
    @cheddykibwita7471 Před 7 lety

    jemc kaijage ataisoma kibiti hukooooo

  • @ARFIddy
    @ARFIddy Před 7 lety

    SBUHANA LAH. MUNGU.
    SAIDIA..WALIMWANGU. .
    WAKO. .

  • @verocletus1082
    @verocletus1082 Před 7 lety

    Mungu awe pamoja nanyi katika mapambano ya kusaka hiyo mijambaz

  • @mamarama6360
    @mamarama6360 Před 7 lety

    duuh mtihan yaan binaadamu sasa hatuna iman tena na mkoa wa pwan

  • @berthakagole8242
    @berthakagole8242 Před 7 lety

    kama mtanzania yakupasa kuguswa na hilo japo sioo unashadia hao wanao sema bora wauwae sidhan kama n mTZ na kama n M TZ Basi apelekwe mirembe maana sio mzima wa akil

  • @mtashigalaxy3058
    @mtashigalaxy3058 Před 6 lety

    Askari waliapa kua watalitumikia taifa lake kwa hali yoyote iwe ya shida au raha na wanaslogan yao kwamba walizaliwa cku 1 na kufa itakua n cku 1 chamcng makamanda pigen kaz kuhakkxha mnaleta Aman tz,

  • @aliomarbakar6924
    @aliomarbakar6924 Před 7 lety

    mimi nataka niwaulize polisi mpaka jambazi anamiliki silaha ninyimkowap laiya hawezi milikisilaha kwahiyo bas mnawajua vizuri mshindwe tu kuwakamata

  • @sakinandoile4758
    @sakinandoile4758 Před 7 lety

    Mmmh... so sad AMANI ya Tanzania iko wapi?? walinda usalama wanauawa je wananchi tusio na mafunzo!!! so sad

  • @masseanadir2904
    @masseanadir2904 Před 7 lety

    wanaua watu hata wasiohusika kwa kisingizio cha kulipa kisasi

  • @katefarmlwafu1156
    @katefarmlwafu1156 Před 7 lety

    POLENI SANA,MUNGU ATUNUSURU NA MAJANGA HAYA.KIUKWELI MM BINAFSI IMENIUMA SANA TENA SANAA.

  • @lailakheir5106
    @lailakheir5106 Před 7 lety +1

    Nawao wakipatikana wauliwe kma vizuri

  • @mussamaida6373
    @mussamaida6373 Před 7 lety

    Wewe emanueli nyansilo angalia hizo statement zako zitakuja kukuletea matatizo bure nakukumbusha majeshi hayana siasa hizo siasa zenu peleken kwa hao viongoz wenu Wa kisiasa kama akina magufuli lowasa na wengineo

  • @shaffihsiraji3141
    @shaffihsiraji3141 Před 7 lety

    polen saana makamanda hao majambazi usiwaache kabisaaaaaa

  • @sifasanga7866
    @sifasanga7866 Před 7 lety +1

    Poleni sana Polisi.....RIP

  • @allyfaraji6472
    @allyfaraji6472 Před 7 lety

    mimi naona ao wanaoua wanatumiwa na watu frani. ila ipo siku watafahamika akina nani wanawaandaa watu magaidi.

  • @zulehaabubakar3574
    @zulehaabubakar3574 Před rokem

    Nikweli hatukubishii afande watafuteni muwauwe tu nawao

  • @ismailkasim7960
    @ismailkasim7960 Před 7 lety

    Daaa nomaaa sana

  • @aminayasin2906
    @aminayasin2906 Před 7 lety

    askar jaman muwe mnaukaribu na wananchi wananchi ndo wanaona vitu vingi mtaan imefikia hata wananchi wanawaogopa baada nyinyi ndo mnatakiwa kua karibu na wananchi ili mjue vingi mnajibu wananchi vibaya rais hawasikii wananchi wanayomwambia bas ata achukue maon ya wananchi afanyie kaz yy hilo hana ni kujibu wananchi maneno ya kuumiza na kusikitisha mm nawashaur maaskar wetu kuen karibu na wananchi mtapata mambo mengi na sehem za majmbaz wanapokaa muwe mnatusaidia sio kutukandamiza

  • @janewacera7812
    @janewacera7812 Před 7 lety +1

    So sad

  • @saidbakari3169
    @saidbakari3169 Před 7 lety

    hawa wanaoilaumu na kukejeli polisi ndio majambazi wenyewe kwa hiyo polisi msihangaike anzeni na hawa wanao comment ujinga uwezo wa kuwapata mnao

  • @marcelngusa2922
    @marcelngusa2922 Před 7 lety

    watafutwe popote walipo haijarishi wako hai au la,tuache ushabiku wa kisiasa tukio hili ni la kulaani ,wananch tutoe ushirikiano waharifu tunaishi nao kwenye jamii .

  • @alexmuema9570
    @alexmuema9570 Před 4 lety

    Aifai

  • @jerrysonpontian7429
    @jerrysonpontian7429 Před 7 lety

    i trust global tv ,,,,,sorry for the families who lost their lovely one dr pcs😩

  • @yohanamaugila743
    @yohanamaugila743 Před 7 lety

    operation ya kujitangaza hiyo hamuwezi kuyakuta kwani na yenyewe yanawaona CZcams muda huu kwa mb za bure za Halotel.

  • @immamlowe734
    @immamlowe734 Před 7 lety

    walioect kama police same dhalilisha jeshi.

  • @bosiabu6607
    @bosiabu6607 Před 7 lety

    maneno tu yaifai jitahidini sana kuangamiza uhalifu fanyeni operation ondoa silaha haram naona mtatoboa

  • @soudmohamed2274
    @soudmohamed2274 Před 7 lety

    Poleni sana lkn tutaamini vipi km na nyie hao mliowauwa ni majambazi kweli au mmeamua kuua Raia wasio na hatia?

  • @stanlecioussimba5404
    @stanlecioussimba5404 Před 7 lety

    Wananchi tunapokamata majambazi tukiwa kwenye harakati ya kuyachoma moto, police mkituwahi waga mnatuzuia na mnaondoka nayo, mkimanisha mnahuru wakati jambazi yeye hana huruma na matokeo yake ndiyo haya. But poleni sana ila tunapowakamata muwe mnatuachia tu na sisi wananchi tunafanya maamzi yetu, ili wapungue.

  • @nassormohamedyhamisimwariz1217

    Kwa teknologia iliyopo sasa cm ikiibiwa inasoma GPRS unajua ilipo. Kwa nn silaha za majeshi yetu zisifungwe GPRS ili zikiingia ktk mikono ya watu wabaya mnajua zipo wapi kwa muda mfupi baada ya tukio?

  • @kilimoajira2457
    @kilimoajira2457 Před 7 lety

    Watanzania wenzangu askari ni ndugu zetu na si maadui zetu. Wapo kwaajili ya kutulinda sisi na Mali zetu, tuwape ushirikiano, tulishawahi kujiuliza kama askari polisi wasingekuwepo nchi ingekuwaje? Vipi kuhusu usalama wetu? Mungu awatie nguvu familia zao kwa kupoteza wapendwa wao.Tuwape ushirikiano askari

  • @isaacmayunga6503
    @isaacmayunga6503 Před 7 lety

    muandike pia na polisi akiuwa,
    kuna clip inaonyesha jinsi gani polisi wanavyopiga mpaka kuuwa raia mwema hata hanatia mwandishi yule. waonje maumivu tu na wao

  • @jumahassani6165
    @jumahassani6165 Před 7 lety

    Aisee

  • @sakisinza9479
    @sakisinza9479 Před 7 lety

    unajikuta tuu unaanza kwa kusema afadhali imekuwa funzo hivi huo ni ushetani au nini nadhani hata shetani hawezi furahia mauaji kama haya jamani kumbuka karibia kila ukoo au familia inaaskari leo wewe mtanzania unaanza tuu kufurahia kunasiku nawewe yatakusogelea ndio ujue uchungu wake polleni sana jeshi la police bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe

  • @florameza9529
    @florameza9529 Před 7 lety

    mm nafokiri mcplan kwenda kuwashughulikia majambazi mciwe mnatangaza mwende kimyakimya mcicema wanackia wanasepa

  • @rashidimbega7909
    @rashidimbega7909 Před 7 lety

    Kwa kweli inasikitisha wasakwe lkn watu wa mkuranga ,msaada wenu unahitajika kukomesha holi

  • @JustInnocentBoy
    @JustInnocentBoy Před 7 lety

    Don't cry sir

  • @jasminemwaluvalile5005

    Jamani R.I.P makanda wetu daah