Polisi 8 Kuuawa Kibiti: Polisi Wajibu Mashambulizi waua Majambazi Wanne
Vložit
- čas přidán 13. 04. 2017
- Majambazi walioua Polisi zaidi ya kumi sasa tutawashughulikia kikamilifu na hakuna atakae baki Wananchi mtuwie radhi katika hili mtaona sura halisi ya jeshi la polisi akiongea kwa hisia kali Msato Marijani Mssanzya - PC (Kamishna wa Operesheni na Mafunzo)
inauma saana, Mungu awape uvumilivu na kuwatia nguvu wafiwa wote katika kipindi hiki kigumu
Naogopa sana nguvu itakayotumika kuwasaka waha wahalifu naomba hekima busara itumike jazba isitangulie mbele baada ya oparation ninataka watanzania tujifunze jambo je watakuwa ni wale mashekhe wachochezi na magaidi au ndiyo Alshababi wenyewe, poleni wafiwa mungu awape subira.
Mmmh mnanikumbusha baba yangu MNDOGO aliuawa mwembe chai/ dar poleni sana jaman
poleni sana jeshi la polisi mungu azilaze roho za marehemu mahali pema palipo na wema peponi AMEEN
poleni ndugu zetu mlioopteza ndugu zenu.pia poleni sana jeshi la polisi.
Ushaur wang kilasilaha yaselikal ingedungwa microcheap for secret ili ikiibiwa silaha isomwekwenye GPS uwondo utakuamwishowasilaha kuibiwa
poleni sana wafiwa mungu awe pamoja nanyie
rip mungu yu pamoja nasi ukiua kwa upanga na we utakufa kwa upanga
kunatatizo kubwa tu, majambazi wa kuua askari 8 na kupora silaha si tukio la kitoto busara hekma zitangulie na sio jazba mimi natoa wito kwa jeshi la polisi fanyeni kazi zenu kwa uadilifu na msifanye vitu vinavo wafanya raia kuamini vitu tofauti na hatimae watu kukosa mapenzi na imani na jeshi lao, poleni sana wafiwa Mwenyezi mungu akupeni subra.
Innalillah wa-inna ilayhr Rajiun! Hili ni tatizo kubwa na pigo kwa jeshi la polisi. Niwape pole familia za marehemu waliofikwa na msiba huo wa kuuawa kwa watu wao waliowapenda na kuwategemea. Mungu azilaze roho za marehemu wote mahali pema peponi. Ila ningependa kutoa rai kwa serikali yetu ingawa sidhani kama inasikiliza maoni ya wananchi,
1. Ijitahidi kujenga na kukuza mahusiano mazuri na yenye ukaribu kwa wananchi wao na kuachana na mambo ya siasa kwenye mambo mazito.
2. Polisi waepuke kutumia mabavu dhidi ya raia, hii inatengeneza mwanya mkubwa kwa raia kujitenga na jeshi la polisi hali inayohatarisha na kukwamisha juhudi za kiusalama na wakati mwingine hata wao wenyewe kuwa kwenye uwezekano mkubwa wa kupatwa na majanga ya namna hiyo na zaidi ya hapo.
3. Polisi litumie akili, hekima, busara na uwezo wa kiintelijensia katika kutafiti au kukamata mhalifu. Nasema hivyo kwa sababu utakuta wanatumia silaha, nguvu na jazba nzito kwa jambo la kawaida sana. Pamoja na juhudi za serikali kuwapatia vifaa vya kisasa ila isiwe sababu ya polisi kujiona wababe. Nadhani unakuta wanatumia silaha za moto kwenye jambo ambalo lingetumia akili tu ya kawaida na saikolojia ya kumlainisha mhalifu ajisikie yupo kwenye chombo salama.
4. Polisi waachane na tabia ya uonevu kwa raia kwa sababu wao ndio msaada mkubwa kwao hasa katika usalama.
5. Serikali ingeunda tume ya siri ya kushughulikia uchunguzi na ukamataji wa silaha zisizohalali kumilikiwa na raia. Hii itapunguza sana matukio ya kijambazi na ujambazi wenyewe.
6. Dhana ya uzalendo imetoweka ndiyo maana upendo wa wananchi na nchi yao umepungua kiasi cha kuona haki ya kupokonya maisha ya wengine kwa maslahi binafsi. Mfumo wa mapato serikalini ungeangaliwa upya na kuvitaka vyombo mbalimbali kama polisi kujisifu katika kuingiza pato la nchi kwani huwenda wakawa wanatumia nguvu na uonevu kwa wasio na hatia kwa kuwatoza faini zisizostahili. Mfano kumbambikia raia mnyonge makosa kwa kisingizio cha uzururaji.
7. Serikali iwe inatennga vipindi maalum kwa jeshi la polisi kuhudhuria semina mbalimbali za kiintelijensia na kijeshi zinazolenga kuongeza ufanisi pasipo kuleta madhara kwa yeyote.
8. Hali ngumu ya kimaisha. Serikali inapaswa kuangalia namna ya kupunguza makali ya changamoto za kimaisha kwa raia wake. Ikumbukwe wazi kuwa Rais ndiye mfariji mkuu wa nchi kwa wananchi wake. Kwahiyo kuwa na misimamo isiyoashiria upendo kwa wananchi wake kunaweza kuathiri usalama wake na taifa kwa ujumla. Tuyachukulie matatizo haya kuwa funzo kwetu. Ndhani inawezekana baadhi ya mapendekezo niliyoyataja hapo yanafanywa ila nguvu ya kuboreshwa iangaliwe upya, tunakosea wapi, viongozi wanapaswa kuwa na maono ya mbeleni na siyo kuwaza siasa na maslahi binafsi.
Yangu ni hayo tu.
Mungu ibariki Tanzania na Afrika yote mchana na usiku, daima na milele. Amina!
wote walio fariki kwenye matukio haya polisi pamoja na hao majambazi basi mungu azilaze roho zao mahali pema peponi.......
poleni sana walinzi wetu wa taifa,kwa msiba mzito wa kitaifa,mungu awaweke mahali pema peponi ndugu zetu waliotangulia mbele ya haki,wote waliohusika na mauwaji haya ya askari wetu wasakwe kwa gharama yoyote.
Tukumbuke hakuna anaependa mwenzake apate shida au matatizo, Pia hawa askari wetu waliopatwa na matatizo wana ndgu na familia na watoto ambao wanawategemea, Pia tukumbuke kuwa hawa watu lengo Lao cyo kuua polisi pekee, Mkuranga/Rufiji viongozi wangapi wa vijiji na watendaji wamekufa, chakujiuliza kama polisi wanapigwa vile je mm na wewe tunataka, cyo mda wa kuanza kushabikia kwa sasa, nimda wa kupeana moyo kwa haya matukio, leo kwao kesho kwetu, Mwenyezi Mungu aziweke roho za askari wetu mahali pema Peponi. Amina
MUNGU IBARIKI TANZANIA, TUEPUSHE NA MABAYA YOTE.
PETER MAHOIGA poleni sana
mungu ibariki Tanzania poleni sana jeshi LA polis
mungu ibariki tanzania poleni sana wanafamilia wote mungu awape subra kipindi hiki kigumu hawa watu ni wabaxa sana ee mungu tusaidie
Poleni sana jeshi la polic
muuaji akifiwa hulia machoz halis na sio bandia mlishaambiwa muwe mnafnya kwa kitendo cha harakaharaka
poleni sana jeshi la police
poleni sana jishi LA polisi
inauma sana mungu awarehem
mungu ibariki Tanzania iwe na Amani
+Wax Money kabisa jamn aman ni muhim sana tucthubutu kuipoteza pollen police wetu kwa pigo mlilopata lkn naamin watapatikana tyu
ACHENI MIKWARA NYIE......SIMNGEWAUA WOOTE WAKATI MNAPAMBANA NAO..
Pumzikeni kwa Amani, Amina!
hili genge litakua limeandaliwa na liko imara mm imeniuma sana maana hawa c jambaz cjui niwaiteje hawa mbwA mwitu!!!!!
Polen sna najiuliza ni wapi tunaelekea jamn serikali wapen wananch uhkika mara kutekwa mra wanaotulinda wanauwaw tunakwendwa wapi
poleni sana
Ewe Muumba mbingu na aridhi tunakuomba uwalinde nguvu kazi yetu ya taifa kwani hawalali kwa jili ya taifa letu la tanzania Amin
Allah inusuru Tanzania yetu
Watafutwe popote walipo wakamatwe kwa njia yoyote ile wapatikane
sio wakamatwe hapana baada ya kutoa maelezo wana lengo gani jeshi la polisi na aliye watuma ni nani ndio wapelekwe kusikojulika hata ikiwezekana watupwe kwenye pipa la acid
pipa la acid.......nimechekajeeeeee
Raia wangapi ambao wanakufa kwa kuuliwa na mapolisi lakini hamshughuliki leo mmeguswa mnaanza kusema asakari 10 kwa raia 50 wapi ambao wanauchungu kati ya jeshi la police na raia muache ujinga
Polen sana
Haswaaa
Mungu alitoa mungu ametwaa jina la bwana lihimidiwe
No
No
Mungu azilaze roho za marehemu pema peponi, amina
polen sana
watanzania pollen sana... inauma sana watz baaz kushangilia askari kuuliwa? ama kweli MTU huvunja utu wake mwenyewe.
Amna chochote kazi yenu ni kuwaoneya upinzani na wasema kweli
TANZANIANS STOP POLITICIZING EVERYTHING, sio kila saa siasa, poleni mashujaa
Watanzania tufunge nakumuomba mungu atuepusha na aya mabaraha ya kutisha, nchi yetu ina istoria moja tu yakupigana vita kwahyo tuombe isijekutokea tena
inasikitishaxana poleni sanapolisi nalazima muhakkishe mnawatia mbaroni ikiwezekana naowauwawe
Polesana jeshiletula Porisi
innallillah wainnailah rajiun mungu warehemu askar wetu kwan kwan wanajitolea kwa ajil yetu
msiba mkubwa inanikumbusha walivyo dunguliwa raiya vijana wadogo kwa risasi na kupoteza maisha pale mwembechai na mwanafunzi Chiku Adhumani akitokea shule kupigwa risasi mpaka sasa kilema,,
jamani huko pwani sasa tumechoka kila cku mauaji......Eeeeeh mola tuhurumie kila cku rufiji
poleni xana jeshi polisi kwa kuwapoteza wenzenu .ushauri wangu kwa uma ni kwamba ulinxi ni watu sote si kwa askari tu .tunaomba ushirikiano kwa rai wema kutoa taarifa punde aonikanapo mtu ambae unawasiwasi nae
polisi 7 kuuwawa.......,,,,, huyu aliye andika heading inaonekana c mtanzania.
Polis wana SMG wanatekwa
Na kuuwawa dah!
Nashndwa kujua niuzembe kiasiga mpaka wore kwa pamoja wauwawe iv kama pols wote hao wameuwawa .VP. Kuhusu wana nchi ulnzi wao
duh allah barik tz😢😢😢😢😢
Laana ya Mbarikiwa inaanza na ile yaNgorongoro na Bandari
polen sana ndugu na jamaa wa marehemu
safi sana. Wapigwe tu hao majambazi
Poleni Makamamda,,hebu sasa muuvae huo ukamanda
kwa kweli hili ni tukio la kutisha na kuhuzunisha ,lkn bado Nina imani na serikali,wizara husika na jeshi la polisi kwa pamoja tutafanikiwa kama taifa
Mungu ibariki Tanzania
ni more than pain aise polen. saaan Nchi yangu Tz police kwa ujumla na wafiwa ,,,yan mkikamat ao ni kichwa kwa kwichwa iyo itakua tu migaid
poleni ndugu Jàmaa na watanzania wengu kwa vifo vya askari wetu.
duu tumeumia sana kazeni but hao watu watatukost acha maneno mengi kuwen Sirius
Poleni
poleni
adios Amigo sure
Kumbe mulikua mnawajua walipo Ao majambazi mpaka wamefanya tukio ndio mnasema mtawafwata uko walipo mnapajua siku njingi sehemu zao
Innah llilah wainnah illahi rajiun Allah awape shufaa ndugu duh Allah awajaalie makazi mema Inshaa Allah
Issa Kasara
إنا الله وإنا إليه راجعون
Poleni sana askariwetu mungu yupo pamoja nanyinyi ila kwatukiohilo ndo mujifunze kwamba jambazi c mtuwakumchezea nyie mukiwaona majambazi gonga lisasi tu mpaka washike adabu
Poleni sana Jeshi la Police kwa kuwapoteza askari hao!
wema sepetu
wema
ubinadamu ni DAMU asiye na DAMU sanamu
Mnastahili kupewa pole, ila punguzeni ubabe kwa raia maana inafika wakati tunashindwa kujua kama mpo kwaajili ya ulinzi wa raia au mpo kwaajili ya kututesa.
inauma sana poleni jeshi La polisi, R.I.P
poleni sana makamanda wetu
Daaa R.I.P wapambanaji wetu lkn Mungu asaidie na hao majambaz wote waliobaki wauwawe pia
pole sana jeshi la Polisi na familia za marehemu
jemc kaijage ataisoma kibiti hukooooo
SBUHANA LAH. MUNGU.
SAIDIA..WALIMWANGU. .
WAKO. .
Mungu awe pamoja nanyi katika mapambano ya kusaka hiyo mijambaz
duuh mtihan yaan binaadamu sasa hatuna iman tena na mkoa wa pwan
kama mtanzania yakupasa kuguswa na hilo japo sioo unashadia hao wanao sema bora wauwae sidhan kama n mTZ na kama n M TZ Basi apelekwe mirembe maana sio mzima wa akil
Askari waliapa kua watalitumikia taifa lake kwa hali yoyote iwe ya shida au raha na wanaslogan yao kwamba walizaliwa cku 1 na kufa itakua n cku 1 chamcng makamanda pigen kaz kuhakkxha mnaleta Aman tz,
mimi nataka niwaulize polisi mpaka jambazi anamiliki silaha ninyimkowap laiya hawezi milikisilaha kwahiyo bas mnawajua vizuri mshindwe tu kuwakamata
Mmmh... so sad AMANI ya Tanzania iko wapi?? walinda usalama wanauawa je wananchi tusio na mafunzo!!! so sad
wanaua watu hata wasiohusika kwa kisingizio cha kulipa kisasi
POLENI SANA,MUNGU ATUNUSURU NA MAJANGA HAYA.KIUKWELI MM BINAFSI IMENIUMA SANA TENA SANAA.
Nawao wakipatikana wauliwe kma vizuri
Wewe emanueli nyansilo angalia hizo statement zako zitakuja kukuletea matatizo bure nakukumbusha majeshi hayana siasa hizo siasa zenu peleken kwa hao viongoz wenu Wa kisiasa kama akina magufuli lowasa na wengineo
polen saana makamanda hao majambazi usiwaache kabisaaaaaa
Poleni sana Polisi.....RIP
mimi naona ao wanaoua wanatumiwa na watu frani. ila ipo siku watafahamika akina nani wanawaandaa watu magaidi.
Nikweli hatukubishii afande watafuteni muwauwe tu nawao
Daaa nomaaa sana
askar jaman muwe mnaukaribu na wananchi wananchi ndo wanaona vitu vingi mtaan imefikia hata wananchi wanawaogopa baada nyinyi ndo mnatakiwa kua karibu na wananchi ili mjue vingi mnajibu wananchi vibaya rais hawasikii wananchi wanayomwambia bas ata achukue maon ya wananchi afanyie kaz yy hilo hana ni kujibu wananchi maneno ya kuumiza na kusikitisha mm nawashaur maaskar wetu kuen karibu na wananchi mtapata mambo mengi na sehem za majmbaz wanapokaa muwe mnatusaidia sio kutukandamiza
So sad
hawa wanaoilaumu na kukejeli polisi ndio majambazi wenyewe kwa hiyo polisi msihangaike anzeni na hawa wanao comment ujinga uwezo wa kuwapata mnao
watafutwe popote walipo haijarishi wako hai au la,tuache ushabiku wa kisiasa tukio hili ni la kulaani ,wananch tutoe ushirikiano waharifu tunaishi nao kwenye jamii .
Aifai
i trust global tv ,,,,,sorry for the families who lost their lovely one dr pcs😩
operation ya kujitangaza hiyo hamuwezi kuyakuta kwani na yenyewe yanawaona CZcams muda huu kwa mb za bure za Halotel.
walioect kama police same dhalilisha jeshi.
maneno tu yaifai jitahidini sana kuangamiza uhalifu fanyeni operation ondoa silaha haram naona mtatoboa
Poleni sana lkn tutaamini vipi km na nyie hao mliowauwa ni majambazi kweli au mmeamua kuua Raia wasio na hatia?
Wananchi tunapokamata majambazi tukiwa kwenye harakati ya kuyachoma moto, police mkituwahi waga mnatuzuia na mnaondoka nayo, mkimanisha mnahuru wakati jambazi yeye hana huruma na matokeo yake ndiyo haya. But poleni sana ila tunapowakamata muwe mnatuachia tu na sisi wananchi tunafanya maamzi yetu, ili wapungue.
Kwa teknologia iliyopo sasa cm ikiibiwa inasoma GPRS unajua ilipo. Kwa nn silaha za majeshi yetu zisifungwe GPRS ili zikiingia ktk mikono ya watu wabaya mnajua zipo wapi kwa muda mfupi baada ya tukio?
Watanzania wenzangu askari ni ndugu zetu na si maadui zetu. Wapo kwaajili ya kutulinda sisi na Mali zetu, tuwape ushirikiano, tulishawahi kujiuliza kama askari polisi wasingekuwepo nchi ingekuwaje? Vipi kuhusu usalama wetu? Mungu awatie nguvu familia zao kwa kupoteza wapendwa wao.Tuwape ushirikiano askari
muandike pia na polisi akiuwa,
kuna clip inaonyesha jinsi gani polisi wanavyopiga mpaka kuuwa raia mwema hata hanatia mwandishi yule. waonje maumivu tu na wao
Aisee
unajikuta tuu unaanza kwa kusema afadhali imekuwa funzo hivi huo ni ushetani au nini nadhani hata shetani hawezi furahia mauaji kama haya jamani kumbuka karibia kila ukoo au familia inaaskari leo wewe mtanzania unaanza tuu kufurahia kunasiku nawewe yatakusogelea ndio ujue uchungu wake polleni sana jeshi la police bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe
mm nafokiri mcplan kwenda kuwashughulikia majambazi mciwe mnatangaza mwende kimyakimya mcicema wanackia wanasepa
Kwa kweli inasikitisha wasakwe lkn watu wa mkuranga ,msaada wenu unahitajika kukomesha holi
Don't cry sir
Jamani R.I.P makanda wetu daah