Baraka kaondoka Rockstar4000...kaeleza mipango yake
Vložit
- čas přidán 20. 07. 2017
- Moja ya story ambayo leo July 21, 2017 imekuwa ikimake headlines kwenye mitandao mbalimbali ni kuhusu mwimbaji staa wa Bongofleva, Baraka The Prince kuachana na label ya Rockstar4000 aliyosaini kufanya nayo kazi 2016.
Nimegundua kua WAHENGA wako sahihi kwel usimtukane mkunga uzazi ungalipo. Yaliokuta mjaluo ni haki kabisa ulikua anaongea kebeh sana
kama kiba ni mkurugenzi wa rockstar.hapo hamna kampuni na haina mtaji utapeli tu.we nilikushauri huko kwa kiba umepotea uswahili,hate,na ndipo ulipopata maadui.diamond au wasafi usingepata shida hawana bifu na mtu wanafanya kazi na maisha licha ya kwamba wavivu na wazembe upande kiba wanawatukana.uko ulikosea.pia kiba ni muimbaji wa studio tu hajui kuimba nadhan umemjua.hao porojo wamekuchelewesha usiwajibu acha fanya kazi
Fatuma Msangi ww utakalia Chuma subri huone
We nae nani unae ropoka kwa mitandao
Fatuma Msangi yaan ww ndo wale wale mashabik maandaz,yaan hao wazee w xxl(wcb)unawaona kama Miungu watu vle wakat hamna kitu.
Fatuma Msangi ina onekana mind akitaka mkundu uta mpa choko ww
Fatuma Msangi yani ww unashabikia hata mapenzi ya mbwa
kitu kinachofanya diamond na kiba kua juu kila siku ni sababu ya nidhamu kwa mashabiki na media.. huyu hana maisha marefu kwenye mziki bt all the best
baraka ndio mwenye uchungu na mziki wake...bkoz ndio kaz yke ...2muache ...aendelee ...all the best
true
All the best,
Anatukana hata mashabiki
baraka Mimi namuelewa sana halafu sidhani kama nyie mnaosema kashindwa muziki mna hakili timamu hivi nyie mnaojiita teamkiba niambieni toka mwaka Jana kibakuli ametoa nyimbo ngapi ukipata jibu ndo mtajua nyinyi ni #shabikimaandazi baraka ameona hakuna manufaa ni lazima ajitoe sio ang'ang'anie 7bu eti ni rockstar uongo big up baraka nakuelewa sana hata uwe chini kiasi gani
pole sana kijana, ustaarabu huna ww ndo ktakacho kuua kokote uendeko, kidbway alikubwaga hata hko pia
baraka anaongeaga kweli kazi za kucfiana wakat akuna ktu mamaeeee baraka motooooo
umama umezidi
big up kaka Baraka mungu akuongoze ktk kaz zako.. rockstar hamna kitu wanakupotezea muda wako
vizur Sana fanya unachopenda watz tufike mahal tuache kupangiana maisha
Ww Mzee Baba unayumba shauri yako Huo ndo mwisho wako!
safi sana baraka mafans wengine ni kuma tu hawajui lolote Kaz kujifanya team kiba na mond
Baraka ajifunze kuheshimu na kunyenyekea mashabiki zake na wasiokua wake, aangalie personality yake huwenda ikampoteza kwenye game MZIKI WA BONGO HAUNA ADABU
safi sana baraka wcb tunakusapot wanaokudiss ni team kibakuli
Hamna kitu pale afazari umeondoka, kama huyo anajiita king, anatoa kanyimbo kamoja anakaa mwaka, ww ndo ungepotea kabisa, ludi tujenge nyumbani sio nyumba za watu.
Elia Sinkala walikuwa wanamzubaisha dogo na dogo ana kipaji kikubwa
Hujui mashabiki ndo wamebeba 70% ya maisha yako wakikutaa huwezi kuongea mbele ya adhara kwa hivyo unavyojinadi.. Na heshima huwa ni nguzo katika kazi.. Na shule ndo tatizo
karbu kuleeee kwenye vdeo zenye viewz nyingii mungu atakusimamia
heheheheh anajifananisha na kiba doh...!!!
Safi sana Mtu wangu wanguvu
Maisha ni popote
kila mtu na anavyo ona baraka yupo sawa tena ni muwazi safi sana broo
baraka kumbe maisha ya mwanza ulvyokuwa ukigongea show msanii akja club na ulipw ata sent Leo umetoka umejaa kichwa ngja tuone safar yako maana hueshma kabsa watu
Waliokupandisha Ndio Watakaokushusha, Mark My Words Chichibway
one of the coolest person ever
safi mzee umeongea point KABISAaaaaaaaaaa
Huyu hana maringo huku kuimba kwenyewe hakuna kama mwanamke
👑 king munamkubali huyo chezi mwanamdogo
sawa baraka mwenye mioyo yako..
Huu ndo mda wa kupisha nafas ili wengine nao watusue. Kwaher Baraka imebak history kama nawe ulikuaga mwana music, kila jambo na wakat
umetumbuliwa
nakukubali njooo kwenye mziki mzury wasafi
duuuuh..... sidhan km kuponda lebel ilokusogeza hatua flan ni issue nzur km umetoka rockstar toka kistaarabu usichafue wkt wamekusogeza kuwa na hekima kijana huijui kesho
yupo wapi ruby Leo__20% je? wapi PNC na kipi kilicho mkuta janjaro kipindi kile!...
wote hao walikuwa na mbwembwe kama hizo ila poah. kila la kheri...
Abdul Athumani ninachokiona ni kwamba wabongo wanakuwa na kiburi ilhali mitaj hawana ...angeanza bila management huenda asingempata huyo Naj leo Rockstar wamwmlea na mtaj kapata anaviiimbaaa
Hujui kitu n wapenda kiki
yupo sahihi kabisa baraka rock star mtu tunayemuona sana ni seven kama meneja kimipango hawapo vizur tuwe serious .lady jay dee siyo yule
kiba mwaka mzima nyimbo moja hata wizkid,davido hawafanyi hivyo
Kweli mwanadamu cyo wa kumuamn wala kumfadhili kabisa
shabiki mpuuuz looooooh... rockstar mpo..!!
fatuma msangi safi sana kwa comment yako upo wapi nikutumie zawadi
uko sawa na sijaona ukiponda hiyo label uliohama ila watu ni wagumu tu kuelewa biashara ukiona haina maslah unahama hakuna ulazima fanya kazi zako ukitoa kt kizur utauza tu
we boyaaaaaa wew nan shabiki mpumbavu
Mimi ni moja wa fan wa huyu boya hakuna ngoma yake ambayo sina hata kama kashirikishwa lazma niitafute tatzo yy taarabu nyingi simpendi kinoma ila naupenda mziki wake
Huyu jamaa anadharau sana, hizi kauli zake sijui kama atafika anapotaka!! Kwa kawaida shabiki ndio mteja wa mziki hata awe kichaa inakupasa kujua jinsi ya kudeal nao. Vinginevyo, utajikuta unafunga duka mapema sana na tutakusahau.
Kwel uyu jamaa mwehu 😂😂😂
All the best in your decision. Also cool your temper always 😂😂😂😂
Naj ana kazi ngumu..
yupo sahii
safiiiiii
alikuwa anatuharibia #teamkiba bora aondoke na hapo Amna pengo
Mmmmm
mmoja ya msanii ambaye hajui kufanya interview
hyo rockstar wananenepeana tu hawana lolote...barakah unakipaji kaka nitafurah kama siku nikisikia upo chini ya WCB
Me nimekuelewa vizuli yale maneno uliyosema kwenye XXl kuwa hujui boss.yani hutaki kuwa chini ya Alikiba sababu kawa boss saii.
Daniel Siasa that's true dear meaning jealousy will make him fade.komaa jaluo akili ulionayo isipoteee
Maamuzi magumu lakini mazuri utamu wapipi nimate yako.hakuna tofauti yakummuacha mke nakuhamia kwenye puchu.karibu bacheboy
shabiki kusema kwann nimetoka rockstar ni mimi na rockstar haikuhusu shabiki wewe deal na mziki tu.....jaman wanaomsupport waendelee huyu anashida kwan kuuliza ni vibaya jaman mi sijammind sema nasema tu dogo ni mpuuzi ego ni mbaya sijasema kwa ubaya sema muangalieni
Jamaa amekuwa mweupe sijui nae kageukia mkorogo!!!!!
Katumbuliwq aaahhhhh
Jamaa kajishtukia,mi nilijua2 lazma ajitoe kimaso maso,ana chuki sana huyu dogo ndo maana kila mtu anagombana nae,uta fail una dis had mshabik?
Tatizo moja la lock star ni kuchelewesha kutoa kazi za wasanii wao angalia ommy dimboz katoa nyimbo haina vídeo mbaka Leo Alikiba katoa Aje lemix mbaka leo kimya
Baraka sawa malaya anae tegemea mwili wake kuuza mwili km mnakumbuka meneger alie mtoa C alitoka km msenge mmoja so me nalionaga senge moja hivi linalo angaika mitaani
Mkweche Medy aka mkweche mavii
Mkweche Medy comment mbovu ka jina lako
Allen Gifford 😂😂😂😂
THE END OF BARAKA ... AUNA AKILI
baraka kuma tu
baraka alianza bila rock star so hawezi kupotea kisa rock star ambayo imemkuta anafanya vizuri ndio wakavutiwa nae so baraka bado ataendelea kushine coz rock star walikuwa wanamtegemea baraka na sio baraka alikuwa anawategemea coz hawamuandikii nyimbo na anayeimba ni yy na sio baraka afadhali umekimbia kaka km Ali kiba wanamzubaisha kutoa nyimbo karibu mwaka mpaka mashabiki wanalalamika na ww wangeuwa kipaji chako km njoo WCB
Dogo toa nyimbo acha maneno
Asee bro! At least ujishushe kidogo kaka!! Kwan interview za diamond huzionagi??
Kweli ww unajiamini asee nimekukubali wa leke zone mwenzangu
Mziki bila mashabiki
Juhudi bila nidhamu ni sawa na bure
nauliza kuna wanaume kama mashoga waaa.......,? barak han jipya bora ata ya kaka diamondi anauza karanga wewe kauze upupu uko hahahaaa
Sawa ila ulimi hauna mfupa usiongee mdomo wazi hujafika kwa wenzio.
#BARAKA hayupo sahihi kabisa hakuna shabiki anae shabikia mziki bila kumpenda msaani hajaupenda mziki.....!sio maneno ya kuwa ambia mashabikia
Hapo Ndipo jamaa karibu kabisaa hata hao mashabiki wanakuja kwenye zako kuona unavyo perform sasa Kama ushaanza kuongea hiv unategemea Nani wakukusaport kwa mwenendo huuu du pole mzeee hayo sio maneno yakuwaambia mashabiki wako
Ila huyu kwa nidhamu yake ilivyo mbaya cjui ataishi na nani kwenye dunia ya sasahivi!
ww na myoyo yako kila nyimbo moyo tu huna cfa za kwenda wasafii boya ww hujua kuandika tofaut na moyo hovyooooooo
kipaji chake mwenyewe nyie ng'ombe mnawashwa nn kama mnataka imbeni msainiwe rockstar.Maana ya rock ni jiwe na kwenye jiwe hapawez kuzalishwa chochote ndo mana hao wasanii wenu wamebuma.Kazi kuandikiwa nyimbo za WIZI
Wachane wachane baraka
msenge mkubwa weee
nenda ukaimbe moyo mbele hata uko utakako kwenda auto dumu kwa kua unanidhamu truboy akukosea safari ya mawanza yamnukia
mbwawewee mpuzi wewe usiye naadam wala busara ya kuzungumza na watu through media aseee kweli mangala hunaakili
we ulifikiri ni ile rock star ya jay zz...!?
janja tatizo mdomo wako hujafunzwa
dogo acha mkorogo sasa ijapo unataarabu nyingi kama binti alotelekezwa na mpenziye
hajisomi uyu mchiz..
rest in peace 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
dhuuuu
utoto akikua ataacha
baraka sifa zinamponza xana wanavyomxifia kisa anaponda ndo anatafuta sifa mm nirikua shabiki yake rakina xaxaiv nimemuama
una akili sana boy afu kuimba unajua
kwan ww nan
eti heeeeee sasa tuone we sijeuli
pole unafel
poa kichaaa
ndio maana keusi
Unamsaidia mtu then unasema ujinga huo
mmmmmmh
Sasa unaleta jeuri! Album yako utasikiza chumbani kwako mwenyewe
wewe ndo ujichunguze
huyu amechanginyikiwa airplay kidogo yamvimbisha
Baraka nae si twakuona mtu wa maana kumbe mavi matupu vijimeno tu mtsssssssssssss toka uende ukauze mitumba ukiskia usenge nikama hivyo Sasa utawatukanaje mashabik lioni sikupe na nakuchukia na mashabiq hawakupendi vimeno weeeeeee
aendezake kuimba kwenyewe hajui anamaneno ya kimama sana kama kama mwanamke bana
Mtoto mshamba huyuuuu
MAK ONLINE TV anaona wivu mwezie kawa kitengo pale
Dullah Rajab aaah!! leo hajui kuimba??? mmh!
Dullah Rajab huyu anafaiti na maisha yake,huwezi kuendelea kupoteza muda kwa kitu ambacho hakikusaidii
Dimension hana lolote wew utaona kama ataendelea na muziki
itakua ni mweusi SNA ndy maana wamekutoa umetolew
safari yakwao imenukia akachunge ng'ombe hahahahaaaaaaaa true boy alikuambia wew