Baraka kaondoka Rockstar4000...kaeleza mipango yake

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 07. 2017
  • Moja ya story ambayo leo July 21, 2017 imekuwa ikimake headlines kwenye mitandao mbalimbali ni kuhusu mwimbaji staa wa Bongofleva, Baraka The Prince kuachana na label ya Rockstar4000 aliyosaini kufanya nayo kazi 2016.

Komentáře • 182

  • @elimagotraore9712
    @elimagotraore9712 Před 7 lety +5

    Nimegundua kua WAHENGA wako sahihi kwel usimtukane mkunga uzazi ungalipo. Yaliokuta mjaluo ni haki kabisa ulikua anaongea kebeh sana

  • @fatumamsangi5740
    @fatumamsangi5740 Před 7 lety +12

    kama kiba ni mkurugenzi wa rockstar.hapo hamna kampuni na haina mtaji utapeli tu.we nilikushauri huko kwa kiba umepotea uswahili,hate,na ndipo ulipopata maadui.diamond au wasafi usingepata shida hawana bifu na mtu wanafanya kazi na maisha licha ya kwamba wavivu na wazembe upande kiba wanawatukana.uko ulikosea.pia kiba ni muimbaji wa studio tu hajui kuimba nadhan umemjua.hao porojo wamekuchelewesha usiwajibu acha fanya kazi

    • @dovicochristopher5388
      @dovicochristopher5388 Před 7 lety

      Fatuma Msangi ww utakalia Chuma subri huone

    • @mkwechemedy9929
      @mkwechemedy9929 Před 7 lety

      We nae nani unae ropoka kwa mitandao

    • @abubakariyusufu9320
      @abubakariyusufu9320 Před 7 lety +1

      Fatuma Msangi yaan ww ndo wale wale mashabik maandaz,yaan hao wazee w xxl(wcb)unawaona kama Miungu watu vle wakat hamna kitu.

    • @hydaxplus1887
      @hydaxplus1887 Před 7 lety +1

      Fatuma Msangi ina onekana mind akitaka mkundu uta mpa choko ww

    • @alialle6441
      @alialle6441 Před 7 lety

      Fatuma Msangi yani ww unashabikia hata mapenzi ya mbwa

  • @karimhemed9261
    @karimhemed9261 Před 7 lety +2

    kitu kinachofanya diamond na kiba kua juu kila siku ni sababu ya nidhamu kwa mashabiki na media.. huyu hana maisha marefu kwenye mziki bt all the best

  • @alishomar7549
    @alishomar7549 Před 7 lety +2

    baraka ndio mwenye uchungu na mziki wake...bkoz ndio kaz yke ...2muache ...aendelee ...all the best

  • @fatumaababy1281
    @fatumaababy1281 Před 7 lety +3

    All the best,

  • @ernestjohanes9087
    @ernestjohanes9087 Před 7 lety +5

    Anatukana hata mashabiki

  • @jumannemkami5092
    @jumannemkami5092 Před 7 lety

    baraka Mimi namuelewa sana halafu sidhani kama nyie mnaosema kashindwa muziki mna hakili timamu hivi nyie mnaojiita teamkiba niambieni toka mwaka Jana kibakuli ametoa nyimbo ngapi ukipata jibu ndo mtajua nyinyi ni #shabikimaandazi baraka ameona hakuna manufaa ni lazima ajitoe sio ang'ang'anie 7bu eti ni rockstar uongo big up baraka nakuelewa sana hata uwe chini kiasi gani

  • @MakoyeAman
    @MakoyeAman Před 7 lety +8

    pole sana kijana, ustaarabu huna ww ndo ktakacho kuua kokote uendeko, kidbway alikubwaga hata hko pia

  • @michaeljeremiah634
    @michaeljeremiah634 Před 7 lety +1

    baraka anaongeaga kweli kazi za kucfiana wakat akuna ktu mamaeeee baraka motooooo

  • @deogratiassilayo7182
    @deogratiassilayo7182 Před 7 lety +5

    umama umezidi

  • @yusuphjunior3767
    @yusuphjunior3767 Před 7 lety

    big up kaka Baraka mungu akuongoze ktk kaz zako.. rockstar hamna kitu wanakupotezea muda wako

  • @angelshirima7347
    @angelshirima7347 Před 7 lety

    vizur Sana fanya unachopenda watz tufike mahal tuache kupangiana maisha

  • @dovicochristopher5388
    @dovicochristopher5388 Před 7 lety +1

    Ww Mzee Baba unayumba shauri yako Huo ndo mwisho wako!

  • @rebolman3673
    @rebolman3673 Před 7 lety

    safi sana baraka mafans wengine ni kuma tu hawajui lolote Kaz kujifanya team kiba na mond

  • @abduhamisi6769
    @abduhamisi6769 Před 7 lety

    Baraka ajifunze kuheshimu na kunyenyekea mashabiki zake na wasiokua wake, aangalie personality yake huwenda ikampoteza kwenye game MZIKI WA BONGO HAUNA ADABU

  • @festontandu1747
    @festontandu1747 Před 7 lety

    safi sana baraka wcb tunakusapot wanaokudiss ni team kibakuli

  • @eliasinkala704
    @eliasinkala704 Před 7 lety +3

    Hamna kitu pale afazari umeondoka, kama huyo anajiita king, anatoa kanyimbo kamoja anakaa mwaka, ww ndo ungepotea kabisa, ludi tujenge nyumbani sio nyumba za watu.

    • @isibanianews1329
      @isibanianews1329 Před 7 lety +1

      Elia Sinkala walikuwa wanamzubaisha dogo na dogo ana kipaji kikubwa

  • @saidymsongo7735
    @saidymsongo7735 Před 7 lety

    Hujui mashabiki ndo wamebeba 70% ya maisha yako wakikutaa huwezi kuongea mbele ya adhara kwa hivyo unavyojinadi.. Na heshima huwa ni nguzo katika kazi.. Na shule ndo tatizo

  • @dichodaplaiza
    @dichodaplaiza Před 7 lety +2

    karbu kuleeee kwenye vdeo zenye viewz nyingii mungu atakusimamia

  • @josephmarwa3924
    @josephmarwa3924 Před 7 lety +2

    heheheheh anajifananisha na kiba doh...!!!

  • @kizablack7667
    @kizablack7667 Před 7 lety

    Safi sana Mtu wangu wanguvu
    Maisha ni popote

  • @barakamichael673
    @barakamichael673 Před 7 lety

    kila mtu na anavyo ona baraka yupo sawa tena ni muwazi safi sana broo

  • @johdefinnest1928
    @johdefinnest1928 Před 7 lety +1

    baraka kumbe maisha ya mwanza ulvyokuwa ukigongea show msanii akja club na ulipw ata sent Leo umetoka umejaa kichwa ngja tuone safar yako maana hueshma kabsa watu

  • @idreamfoto
    @idreamfoto Před 7 lety

    Waliokupandisha Ndio Watakaokushusha, Mark My Words Chichibway

  • @officiallugano8991
    @officiallugano8991 Před 7 lety

    one of the coolest person ever

  • @saintwiz
    @saintwiz Před 7 lety

    safi mzee umeongea point KABISAaaaaaaaaaa

  • @ernestjohanes9087
    @ernestjohanes9087 Před 7 lety +1

    Huyu hana maringo huku kuimba kwenyewe hakuna kama mwanamke

  • @khalfanmansour2297
    @khalfanmansour2297 Před 6 lety

    👑 king munamkubali huyo chezi mwanamdogo

  • @themobb_worldwide
    @themobb_worldwide Před 7 lety

    sawa baraka mwenye mioyo yako..

  • @godfreypaul290
    @godfreypaul290 Před 7 lety

    Huu ndo mda wa kupisha nafas ili wengine nao watusue. Kwaher Baraka imebak history kama nawe ulikuaga mwana music, kila jambo na wakat

  • @peterhalson8949
    @peterhalson8949 Před 7 lety +2

    umetumbuliwa

  • @nassorlido9380
    @nassorlido9380 Před 7 lety

    nakukubali njooo kwenye mziki mzury wasafi

  • @sakinandoile9439
    @sakinandoile9439 Před 7 lety +3

    duuuuh..... sidhan km kuponda lebel ilokusogeza hatua flan ni issue nzur km umetoka rockstar toka kistaarabu usichafue wkt wamekusogeza kuwa na hekima kijana huijui kesho

    • @abdulathumani4305
      @abdulathumani4305 Před 7 lety +1

      yupo wapi ruby Leo__20% je? wapi PNC na kipi kilicho mkuta janjaro kipindi kile!...
      wote hao walikuwa na mbwembwe kama hizo ila poah. kila la kheri...

    • @sakinandoile9439
      @sakinandoile9439 Před 7 lety +1

      Abdul Athumani ninachokiona ni kwamba wabongo wanakuwa na kiburi ilhali mitaj hawana ...angeanza bila management huenda asingempata huyo Naj leo Rockstar wamwmlea na mtaj kapata anaviiimbaaa

  • @richmontanna7934
    @richmontanna7934 Před 7 lety +1

    Hujui kitu n wapenda kiki

  • @sportskijiwe781
    @sportskijiwe781 Před 7 lety

    yupo sahihi kabisa baraka rock star mtu tunayemuona sana ni seven kama meneja kimipango hawapo vizur tuwe serious .lady jay dee siyo yule
    kiba mwaka mzima nyimbo moja hata wizkid,davido hawafanyi hivyo

  • @godfreymtwanga6929
    @godfreymtwanga6929 Před 7 lety +1

    Kweli mwanadamu cyo wa kumuamn wala kumfadhili kabisa

  • @abdallahlyimomrwana9134

    shabiki mpuuuz looooooh... rockstar mpo..!!

  • @festontandu1747
    @festontandu1747 Před 7 lety

    fatuma msangi safi sana kwa comment yako upo wapi nikutumie zawadi

  • @hawawezidianakukushusha756

    uko sawa na sijaona ukiponda hiyo label uliohama ila watu ni wagumu tu kuelewa biashara ukiona haina maslah unahama hakuna ulazima fanya kazi zako ukitoa kt kizur utauza tu

  • @mackharun8750
    @mackharun8750 Před 7 lety

    we boyaaaaaa wew nan shabiki mpumbavu

  • @Msonjo
    @Msonjo Před 7 lety +4

    Mimi ni moja wa fan wa huyu boya hakuna ngoma yake ambayo sina hata kama kashirikishwa lazma niitafute tatzo yy taarabu nyingi simpendi kinoma ila naupenda mziki wake

  • @francisdaudi9894
    @francisdaudi9894 Před 7 lety

    Huyu jamaa anadharau sana, hizi kauli zake sijui kama atafika anapotaka!! Kwa kawaida shabiki ndio mteja wa mziki hata awe kichaa inakupasa kujua jinsi ya kudeal nao. Vinginevyo, utajikuta unafunga duka mapema sana na tutakusahau.

  • @ghalibnadil3561
    @ghalibnadil3561 Před 7 lety +2

    Kwel uyu jamaa mwehu 😂😂😂

  • @hadassperez494
    @hadassperez494 Před 7 lety

    All the best in your decision. Also cool your temper always 😂😂😂😂

  • @reubenndungu6420
    @reubenndungu6420 Před 7 lety

    Naj ana kazi ngumu..

  • @taruuwarombo1264
    @taruuwarombo1264 Před 7 lety

    yupo sahii

  • @japhetmadenge8396
    @japhetmadenge8396 Před 7 lety

    safiiiiii

  • @faridmobji
    @faridmobji Před 7 lety +15

    alikuwa anatuharibia #teamkiba bora aondoke na hapo Amna pengo

  • @rozajeannet6329
    @rozajeannet6329 Před 7 lety +1

    Mmmmm

  • @muktartz7314
    @muktartz7314 Před 7 lety

    mmoja ya msanii ambaye hajui kufanya interview

  • @miamboinyodosantos5810

    hyo rockstar wananenepeana tu hawana lolote...barakah unakipaji kaka nitafurah kama siku nikisikia upo chini ya WCB

  • @danielsiasa459
    @danielsiasa459 Před 7 lety +1

    Me nimekuelewa vizuli yale maneno uliyosema kwenye XXl kuwa hujui boss.yani hutaki kuwa chini ya Alikiba sababu kawa boss saii.

    • @mwambirekwamboka9525
      @mwambirekwamboka9525 Před 7 lety

      Daniel Siasa that's true dear meaning jealousy will make him fade.komaa jaluo akili ulionayo isipoteee

  • @hamismindika7513
    @hamismindika7513 Před 7 lety

    Maamuzi magumu lakini mazuri utamu wapipi nimate yako.hakuna tofauti yakummuacha mke nakuhamia kwenye puchu.karibu bacheboy

  • @kulengwamabula9508
    @kulengwamabula9508 Před 7 lety

    shabiki kusema kwann nimetoka rockstar ni mimi na rockstar haikuhusu shabiki wewe deal na mziki tu.....jaman wanaomsupport waendelee huyu anashida kwan kuuliza ni vibaya jaman mi sijammind sema nasema tu dogo ni mpuuzi ego ni mbaya sijasema kwa ubaya sema muangalieni

  • @jeremiajohaziel4927
    @jeremiajohaziel4927 Před 7 lety

    Jamaa amekuwa mweupe sijui nae kageukia mkorogo!!!!!

  • @elimagotraore9712
    @elimagotraore9712 Před 7 lety +1

    Katumbuliwq aaahhhhh

  • @abubakariyusufu9320
    @abubakariyusufu9320 Před 7 lety +1

    Jamaa kajishtukia,mi nilijua2 lazma ajitoe kimaso maso,ana chuki sana huyu dogo ndo maana kila mtu anagombana nae,uta fail una dis had mshabik?

  • @man-zh6ug
    @man-zh6ug Před 7 lety

    Tatizo moja la lock star ni kuchelewesha kutoa kazi za wasanii wao angalia ommy dimboz katoa nyimbo haina vídeo mbaka Leo Alikiba katoa Aje lemix mbaka leo kimya

  • @mkwechemedy9929
    @mkwechemedy9929 Před 7 lety +4

    Baraka sawa malaya anae tegemea mwili wake kuuza mwili km mnakumbuka meneger alie mtoa C alitoka km msenge mmoja so me nalionaga senge moja hivi linalo angaika mitaani

  • @RAVincentOfficial
    @RAVincentOfficial Před 7 lety

    THE END OF BARAKA ... AUNA AKILI

  • @ramsobeca9578
    @ramsobeca9578 Před 7 lety

    baraka kuma tu

  • @leonardkomba686
    @leonardkomba686 Před 7 lety

    baraka alianza bila rock star so hawezi kupotea kisa rock star ambayo imemkuta anafanya vizuri ndio wakavutiwa nae so baraka bado ataendelea kushine coz rock star walikuwa wanamtegemea baraka na sio baraka alikuwa anawategemea coz hawamuandikii nyimbo na anayeimba ni yy na sio baraka afadhali umekimbia kaka km Ali kiba wanamzubaisha kutoa nyimbo karibu mwaka mpaka mashabiki wanalalamika na ww wangeuwa kipaji chako km njoo WCB

  • @leskaryjoram8832
    @leskaryjoram8832 Před 7 lety +1

    Dogo toa nyimbo acha maneno

  • @tehsa-muhas154
    @tehsa-muhas154 Před 7 lety

    Asee bro! At least ujishushe kidogo kaka!! Kwan interview za diamond huzionagi??

  • @jessemadahqvevo5728
    @jessemadahqvevo5728 Před 7 lety

    Kweli ww unajiamini asee nimekukubali wa leke zone mwenzangu

  • @leskaryjoram8832
    @leskaryjoram8832 Před 7 lety

    Mziki bila mashabiki

  • @jumamichael4083
    @jumamichael4083 Před 7 lety

    Juhudi bila nidhamu ni sawa na bure

  • @masasiyetu4313
    @masasiyetu4313 Před 7 lety +2

    nauliza kuna wanaume kama mashoga waaa.......,? barak han jipya bora ata ya kaka diamondi anauza karanga wewe kauze upupu uko hahahaaa

  • @mwanahalimamwachili9679

    Sawa ila ulimi hauna mfupa usiongee mdomo wazi hujafika kwa wenzio.

  • @leothobias8116
    @leothobias8116 Před 7 lety

    #BARAKA hayupo sahihi kabisa hakuna shabiki anae shabikia mziki bila kumpenda msaani hajaupenda mziki.....!sio maneno ya kuwa ambia mashabikia

    • @dicksonmagati5455
      @dicksonmagati5455 Před 7 lety +1

      Hapo Ndipo jamaa karibu kabisaa hata hao mashabiki wanakuja kwenye zako kuona unavyo perform sasa Kama ushaanza kuongea hiv unategemea Nani wakukusaport kwa mwenendo huuu du pole mzeee hayo sio maneno yakuwaambia mashabiki wako

  • @alialle6441
    @alialle6441 Před 7 lety

    Ila huyu kwa nidhamu yake ilivyo mbaya cjui ataishi na nani kwenye dunia ya sasahivi!

  • @mondnumz7746
    @mondnumz7746 Před 7 lety

    ww na myoyo yako kila nyimbo moyo tu huna cfa za kwenda wasafii boya ww hujua kuandika tofaut na moyo hovyooooooo

  • @8pistons194
    @8pistons194 Před 7 lety

    kipaji chake mwenyewe nyie ng'ombe mnawashwa nn kama mnataka imbeni msainiwe rockstar.Maana ya rock ni jiwe na kwenye jiwe hapawez kuzalishwa chochote ndo mana hao wasanii wenu wamebuma.Kazi kuandikiwa nyimbo za WIZI

  • @EMMANUEL42541
    @EMMANUEL42541 Před 7 lety

    Wachane wachane baraka

  • @charlzg3516
    @charlzg3516 Před 7 lety

    msenge mkubwa weee

  • @mesaidiabdallah2851
    @mesaidiabdallah2851 Před 7 lety

    nenda ukaimbe moyo mbele hata uko utakako kwenda auto dumu kwa kua unanidhamu truboy akukosea safari ya mawanza yamnukia

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 Před 7 lety +1

    mbwawewee mpuzi wewe usiye naadam wala busara ya kuzungumza na watu through media aseee kweli mangala hunaakili

  • @samsonkusupa6809
    @samsonkusupa6809 Před 6 lety

    we ulifikiri ni ile rock star ya jay zz...!?

  • @robertonaftal4856
    @robertonaftal4856 Před 7 lety

    janja tatizo mdomo wako hujafunzwa

  • @jeremiajohaziel4927
    @jeremiajohaziel4927 Před 7 lety

    dogo acha mkorogo sasa ijapo unataarabu nyingi kama binti alotelekezwa na mpenziye

  • @nobimgaya5359
    @nobimgaya5359 Před 7 lety

    hajisomi uyu mchiz..

  • @naimarama5741
    @naimarama5741 Před 7 lety

    rest in peace 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @nelsonjohn8294
    @nelsonjohn8294 Před 7 lety

    dhuuuu

  • @allencosmas248
    @allencosmas248 Před 7 lety +1

    utoto akikua ataacha

  • @mohamedkuyawa3889
    @mohamedkuyawa3889 Před 7 lety

    baraka sifa zinamponza xana wanavyomxifia kisa anaponda ndo anatafuta sifa mm nirikua shabiki yake rakina xaxaiv nimemuama

  • @bryanzeconfesor5476
    @bryanzeconfesor5476 Před 7 lety

    una akili sana boy afu kuimba unajua

  • @peterhalson8949
    @peterhalson8949 Před 7 lety +1

    kwan ww nan

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 Před 7 lety

    eti heeeeee sasa tuone we sijeuli

  • @djunction4127
    @djunction4127 Před 7 lety

    pole unafel

  • @revogathmwachamwacha2569

    poa kichaaa

  • @johnshadrack7008
    @johnshadrack7008 Před 7 lety

    ndio maana keusi

  • @ernestjohanes9087
    @ernestjohanes9087 Před 7 lety +1

    Unamsaidia mtu then unasema ujinga huo

  • @maryamsarlim5888
    @maryamsarlim5888 Před 7 lety

    mmmmmmh

  • @futuristicboii
    @futuristicboii Před 7 lety +8

    Sasa unaleta jeuri! Album yako utasikiza chumbani kwako mwenyewe

  • @peterhalson8949
    @peterhalson8949 Před 7 lety +1

    wewe ndo ujichunguze

  • @djgthehotstepper
    @djgthehotstepper Před 7 lety

    huyu amechanginyikiwa airplay kidogo yamvimbisha

  • @binthamadi2205
    @binthamadi2205 Před 6 lety

    Baraka nae si twakuona mtu wa maana kumbe mavi matupu vijimeno tu mtsssssssssssss toka uende ukauze mitumba ukiskia usenge nikama hivyo Sasa utawatukanaje mashabik lioni sikupe na nakuchukia na mashabiq hawakupendi vimeno weeeeeee

  • @dullahweldingfundiwamageti1301

    aendezake kuimba kwenyewe hajui anamaneno ya kimama sana kama kama mwanamke bana

  • @ismailymussa155
    @ismailymussa155 Před 7 lety

    itakua ni mweusi SNA ndy maana wamekutoa umetolew

  • @dullahweldingfundiwamageti1301

    safari yakwao imenukia akachunge ng'ombe hahahahaaaaaaaa true boy alikuambia wew