Hata mi Leo mukono umetetema wakati namtumia SMS mume wagu yani nimesia kama shoti ya sitma kumbe unaweza penda mtu paka ukiwa mbali nae tena uhisi ukonae hapo ulipo hakika anampenda sana mume wagu na miaka miwili sijamuona ila sina wasiwasi juu take najua anasubiti mapenzi kutoka kwa mkewe nami weeeee nasia gwadu sijui ni ya ukwaju ama limau ama ndimu ama ambe chaga OK hogera sana......?
Woooow nice mashallah this song mdomo unatetema kw pendo 👌👌👌👌🎶🎶🎶🎵🎵💥💥
2024 tutane hapa
habo habo,,, mmmh ngoma safi, mziki bila jasho,,, uuh,,,
. eheya sikia utamu. asante sana Albert
Wonderful music Shehi,keep them coming
my favourite ❤
Hakika Utamu.......
Sijui nitakuona wapi nahitaji uje utowe nyimbo kwa harusi yangu
It's true mdomo watetema Kwa pendo,,,,,🥰 this song 2 xaaana
wazii mkali wao,songs zako ziko juu na haziishi utamu,heko mwili wanitetema kwa pendo.
Umetisha
zegedeee hoyeee raha kwenda mbele ........hongera sana Albert shehi
ni hayo tu n mm wako labeka
Si wa bango but hapa swafi.
Wazi Mkulu wao. Mkono wanitetema kwa pendo
Habo habo na penda sana kuzikilza nyimbo za Albert
Hapoo zegedee ndani ya saudia
I like the music so much, bango musicians
🤣🤣🤣🤣 uthamu mtupu asikwambie mtu🙌🙌
Naomba nipate penzi wakuimbiwa nyimbo ka hizi....
Kwa yule anaetaka Audio za nyimbo zangu, anaweza kuzipata na kuzidownload kwa [Mdundo.com] halafu search jina langu. Enjoy.
ALBERT SHEHI i
I love your songs za nips raha sana moyo
ALBET SHEHI nyingi ziko poa sana
na anaetaka ukue kwa harusi yake akupataje.....niko south coast na ningependa
ALBERT SHEHI nataka
Aaaaaaaaaasanta Albert!!!
Wow raha kwenda mbele
Its always nice to hear your voice and your unique sound, Ernest
Mashallah
Hata mi Leo mukono umetetema wakati namtumia SMS mume wagu yani nimesia kama shoti ya sitma kumbe unaweza penda mtu paka ukiwa mbali nae tena uhisi ukonae hapo ulipo hakika anampenda sana mume wagu na miaka miwili sijamuona ila sina wasiwasi juu take najua anasubiti mapenzi kutoka kwa mkewe nami weeeee nasia gwadu sijui ni ya ukwaju ama limau ama ndimu ama ambe chaga OK hogera sana......?
The best of the best keep up the great work.
Zegedeeeee
Mmmmh penda sana nyimbo zako.
hongera naipenda sàna
Nice song.
hongera Albert
Nyimbo zako nzuri, nataka Ku download audio Naweza itafuta wapi hiyo mdundo com. Plz
Utamu mtupuuuu
Wooow
nimeipenda hiyo,zegedeee mmh! ningependa ku download nyimbo zako nitazipata vipi Shehi plizzz
bigup Albert
Hapo hapo
haaaalloooooo utamuuuuuu
Okey
naitafuta audio sipati
hongera naipenda sàna