Aliyekuwa mke wa Juma Lokole afunguka, miaka yao 9 ya ndoa, kupigwa Bastola, mtoto wao mmoja

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 43

  • @hawababy120
    @hawababy120 Před 3 měsíci +11

    Mashaallah anamuongelea vizuri san mzazi mwenzake

  • @emmyally1511
    @emmyally1511 Před 3 měsíci +6

    Juma msapoti mzazi mwezio anakuongelea mazuri sana

  • @user-cr1nk1zc5s
    @user-cr1nk1zc5s Před 3 měsíci +6

    Mashaallah anafanana na Ivon Chaka Chaka 🥰 na mbiliabeli at once. Siri ya kuachana na juma ni kwamba Juma anapenda wanaume wenzake

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před 3 měsíci +11

    Juma Kwa Mimi nimeelewa kuwa dada yupo tayari kuishi na wewe lakini wewe ndio hutaki kuishi nae rudia mke huyu dada ni mrembo umefeli wapi juma huyu ni chombo chako bhanaaa KHAAA

    • @saidirakozi1809
      @saidirakozi1809 Před 3 měsíci

      Juma analiwa nyuma sasa

    • @Official83640
      @Official83640 Před 3 měsíci

      Kwani alivyoondoka na fenicha zote za ndani alitegemea Juma atakuwa fukara au demu ndy aliondoka😂😂

  • @pceodhc
    @pceodhc Před 3 měsíci +3

    Mtangazaji anaijua kazi yake! Big up!

  • @user-gj2mm3ko8m
    @user-gj2mm3ko8m Před 3 měsíci +1

    Mke ❤❤❤❤❤Mashallah Mbonge LA Dem Kama Hamisa mzuri kweli❤❤❤🇰🇪💯

  • @elizabethbwakila3982
    @elizabethbwakila3982 Před 3 měsíci +1

    Jmn huyu mama ikram anaonekana bado anampenda juma

  • @adelinabaitu3291
    @adelinabaitu3291 Před 3 měsíci +1

    Jamani Mika 14 umepata mtt na shule umeishamaliza hongera

  • @HameedaHh-y5y
    @HameedaHh-y5y Před 3 měsíci +7

    Mashallah huyooo demuuu mzuriii JUMAAA alifeliii wapii

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 Před 3 měsíci +1

      Toka lini papai likatunza ndoa😅😅😅😅😅😅 jamaa kaona bora kuwa complete homo than bisexual

    • @Official83640
      @Official83640 Před 3 měsíci

      Demu ndy alimuacha Juma akabeba kila kitu cha ndani ndy maana Juma akashikwa hasira hamtaki😂😂😂

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 Před 3 měsíci

    Waongea vizur Maa Shaa Allah hautamki alianza ushoga kbsa , Good sister

  • @mrfashion1687
    @mrfashion1687 Před 3 měsíci +1

    Miaka 9 mtoto mmoja, juma alikua mvivu sana KMMK

  • @RynoFiree
    @RynoFiree Před 3 měsíci +4

    Huyu dada ni bonge la mtu na nusu, anajielewa mno

  • @chany9950
    @chany9950 Před 3 měsíci +4

    Juma love you👍🏾👍🏾👍🏾👍🏾

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc Před 3 měsíci +2

    Huyu dem ni mrembo Sana!!! Juma regelea huyu dem

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o Před 3 měsíci +2

    Ongera mtangazaji , unajua kuhoji maswali

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Před 3 měsíci

    Nice interview
    Napenda mziki
    Ntakuja nikirud tz

  • @Living7Stone
    @Living7Stone Před 3 měsíci

    Atamka vizuri jina Lokole (ki-Congo); Lo ko lé👍

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Před 3 měsíci

    Mzuri mwenyewe mke wa juma
    ❤❤😂alzaa mdogo

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Před 3 měsíci

    Afu juma handsome mwenyewe na kimwanya chake.

  • @bahatihassan7492
    @bahatihassan7492 Před 3 měsíci +3

    Unajua kuuliza maswali

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 Před 3 měsíci

    Duh kumbe JL alikua anapiga?

  • @itzsnazzyjazzy472
    @itzsnazzyjazzy472 Před 3 měsíci

    Nimempenda huyu dada furiiiii

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Před 3 měsíci

    Ana saut nzuri

  • @catherineshilima7576
    @catherineshilima7576 Před 3 měsíci +5

    Juma lokole anaitwa dada juma

    • @svt3
      @svt3 Před 3 měsíci

      Huyu alikuwa mke alali tena wa ndoa, Juma na huyu dada wana mtoto tena amekuwa mkubwa miaka 10 sasa au zaidi wanalea pamoja na wana kutana kila mara na hawaongeleani vibaya labda hata kiporo wana peana

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy Před 3 měsíci

    Mahojiano yametuliaaaa mpaka raha

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Před 3 měsíci +1

    Mtangazaji yuko vzuri

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Před 3 měsíci

    Kumbe juma baba bora😂😂😂

  • @rebbywealth9869
    @rebbywealth9869 Před 3 měsíci

    Ni mrembo..... na Juma upande wa malezi ameweza
    Ila so far sijajua kwanini kahojiwa, nikajua in the end ana jambo lake la kupush

    • @BerthaModest
      @BerthaModest Před 3 měsíci +1

      Anaimba apo amesema na ni mnenguaji iyo bendi amesema kumpush ni kwenda kuangalia iy band ukiwez mtunze rebby

  • @yusraramadhan8203
    @yusraramadhan8203 Před 3 měsíci

    MashaAllah

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy Před 3 měsíci

    Sauti kama ya zuchu

  • @Peterchila-un2lx
    @Peterchila-un2lx Před 3 měsíci

    Kumbe huyu ni sevice geli

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n Před 3 měsíci +1

    Sasa choko atakaa vp na mwanamke

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 Před 3 měsíci

    ❤❤❤❤❤❤❤️‍🔥❤️‍🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💋💋💋💋