GEN Z WAMJIBU RUTO BAADA YA KUWATISHIA KUWANYOOSHA ,"SISI HATUOGOPI KUFA ...."

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 07. 2024
  • GEN Z WAMJIBU RUTO BAADA YA KUWATISHIA KUWANYOOSHA ,"SISI HATUOGOPI KUFA ...."

Komentáře • 533

  • @hellenbarasa3261
    @hellenbarasa3261 Před 3 dny +148

    Tushikilie hapo hapo ndugu zetu, na lazima aondoke, Gen Z hoyeeee💪💪💪

  • @dennyosoko8075
    @dennyosoko8075 Před 3 dny +40

    He can be a good leader I love his speech congratulations young man

  • @dr.ireneruminjo4346
    @dr.ireneruminjo4346 Před 3 dny +28

    Thanks GeneZ for speaking out about these traitors

  • @edinahkerubo6628
    @edinahkerubo6628 Před 3 dny +20

    I'm proud of of our youth. Fight for your justice 😊

  • @ddnkmurmuur220
    @ddnkmurmuur220 Před 3 dny +34

    Kweli kabixsa ,wakati wa mijadala isha chapa ukuta wa maGenZs.✊🏿👉🏼🇰🇪🌍✌🏾

  • @afrakanaswahilitv5520
    @afrakanaswahilitv5520 Před 3 dny +9

    Shukrani kwenu wanajenzii kwa kusaidia kukomboa jamhuri yetu ya Kenya. Nawapigia chepuo kwenye shughuli hiyo. Pamoja wanangu.

  • @ClementJacob-sd8lf
    @ClementJacob-sd8lf Před 3 dny +45

    Uyu musikubali kuwa president Mimi ni mumalawi nawawunga mkono vijana hawana wukweli mkimaliza twendezetu malawi mnachokitaka ni africa kunyowoka asanteni

  • @stanleykaibua
    @stanleykaibua Před 3 dny +33

    Ruto anapikiria sisi ni watoto, lasima aende mbambo mbyando

    • @user-uv9un5zc5o
      @user-uv9un5zc5o Před 3 dny

      Kwanza ww Rudi shule ukasome

    • @goldgold.
      @goldgold. Před 3 dny

      ​@@user-uv9un5zc5ojinga hii. Wewe wataka kutafutwa usalimiwe.
      Malaya wewe😢

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj Před 3 dny +37

    Mombasa huyoeee🎉💯👍

  • @PaulNjugunaKimani
    @PaulNjugunaKimani Před 3 dny +73

    Hapo ni Sawa, President atembee kila county akiongea na vijana.

  • @user-tf7hz6mw1o
    @user-tf7hz6mw1o Před 3 dny +85

    Mwenye anamfuata ruto anapotea njia ruto must goo

    • @mbolokinyoni2205
      @mbolokinyoni2205 Před 3 dny +7

      Huyo jamaa hata haitakikani kuzungumza naye manake ni mikora na hata uongo ndio mtapata,

    • @user-gi7gm3cu5e
      @user-gi7gm3cu5e Před 3 dny +3

      Kweli hapo hakuna kuongea huyo anaudictator sana,mm nawaombea Mungu awalinde tu

    • @stevokanyastv3
      @stevokanyastv3 Před 3 dny

      Kabisa

    • @artisthusnatalal3099
      @artisthusnatalal3099 Před 3 dny +2

      Mlikua vipi na Uhuru? Jee alibadilisha maisha yenu ama? Mbona hamkumwambia kitu ama mnamuogopa? Ruto ndiyo haogopewi?

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 Před 3 dny +1

      ​@@artisthusnatalal3099Waulize wakujibu hawa fala wala mavi. maandamano yanasababisha maduka kufungwa, uchumi unashuka watakula mikundu yao aki

  • @Edwardmalonza
    @Edwardmalonza Před 3 dny +35

    Cudoz our young brother, no entertaining of traitors, ukisalitiana tembelewakikamilivu

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz Před 3 dny +6

    Nyie wanaume. acha sisi watuwamani nikuonewa. Kilasekita. Kilakona. ilamsichome. Makanisa. Sehemu zaibada. Mziache nyie niwazuli. Nimewapenda. Kwamsimamo wenu ❤❤❤❤

  • @jerrymcbride2230
    @jerrymcbride2230 Před 3 dny +53

    Ruto anacheza!

  • @user-gm6pt9qm3i
    @user-gm6pt9qm3i Před 3 dny +27

    Wow very nice vijana wanzuri komesheni uyu jambazi ande sigoi

  • @HunchoRashid
    @HunchoRashid Před 2 dny +2

    Lovely our son,keep it up,the first one,ana maneno ya hekima

  • @karirekinyana9759
    @karirekinyana9759 Před 3 dny +11

    Songambele vijana tukonyuma yenu Ruto mast go 😮

  • @muriukiwarui6064
    @muriukiwarui6064 Před 3 dny +2

    I am proud of how all these gentlemen spoke...especially the last one, I'm proud of him.

  • @AffectionateEarth-sy6io
    @AffectionateEarth-sy6io Před 3 dny +9

    Atembee kila county kama vile alivyo omba kura

  • @GeorgeAyieye
    @GeorgeAyieye Před 3 dny +9

    Hio ni ukweli mkuu sote ni Genzi apeleke hio ujinga kwake.Yeye analala state house sisi tuna lala njaa

    • @davidmugoh6421
      @davidmugoh6421 Před 2 dny

      Mna lala njaa coz ya uvivu wa akili zenu. Ushuru lazima ulipwe.

  • @bettyjones8353
    @bettyjones8353 Před 3 dny +4

    Nice Gen Zees. Love your attitude. You are the awakened among all generations so please continue doing whatever you have to do as you are seeing past the veil. People get bought during campaigns through cash, Unga, nyama choma etc. At that time the people to be elected are touchable, very friendly and very good listeners but after getting the seats their become unavailable. You have learnt from previous generations how betrayal works and you aren't falling for it. Keep it up. Following you from abroad and sending you strength, resilience and love for your course all the way. Don't fear death as soon or later we will all die and better die for a course than live like a slave in our ancestors country..

  • @niominiomi3334
    @niominiomi3334 Před 3 dny +26

    Ruto must go go go go

  • @dhahabukalama2635
    @dhahabukalama2635 Před 3 dny +5

    I'm watching from Bahrain 🇧🇭

  • @teresiawperson8002
    @teresiawperson8002 Před 3 dny +2

    Watoto wa Mombasa wako wanajuana na zaidi Kiswahili ndio wote wanaongea! Hongera Vijana wetu!!!!

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 Před 3 dny +3

    Natamani Tz tungekua wajasiri kama wakenya

  • @user-fz6og2lk1v
    @user-fz6og2lk1v Před 3 dny +17

    Exactly

  • @salomeomashibo1971
    @salomeomashibo1971 Před 3 dny +18

    ruto sio wakuongea na yeye ni muongo kila wakati hakuna jambo lakweli Hutoka kwa kinywa chake niuongo2 na kupoteza mda ruto must go ruto must go ruto must go

  • @ronaldjoseph9168
    @ronaldjoseph9168 Před 3 dny +3

    Gen z revolution will win... William Ruto must Go

  • @user-cw6yt5yu4p
    @user-cw6yt5yu4p Před 3 dny +30

    Hao wamepereka tumbo zao , warafi , wasenge ,

  • @rosemuniu1171
    @rosemuniu1171 Před 3 dny +7

    Ruto ajaribu atasalimiwo.

  • @abubakariramadhani1372
    @abubakariramadhani1372 Před 3 dny +12

    Gan z muko vizuri sana katiba mpya

  • @LucyMusau-go9mi
    @LucyMusau-go9mi Před 3 dny +5

    Gen Zs are Fighting for their right, So ruto must go

  • @JIMTHEDON
    @JIMTHEDON Před 3 dny +1

    😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉 congratulations to this generation men big up and let's go ahead no fear no retreat nor surrender I support you Gen Z this true bana 💪🙏💪🙏💪🙏 en yet we know our rights but ruto thinks we deserve nothing in this country,en this is too much ruto you must go go go go 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 from kithimani yatta machakos county 🎉🎉🎉🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪💪💪🙏🙏🙏

  • @user-tf7hz6mw1o
    @user-tf7hz6mw1o Před 3 dny +14

    Sure

  • @MareMa-kb3iy
    @MareMa-kb3iy Před 3 dny +2

    Kweli brother tuko warabuni am watching from Saudi

  • @JohnMwai-mr2xq
    @JohnMwai-mr2xq Před 3 dny +1

    👏👏👏👏👏ma Genzs wetu hoyeeee…….i like your outfit movement,leaderless,no party, no tribe .Next election we need an organic government, no party everyone to vie as independent so that we have many candidates whom we can elect the best.

  • @geoffreyowenga3958
    @geoffreyowenga3958 Před 3 dny +1

    THOSE WHO WENT TO STATE HOUSE WERE CHARLENE'S COUSINS, NOT GEN Zs.

  • @aminasaid9382
    @aminasaid9382 Před 3 dny +7

    Hapo sawa hakuna kubembelezana

  • @hahhak6784
    @hahhak6784 Před 3 dny

    Asante mwanangu be blessed ❤❤❤❤

  • @MishaOkondo
    @MishaOkondo Před 3 dny +4

    Ukweli kabisa

  • @user-wr9kt8mz1m
    @user-wr9kt8mz1m Před 3 dny +8

    Hapo sawa

  • @saidaboa9472
    @saidaboa9472 Před 3 dny +1

    Ruto vs uhuru. #sugar ilikua 250 to 130 #unga260 to 100 fuel 250 to 186 #doller 200 to 125. Tuacheni kutumiwa kiasa na Kikuyu jameni.sahii maisha yameshuka sana.

  • @JIMALEADAN-nq9ti
    @JIMALEADAN-nq9ti Před 2 dny +1

    Nani alikuambia wasomali si wakenya wachenzi nyinyi

  • @user-rm2er7ej1h
    @user-rm2er7ej1h Před 3 dny +3

    Hakuna ya bure bro ,Fanya kazi Ndio ukule jasho yako,kwani wwe ni nani,(ruto ni prezoo)nendeni mkalime ,Mr president wakalie ngumu kabisa

    • @fatumajuma592
      @fatumajuma592 Před 3 dny

      Ww kumbe hujielewi vijana hawana kazi, kazi ndiyo muhimu watu awataki Bure na ulevi wowote hatutaki pwani upo

    • @edwardnzuki9894
      @edwardnzuki9894 Před 2 dny

      Hawa awajui kushika jembe labda bagi

    • @davidmugoh6421
      @davidmugoh6421 Před 2 dny

      Shida yenu mnataka kuajiriwa tu na nyinyi mtaajiri, nani tokeni town mwende kwenu mkalime. Ushuru lazma kulipa RUTO TANO TENA. Round hii ndio watu watajua vijana ni wavuvu MY PRESIDENT WAKALIE ILI WAJUE KUFANYA KAZI NA KULIMA.

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před 3 dny +1

    Nyinyi Niwezi pale Nairobi mlivunja duka langu Yani hata Mimi police mnaiba kwangu subilini sasa njooni kwa maandamano Nitawauwa mpaka lisasi zikwishe

    • @maryannenjuguna8771
      @maryannenjuguna8771 Před 3 dny +1

      Wale walivunjà walilipwa kutoa fujo ili kuharibia g3nz jina alafu wàliol8pwa wanateta hawajalipwà pesa yote

  • @benardakure6934
    @benardakure6934 Před 3 dny +1

    Thumps up 😂😂😂lazima salamu ifike

  • @msouthqualitymabati4657

    Inawezekana kuna mmoja bado haja jifahamu btn kenya government and Kenyans citizens 1 must fall. To save the country and make it better Kenya .

  • @jamesblack018
    @jamesblack018 Před 3 dny +1

    The time is right to be a Kenyan youth bana ,

  • @SarahlidyaLukhayo
    @SarahlidyaLukhayo Před 2 dny

    My brother you have spoken as 100000 people

  • @ruthmueni4690
    @ruthmueni4690 Před 3 dny +6

    Take their money , enjoy it , protest and stick together, common focus, Kenyans deliverance .

    • @ruthmueni4690
      @ruthmueni4690 Před 3 dny

      Yesu aliwa chapa figoko?

    • @eddyrandu3127
      @eddyrandu3127 Před 3 dny

      You take their money now, they abduct you on next demo thinking you are the leader

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796

    RUTO MUST GOÒOOOO

  • @user-rm2er7ej1h
    @user-rm2er7ej1h Před 3 dny +1

    Ruto the 5th ,ruto our president let him do his work .

    • @emmanuelopiyo6408
      @emmanuelopiyo6408 Před 3 dny

      Which work? he's a one term president who's gud for nothing kwani iko nn

    • @njerikungu8034
      @njerikungu8034 Před 2 dny

      Which work ???
      Oppressing, the poor & needy ????
      Heavy taxes & no development to show ????
      Think along those lines you will thank me later 😜😜😜😜😜😜😜!!!

  • @shiko3686
    @shiko3686 Před 2 dny +1

    I love this 🙏🙏

  • @UDA247
    @UDA247 Před 3 dny +2

    Finance bill gani?

  • @user-wr3jp6tg4p
    @user-wr3jp6tg4p Před 3 dny +5

    Chungeni muwe na lengo

  • @charleslemeria1231
    @charleslemeria1231 Před 3 dny

    Huyu kijana ni roho juu nimempenda mwana kidume. Big up joh

  • @ShedrackAli
    @ShedrackAli Před 3 dny +6

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪👏👏💪💪 must go

  • @MustafaTsangwa
    @MustafaTsangwa Před 3 dny

    Congratulations bro hapo n sawa 2

  • @DuncanKimani-ps4yv
    @DuncanKimani-ps4yv Před 3 dny +4

    Aiiii iweni na mipango ata nyinyi

  • @user-ok7rn2np5o
    @user-ok7rn2np5o Před 3 dny +4

    Ruto. Unapadisha. Pads. Za. ALWAYS. za. Wanawake. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @bettymariga
    @bettymariga Před 2 dny

    Thanks genz vijna wenye nguvu mungu awahifadhi

  • @immaculatekyalo8124
    @immaculatekyalo8124 Před 3 dny +1

    Nice mesange to Zakayo.....Imfikie vilivyo

  • @rahmaali916
    @rahmaali916 Před 3 dny +4

    He must go

  • @MishaOkondo
    @MishaOkondo Před 3 dny +1

    Hapo sasa smart kabisa

  • @EvansOchieng-kl7fc
    @EvansOchieng-kl7fc Před 3 dny

    Together as one GEN Z.......RUTO MUST GO!!!!

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 Před 3 dny +1

    Chemken vijana achen siasa za uvivu msimtishie rais hawaz wapa ajira wote fanyen Kaz vijana

  • @beavaneomwenga1987
    @beavaneomwenga1987 Před 3 dny +2

    Tuchukue kura 2027 vijana ,hii umbwa tutaipeleka home👌

    • @omarndege811
      @omarndege811 Před 3 dny

      Atawaibia. Kura. Tena. Msitegee. Kura. ,Kenya election. ,hakunaaa ...nithuluma

    • @davidmugoh6421
      @davidmugoh6421 Před 2 dny

      5 tena.

  • @apostolicgrace5630
    @apostolicgrace5630 Před 3 dny +1

    Hawa ni mateja tu hakuna Gen-Z, hapa, Gen-Z wanaongea kizungu 😂

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Před 3 dny +2

    Watu wakikosa Uislam ni hatari kabisa Ninyi Wakenya Hiyo Nchi munaharibu KabiSa
    Uislam unakataza kufanya Harakati bila Kuwa na Kiongozi SASa ninyi Munasema hamuna Kiongozi
    Ninyi Mutaharibikiwa ninyi
    Na Munaharibu Nchi HIYO

    • @badarahmed1861
      @badarahmed1861 Před 3 dny

      Kaa na uislamu wako siasa ya gen Z haijui dini wala kabila wala chama

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 Před 3 dny

      @@badarahmed1861
      Ila ninyi mutakuja kujuta Ninyi
      Mfumo wa Demokras haukuanza Kenya
      Mumeaminishwa tu na wazungu kuwa ndio mfumo unatoka Haki
      Lakini mumesahau Rais alieapa
      Kisha akatambuliwa na vyombo vya usalama
      Ni hatari kumtoa ki mzaha mzaha
      Kama hivyo mwacheni amalize muda wake na mwambeeni Kwa Mungu Ampe Busara huruma kwa wakenya na hekima

    • @badarahmed1861
      @badarahmed1861 Před 3 dny

      @@ramadhanimtetu3656 nyinyi ndio mumeharibu nchi mkauza dini kwa pesa duni

  • @amihusali4130
    @amihusali4130 Před 3 dny +1

    Never ever give up fighting for your rights!! Kenya si ya hawa puppets wa imf na world bank.

  • @faithmusyoki8684
    @faithmusyoki8684 Před 11 hodinami

    Wasilamu ni dangerous thieves especially here Eastleigh....makafiri

  • @williammutiso4340
    @williammutiso4340 Před 3 dny +6

    Hapo dipo

  • @sammykoilegei8477
    @sammykoilegei8477 Před 3 dny +1

    Finance bill ,i advocate be implemented in full this young sabotagers of of our nation stability & economy can't take us for a ride

    • @badarahmed1861
      @badarahmed1861 Před 3 dny +1

      Ur name betrays

    • @sipyfavoured2990
      @sipyfavoured2990 Před 3 dny

      ​@@badarahmed1861 I know right? The most backward pple we have in Kenya right now. Still living in zinjathropus mentality. Wajinga nyinyi...

  • @wabannah9009
    @wabannah9009 Před 3 dny +1

    "The only Problem we have in Kenya is "Ruto"!!!(Kenyans have no other Problems;to be Precise)"!!!.

  • @AnnitahAnjao
    @AnnitahAnjao Před 3 dny

    Wooooooooyie, must go ruto

  • @charleskyalo8762
    @charleskyalo8762 Před 3 dny +1

    Hapo hapo Kila corruption itapika mwisho.

  • @shabelkiwo8481
    @shabelkiwo8481 Před 3 dny

    The Youths have now waken up,it's time for them to demand good leadership and accountability,Any bad and corrupt leader will have it rough

  • @jessiebond8688
    @jessiebond8688 Před 3 dny +2

    Right vijana

  • @dammerwale807
    @dammerwale807 Před 3 dny

    Kweli kabisaa mombasa ufisadi mwingi
    Kilifi basary zinatoka vizuri sana

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Před 2 dny

    Salaamu hizo ucpime, Mzee baba, Kenya,nzima,walaah ucpime,

  • @eng.muthoniwachira5203
    @eng.muthoniwachira5203 Před 13 hodinami

    Hasira za paka pelekea panya got me😂😂😂

  • @user-rg3lq7sd9f
    @user-rg3lq7sd9f Před 3 dny

    Very true Ruto atembee kila kona aongeleshe wakenya wote ametuchosha hatumtaki

  • @user-wo7wm4zp7t
    @user-wo7wm4zp7t Před 3 dny

    Bravery young people of Kenya.Ruto must go!?

  • @user-db3hf6ug7u
    @user-db3hf6ug7u Před 2 dny

    I support you guys 💪💪💪💪

  • @PeninahN
    @PeninahN Před 3 dny +1

    hapo sawa waede wote kabisha

  • @JosphatMathuku
    @JosphatMathuku Před 3 dny

    We are leaderless thanks for wise words

  • @dennyosoko8075
    @dennyosoko8075 Před 3 dny

    Amen nice speech 🎤

  • @christine8108
    @christine8108 Před 3 dny +1

    Well done 👏

  • @everlynemutola9486
    @everlynemutola9486 Před 2 dny

    Kenya my mother land,mwambie ukweli ndugu zetu

  • @solim572
    @solim572 Před 3 dny

    Nguvu kwa sisi mayouth na GEN Z tunaongea bila uoga na hatutishiki na kitu chochote tutaendelea kupigana mpaka tupate huru #UMOJA ✊👊💪

  • @pauloshio7524
    @pauloshio7524 Před 3 dny +1

    Kenya kuweni makini alshabab wameshajipenyeza mtalipuliwa na mabomu muda si mrefu

  • @malaikajabali-oj2fh
    @malaikajabali-oj2fh Před 3 dny +1

    For you to win this battle kindly chukueni kura kila mmoja wenu. Haya pataneni na hawa viongozi kwa debe come 2027 watu waende home asubuhi na mapema

  • @honyasin1039
    @honyasin1039 Před 3 dny +1

    From KY to Ug sideyo

  • @debraanyango6574
    @debraanyango6574 Před 3 dny +2

    Yes very true

  • @wilsonwarl6349
    @wilsonwarl6349 Před 3 dny

    Unless atumalize wote.. mps mtu anabuy gari ya 30m na sisi tuko njaa??? Never in our eyes tutakula oyo pesa ya corruption

  • @ThomasNgelata-sd5hk

    Mko sahihi kabisa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉

  • @noelswai2660
    @noelswai2660 Před 2 dny

    Ila system ya Kenya ilifeli,hao vijana walitakiwa wathibitiwe mapema 😎

    • @rabsonchisumo6640
      @rabsonchisumo6640 Před 2 dny

      Akili hauna wanajielewa Cyo kama nyinyi Wanaroho ya ujasiri hao siyo wewe mama

  • @resiomuka
    @resiomuka Před 3 dny +4

    Hapo sasa

  • @MogeniGeoffrey
    @MogeniGeoffrey Před 2 dny

    It is very sad , the fact is true Mr president kindly it is unfortunate that the 5th president of the Republic of Kenya is expensive to understand please Sir not Sakayo can you look for away to bring back unit in Kenya you will remain at avery (0) Legacy in our country.

    • @njerikungu8034
      @njerikungu8034 Před 2 dny

      You cannot give what you don't have.
      If you are tribalistic, imagine that's what you will dish out bountifully.
      May GOD intervine !!!

  • @realrager100
    @realrager100 Před 3 dny +1

    What an absolute disgrace of a man. With all that money borrowed what have Kenyan’s/ Kenya really achieved or benefited ?….and you want to pressure them with more dept. These are the next generations that you Mr Ruto should have invested in. They are strong, willing and able and I am sure they would be very sincere and loyal to president and country if they were treated with the respect and dignity they deserve. We know the root instigators are the west and knowing the history of kenya you Mr Ruto should have known and done better for kenyans. You are a disgrace to Africa 👎🏿