BABUTALE ATAJA SABABU ZA KUKATAA KUMSAIDIA CHIDBEZ KWENYE MADAWA YA KULEVYA ''ALINIUMIZA''

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 08. 2019
  • BABUTALE ATAJA SABABU ZA KUKATAA KUMSAIDIA CHIDBEZ KWENYE MADAWA YA KULEVYA ''ALINIUMIZA''
    #wasafitv #Block89
  • Zábava

Komentáře • 54

  • @vansaleh5786
    @vansaleh5786 Před 4 lety +4

    Tale nakuelewa mno ila kwa la chidi kama binadamu hujapaswa kumuhukumu kwa sigara pia kumbukumbu na kumzarau kwako kote ila chidi hachoki kukutafuta ujue jamaa anajielewa sana mitihani tu ya Mungu, lakini mwisho ya yote fanya unacho kiamini but fikiria mara 2 , Mungu akubariki ww na chidi pia 🤲🤲

  • @evandan7
    @evandan7 Před 4 lety +3

    Dah! Meneja aliekuwa msanii,una hekima za kutosha.......umesema ukweli mtupu......big up

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious Před 4 lety +4

    Msaaidie Babu

  • @abdulazizabdallah6297
    @abdulazizabdallah6297 Před 4 lety +8

    baba tale jikaze kiume bro unapo ongea

  • @sadikidaudi1223
    @sadikidaudi1223 Před 4 lety +8

    Ulikosea Tale kwakua yule sio rahis kuacha inatakiwa kuendanae taratibu .

    • @jimmiejr9531
      @jimmiejr9531 Před 4 lety +1

      Kweli. Matibabu ya kuepukana na uraibu inawachukua hadi miaka sio suala la mwezi mmoja

  • @princessjerad7655
    @princessjerad7655 Před 4 lety +9

    afu mkeo alimwelewa chid chid akiulizwa swali yupo makini kulijibu tena kisomi zaidi wangu msaidie na wasafi festv awepo mbona ile siku mondi anatoa misaada tandale alipafom vizuri tu

  • @johnniejimmy2986
    @johnniejimmy2986 Před 4 lety +6

    Mtu imara una ufala sana mzee

  • @prezbeatztz
    @prezbeatztz Před 4 lety +4

    Msaidie brow mtu kama Huyo ni vgumu kuacha mapema vitu kama hvyo so kama kweli ulikuania yakumsaidia brow help him maisha yanachange ujue u never know

  • @yuusufnuur5752
    @yuusufnuur5752 Před 4 lety +4

    Babu tale msamee kijana ni ubinahadam hahaha hanaponaaaa babutaleeee

  • @slayingtee6044
    @slayingtee6044 Před 4 lety +9

    Full interview plzzzzzz

    • @loganpoul
      @loganpoul Před 2 lety

      Give your number I will send it to you via WhatsApp

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Před 4 lety +2

    Ww huko na roho mbaya.... Kama huko na Nia mbona usimsaidie

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 Před 4 lety +6

    Wee nae ukitaka kumsaidia mtu msaidie cyo mguu ndani mguu nje mashauzi tu sigala ndo nini punguza mbwembwe

    • @ashrafallymhando7876
      @ashrafallymhando7876 Před 4 lety

      Si kasema kama alifanya makosa kumpitezea na yy ni mwanadamu, unaongea hivyo kama na wewe umemsaidia vile

  • @kellsonofficial2182
    @kellsonofficial2182 Před 4 lety +5

    Hahaha chidbenz eti kawa sec.......

  • @teddymwakanyamale9005
    @teddymwakanyamale9005 Před 4 lety +2

    Kama kweli ulikua na Nia ya kumsaidia msaidie chid ulitakiwa uende nae taratibu angeacha polepole sio ghafla kumbe sigara tu bro.. usichoke msaidie Tena ,.. Kuna Leo na kesho ...

  • @michaelbwoma2760
    @michaelbwoma2760 Před 4 lety +1

    Tale siwezi kukulaumu, naona kama Hawa wavuta madawa wawe banned tu watajirekebisha wenyewe tu, sasa huko SA ndio atakufa maana anaenda kujimaliza

  • @mohamedmlundi5637
    @mohamedmlundi5637 Před 4 lety +4

    Babu msaidie Benz... Atapona

  • @Moses-Kuria
    @Moses-Kuria Před 4 lety +1

    Kuna wengi wanastaili kusaidiwa lakini sio wavuta unga tunapitia shida nyingi lakini hatuvuti unga sasa ndo hawa wavuta unga wenyewe wamejitakia

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 Před 4 lety +4

    HUYU JAMAA SHOGA AMA MBONA KALEGEA LEGEA SANA👀😂😂😂

    • @eryveendonick2056
      @eryveendonick2056 Před 4 lety

      Munira Ahmed shogaaaa kumbe unaonekan at wew unafilwa ndo maan unawez kujua mapoz ya wafilwaji

    • @loganpoul
      @loganpoul Před 2 lety

      Munira kweli anafilwa kabisa,na Mimi nataka nimfile huyu munira

  • @djfiremoto3429
    @djfiremoto3429 Před 4 lety +6

    WEKENI FULL INTERVIEW YA BABU TALE SIO KUWEKA VICLIP VIFUPI FUPI

  • @kimshadyg4563
    @kimshadyg4563 Před 4 lety +1

    Vipi mbna nusu nusu..tupe full video ya interview ya babu tale

  • @sangijamadukwa1486
    @sangijamadukwa1486 Před 4 lety +2

    Huyu tale mbn anaongea kidemu hivi

  • @fabriceingabire8736
    @fabriceingabire8736 Před 4 lety +2

    Tale A.K.A kamati ya fitina🤣🤣🤣😂

  • @princessjerad7655
    @princessjerad7655 Před 4 lety +6

    babu tale ungemvumiloa tu sio rahisi kuacha paa msaidie tena wangu

  • @loganpoul
    @loganpoul Před 2 lety +1

    Tale wewe Una roho mbaya sana kila MTU anajua,unaongea taratibu ili ufiche ubaya wako lakini twakutambua,hakuna MTU mbaya sana kama ww katika industry ya music

  • @bosscousin4467
    @bosscousin4467 Před 4 lety +2

    yan babu tale anaroho mbaya hujawah onananayo

  • @athumanikaroyo5999
    @athumanikaroyo5999 Před 4 lety +1

    Sauti kama ya kideeeeeeeeeee m jikaze

  • @octaviotheeog3964
    @octaviotheeog3964 Před 4 lety +5

    Hii station ni ya kuinterview wasanii wa wasafi tu🤭🤭🤧🤧

    • @djkizzo152
      @djkizzo152 Před 4 lety +1

      mobeto ni wa wasafi?

    • @abdallahmeddy7298
      @abdallahmeddy7298 Před 4 lety +2

      Mobeto na whozu Madee MO music chege wote wasafi nao

    • @kakaaignas3675
      @kakaaignas3675 Před 4 lety

      Huna bando

    • @octaviotheeog3964
      @octaviotheeog3964 Před 4 lety +2

      Mobeto si alikuwa mpenzi wa diamond alafu whozu ameproduce ngoma yake kwa s2kizz na madee ni mabeshte na wasanii wa wasafi naye chege walifanya collabo na chibu

  • @gidiohkeen3530
    @gidiohkeen3530 Před 4 lety

    Huyu Babu Tale amfanana governor wa Kenya aitwae sonko

  • @ZanjabeelSalsabeel
    @ZanjabeelSalsabeel Před 4 lety +1

    *_Eti Shetani1 Akakuambia ACHA_*

  • @gidiohkeen3530
    @gidiohkeen3530 Před 4 lety

    Hii muziki iko nyuma inaudhi ....upuzi ujinga Tu kama ni mziki use mziki kama ni mahojiano si owe hiyo hiyo Tu...!!!! ...dammitt

  • @amanigalawa7422
    @amanigalawa7422 Před 4 lety +3

    Msaidie bana

  • @hassanchauluwa7308
    @hassanchauluwa7308 Před rokem

    Mkono wa kushoto ukitoa wa kulia ucjuwe

  • @leonellykweka7165
    @leonellykweka7165 Před 4 lety +5

    UMEMSUSA 😁😁😁 WCB MLIONA BIASHARA HAILIPI??!! MANENO YA KIFEDHULI UKIMPATA DADA YAKO AJATULIA APEWE MIMBA......MNGEINGIA COZ YA KUJIFUNZA KUFUNGA GAVANA MIDOMONI

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki6898 Před 4 lety +2

    achana naye yule atatumiya drag mpaka afe na kama unataka kwakumnunuliya sawa apo mtapatana juu anauwezo kwenye music hata akivuta ganja nasigara kibaya akiwa mwizi wala kibaka.

  • @ishtaradel2998
    @ishtaradel2998 Před rokem

    Tu

  • @kachawakikazi1217
    @kachawakikazi1217 Před 4 lety +3

    uyu jamaa anaongea kama shoga vile

  • @West-side-lt9nb
    @West-side-lt9nb Před 4 lety +6

    Msenge we . Kuacha unga mpaka kuvuta sigara imekua ajabu? Ulikua huna nia tu mupo kuwasaidia watu kw kujipaisha tu. Fuck it stupid Tale

    • @gwangtaek1564
      @gwangtaek1564 Před 4 lety +2

      😂😂😂😂😂 nataman ungekuwa marekani ningekupa dolla300 haki

  • @chobastian-chobo5759
    @chobastian-chobo5759 Před 4 lety +4

    Tatzo huna shule, nani alikwambia madawa huwa wanaacha gafla, mtu anaweza kufa akiaacha gafla, tatzo lenu mnafanikiwa tu kiuchumi lakini shule hamna

    • @antoinettedjumapili2522
      @antoinettedjumapili2522 Před 4 lety

      Chobastian -Chobo
      hiyo ndio tatizo ya wa Africa wengi hawajuwi kuacha hizo dawa ni mutihani mkubwa saana wengi wanapenda kuacha ila si virahisi kweli Tale angekuwa na elimu angefahamu hivyo

    • @361NEWS
      @361NEWS Před rokem

      Fact

  • @AbduRahman-os2vx
    @AbduRahman-os2vx Před 4 lety +2

    Sema kwa kumpeleka italy ndio mtakwenda kumuua na madawa coz huko sober atakutana na watumiaji madawa kweli na madawa yamezagaa kama katana.