TIZAMA SHK RUSAGANYA AZUNGUMZA MANENO MAKALI MNO KUHSU PASTOR MUNSHI HADI HURUMA "ASKOFU NI MSHENZI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 10. 2021
  • #RiyadhTvZnz #Zanzibar #Munishi

Komentáře • 253

  • @mufid707
    @mufid707 Před 2 lety +8

    Wallahi Sheikh nakupenda kwa ukweli. Allah akupe Umri Wakheri.

  • @zaitunisinamenye1799
    @zaitunisinamenye1799 Před 2 lety +4

    Sheikh Rusaganya, nakupenda kwa ajili ya Allah, weye huwa unazungumza ukweli, Allah akuhifadhi, ameen

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 Před 2 lety +21

    Subhana Allah daima uki soma Qur'an,uta dhani ime teremshwa sasa hivi, kweli kabisa maneno yako sheikh

  • @suleimanabdillah7490
    @suleimanabdillah7490 Před 2 lety +22

    Unachonifurahisha ni ujasiri WAKO wa kusema kweli,Masheikh wengi walokatika nafasi wameamua kuwa wanafiki na kuipenda Dunia kuliko akhera,wanaogopa hata kivuli.nakukubali

    • @maulidmwegio5704
      @maulidmwegio5704 Před 2 lety

      Yani Kama Mashekhe Wote Wangesimama Hivyo Daah!! , Ingekuwa Laha Sana Maana Waislamu tumekuwa Waoga Sana hata kwenye Jambo tunaliona Hilo Alipo Sawa Kwetu.

    • @maulidmwegio5704
      @maulidmwegio5704 Před 2 lety

      Kweliii%100

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 Před 2 lety

      Ajamtukana amemshauli ushauli sio tusi mama ntilie ni mama Kama mama rais samia

  • @azizakussaga9632
    @azizakussaga9632 Před 2 lety +4

    Mashallah skh Rusaganya una msimamo Allah akuzudishie nakupenda kwa ajili ya Allah huogopi kiumbe

  • @thanisaid5096
    @thanisaid5096 Před 2 lety +6

    EXCELLENT !!! KUNA WAKATI TUBNAHITAJI LUGHA YA NAMNA HIYO MAANA HAWA JAMAA WAMEZIDI SANA

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 Před 2 lety +9

    Huyo Ndo rusanganya sheikh

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 Před 2 lety +15

    "Hawatakua radhi Mayahudi na manaswara (wakristo)mpaka mfuate Mila zao.

  • @mrafm7285
    @mrafm7285 Před 2 lety +12

    Takbiir allahu akbar

  • @oman7710
    @oman7710 Před 2 lety +7

    Allah akuhifadhi sheikh Hashimu

  • @hadijamushi8674
    @hadijamushi8674 Před 2 lety +2

    Jaman Mwenyezi Mungu akuhifadhi sheikh Rusaganya akupe umri mrefu wenye Afya na matendo mema ili tuzidi kupata neema ya ilmu na ujasiri

  • @w4058
    @w4058 Před 2 lety +2

    Yaani sheikh wewe nakupenda kwa kusema kweli kabisa Allah akuhifadhini nyote Masheikh wetu

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Před 2 lety +6

    Wewe nijasili mashaallah waambie shekh

  • @issamkondoa9330
    @issamkondoa9330 Před 2 lety +9

    Ameongoza Nyerere wamekaa kimyaa,
    Mkapa kimyaaa, Magufuli kimyaaaa!

    • @basharahamtzhalisi6871
      @basharahamtzhalisi6871 Před 2 lety +3

      Wanataka wabaki wenyewe ndani ya nchi hii, Chuki dhidi ya Uislam, roho mbaya, husuda imewajaa, hawana mahubiri mazuri kwa waumini wao wakristo, wanatamani tufe wote, lkn ALLAH anatupenda watakufa wao na hata kama tukifa wote UISLAM utabaki milele na milele daaaima.

    • @edsonndomba1049
      @edsonndomba1049 Před 2 lety

      Mimi ni Mkristo ao wabaoongea hivyo kama huyu munishi ni wapumbavu si wakuwatilia maanani

    • @PaziTuktuk
      @PaziTuktuk Před 2 lety +2

      Mie ni mkenya na nafatilia sana wakristo wa huko na wa huku kenya hawana tafauti manake hata mukapa alikua akivaa msalaba mbona waislamu hamkusem kitu mungu anawaona

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 Před 2 lety +10

    Mzee wa rukhsa Allah amhifadhi yaarab

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Před 2 lety +4

    MWENYEZI MUNGU HAKUGHAFILIKA NA WATU WAOVU MADHALIM WAHUNI DAWA YAKE IPO NJIANI INSHALLAH AMEEN YA RABI ALLAMEEN

  • @AliMohamed-xy3hz
    @AliMohamed-xy3hz Před 2 lety +4

    Shekhe kuanzia Leo Nimekupenda kwa Ajili ya Allah

  • @shabanmbiaje2439
    @shabanmbiaje2439 Před 2 lety +2

    Shekhe rusaganya uko vizur ALLAH akuhifadhi

  • @dawoodothman8681
    @dawoodothman8681 Před 2 lety +8

    Munishi ni mpumbavu si mjinga ujinga ni cheo anaweza akaelimika lakini mpumbavu hata ufanyeje ni mpumbavu tu ! ! !

  • @rukiafaraj1400
    @rukiafaraj1400 Před 2 lety +7

    MaashaaAllah, very transparent! Allaah akuhifadhi Sheikh wetu

  • @khalidhaji1098
    @khalidhaji1098 Před rokem

    Maashallah; Napenda sana ukweli wako na ujasir mashekh kam nyie mupo wachache ALLAH akulinde

  • @hakbilalbilal1071
    @hakbilalbilal1071 Před 2 lety +1

    Mashaa Allah sheikh wetu Allah ukuhifadhi nakupe umlimulefu akuzidishie kila rakreli inshaa Allah

  • @khamisseif9870
    @khamisseif9870 Před 2 lety +5

    Gud sana shekh wetu

  • @khadijakhamis2082
    @khadijakhamis2082 Před 2 lety +2

    Masha Allah! Barakallahu fiq sheikh wetu, hajitambui huyu, hata Mama wa Issa ibn maryam yumo ndani ya stara, wanalisahau hilo, Allah amuongoze siku 1 aitambue haki aifuate,

  • @fatumahamis4257
    @fatumahamis4257 Před 2 lety

    MashaaAllah ,shiekh wettu,waambie Ila watupe heshma waislam,..Munishi anafaa kuomba msamaha au ufungwe,

  • @joyjey8609
    @joyjey8609 Před 2 lety +23

    Sheikh uyasemayo ni sawa ila usishirikishe ujinga wa huyo anayejiita mch na wakristo wote, hakuna mkristo anayekubaliana ujinga wa huyo Munish, wengi imetukera, inaonekana Munish anaona bora wanaotembea nusu uchi. lkn kuhusu kanzu, ndevu, nikabu, kila jambo huwa lina sababu kama kusingekuwa na tukio baya linalohusika na mwonekano huo wala kusingekuwa na shida, kwa kumbukumbu zangu haya matatizo ya mwonekano wa mtu kutiliwa shaka yalianza baada ya septemba 11, kabla ya hapo sikuwahi kusikia tatizo la nikabu wala ndevu kwa waislamu. na ndio maana hata katika baadhi ya maduka au ofisi hata za waislam wanashauri uvue nikabu,kuna sababu sio bure, kwa hiyo ili kuendelea na kuheshimu mionekanao hii ni sote kwa umoja bila kujali dini tukemee matendo maovu yanayofanywa na baadhi yao na kufanya mionekano ya waislam kutiliwa shaka, ilhali wengi wao wanaojua uislam ni wa amani, tuwakemee hawa wachache wanaochafua uislam tusikae kimya.

  • @aishaaisharagp9381
    @aishaaisharagp9381 Před 2 lety +2

    Asante shekhe wape makavulive

  • @shadyahamad3724
    @shadyahamad3724 Před 2 lety +2

    Nampenda huyu shehe kwa msimamo wa dini na kusema ukweli nampenda kwa ajili ya alla mungu ambariki na ampe mwisho mwema ampe kaul thabit

  • @saidal-rawahi4564
    @saidal-rawahi4564 Před 2 lety +4

    Mashaa Allah, Sheikh wape ukweli Allah akulinde na kila mabaya na akupe afya njema 🤲

  • @tobmnyamis8642
    @tobmnyamis8642 Před 2 lety +2

    Allah akupe maisha marefu

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 Před 2 lety +11

    Mzee wa rukhsa ndio alie leta maendeleo lakini hawa watu hawana kheri

  • @furahamossi3199
    @furahamossi3199 Před 2 lety +5

    Mansha Allah sheikh tabarakallah, Allah akupe umri mrefu na afya njema, maneno ya hekma kabisa, amwambie uyo mshenzi mkubwa

  • @maryambintukhadija1604
    @maryambintukhadija1604 Před 2 lety +2

    Maa shaa Allah tabarakaallah

  • @ahmedaliahmedahmed3003
    @ahmedaliahmedahmed3003 Před 2 lety +5

    Kwli shekhe yule mlevi inawauma Rais wa Tanzanian ni muislamu ALLAH AMLINDE NA MAHASIDI RAISI WETU

    • @islachristabinastaravista8104
      @islachristabinastaravista8104 Před 2 lety

      Acha ujinga mwanamke amuongoze mwanaume kitabu gan hicho ulichosoma ww

    • @ahmedaliahmedahmed3003
      @ahmedaliahmedahmed3003 Před 2 lety

      Mjinga ni ww bwege usojuwa mipango ya mungu sasa ishakuwa punda la deki anza ni malize sasa

    • @jumakoga2179
      @jumakoga2179 Před 2 lety

      @@islachristabinastaravista8104 kiislaam haifai na yupo innje ya dini lakini si katiba yao na ni magufuli ndie alimchagua mbona hamkusema??

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Před 2 lety +3

    Subhan Alla

  • @zulficarbacarsuale6877
    @zulficarbacarsuale6877 Před 2 lety +2

    Maraisi wa kisilam wanaongoza kua haki kabisa.
    - Esse merece punicao forte

  • @abuukilanga2249
    @abuukilanga2249 Před 2 lety

    ALHAMDULILLAH. Sheikh Lusaganya ALLAH AKUJAALIE MAISHA MAREFU YENYE KHERI NA WEWE

  • @zanzibarspice8686
    @zanzibarspice8686 Před 2 lety

    Ujumbe huu umefika Wazanzibar mnajifunza nini hapa.....
    USTADH SHUKRAN SANA

  • @anksusiabdurashid114
    @anksusiabdurashid114 Před 2 lety

    Allaah Kareem ww waitwa rusaganya mm Rashid Mohammed nami nakuunga wanifate Sina kwetu ila mahenge nimezaliwa wanifate

  • @rashidjumamohamed3437
    @rashidjumamohamed3437 Před 2 lety +5

    Amin shkh.
    Allah amlani kafiri yule

  • @rhiophiri6857
    @rhiophiri6857 Před 2 lety +1

    Watching you from Lusaka zambia, you are talking truth, that foolish pastor should stop belittling her excellence the president

  • @abdulmajid8778
    @abdulmajid8778 Před 2 lety

    Mungu akulinde inshaallah kwa kutetea dini ya uislam allahu barik

  • @rashidmohamed1903
    @rashidmohamed1903 Před 2 lety +1

    Safi sana Rusaganya waambie Makafiri

  • @zehrahaji1566
    @zehrahaji1566 Před 2 lety +4

    Ni mshenzi sana Yule hanisi yule

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah4357 Před 2 lety +4

    Shekh ule ulikuwa ni mpanga ili wanafunzi wa chuo wafukuzwe serekali wakatoa agizo wasi pokelewe chuo chochote lengo waislam walio kuwa chuo wakati ule walia asilika sana maana wote walikosa kuendelea na masomo yao hata wale walio bakisha mwaka mmoja walifukuzwa pia

  • @nacmentodanca6498
    @nacmentodanca6498 Před 2 lety +5

    Mashallah Allah akuhifadhi na makufar 🙏

    • @abuuramadhan8093
      @abuuramadhan8093 Před 2 lety

      Yan mkubali mkatae mama Samia anachukiwa kwa ajir ni muislamu na data zipo kua viongozi wa kiislamu wanachafuliwa San kwenye nchii hii hakuna kiongozi wakiislamu nchii hii alishawah kusifiwa

    • @abuuramadhan8093
      @abuuramadhan8093 Před 2 lety

      Viongozi wa kikikristo na mabaya yote waliofanya ila walisifiwa kua ni wachapakaz mfano ni huu masheikh wakiongea waanaambiwa waache siasa ila wakina gwajima wakiongea wanashangiliwa

    • @abuuramadhan8093
      @abuuramadhan8093 Před 2 lety

      Gwajima alimtukana San kikwete na Prof Assad gwajima alimsifia San magufuli na gwajima anamponsa San mamasamia

    • @fashion7442
      @fashion7442 Před 2 lety

      @@abuuramadhan8093 Tena angefanya shekh angeswekwa ndani lakini mchungaji anatamba mtaani

    • @sadallasaleh8337
      @sadallasaleh8337 Před 2 lety

      Tatizo ni viongozi wao wenyewe wa kiislam, wanashindwa kusimamia nafasi zao, kiwazifa naata kiiman. Leo hii wanaitwa kuaga Maiti, kuweka mashada. Na sasa ishaakua fashion

  • @mrossobartholomew9368
    @mrossobartholomew9368 Před 2 lety +7

    Lazima kuheshim dini za watu wengine. Rais lazima aheahimiwe na wote.

    • @witomwandunga7292
      @witomwandunga7292 Před 2 lety

      KWA hiyo hamjakereka mama ntilie kudhihakiwa ila KWA rais mwanamke.

    • @majaliwamohammedally2997
      @majaliwamohammedally2997 Před 2 lety

      Majaliwa Mohamed Ally naomba nami niwe au nife nikiwa na ujasili kama wewe lusaganya

  • @munimuni3365
    @munimuni3365 Před 2 lety +4

    Mi siwapendagi.makafiri atatunaongeyaga nao wanarohombaya awatupendi si waislam

    • @joalbanda9796
      @joalbanda9796 Před 2 lety

      Sa siuame tanzanie ukakae kwawanaokupenda

  • @hamedfaisal9449
    @hamedfaisal9449 Před 2 lety +1

    Sheikh nakupenda kwa reality zako wape kavu kavu

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 Před 2 lety +1

    Mashaalllah tabarak lllah

  • @magomakabanja4861
    @magomakabanja4861 Před 2 lety +3

    Nimependa sana namkumbuka na masheikhe wetu AbduRogo na ilunga na masheikhe wakasiri kama hao ??

    • @thanisaid5096
      @thanisaid5096 Před 2 lety

      UMEONNA EE!!!! ILUNGA ROGO ..ALLAH AWAPE NEEMA ZAIDI ...AMIN

  • @ggelishachannel450
    @ggelishachannel450 Před 2 lety +1

    Sawa lakin kuwachukia wakristo kwa mtu MMOJA ni Roho mbaya Hana haja ya kuonyesha ubaguz

  • @dhamiirrashid6175
    @dhamiirrashid6175 Před 2 lety

    Shukran

  • @haleemhhaleemh707
    @haleemhhaleemh707 Před 2 lety +3

    Abakafir kweri kweri tunawapenda tu halakin kwao hawana upendo ku l'islam Allah awaongoze

  • @zulekhamkwizu3091
    @zulekhamkwizu3091 Před 2 lety

    MashaaAllah baraq llah fih

  • @saidmaulid523
    @saidmaulid523 Před 2 lety +2

    MashaAllah

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 Před 2 lety

    Shukran Kwadarsa nzuri Sana

  • @salumajuma9583
    @salumajuma9583 Před 2 lety +7

    Makafiri daima watafanya yakikafiri hawan kheri hata tukijipendekeza vp lazima wafanye ukafiri waoo

    • @munimuni3365
      @munimuni3365 Před 2 lety +1

      Nami siwapendagi Makafiri atatunaongeyaga nao

    • @tamatithomas3360
      @tamatithomas3360 Před 2 lety

      Kwan kafiri ni nan?

    • @user-mq6lu2po3y
      @user-mq6lu2po3y Před 2 lety

      Watu waliokua siyo waislam na mafikio yake ni motoni somo dini kiukweli utajua

    • @milomohamed7201
      @milomohamed7201 Před 2 lety

      @@tamatithomas3360 munishi na anaowaongoza

    • @rayaahamad5502
      @rayaahamad5502 Před 2 lety

      @@tamatithomas3360 Anayempinga Rasul Muhammad Na mwenye kuikana Qur-an kiufupi nakupa hivo

  • @mossilamanne3350
    @mossilamanne3350 Před 2 lety +6

    Hahahahahah askofu kama demu

  • @kidjhdf7568
    @kidjhdf7568 Před 2 lety +1

    Safi sana mzee msaganya

  • @afizimana1204
    @afizimana1204 Před 2 lety

    maa shaa llah

  • @alijuma1189
    @alijuma1189 Před 2 lety +6

    Yule alomtukana Rais si askofu eti yule ni Shoga alikua anatafuta bwana

  • @sabkiunasib4372
    @sabkiunasib4372 Před 2 lety

    Masha Allah

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Před 2 lety

    Mashaallah shkh bless you Yarrab

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 Před 2 lety +1

    Subhannnalllah

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 Před 2 lety +3

    Mti wenye matunda ndo unaorushiwa mawe

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 Před 2 lety +2

    Naam shekh

  • @issamkondoa9330
    @issamkondoa9330 Před 2 lety +2

    Askofu Munishi SHOGAAAA

  • @ayoublupande3987
    @ayoublupande3987 Před 2 lety +1

    HAHAHA nakukubali sana Shkh wng huwa unavionjo vyitam san

  • @sangokipozi4611
    @sangokipozi4611 Před 2 lety

    Allahu Akbar

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Před 2 lety

    WAISLAM NDIO WALIOWASTARABISHA KUANZIA BABA YAO JULIE

  • @shehamasai788
    @shehamasai788 Před 2 lety

    Allah akulipe kila la kheri kwa hili

  • @missrukia9661
    @missrukia9661 Před 2 lety

    Mashallhaaa shekhewetu llha akupeumli mlefu

  • @sofiamussakimaro4018
    @sofiamussakimaro4018 Před 2 lety

    Hiyo afandee nimeipendaaa

  • @haworabongomuvihawora9678

    Subhanallah

  • @ramadandjuma8855
    @ramadandjuma8855 Před 2 lety

    Ukweli sheikh

  • @ahmedkagambo4964
    @ahmedkagambo4964 Před 2 lety

    Kwa bahati mbaya sikumuona Dua yangu ingemumaliza

  • @jumaamsuya5
    @jumaamsuya5 Před 3 měsíci

    Upo sahihi kafiti nikafiri maalim

  • @ibrahimhodabaksh3939
    @ibrahimhodabaksh3939 Před 2 lety +3

    MAGU HAKUNA ALIEFUNGUA DOMO TENA NI MSHENZI NA WENZAKE

  • @zuu__95
    @zuu__95 Před 2 lety

    Alipiga oksijeni 😂😂😂😂😂subhanallah

  • @aminamkumba3549
    @aminamkumba3549 Před 2 lety +1

    Sheikh Rusaganya ni jembe langu, Allah bareek

  • @justineluoga1515
    @justineluoga1515 Před 2 lety

    Watazania wote ni watoto wa muheshimiwa samia hakuna sababu ya kuwa na maneno mengi mnajikosesha bora mnyamaze kuonyesha watoto wote niwamama yeye ndiye atakaeamua ambebeje?

  • @nurusaid1804
    @nurusaid1804 Před rokem

    Kwani hijabu ndio inaongoza hau moyo ndio inaongoza.

  • @mufid707
    @mufid707 Před 2 lety

    Ameen Ameen.

  • @kassimmurji2872
    @kassimmurji2872 Před 2 lety

    Kuna viongozi wanajisahau nakutokulinda midomo yao hii sio nzuri kwamustakabali wa tanzania yetu

  • @victorkalolo9517
    @victorkalolo9517 Před 2 lety

    Shehe upovizr lkn usiingize mbona yaudin hapo niyy kakosea sio wakristo wote maana hata wakristo ametukosea nahakuna MTU anaemuunga mkono kwaiyo ustaje ukafri Katk hiri nimbaya Sana naujue huyo nimwanadam kukosea atakosea tumuombeetuu

  • @user-my9hc6uf9l
    @user-my9hc6uf9l Před 2 lety +2

    Colgate na sigara ziliuzwa kwa magendo.
    Wakenya walitucheka kufanya matairi ya magari kuwa viatu,enzi za babu yuleeee!
    Ulanguzi uliisha kipindi cha rais Mwinyi,sio uongo sheikh.

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Před 2 lety

    Huyounisi maisha yamemshinda, achaneni naye. Nakumbuka nilikuwa badodogo wakati anatangaza kuokoka. Lakini mpaka Sasa Hana uokovu. Pole yake. Bibilia inasema, huwezi kuhudumia miungu wawili. A Hague moja siasa, au Dini.

  • @sofiamussakimaro4018
    @sofiamussakimaro4018 Před 2 lety

    Sheikh wangu ilikuwa ukivaa hijabu wanasema mtu hawazi kusikia coz hijabu inaziba masikio ALHAMDULILLAH leo hii tumshukuruni sana mzee mwinyi na dua tuzizidisheni juu yake na familia yake

  • @hajjijustine4519
    @hajjijustine4519 Před 2 lety

    ALLAHu akbar

  • @gentille1766
    @gentille1766 Před rokem

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @salmamrembo4360
    @salmamrembo4360 Před 2 lety

    Munishi anatakiwa awaombe radhi waislam

  • @lukullikiwamba6494
    @lukullikiwamba6494 Před 2 lety +1

    Wasiwape shida awo watu wajinga Tanzania Wako wengi sana … awana fikra wala maharifa, sisi waislam tuliichukuwa hiyo nchi toka kwa wakoloni na tukampa baba wa taifa… wache wapige kelele zao azina tija

  • @basharahamtzhalisi6871

    Wanataka wabaki wenyewe ndani ya nchi hii, Chuki dhidi ya Uislam, roho mbaya, husuda imewajaa, hawana mahubiri mazuri kwa waumini wao wakristo, wanatamani tufe wote, lkn ALLAH anatupenda watakufa wao na hata kama tukifa wote UISLAM utabaki milele na milele daaaima.

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 Před 2 lety

    YESU KRISTO UWE MSAADA JUU YA MAISHA YETU YA KILA SIKU.... MAISHA YETU YA DUNIANI NI VEMA SANA TUHURUMIANE NA TUVUMILIANE...

  • @eliasrobya3508
    @eliasrobya3508 Před 2 lety

    Hizi dini zote ni uongo biashara mpate vyuuu nyiiingi kiki hizi fanyeni kazii wacheni porojo

  • @sofisayed4768
    @sofisayed4768 Před 2 lety

    Waislam hatuna umoja tumejisahau

  • @jumaamsuya5
    @jumaamsuya5 Před 3 měsíci

    Shekhe wenikiboko yamakafiri

  • @kidjhdf7568
    @kidjhdf7568 Před 2 lety +1

    Kumbe ss wapemba tulikuwa wajanja uwii

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 Před 2 lety +2

    Mungu ndio muhukumu Hivyo, muombee Mungu amsamehe, ila usi mlaani

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Před 10 měsíci

      Bila shaka wewe ni walewale,nadhani huyu ni ndugu yako wa karibu.