SHIKENI ADABU HIJABU NI VAZI ALIYETANGAZA MUNGU , WENGINE MLIKUWA WAKIMBIZI MAMA KAKURUDISHENI
Vložit
- čas přidán 28. 07. 2023
- Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090
MAKAFIRI WANATAMANI MAMA ZETU WAKE ZETU DADA ZETU SHANGAZI ZETU NA WATOTO WETU WA KIKE WATEMBEE UCHI KAMA WAKWAO WANAVYOTEMBE UCHI!,
ALLAH ANASEMA;HAO WANATAMANI KUWARUDISHA KTK UKAFIRI BAAADA YA KUJUA WAISLAM WAPO KTK HAKI!!
@@Majer-wf6npWewe endelea na mdomo wako utaona matokeo yake eti unajisifia uzinifu na kutukana watu Mdomo ulichongea kichwa utajijua.
@@Majer-wf6npunajisifia zinaa bila aibu? Kwahakika alama kubwa ya makafiri ni kukosa haya 😢😢.
Maisha unacheza nayo wanaimba amani acheni kueneza chuki kama wametereza waombee inchi inariwa kids wasiseme ushungi
Hujui maana ya pasaka. NENDA kasome upya!
Haochadema sitaki nakuwasikia ccm mbele kwambele❤❤❤ ccm moto
Zanzibar Imevamiwa na Wapotoshaji mashekh lioneni hili kwasababu nyinyi nikioo cha jamii. Shekh Nyundo Ameacha Pengo
Mazinge ati haloo haloo,
Chadema ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo ya Makanisa Tanzania
Waisilamu tuseme alhamdulillah kwama vazi nyet❤❤❤ tunaeshimika alhamdulillah
Makafiri wanatuonea wivu tunavo jisitiri
Lema siyo kiongozi wa dini mjibuni yeye na uhuni wake msiuhusishe uhuni na dini ya kikristu. Uhuni huo utatuletea shida watanzania wao wataenda kanada na ubeljiji sisi tutachinjana hapa hapa. Vita ya dini mbaya
Maasha
Mashallah uislam ni dini ya amani
Pia siasa tuacheni hakuna ukabila wala udini tena wakirsto mtukome tuacheni nashungi zetu tena mutaleta vita kwa mavazi yetu
Inna lillahi wa inna ilayhi raj'uun..!!Mche Mola wako wanafunzi wanavaa hijab..? Unajua hijab au unaongea tu kwa sababu unajua kuongea..!!Kweli ujinga mzigo..!!Na Waislam wanacheka kwa porojo hawajielewi..!! Allahu musta'aan..!!Makhuraf kweli mtihani..!!
Yasalaaaam
Hao ni wapinzani wasikusumbue mbona masista wa kanisani wanavaa hizo ndizo changamoto za siasa mama nimvumilivu hata magufuli aliitwa kichaa na wanaccm wenzie huyo mama ni mpaka 2030 ccm oyeeeee kazi inaendelea wanawake jeshi kubwa
Chadema wanaupiga Vita uislamu na Waislamu kwa ujumla Ila Mimi cmtu wa siasa Ila nitashangaa sana kwa muislamu yoyote anaekiunga mkono chadema Ila bi muhimu kujuwa tu nayeye anaupiga Vita uislamu na ataenda kujibu kwa Allah
Tuwarekebishe Wanaopinga Uislamu Amiiin.
Acha izo waarabu wenyewe walipinga iyo dini iweje sasa nyie waha Muhammad yeye alipigwa mpaka akang"olewa meno mpaka alizikwa kibogoya sasa jao chadema si ndo basi kabisa
Acheni upuuzi bana, mnaingizwa kwenye propaganda za CCM na nyinyi bila kutumia akili mnaingia mkenge.. Tangu lini kukawa na UDINI ktk vyama,
😅😊
😊op
Lisemwe lililopo,Hawa pale Eden hakuwa na vazi.
* Musa alivuka red sea na sio Nile river.nina mashaka na uelewa*
Ww ndo umesoma kitabu cha uongo shekh yupo sahihi
Shee muongo ,,,,alafu roho inakuuma kwa mamposa kufungua hoteli ,,,mbona mwamposa hajawai kuwataja kwa ubaya kwenye maubiri take na Kila siku Yuko laivu ,,,Acheni udini na kulalamika tuu
Inamuuma kwani akiwa na hotel kosa liko wapi chuki ndoma hata muhamadi aliuawa kwa sumu amewalaani mukuwe na chuki hadi misikitini kwani hijjabu mbona hijja makka wahujaji hawavai nguo ndani ni rubega tout
Acheni udini kuingiza na siasa sisi hatutaki usenge huo mbona wewe umemtukana mwamposa kuwa mhuni mbona sisi hatupigi makelele
Nyie yawahusu nn
MaaMaashaallah mashallah mashekhe wetu mungu awape umri mrefu
Chadema waombe Razi
Yaani chadema waombe razo
Kaeni kimya tu bandari zenu hazipo kwenye list y DP Dunia
@@salumalriyamyhaya makafir yalikua yamekwisha jibinafsisha hii nchi kana kwamba ni yakwao shenz kabisa Sasa kwa7bu wameanzisha vurugu na watauona Moto wasubir watauota na utawaunguza tu
Haya wewe hauja watukana wachungaji? Mbona una wasema wanathuruma
Motoooo umewakaaa
Tunaanza kiwasha jamani Kila sehemu uko miliko waisilamu muambizane tu. Chadema watajuta awajui
SIKU YA ASHURA JAMANI HATA KUGUSIA JUU YA KUUAWA KINYAMA FAMILIA YA MTUME MUHAMMAD SWW ????😢😢
Nos mjue huyo hakuwa mtume yeye tu alipewa sumu familia ikauawa sasa huyo alikiwa mtume gani miaka yote 23 y’a utume bado hakubaliki atoke kule muhuni tout
CHAMA CHA KANISA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿CHADEMA
Nikweli kabisaa
Kikwete hajawahi kueafunga mashekh Kama mashekh kikwete aliwafunga mashekh walio jiingiza katika siasa na kuhubiri kuvunja muungano ndio ulio wafanya wafungwe na sio ushekh wao usikurupuke kuongea usicho kijua
kweli, ila Rais Mkristo angewafunga hao Masheikh wangelisema kwasababu ni Waislamu
Mbona Askofu Mtikila hakufungwa! Na yeye ndie mwanzo WA kuujadili Muungano na nyumbani kwake alikuwa anapeperusha bendera ya Tanganyika?je wewe ni ndie unakurupuka na kuzungumza usilolijuwa?kwa maana Yakima sheikh WA Zanzibar hawana haki ya kuujadili Muungano!lkn Mapadre na Maaskofu wenu wao ni haki Yao?na vp wale waliojiita G55 Kule Bungeni mbona waliambulia kupewa vyeo?au kwasababu ni Watanganyika wenzenu?sasa tunasema ujinga ujinga wenu basi inatoshaaaa!
Pale palikuwa na Uzanzibari na Utanganyikautanzania!
Ngoja wafungwe wapate adabu saivi kimya shenzi zao mnataka kuviruga amani kama walikuwa na haki wamemuomba uyo Allah wao miaka mingapi mbona hajawanusuru na segerea Allah wa michongo tout hana masikio
@@bellasi349Nadhani unapaswa kusoma na kumjuwa Allah!chuki zako hazitakupa mafanikio lkn kama unanitia kiburi walikuwepo akina Fir-auni wengi Tu lkn soma historia zao na yaliyowakuta sasa na wewe yatakufika
Tena washike adabu zao washenzi wakubwa
Wanaenda kanisani mapaja yapo njetu vi utapiga nagoti siunaonekana matako jaman
Mafirahun
Ujumbe umefika kwamakafiri
Acheni hizo jdugu zangu
Nyee waislam mnanitia kichefuchefu sana na dini yenu ya kishilikina ety alla mungu thubutu kitabu chenu uchafu tu
Kwani hakuna wakirsto wa shirikina. Unajidanganya .
Hua anapenda kujipendekeza sana huyo mzee
Ukweli unauma
@@alzawahirabdallah2299 ukweli upi ushenzi2
Anajipendekeza kwa nani?
😂😂😂😂😂😂bomu
She wamitandao kiki moja kwamoja hapitwi nakitu Allah akujalie usome
Mungu gani Alice tangaza hijab?? Hivi shehe,are you serious by saying that??oooh!please👀
Hatuhoji mazezeta kwanza masta Roman cat-like
Hii ni misukure kila kitu eti Mungu alitangaza hivi hijjabu Mungu aliitangazia wapi mbona hawa hakuvaa hijjabu kazi yao kukopi tout
@@hussenaaghe2760 Zezeta la kwanza ni wewe mwenyewe 🤣😂
@@bellasi349 wewe ulijuaje hawa hakuvaa hijabu?....unaonekana bado hujapata kijiko chako chako cha udongo wa mwamposa...
@@ummahmed3354 kama alivaa mbona qurani haijasema hijjabu lingekuwa vazi la Mungu basi adamu na hawa ndo yangekuwa mavazi yao yani mafundisho y’a muhamadi labda kichaa ndo atayakubali
Waislamu mtaiingiza Nchi kwenye Vita,mara ngapi mnawatukana Wakristo?Subirini ......
Mashuleni hakuna hijab za kisheria ila kwa wajinga ndo wanaweza Sema hivyo..!!Nasaha Waislam someni diin yetu elim za kisheria ili msiyumbishwe na Wahubiri mqjahili wenye porojo nyingi kuliko maarifa ya diin..!!Kwani zama hizi mqjahili ni wengi Sana na tena wanajifanya wajuzi kisa tu wamejaaliwa ukasuku..!!Allahu musta'aan
Ilo ni jukumu la mzazi . Madamu umerusiwa kumvalisha hijabu.
Mbona muna vita na wakristo,na kuna wahindi wana abudu miungu,wachina,asia,na hakuna shida kwa muislamu,mtu akitaja yesu kristo ni shida, Piganeni na watu wasio mjua MUNGU issa bin mariam, ni yesu,yuko kwa Quran na Biblia, bona wakristo wana ishi kwa amani na waisilamu, munashida gani🙏🙏🙏
Nyinyi ndio wagomvi wetu, kwa sababu mnapenda kuwachokoza Waislamu. Lakini hatukuacheni tutkwenda sambamba hatuwaachi.
Wachina na wahindi hawaingilii masuala ya siasa za Tanzania wala hawana mkataba na Serikali kupewa ruzuku za Watanzania!lkn Wakristo ndio wanaopewa Kwa mkataba ulisainiwa Kwa mipango michafu kupitia Lowassa alipokuwa Waziri mkuu
Na kwani Wakristo wanamjuwa Mungu?na kama wanamjuwa ni yupi Mungu wao?
Hawa Chadema tokea asili ni chaguo la Wakristo Kwa hakika kabisa
Hii Vita Wakristo ndio wameianzisha na si hili la Bandari Tu Bali viongozi wao walianza na suala la Rais Samia Kwa Ushungi wake wakitia maneno ya kudhalilishwa uislam eti anatangaza Kwa vazi lake!yaani Allah hasemi kinyume cha mambo maana waliyonayo Wakristo nyoyoni mwao NI makubwa zaidi ya matamko Yao!Nawashangaa Sana baadhi ya Waislamu wanaowaunga mkono Hawa Chadema,Hawa ni wawakilishi wa kanisa ,vp Waislamu bado hamujasoma ya Nyerere!si alikaribishwa ktk Chama cha Tanu na Waislamu!je nini matokeo yake?
Waislamu majinga sana elimu ya Madrasa shida sana
Allah akusamehe hujui unacho kiandika 6:42
Ayo ndio matusi yenu ata kama tumesoma madarsa wewe unakerwa na nini
Kuna muda mazinge ongea point sio kila muda pumba tu....lema aliongelewa wote sio waislam ama wakristo mm sio muumini wa siasa ila kwenye swala la kimungu nipo, usipende kuongelea wakristo hovyo
Masheikh awa ni Wanafki, Kikwete aliwafunga Masheikh miaka 9 hawasemi chochote, JPM alichukiwa na wanamsema vibaya kila siku na Chadema kuliko Rais yoyote aliawai kuongoza Nchi ila Masheikh wote kimya! Chadema Wanampinga Rais Samia kuhusu Bandari Masheikh wanaleta UDINI!
Acha zako wewe huyo huyo magu hujui kama yeye aliuwa waislamu Wengine kibiti?eti walikuwa magaid,Tanzania naugaidi wapi nawapi huyo magu aliwafunga waislamu Wengi nakutaifisha Mali zao Hadi Wengine walikimbia nchi wote walikuwa waislamu hujui wepunguani?
Uislam ni ccm b mnatumika na wezi wa ccm ndo mana kauli ndogo kma hlo la lema mnakimbilia udini mnasaidia. Ccm tu
Hijab ni vazi maalum kwa wai
Mimi naomba kujua kafiri ni mtu wa Sina gani
kaka, naomba nikusaidie maan ya neno kafikir, kafir ni mpingaj yaani yoyote anaekwenda kinyume na mafundisho sahihi ya muumba huyo huitwa mpingaji kiswahili au kafiri kiarabu
Kafiri ni mtu ambae hafati maelekezo ya dini yyte.mungu akisema fanyeni hivi yy hafanyi.hili msifanye yy anafanya.mfano mkirosto akiambiwa usizini yy akazini anakua kafiri sio mkirosto Tena uyo.
Ni mtu ambaye si muislam, ia wengine wanalichukuia tofauti.
@kitengekikali3541 kafiri ni neno ambalo linatumika kwa aliefikiwa na haki kwa kulinganiwa na akakanusha.
Huyo atakuwa kafiri.
Lakini ni kawaida kuwaita watu wasiokuwa waislam kama ni makafiri. Na haifai. Maana Quraan imewaita wakristo na Mayahudi imewaita kwa majina ya Manaswara na Mayahudi na hawakuitwa Makafiri. Ni bahati mbaya tu Jina kafiri limekuwa linalengwa Sana bila utaratibu.
@@AliAli-lw9bj Ali nimekuelewa he muislam ambaye yupo kinyume na waislam Kwa mfano haswali aendi msikitini hafuati haki muasharati hawazi kuwa kafiri?
BWANA Dr. MAZINGE kua mkweli na muazi ,Dr. KIKWETE aliwafunga masheikh myaka 9 MBONA MWAOKOPA KUMSEMA ,LEMA KASEMA KWELI TUJITATHMINI .
Masheikh hawa ni Wanafki, Kikwete aliwafunga Masheikh miaka 9 hawasemi chochote, JPM alichukiwa na kumsema vibaya kila siku na Chadema kuliko Rais yoyote aliawai kuongoza Nchi ila Masheikh wote kimya! Chadema Wanampinga Rais Samia kuhusu Bandari Masheikh wanaleta UDINI!
Mnafiki ni weye na mapadri wako wenyeuchukivu juu ya Uislamu na Waislamu.
Hahahaha ninyi ndio makafiri Na uislamu wenu ninyi mntaka hii inchi iwe ya kiislamu mkiguswa kwenye kidonda mnashituka
Ninyi mnawasema wakristo lakini ninyi mkisemwa mnarukaruka acheni ujinga
@@amaniramadhan8572hawa machokoo ndio kazi yao, wakimpinga muislamu waleta UDINI ya kishenzi
Kikwete Muislam lakini aliwanyoosha mashekhe kwa miaka 9 mamamae 😄 🤣 😂 😆 😄
Waislam hawa tuwachape ndio itakuwa dawa
Umchape nani wewe mpumbavu usichapike wewe tu hayawani mkubwa. Mungu atakuonyesha jeuri yako wewe.
Huna lolote nyooo! Wewe na biblia wapi na wapi