Wimbo mzuri ..Bado natarajia Mungu anitoee pale nafanya kazi ,oz mapito yamekuwa mazito kwangu.kudharauliwa,kukataliwa..Bado najua Mungu atanitendea niweze kutoka hapo niende mahali palipo na furaha na wimbo mpya ...nimelia machozi usiku na mchana but Mungu ni nani ..ataniondolea aibu
Eish I love this song
I sing in faith declaring the goodness of God
Félicitation Nene wAngu ,je t'aime un bon chanson
Amen Amen
So good Singer.
Natamani nifanye kazi na wewe mtumishi wa Bwana
Hongera sana mama askofu wangu
Amen
Mungu akuinuwe sana
Amina
🎉🎉❤❤ j'adore 😍 vraiment su que Dieu te bénisse Maman 🎉 je me sent comme si je suis au Ciel 👏👏👏
❤amina mama yangu... Wewe ni baraka sana kwetu
amen wimbo mzuri saaanaaa nafikiri ndo unaanza kumbe ndo unaishaaa duhhhh hongera sana mamaa
Vraiment ❤mungu akulinde sana
🎉ubarikiwe saana da nene wangu
Alléluia ❤❤kila leo uko baraka kwanagu
Amém
Napenda pause zako mom❤
❤️🔥
Amen...Asante kwa wimbo unaogusa mioyo ya wengi
Mungu anageuzaga Mambo, 🔥🔥
Amen amen na mpenda sana cucu kwa kuhokoka kamilifu
Wimbo mzuri ..Bado natarajia Mungu anitoee pale nafanya kazi ,oz mapito yamekuwa mazito kwangu.kudharauliwa,kukataliwa..Bado najua Mungu atanitendea niweze kutoka hapo niende mahali palipo na furaha na wimbo mpya ...nimelia machozi usiku na mchana but Mungu ni nani ..ataniondolea aibu
Mungu ni Baba nwema,hâta kuacha hapo atakuvusha
Amen
Amina