JINI IFRITI AONEKANA LIVE KATIKA MAPANGO YA MAKUNDUCHI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 06. 2020
  • fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, #ZinjibarTV

Komentáře • 178

  • @abuhaniyaruqya
    @abuhaniyaruqya Před 4 lety +8

    mashaAllah tusiache kusoma sura albaqara nyumbani kila baada ya siku tatu au ukiweza soma kila siku basi shetani atakutorokeni. Allah atuhifadhi

  • @ummyhaji5835
    @ummyhaji5835 Před rokem

    Jmn hyu sheikh mashallah ana elimu inayotufumbuwa na inayotusaidia mungu ampe Kila la khr

  • @khadijaamrani6282
    @khadijaamrani6282 Před rokem

    Sheikh salim nishauguwq wazima zaidi ya 15 mpaka nimekuwa masikini kabisa . Na hali nina kisomo ya hali ya juu na ujuzi mzuri,lakini kuwa na maradhi hayi nimedhaurika .lakini alhamudillih Allah ananipenda juu ya maradhi ya hao ,nina bahati ya kuishi inchi za njeee alhamudilliah.

  • @maisaalawi5399
    @maisaalawi5399 Před 4 lety +13

    Mwenyezi atunusuru na atuondolee majin wabaya yarabilalamin, jazzakhalahu kheri.

  • @agnesjamaly583
    @agnesjamaly583 Před 3 lety +3

    Dawa na suluhisho ya majini yote n mwingne bali ni YESU KRISTO MWANA WA MUNGU! hakuna jini mzuri na m'baya wote n mashetani na ndy Mana hawaishi kweny sayar yetu!

    • @festondekuye5482
      @festondekuye5482 Před 3 lety +2

      Naaam Yesu Kristo ndiyo kiboko ya majini.hakuna kiumbe anayeitwa jini halafu akawa mzuri

    • @husseingabo5497
      @husseingabo5497 Před 2 lety

      @@festondekuye5482 wewe elimu yako ndogo Kwan Jin ni nini ?

    • @husseingabo5497
      @husseingabo5497 Před 2 lety

      Yesu nani bwana yesu kama Mimi tu anakunya mavi na mi nakunya mavi

    • @mariamswedi1140
      @mariamswedi1140 Před 4 měsíci +1

      huseinn gabo pole siku moja utakuja kumjua Yesu n nani

  • @thukha5033
    @thukha5033 Před 4 lety +10

    kichwa cha habari na habari yenyewe ni tofauti,, ujumbe mzuri sana mashallah

    • @keyhassan2050
      @keyhassan2050 Před 4 lety

      😁😁😁😁

    • @rayasaid4099
      @rayasaid4099 Před 4 lety +1

      Wajinga kweli cku hizi oongo tu hakuna shehe wala mtu wa kawaida woote sawa na ndo maana hata tukisomewa na mashehe hatupoi

    • @najmasaidi1412
      @najmasaidi1412 Před 3 lety

      @@rayasaid4099 astaghafilullahi rabhi waatub illay

  • @khalidtv6200
    @khalidtv6200 Před 3 lety +18

    Ujumbe mzuri,jitahidini kuandika vichwa vya habari vya kweli msihadae watazaji kwa headline za Uongo.Nawakubali

    • @AfrikanWarriors
      @AfrikanWarriors Před 3 lety

      Na mimi niliandika kama wewe kabla sijaona ujumbe wako. Safi sana...

  • @Da-cr6ow
    @Da-cr6ow Před 4 lety +4

    Allah atustiri mitihani ipo Shukran kwa vipindi vizuri tunamuomba Allah Atuepushe na hasad zote zitokanazo na watu na majini Ammin

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 Před 4 lety +6

    Masha Allah sheikh salum you explain well regarding this topic may Allah grant you goodness and long life Ameen yarab

  • @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477
    @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477 Před 4 lety +8

    Inshaallah mungu atukinge sote na familia zetu nanynyi munaongoza vipindi hivi shukran zenjibar TV

  • @microinspec
    @microinspec Před 4 lety +2

    Subhannallah, mnasema uongo ili watu wapate kuangalia video zenu mupata views. Muogopeni Allah. Mnafanya kazi nzuri basi kuweni na mfano mzuri kwa kuweke ukweli vichwa vya habari

  • @wardawahida8316
    @wardawahida8316 Před 3 lety

    Mungu akujaziye kheir sheik duniani na kesho akhera kwa elimu unayotufaa nayo. hatukuambiwaa na walimu wetu wala wazazi wetu. Lakini sasa ndio kufundishana na wasiojua.

  • @jacobponga1540
    @jacobponga1540 Před 2 lety

    Masha Allah nawapenda ndugu zetu katika imani Allah awafanyie wepesi kwa kila hatua

  • @abubaker3844
    @abubaker3844 Před 4 lety +6

    shukran jazeelah allah atulinde na vitimbi vya hawa majini

  • @maisaalawi5399
    @maisaalawi5399 Před 4 lety +5

    Ameen yarabilalamin, jazzakhalahu kheri.

  • @asmasaid864
    @asmasaid864 Před 4 lety +3

    Maa shaa Allah
    Allah akulipe kwa kaz mnazozifanya
    Mnatupa elim ambazo hatuna
    Baraaka Allah

  • @furahamossi3199
    @furahamossi3199 Před 4 lety +6

    Shukran sheikh, hakika dunia inamengi,Allah atunusuru kwamana nishida

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 Před 4 lety +6

    Masha Allah Watamaman and all your crews may Allah grant all of you strength and happiness..Zinjibar tv 👍Masha Allah

  • @maryamnassoornassoor3336
    @maryamnassoornassoor3336 Před 4 lety +5

    Nimelia sn hy mnn anayosema huyu shekh yote hunitokea subhanallah

    • @albaharyhaji8231
      @albaharyhaji8231 Před 4 lety +1

      Pole sana mola akuafu akuondole kila aina ya shari za majini na viumbe wabaya

    • @maryamnassoornassoor3336
      @maryamnassoornassoor3336 Před 4 lety

      Amiiin inshaallah kheeer

    • @jamilaratabu1586
      @jamilaratabu1586 Před 3 lety

      Subhanallah dada mariam tupowengi kiukweli ili analosemashekhe km kanionanilipoapa sasaiv mungutusimamie kagusayale nilionayomimi kiukweli

  • @khadeejahrashid3177
    @khadeejahrashid3177 Před 4 lety +5

    Leo mambo yalikua watamaman, kiaina yake masha Allah

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 Před 4 lety +6

    Allah atuepushe amiin shukran sana

  • @akhitalibsheha2434
    @akhitalibsheha2434 Před 4 lety +9

    Allahumma ahfadhna ya Rabbi

  • @akhitalibsheha2434
    @akhitalibsheha2434 Před 4 lety +6

    Jiinul kaamilu hatar naam sheykhuna S Mardhiyyah

  • @gamilymbui6458
    @gamilymbui6458 Před 2 lety

    Asalaam aleykum,namhitaji sheikh MARDHIYYA nitampataje niko kenya mombasa

  • @jasminali5921
    @jasminali5921 Před 4 lety +5

    Waalaykum salam warahmatulah wabarakatuh ZINJBAR TV

  • @dizzo-dv6nu
    @dizzo-dv6nu Před 4 lety +6

    Shukurani shekhe nakoo zima ya zijibari TV

  • @geerleebmuhamed8301
    @geerleebmuhamed8301 Před rokem

    Subhana llah mungu awangamize viumbe hivi vibaya

  • @hcgghfgg6679
    @hcgghfgg6679 Před 4 lety +2

    ما شاء الله
    حقيقة شي طيب
    بالتوفيق وإلى المزيد من النجاح

  • @dizzo-dv6nu
    @dizzo-dv6nu Před 4 lety +6

    Amiina yarabbi

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany5340 Před 4 lety +4

    Hasbiyallah shemeg ang mim Yamemkuta hay masikin yy yupo ndani tuu😢😢😢Na makelele akion mtu yy enda mbio 😢😢😢Mtu aliekha Anashakhsiyya Yak mtt mzur sana sana sana hasbiyallah Hasbiyallah Allah atawashinda inshaallah wadud hawa wabaya kweli 😢😢😢Allah enda kuwachom moto hawaa weny kuunguz Hasbiyallah😢😢😢

  • @rukiamatano7764
    @rukiamatano7764 Před 4 lety +2

    Alhamdulillah Allah atunusuru namajini mabaya na hao wanao watumia kuwaumiza wenzao

  • @jasminali5921
    @jasminali5921 Před 4 lety +7

    Subhanallah

  • @maryamayitsa6181
    @maryamayitsa6181 Před 3 lety

    asante kwa kunielimisha ingawa mimi mkritu, nimefaidoka

  • @abduljuma2147
    @abduljuma2147 Před 3 lety

    Sheikh mm namshukuru sana mungu ua ninabahati sana ya kuona wachawi na ata majini lakini kwa sheria moja tu iwapo ninaota ndoto mbaya ama kushtuka kutoka usingizini Tena niwe nimekaza macho ila nikiyapepesa macho tu sioni kitu na wanaponisumbua usingizini ua nawahisi nikifatwa najua na nisipofatwapia najua

  • @ashura.burundixhxhx70
    @ashura.burundixhxhx70 Před 3 lety

    Mola wawekeye wepesi katika safari yeni ma sheikh wetu

  • @elbarrey3305
    @elbarrey3305 Před 3 lety

    What a sms
    Allah s.w) atulinde na manjanga yote yasio na kher nas 🙏🙏

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime5717 Před 4 lety +8

    Allah atunusuru naatukinge na kupata hao majini mabaya walolaaniwa wasitudhuru kwa uwezo wake Allah

  • @fatmazena8886
    @fatmazena8886 Před 4 lety +4

    Subhannallah.....

  • @rahmahakim6285
    @rahmahakim6285 Před 4 lety +6

    Mashallah kipindi kizur sna

  • @aishaseif7127
    @aishaseif7127 Před 4 lety +5

    Mashaallah she he mewagu alipatahuyo dalilizo ulizo zitaja alikuwanazo

  • @salmaalkyumi2270
    @salmaalkyumi2270 Před 4 lety +5

    Salallahu Alaihi Wasalam

  • @kingelkindy2920
    @kingelkindy2920 Před 4 lety +7

    الله يحفظكم من شر الإنس والجن

  • @gharibjamma7740
    @gharibjamma7740 Před 3 lety

    Jazzakallah kheiry sheikh

  • @mamanasra6049
    @mamanasra6049 Před 3 lety +1

    Subuanna,àllah

  • @tanzaniat7151
    @tanzaniat7151 Před 3 lety

    Maasha llah Allah awape umri mrefu

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 Před 4 lety +4

    Aamiin

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid5864 Před 4 lety +5

    Allah atukinge na majini mabaya

  • @ashuashu3843
    @ashuashu3843 Před 4 lety +4

    Subhaanah Allah

  • @omarmwabege
    @omarmwabege Před 3 lety +2

    Linalo udhi ni vichwa vya habari vya uongo.

  • @lutyali4964
    @lutyali4964 Před 4 lety +1

    😭😭😭Allah atukinge na mashetan hao wabaya

  • @ashamohammed5593
    @ashamohammed5593 Před 4 lety +1

    Wallah Watu Kama hawo
    Wako kwa shida mbele ya MUNGU kesho akhira

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 Před 3 lety

    Mashallah ALLAH barik

  • @akhitalibsheha2434
    @akhitalibsheha2434 Před 4 lety +4

    Allahu akbar

  • @naimaally5592
    @naimaally5592 Před 4 lety +1

    Kama ni waandishi wa habari makini tumieni elimu yenu vizuri msiharibu mtazamo wa watazamaji wenu jitahidini kueka vichwa vya habari vinavolingana na maudhui yenyewe

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 Před 3 lety

    SUBHANNA LLAH alhamdulillah ALLAH AKBAR

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed6145 Před 4 lety +1

    Masha Allah

  • @hamilhashir4452
    @hamilhashir4452 Před 3 lety +1

    Na mm najihisi ivo baadhi y mambo

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Před 4 lety +6

    Hapo ni wapi pamenyooka vizuri.

  • @AfrikanWarriors
    @AfrikanWarriors Před 3 lety +1

    Mawaidha ni mazuri, lakini kichwa cha khabbari ni cha uongo. Hakuna Jinni tuliyemuona live...

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 Před 4 lety +2

    Ww mganga ww utaumia dini kwa ajili ya kifichio uonekane shekhe mitihan hii

  • @leylaseif8038
    @leylaseif8038 Před 3 lety

    Allah Akbar atatu nusuru sote Inshallah

  • @user-pk1es7hc1m
    @user-pk1es7hc1m Před 6 měsíci

    Yea

  • @jamilahemed1341
    @jamilahemed1341 Před 3 lety

    Naomba namb sheikh nitakupataje

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany5340 Před 4 lety +2

    Ama kwa hakika shekh Salim nikibok wa masubiani

  • @ombeniruvubika5392
    @ombeniruvubika5392 Před 4 lety

    Mwenyezi mungu awalinde

  • @mamanasra6049
    @mamanasra6049 Před 3 lety

    Mashallah,kipindi,kisur

  • @rammalshah426
    @rammalshah426 Před 3 lety

    MA SHA ALLAH what is this place brother??

  • @AmiraAhmed-zv6zp
    @AmiraAhmed-zv6zp Před 4 lety +4

    Nitakupataje 😭😭🙏🙏

    • @Zinjibartvzanzibar
      @Zinjibartvzanzibar  Před 4 lety +1

      +255756876777

    • @mohammedshaaban2998
      @mohammedshaaban2998 Před 4 lety

      @@Zinjibartvzanzibar mm nataka dua sheekh mm kila ninalo fanya haliw cfanikiw

    • @Miynuh_01
      @Miynuh_01 Před 2 lety

      @@mohammedshaaban2998 kwani nini umtegemea bin Adam mwenzako na unayo uwezo ya kuswali na kujiombea kwa lugha yeyote kwani Allah azzawaja-allah anaskia na mwingi wa ujuzi,isitoshe tumepewa direct call saa za tahajud mola wetu anatakabalia dua zetu bila pingamizi waqt huo

  • @user-dg4zc2un1y
    @user-dg4zc2un1y Před 5 měsíci

    Makunduch jmn aaa mtihn mm niliolewa lkn kumenishinda kuna mambo ya ajabu ajabu t

  • @ibnjalaaman3407
    @ibnjalaaman3407 Před 3 lety

    ujumb mzur(جزاكم الله خيرا) japo mmedangany anuan yake jihadharin na hil (ولا يجتمع التقوى والكذب)

  • @abuuhuzayl6549
    @abuuhuzayl6549 Před 3 lety

    Ikhwaani fillah kwa nn mnadanganya kichwa Cha habari yenu na kilichozungumzwa Ni tofauti
    Ittaqullah yaa Ahbaab

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany5340 Před 4 lety +1

    Ammin ammin ammin ammin

  • @wardawahida8316
    @wardawahida8316 Před 3 lety

    Assalam aleikum sheikh Nina SUALA LA DHARURA ukiweza unijibu kwa haraka biidhnillah. je mtu anayepika mfano mkate. Huu mkate ukawa umeandikwa Jina lake Allah swt na/au mtume saw je ina maana gani katika maisha ya mwislamu? Au mtu afanyeje? Shukran.

  • @user-rh3hr8uh6i
    @user-rh3hr8uh6i Před 4 měsíci

    Mm

  • @dahandsomy412
    @dahandsomy412 Před 3 lety

    Nyinyi mwaeka picha lakini vinavyotakiwa havionekani twaona maneno tuu

  • @samoocoolingsystem93
    @samoocoolingsystem93 Před 3 lety

    Mtangazaji alijikaza sana kwa kweli 😁

  • @simplicity6173
    @simplicity6173 Před 4 lety +1

    Hii title haukosawa na kichomo ndani na suggest mrekebishe kwani kama limefanywa kwa makusudi na ni channel ya kidini

  • @nahshonwanyangu5386
    @nahshonwanyangu5386 Před 3 lety

    Mpokeeni YESU KRISTO na mtakuwa kamili.Vinginevyo ni kelele tu.

  • @zaharatoto8004
    @zaharatoto8004 Před 3 lety

    Subhanna allah. Kwahiyo m2 akiwa Anapenda kukaa peke yake ni dalili za Majini?

  • @stoperclassick6996
    @stoperclassick6996 Před 4 lety +4

    Watamaman

  • @akramwalong5370
    @akramwalong5370 Před 4 lety

    Uyo jin yup wp mbn cmuon aaahhh!!

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 Před 3 lety

    Mashallah

  • @ibrahimmsomali1222
    @ibrahimmsomali1222 Před 4 lety +2

    Mm nataka namba ya uyu sheikh

  • @felistamaembe4895
    @felistamaembe4895 Před 3 lety

    AMINAAAAAAAAAAAAAAA

  • @feisalsaid3105
    @feisalsaid3105 Před 4 lety +1

    Mashalah namber yako ustadh nikupigie kutoka kenya

  • @abuhaniyaruqya
    @abuhaniyaruqya Před 3 lety

    يَٰبَنِىٓ آدَمَ لَا
    يَفْتِنَنَّكُمُ ٱلشَّيْطَٰنُ كَمَآ أَخْرَجَ أَبَوَيْكُم مِّنَ ٱلْجَنَّةِ يَنزِعُ عَنْهُمَا لِبَاسَهُمَا لِيُرِيَهُمَا سَوْءَٰتِهِمَآ ۗ إِنَّهُۥ يَرَىٰكُمْ هُوَ وَقَبِيلُهُۥ مِنْ حَيْثُ لَا تَرَوْنَهُمْ ۗ إِنَّا جَعَلْنَا ٱلشَّيَٰطِينَ أَوْلِيَآءَ لِلَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ
    Children of Adam, do not let Satan seduce you, as he did your parents, causing them to leave the Garden, stripping them of their garments* to expose their nakedness to them: he and his forces can see you from where you cannot see them: We have made evil ones allies to those who do not believe.
    kwa hiyo hii aya inatubainishiya yakua shetani hatuwezi kuwaona ila wao majini ndio wanatuona katika hali yakuwa macho yetu hatuwaoni.

  • @sharifaabdallah5667
    @sharifaabdallah5667 Před 4 lety +2

    Me nahitaji Namb zako jmn

  • @khasamentertainment4269

    Hamna sound mpaka mutumie sound zinazotumiwa na wenzenu.

  • @odillaramadahani6400
    @odillaramadahani6400 Před 4 lety

    Oh I see you

  • @ashura.burundixhxhx70
    @ashura.burundixhxhx70 Před 3 lety

    Ya rabi tulinde na majini kam haoo

  • @salimhamad7965
    @salimhamad7965 Před 4 lety +2

    Jinni afriti aonekana live pangoni "mimi sikumuona" imekuaje?

  • @deomajuva2432
    @deomajuva2432 Před 3 lety

    Hakuna jini mwema sheh

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 Před 3 lety

    Tunamtoaje huyo jini sheikh

  • @yussfjuma8151
    @yussfjuma8151 Před 4 lety +2

    Mbona hatujamuona huyo jini muloandika kaonekana live au munatafuta kiki kwa kupata kumaliza mb zetu

  • @amrozwhite1073
    @amrozwhite1073 Před 3 lety

    Kicha cha habari kinasema. Jini afriti aonekana pangoni kumbe habari njengine hii tivi haina ukweli kwa kichwa cha Habari inasema uwongo

  • @zinjaful
    @zinjaful Před 2 lety

    Mbona sijaona hiyo jini

  • @priska4310
    @priska4310 Před rokem

    Astaghfir'allah Achen story za uongo bhna...

  • @catherinebalanje1892
    @catherinebalanje1892 Před 3 lety

    Jini mzuriii??

  • @bensimon8701
    @bensimon8701 Před 3 lety

    🙏

  • @ankosam7279
    @ankosam7279 Před 3 lety

    🙏🏾🙏🏾