JINI IFRITI AONEKANA LIVE KATIKA MAPANGO YA MAKUNDUCHI
Vložit
- čas přidán 9. 06. 2020
- fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, #ZinjibarTV
mashaAllah tusiache kusoma sura albaqara nyumbani kila baada ya siku tatu au ukiweza soma kila siku basi shetani atakutorokeni. Allah atuhifadhi
Jmn hyu sheikh mashallah ana elimu inayotufumbuwa na inayotusaidia mungu ampe Kila la khr
Sheikh salim nishauguwq wazima zaidi ya 15 mpaka nimekuwa masikini kabisa . Na hali nina kisomo ya hali ya juu na ujuzi mzuri,lakini kuwa na maradhi hayi nimedhaurika .lakini alhamudillih Allah ananipenda juu ya maradhi ya hao ,nina bahati ya kuishi inchi za njeee alhamudilliah.
Mwenyezi atunusuru na atuondolee majin wabaya yarabilalamin, jazzakhalahu kheri.
Amin
Dawa na suluhisho ya majini yote n mwingne bali ni YESU KRISTO MWANA WA MUNGU! hakuna jini mzuri na m'baya wote n mashetani na ndy Mana hawaishi kweny sayar yetu!
Naaam Yesu Kristo ndiyo kiboko ya majini.hakuna kiumbe anayeitwa jini halafu akawa mzuri
@@festondekuye5482 wewe elimu yako ndogo Kwan Jin ni nini ?
Yesu nani bwana yesu kama Mimi tu anakunya mavi na mi nakunya mavi
huseinn gabo pole siku moja utakuja kumjua Yesu n nani
kichwa cha habari na habari yenyewe ni tofauti,, ujumbe mzuri sana mashallah
😁😁😁😁
Wajinga kweli cku hizi oongo tu hakuna shehe wala mtu wa kawaida woote sawa na ndo maana hata tukisomewa na mashehe hatupoi
@@rayasaid4099 astaghafilullahi rabhi waatub illay
Ujumbe mzuri,jitahidini kuandika vichwa vya habari vya kweli msihadae watazaji kwa headline za Uongo.Nawakubali
Na mimi niliandika kama wewe kabla sijaona ujumbe wako. Safi sana...
Allah atustiri mitihani ipo Shukran kwa vipindi vizuri tunamuomba Allah Atuepushe na hasad zote zitokanazo na watu na majini Ammin
Masha Allah sheikh salum you explain well regarding this topic may Allah grant you goodness and long life Ameen yarab
Amin
Inshaallah mungu atukinge sote na familia zetu nanynyi munaongoza vipindi hivi shukran zenjibar TV
Subhannallah, mnasema uongo ili watu wapate kuangalia video zenu mupata views. Muogopeni Allah. Mnafanya kazi nzuri basi kuweni na mfano mzuri kwa kuweke ukweli vichwa vya habari
Mungu akujaziye kheir sheik duniani na kesho akhera kwa elimu unayotufaa nayo. hatukuambiwaa na walimu wetu wala wazazi wetu. Lakini sasa ndio kufundishana na wasiojua.
Masha Allah nawapenda ndugu zetu katika imani Allah awafanyie wepesi kwa kila hatua
shukran jazeelah allah atulinde na vitimbi vya hawa majini
Ameen yarabilalamin, jazzakhalahu kheri.
Maa shaa Allah
Allah akulipe kwa kaz mnazozifanya
Mnatupa elim ambazo hatuna
Baraaka Allah
Amin
Shukran sheikh, hakika dunia inamengi,Allah atunusuru kwamana nishida
Masha Allah Watamaman and all your crews may Allah grant all of you strength and happiness..Zinjibar tv 👍Masha Allah
Nimelia sn hy mnn anayosema huyu shekh yote hunitokea subhanallah
Pole sana mola akuafu akuondole kila aina ya shari za majini na viumbe wabaya
Amiiin inshaallah kheeer
Subhanallah dada mariam tupowengi kiukweli ili analosemashekhe km kanionanilipoapa sasaiv mungutusimamie kagusayale nilionayomimi kiukweli
Leo mambo yalikua watamaman, kiaina yake masha Allah
Allah atuepushe amiin shukran sana
Allahumma ahfadhna ya Rabbi
Jiinul kaamilu hatar naam sheykhuna S Mardhiyyah
Asalaam aleykum,namhitaji sheikh MARDHIYYA nitampataje niko kenya mombasa
Waalaykum salam warahmatulah wabarakatuh ZINJBAR TV
Shukurani shekhe nakoo zima ya zijibari TV
Subhana llah mungu awangamize viumbe hivi vibaya
ما شاء الله
حقيقة شي طيب
بالتوفيق وإلى المزيد من النجاح
Amiina yarabbi
Hasbiyallah shemeg ang mim Yamemkuta hay masikin yy yupo ndani tuu😢😢😢Na makelele akion mtu yy enda mbio 😢😢😢Mtu aliekha Anashakhsiyya Yak mtt mzur sana sana sana hasbiyallah Hasbiyallah Allah atawashinda inshaallah wadud hawa wabaya kweli 😢😢😢Allah enda kuwachom moto hawaa weny kuunguz Hasbiyallah😢😢😢
Alhamdulillah Allah atunusuru namajini mabaya na hao wanao watumia kuwaumiza wenzao
Subhanallah
asante kwa kunielimisha ingawa mimi mkritu, nimefaidoka
Sheikh mm namshukuru sana mungu ua ninabahati sana ya kuona wachawi na ata majini lakini kwa sheria moja tu iwapo ninaota ndoto mbaya ama kushtuka kutoka usingizini Tena niwe nimekaza macho ila nikiyapepesa macho tu sioni kitu na wanaponisumbua usingizini ua nawahisi nikifatwa najua na nisipofatwapia najua
Mola wawekeye wepesi katika safari yeni ma sheikh wetu
What a sms
Allah s.w) atulinde na manjanga yote yasio na kher nas 🙏🙏
Allah atunusuru naatukinge na kupata hao majini mabaya walolaaniwa wasitudhuru kwa uwezo wake Allah
Amiin yarabbi
Ameen
@@alhamdulillah5796 Ameen 🤲
Atunusuru na wote mana hata huyo mzuri anaeza kubadilika na akakuletea mitihani.
Allahumma Amiin
Subhannallah.....
Mashallah kipindi kizur sna
Mashaallah she he mewagu alipatahuyo dalilizo ulizo zitaja alikuwanazo
Salallahu Alaihi Wasalam
الله يحفظكم من شر الإنس والجن
Amiin Yaa Rabb
Mashaallah
Jazzakallah kheiry sheikh
Subuanna,àllah
Maasha llah Allah awape umri mrefu
Aamiin
Allah atukinge na majini mabaya
Amin
Subhaanah Allah
Linalo udhi ni vichwa vya habari vya uongo.
😭😭😭Allah atukinge na mashetan hao wabaya
Wallah Watu Kama hawo
Wako kwa shida mbele ya MUNGU kesho akhira
Mashallah ALLAH barik
Allahu akbar
Kama ni waandishi wa habari makini tumieni elimu yenu vizuri msiharibu mtazamo wa watazamaji wenu jitahidini kueka vichwa vya habari vinavolingana na maudhui yenyewe
SUBHANNA LLAH alhamdulillah ALLAH AKBAR
Masha Allah
Na mm najihisi ivo baadhi y mambo
Hapo ni wapi pamenyooka vizuri.
Mawaidha ni mazuri, lakini kichwa cha khabbari ni cha uongo. Hakuna Jinni tuliyemuona live...
Ww mganga ww utaumia dini kwa ajili ya kifichio uonekane shekhe mitihan hii
Allah Akbar atatu nusuru sote Inshallah
Yea
Naomba namb sheikh nitakupataje
Ama kwa hakika shekh Salim nikibok wa masubiani
Kazi njema
Mwenyezi mungu awalinde
Mashallah,kipindi,kisur
MA SHA ALLAH what is this place brother??
Nitakupataje 😭😭🙏🙏
+255756876777
@@Zinjibartvzanzibar mm nataka dua sheekh mm kila ninalo fanya haliw cfanikiw
@@mohammedshaaban2998 kwani nini umtegemea bin Adam mwenzako na unayo uwezo ya kuswali na kujiombea kwa lugha yeyote kwani Allah azzawaja-allah anaskia na mwingi wa ujuzi,isitoshe tumepewa direct call saa za tahajud mola wetu anatakabalia dua zetu bila pingamizi waqt huo
Makunduch jmn aaa mtihn mm niliolewa lkn kumenishinda kuna mambo ya ajabu ajabu t
ujumb mzur(جزاكم الله خيرا) japo mmedangany anuan yake jihadharin na hil (ولا يجتمع التقوى والكذب)
Ikhwaani fillah kwa nn mnadanganya kichwa Cha habari yenu na kilichozungumzwa Ni tofauti
Ittaqullah yaa Ahbaab
Ammin ammin ammin ammin
Assalam aleikum sheikh Nina SUALA LA DHARURA ukiweza unijibu kwa haraka biidhnillah. je mtu anayepika mfano mkate. Huu mkate ukawa umeandikwa Jina lake Allah swt na/au mtume saw je ina maana gani katika maisha ya mwislamu? Au mtu afanyeje? Shukran.
Mm
Nyinyi mwaeka picha lakini vinavyotakiwa havionekani twaona maneno tuu
Mtangazaji alijikaza sana kwa kweli 😁
Hii title haukosawa na kichomo ndani na suggest mrekebishe kwani kama limefanywa kwa makusudi na ni channel ya kidini
Mpokeeni YESU KRISTO na mtakuwa kamili.Vinginevyo ni kelele tu.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Subhanna allah. Kwahiyo m2 akiwa Anapenda kukaa peke yake ni dalili za Majini?
Watamaman
Uyo jin yup wp mbn cmuon aaahhh!!
Mashallah
Mm nataka namba ya uyu sheikh
AMINAAAAAAAAAAAAAAA
Mashalah namber yako ustadh nikupigie kutoka kenya
يَٰبَنِىٓ آدَمَ لَا
يَفْتِنَنَّكُمُ ٱلشَّيْطَٰنُ كَمَآ أَخْرَجَ أَبَوَيْكُم مِّنَ ٱلْجَنَّةِ يَنزِعُ عَنْهُمَا لِبَاسَهُمَا لِيُرِيَهُمَا سَوْءَٰتِهِمَآ ۗ إِنَّهُۥ يَرَىٰكُمْ هُوَ وَقَبِيلُهُۥ مِنْ حَيْثُ لَا تَرَوْنَهُمْ ۗ إِنَّا جَعَلْنَا ٱلشَّيَٰطِينَ أَوْلِيَآءَ لِلَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ
Children of Adam, do not let Satan seduce you, as he did your parents, causing them to leave the Garden, stripping them of their garments* to expose their nakedness to them: he and his forces can see you from where you cannot see them: We have made evil ones allies to those who do not believe.
kwa hiyo hii aya inatubainishiya yakua shetani hatuwezi kuwaona ila wao majini ndio wanatuona katika hali yakuwa macho yetu hatuwaoni.
Me nahitaji Namb zako jmn
+255756876777
Hamna sound mpaka mutumie sound zinazotumiwa na wenzenu.
Oh I see you
Ya rabi tulinde na majini kam haoo
Jinni afriti aonekana live pangoni "mimi sikumuona" imekuaje?
😁😁😁😁😁
Hakuna jini mwema sheh
Tunamtoaje huyo jini sheikh
Mbona hatujamuona huyo jini muloandika kaonekana live au munatafuta kiki kwa kupata kumaliza mb zetu
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
🤣🤣🤣🤣
Kicha cha habari kinasema. Jini afriti aonekana pangoni kumbe habari njengine hii tivi haina ukweli kwa kichwa cha Habari inasema uwongo
Mbona sijaona hiyo jini
Astaghfir'allah Achen story za uongo bhna...
Jini mzuriii??
🙏
🙏🏾🙏🏾