Tundu Lissu afikishwa mahakamani kujibu tuhuma za uchochezi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 06. 2016
  • Tundu Lissu afikishwa mahakamani kujibu tuhuma za uchochezi

Komentáře • 168

  • @amanimkambala8146
    @amanimkambala8146 Před 7 lety +6

    tundu lisu umetisha kwenye ukweli lazima kuongea ukikubali kusifiwa na ukubali kukosolewa

  • @mwilathomas2382
    @mwilathomas2382 Před 8 lety +9

    serikali ya Tanzania inashangaza kwa kweli hata sheria haizijui wakati ilitunga yenyewe haya ni maajabu

  • @hajihamis7910
    @hajihamis7910 Před 7 lety +4

    nakukubali sana mtu wangu wa nguvu millad ayo

  • @jacksonsaganda1425
    @jacksonsaganda1425 Před 8 lety +7

    utashinda ktk jina la yesu

    • @roseadam1296
      @roseadam1296 Před 3 lety

      Usitamke Jina la yesu Kwenye upuuzi ww mungu anasimama Kwenye amani nasio kuingia barabarani kuleta machafuko ya Tanzania

  • @abubakarmzee3374
    @abubakarmzee3374 Před 4 lety +3

    Nakukubali sana

  • @wizzditto747
    @wizzditto747 Před 3 měsíci

    From Zanzibar nakukubali miaka mia 100 💯

  • @husseinjejeleje6585
    @husseinjejeleje6585 Před 8 lety +7

    safi lissu

  • @danielluvunzu553
    @danielluvunzu553 Před 8 lety +3

    Dah yaan hp Lissu cna cha kusema mchi imerud miaka ya 60 km vle nyumba ya mtu

  • @immanuelswai6679
    @immanuelswai6679 Před 7 lety +5

    ndio kaka koma nao.

  • @charlesmwalongo4568
    @charlesmwalongo4568 Před 4 lety +3

    Umaarufu wa kuongea utaupata, ila kupata uongozi never.

  • @yahkiwera3611
    @yahkiwera3611 Před 4 lety +1

    Mhh tengeneza vizuri kauli zako

  • @marcopeter7451
    @marcopeter7451 Před 8 lety +2

    lisu unaelekea kuwa insane,nitajie mambo matatu ambayo yanadhihirisha udictator

  • @maikofaustine8941
    @maikofaustine8941 Před 4 lety +3

    2020 kura yangu lisu

  • @MzururajiAbroad
    @MzururajiAbroad Před 8 lety +3

    safi sana lisu

  • @johanesdeocles6337
    @johanesdeocles6337 Před 4 lety +2

    Awakuwezi hao

  • @shd12m55
    @shd12m55 Před 7 lety +2

    Mmmh huyujamaa ni shidaa aisee

  • @obedylayzer6606
    @obedylayzer6606 Před 7 lety +3

    asante muheshimiwa lisu

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 Před 11 měsíci +1

    Urais hupewi ww unataka kuvunja amani ya nchi yetu mama amekunyamazieni kimya mnamtolea maneno mabaya na kumuita majina mabaya ata fadhila huna ulipo pijwa risasi yy ndo alokuja kuona #

  • @athanaschriss881
    @athanaschriss881 Před 8 lety +3

    Huyu jamaa huwa mlopokaji kabsa afu serikali wamemfumbia macho kwa kumtukana rais! Angenikuta kipindi hicho nimetoka depo wakanikabizi sizani kama angetembe kwa doso ambayo ningempa huyu jamaa!

    • @kelvnkahaamba2895
      @kelvnkahaamba2895 Před 8 lety

      ww ara utoke depoo vip unajivuniaa kutoka depo shwayn kambi ganii upo ww mbona XX maaskar kma ww na tunakausha xo wote tunampenda a miri jeshi mkuu

  • @hagaizakayo9605
    @hagaizakayo9605 Před 7 lety +1

    Tundu Lisu pambana sema kweli acha hawa wanafiki wanaosubilia kusifia ili wapewe vihela kidogo ili sisi wakulima tuumie

  • @isakijuma9881
    @isakijuma9881 Před 4 lety +1

    Yote hayo una taka kiti Cha uraisi

  • @izraelyherman4467
    @izraelyherman4467 Před 4 lety +2

    Ww ndyo uchwara tena huna Nia njema na nchi yetu hutachaguliwa labda vichaa wenzio

  • @AbdulMalik-wg9mf
    @AbdulMalik-wg9mf Před 6 lety +2

    kamanda

  • @carolakinasha2106
    @carolakinasha2106 Před 8 lety +1

    Faida Fanoni I am not a member of any political party I am just a concerned citizen. Naona umekimbia kabisa. Hoja zimekushinda au unaogopa?

  • @daybrelimite6666
    @daybrelimite6666 Před 8 lety +1

    Yesu mtakatifu tena mtoto wa Mungu alipigwa mijeredi,itakuwaje, binadam asikosolewe,(our country is a democracy) we doesn't any racism).

  • @hassanalibabukubwaaa273
    @hassanalibabukubwaaa273 Před 8 lety +11

    kamndaa lisu nakuamini asilimia 100% pasukaa kaamandaa

  • @EliaHiluka-ep3tp
    @EliaHiluka-ep3tp Před 11 měsíci

    Hongera

  • @suleimanali9939
    @suleimanali9939 Před 7 lety +2

    lisu mwanamme haswa

  • @user-lj7ke5zy7e
    @user-lj7ke5zy7e Před 11 měsíci

    Asante sana walikupiga marisasi Mungu akakuponya usijali Mungu yupo na ww ata wakitaka waende hiyo mahakama ya Dunia wasikutishie

  • @bonybabalao8921
    @bonybabalao8921 Před 4 lety +1

    Hapo wew ni baba wachadema

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před 11 měsíci

    Kwahiyo ukiongea ukweli tu anakamatwa ivi hii Ni nchi gan?

  • @ibratpascal4225
    @ibratpascal4225 Před 7 lety +5

    nc

  • @masseanadir2904
    @masseanadir2904 Před 7 lety +2

    awareness, strong conscience are our weapons 👏👏👏

  • @jameskamuga3815
    @jameskamuga3815 Před 4 lety +1

    Dah wasomi mnakaz kwel

  • @user-pf5zs6nm4n
    @user-pf5zs6nm4n Před 11 měsíci

    Mungu akupiganie baba mtumishi wa Mungu aliehai Mungu alikuponya nalisasi zotezile anamakusudi nawewe simama mtumishi

  • @user-lj7ke5zy7e
    @user-lj7ke5zy7e Před 11 měsíci

    Nakukubali sana lisu ututeteee asee na Mungu akutie nguvu kweli ww una uchungu na nchi yetu

  • @happyfiverickaldo4662
    @happyfiverickaldo4662 Před 4 lety +1

    Lisu umeshindaaa kesii asubuhii

  • @josephjames3444
    @josephjames3444 Před 11 měsíci

    Lissu me nakuhamini hapo hakuna shida kwako kwani wewe ni mwanasheria unyejiamini na wananchi tunakuhamini sanaaaa

  • @sobyankwabi9931
    @sobyankwabi9931 Před 4 lety +1

    Wewe ndie eais

  • @mwakawalilehassani1666
    @mwakawalilehassani1666 Před 8 lety +2

    acheni hivyo

  • @charlespaul5372
    @charlespaul5372 Před 4 lety +1

    Mmhhh aya

  • @ummykapera4660
    @ummykapera4660 Před 5 lety +1

    wewe ulitakiwa ufungwe;unakashfu nchi yako sasa wewe una nini? wanasubiri nini kukuweka ndani

  • @reonardlukas8584
    @reonardlukas8584 Před 4 lety +1

    msenge wewe usitutishe mama wewe

  • @francissalamba8112
    @francissalamba8112 Před 7 lety +2

    gooooder

  • @kassimnasseb4845
    @kassimnasseb4845 Před 4 lety +1

    Jamaa anajiamin

  • @petrochundu9702
    @petrochundu9702 Před 11 měsíci

    Mungu ibariki Tz

  • @michaeltuingilegewaubaridi8570

    work hard

  • @JohnJohn-vu9vn
    @JohnJohn-vu9vn Před 4 lety

    Hujanishawishi hata kidogo

  • @boniphacemihayo1905
    @boniphacemihayo1905 Před 7 lety +2

    nakukubal xna lixxu

  • @user-jo9gp5tb9w
    @user-jo9gp5tb9w Před 11 měsíci

    Endeleen kuwapa kesi viongoz wetu

  • @johntimba8304
    @johntimba8304 Před 4 lety +1

    Pamoja

  • @ramadhanawesusaleh9780
    @ramadhanawesusaleh9780 Před 4 lety +1

    Duh

  • @ayoubrogath4297
    @ayoubrogath4297 Před 7 lety +1

    wazalendo wa ouuzi ndo watakao kufata

  • @frankkimboka7491
    @frankkimboka7491 Před 4 lety +1

    Tundu lisu

  • @simbasimba3014
    @simbasimba3014 Před 3 lety

    hapo ni wali nazi baba be forward not turn back baba yetu

  • @shuwehaomar6658
    @shuwehaomar6658 Před 7 lety +3

    lisu big up hawana inshu hao kazi kuwaonea wapinzanitu,magufuli ushwara unapenda sifa tu

  • @braysonmamuya8853
    @braysonmamuya8853 Před 8 lety +1

    wataelewa tu!

  • @mussamarwachamahaaaaaaaaaa8065

    Amuon ayo munakosea kabisa nyinyi selekali hichi hii amutendi hak kabis achen kabisa amun aibu we nyinyi amupendi kuwambiwa ukweli selekali ya Tanzania mumekuweje munapenda matumbo yenu yachibe tu

  • @hassanmashambo1327
    @hassanmashambo1327 Před 4 lety +1

    Uchwa kwel

  • @emmanueledward8824
    @emmanueledward8824 Před 8 lety +1

    Kebo una shida bwege we ndo maana unaitwa kebo

  • @marcopeter7451
    @marcopeter7451 Před 8 lety +2

    ole wako uvuluge amani ya nchiii hiiii

  • @oyay2821
    @oyay2821 Před 8 lety +6

    tundu lisu yuko sawa kabisa ila serikali ina muogopa huyo mwana sheria

    • @mwilathomas2382
      @mwilathomas2382 Před 8 lety +1

      tuko pamoja

    • @ferdinandnkamu8638
      @ferdinandnkamu8638 Před 8 lety +2

      Ommy, Huyu Lisu hayuko sawa kwa sababu......Anachochea watu waasi akihamasisha kila anayejiona ni mzalendo na kila mahali tummuasi raisi wetu. Pia ana maana anawaona wasiomuunga mkono Lisu siyo wazalendo wa kweli. Hii ni dharau kweli kwetu tuliomchagua. Hapa inabidi atutake radhi watanzania. Anamtukana raisi na kumdharau kwa kumwita mjinga. Hizo zinaitwa propaganda za kisiasa ku-brainstorm wale wenye akili za chini (low IQ/simple minded majority). Lisu anatafuta umaarufu aonekane anapigania watu, kumbe anajipigania mwenyewe binafsi.

    • @immanuelswai6679
      @immanuelswai6679 Před 7 lety +3

      Ferdinand Nkamu tatizo watanzania wamelala na hawajijiwi. wakiamchwa serikali haitaki m2 ajijuwe.

    • @hilalhilal7198
      @hilalhilal7198 Před 7 lety +1

      Ferdinand Nkamu ww Instagram nn kk

  • @josephmangure7715
    @josephmangure7715 Před 7 lety +1

    wale wanao fikili kuwa wataona machafuko TZ watakufa bila kuyaona mtaungana wajinga mnaofanana kisha mtateketea wenyewe.

  • @mgeririganya1866
    @mgeririganya1866 Před 8 lety +1

    huyo Lissu ni mropokaji tu so mm naona kama Serikali inamlinda,huwezi kumuita Rais "Dikteta Uchwara" thc iz Nonsense Politician

  • @obugobaraka8491
    @obugobaraka8491 Před 8 lety +3

    Muomba ngoma uvutia kwake...............

  • @kevilekule6919
    @kevilekule6919 Před 8 lety

    tuwe makin na ges tulio gundua maana inaweza kuwa ni kama njia ya kutugombanisha

  • @hijazhija316
    @hijazhija316 Před 8 lety +1

    typing..

  • @faysalmahmuddidar7135
    @faysalmahmuddidar7135 Před 7 lety +4

    uko-sahihi-lisu-na-siku'zote-ukweli-unauma-eti-wanadai-umesema-tz'kuna--njaa-ni-kweli-miaka-miwili-iliopita-tulikua-tunanunua-unga-kilo-sh-800'lakini-sasaivi-unga-kilo-1800'''''watumbue-lisu-tunaumia-kwakweli-japo-viongoz-wanatuendesha-kiudictet

  • @misalabadotto5514
    @misalabadotto5514 Před 4 lety +1

    xana

  • @kasimunkondo1503
    @kasimunkondo1503 Před 7 lety

    muwe makini msipoangalia wananchi watawachoka kwa tabia zenu za kugombanisha wananchi na serikali yake kiukweli wanasiasa hasa wa upinzani acheni tabia ya chui maana hakiwa na tatizo binadamu hawazi kumsaidia kwa tabia zake mbaya nafikiri nimeeleweka

  • @aishazulfa2832
    @aishazulfa2832 Před 7 lety

    sema baba. nakuaminia wape visu siwapendi hao

  • @jbclasic3962
    @jbclasic3962 Před 4 lety +1

    Saf

  • @casineobote9989
    @casineobote9989 Před 8 lety

    just accept the leadership that is there for now .and I think maximum respect shld be given to mheshimiwa rais for him to do his work.remember he is the head of the country wengine miguu.we have a special way of solving problem with the person who is a leader.if this is wot is hapening will the citizen give respect to there rais?and tomorrow the citizen will do tiz to u as a member of parliament where will u take the case .Am out

  • @ummykapera4660
    @ummykapera4660 Před 5 lety +1

    we fara tu

  • @geofreympango394
    @geofreympango394 Před 11 měsíci

    Bwana Yesu aktetee

  • @saulmwakyusa1001
    @saulmwakyusa1001 Před 8 lety

    seriklini icwabane wapinzani pia wapinzani wactumie maneno yacyo faa kama kumuita rais ni dikteta MCHWARA aaaaaaaaah jamanie ah ah

  • @wizzmkandawile1140
    @wizzmkandawile1140 Před 4 lety

    Tundu lisu kiboko ya magufuli

  • @hamzasuleiman9605
    @hamzasuleiman9605 Před rokem

    Yupo anaadhibiwa huko aliko 🤣🤣

  • @josephmangure7715
    @josephmangure7715 Před 7 lety

    Tundu umesomea sheria uchura unahisi kuwa kuna siku utakuwa Rais wa TZ. utaumiza kichwa chako na mwisho utaishia jela miaka yote ulikuwepo mwisho utaishia kugawana pesa za zilizotoka kwa Lowassa kimia ufisadi ukafuta sasa sijui na huyo unaye mwita uchwara unataka akupe pesa ili unyamanze?. subili 2020.

  • @carolakinasha2106
    @carolakinasha2106 Před 8 lety +2

    Hakuna kulala Tundu Lissu. Wanyonge tunategemea watu wenye hekima na misimamo kama yako. Watu wasiotishiwa nyau.

    • @leilamohamed950
      @leilamohamed950 Před 8 lety +1

      niko pamoja na wewe Caro

    • @mwilathomas2382
      @mwilathomas2382 Před 8 lety +1

      aksante

    • @stevenmamba2464
      @stevenmamba2464 Před 8 lety +1

      Magufuli anataka kutuletea utawala wa Rwanda.

    • @carolakinasha2106
      @carolakinasha2106 Před 8 lety

      Kagame anafurahi kupata rafiki hasa kwenye suala la Congo. Magufuli atathubutu kuwaruhusu wanajeshi wetu wapigane na maharamia wa Rwanda na Uganda kweli wakati muhusika keshakuwa swahiba? Yetu macho.

    • @mwilathomas2382
      @mwilathomas2382 Před 8 lety

      kweli mamaa yetu macho

  • @abeatech1479
    @abeatech1479 Před 4 lety

    Unajipambanisha mwenyewe ukidhani kuna mtu anatamani wewe umwongoze ,hata huku ikungi hatukutaki kibaraka wa mabeberu ,hatukutaki kaombe uongoze uliokuwa

  • @khakeemafro6274
    @khakeemafro6274 Před 8 lety +2

    Lisu uko sawa kabisa wasikutishe waambie tu ukweli

  • @yohanasosi5604
    @yohanasosi5604 Před 4 lety +1

    Una matundu hadi kichwani wewe

  • @fauziseif5108
    @fauziseif5108 Před 4 lety +1

    Pumbavu kabisa wewe kaolewe huko

  • @hamdanimohammed5220
    @hamdanimohammed5220 Před 4 lety +1

    Ulistahili zawadi uloipata huezi kumuita kiongozi wanchi dikteta uchwara mbulula wewe

  • @oyay2821
    @oyay2821 Před 7 lety

    heheheheheeeee...tundu lisuu ni mtundu kweli bado anaita raisi Dictator uchwara

  • @abdallahmesso7732
    @abdallahmesso7732 Před 11 měsíci

    Ufahamu gani wewe mungu au mtabiri wewe ndo mchwara Acha ushamba wewe

  • @hajikatanje5961
    @hajikatanje5961 Před 8 lety +8

    Nikweli serekali ina takakuleta machafuko, mbona sereikali iliyo pita hatukuyaona haya asifikirie ss walima korosho hatumuoni udictetor

  • @ashuraatanas5967
    @ashuraatanas5967 Před 7 lety +3

    upo sahihi kijana nakubaliana nawe

  • @alvinsanga2428
    @alvinsanga2428 Před rokem

    Hahahaha mnamkamatia ile ile 😂😂😂

  • @tz7976
    @tz7976 Před 4 lety

    Upinzani ni kupinga palipo na madhaifu ya serikali sio kumtukana mkuu wa nchi na kumuita UCHWARA kiukweli huyu jamaa anastahi kufungwa jela maisha yake yote

  • @kingchaga806
    @kingchaga806 Před 7 lety +3

    aaaah mbona umetumia maneno mazito xana

  • @athanaschriss881
    @athanaschriss881 Před 8 lety +2

    ww kelvin cjui umetokea pori gani aisew maana pumba tupu tu unazoongea

  • @abeatech1479
    @abeatech1479 Před 4 lety

    Unaongea kwa kubweka bweka ,tundu lisu we ndiyo uchwara ,nani kakuita utajikabiri mweyewe mjinga weee, wewe ni mwanasheria "primitive "kauli zako hizo zinatuchefua kwani mtawala ndiye amekupeleka mahakamani au ni hilo do more lako chaff,hivi kwani nani kakuleta uliokuwa ? Ndiyo sera ulikuja nazo kujinadi ungwe mkono ?

  • @godfreychristopher4733

    Ni kosa kisheria kutukana au kukejer hadharan,,we mwanasiasa bhana alaf unavunja sheria hadharani...ongea kistaarab tutakuelewa,,bt big up kwa kurekebisha nchi

    • @mwilathomas2382
      @mwilathomas2382 Před 8 lety +2

      we unaijua sheria ww au unajiandikia t imradi waone umepost! au ukiulizwa tusi liko wap hapo unaweza lionyesha, nyie ndo huwa mnafungwa nyie

    • @tmagoti
      @tmagoti Před 8 lety

      we mwanasiasa bhana alaf unavunja sheria hadharani.....sheria ipi mzee
      acha kuburuzwa!

    • @godfreychristopher4733
      @godfreychristopher4733 Před 8 lety +1

      +Tito Magoti wanasiasa wanatuendesha km gari bovu coz wanajua watanzania hàtunaga muda wa kufanya utafit wala kuchambua vitu.,tunategemea wenyewe ndo watuambie kila kitu

  • @renaldakamugishazeramulake940

    tundu lissu akiachiwa safari hii kwa maneno machafu anayomtolea mh.rais. Mimi natafuta uraia wa nchi yeyote. mbona akiachiwa?itakuwa anatumwa kumtukana rais na vyombo cha sheria! haniingii akilini kumtukana rais hivi, polisi Ipo, jeshi,lipo km so wao wanaomtuma amtukane rais ni nani?

  • @mamaperona1220
    @mamaperona1220 Před 8 lety

    wewe unaefananisha Na walima korosho vipi,wao ni watanzania wenzako, we toa maoni yako sio kuonesha dharau Kwa watu wengine wenye kuipenda democrasia kama wewe

  • @marcopeter7451
    @marcopeter7451 Před 8 lety +1

    huna jipya lolote lileeee

  • @nyanda427
    @nyanda427 Před 7 lety +1

    VIONGOZI WAPUUZI KAMA LISSU WANATAKIWA KUNYONGWA; LISSU HUNA ADABU HATA KIDOGO

  • @ummykapera4660
    @ummykapera4660 Před 5 lety

    eti mzalendo unamtukana Rais wako;wewe unalindwa na nani;

    • @fatmakigula8634
      @fatmakigula8634 Před 4 lety

      Inamana magufuli mjinga? Huyu inatakiwa arudishwe huko alikotoka Tanzania haimfai asije fia jela