JE UNALISHA NINI AKILI YAKO NA UBONGO WAKO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Mwanadamu ameumbwa katika sehemu kuu tatu. Mwili nafsi na Roho.
    Siku zote mwili ushindana na Roho kupitia nafsi. Sehemu inayochakata maamuzi , emossions ni katika nafsi.
    Nafsi inajumuisha matumizi ya akili, ubongo ambavyo hufanya maamuzi kutokana na ni nini unalisha au unatunza kupitia milango ya fahamu.
    ni vema kuwa mwangalifu nini unasikiliza au unaona ili kusaidia Roho iwe na nguvu kuliko mwili maana Rohoni ndiko kuna kumpendeza Mungu.

Komentáře • 2