![Mwl. JOYCE KISHA](/img/default-banner.jpg)
- 41
- 32 564
Mwl. JOYCE KISHA
Tanzania
Registrace 8. 01. 2019
Hapa ni mahali pa mafundisho juu ya mabinti juu ya maisha yao ya ubinti.
Video
USAFI KATIKA KIPINDI CHA UJANA ( Sehemu ya pili)
zhlédnutí 82Před měsícem
USAFI KATIKA KIPINDI CHA UJANA ( Sehemu ya pili)
USAFI KATIKA KIPINDI CHA UJANA (Sehemu ya Kwanza)
zhlédnutí 416Před měsícem
Pamoja na kijana kukumbwa na changamoyo nyingi zinazosababishwa na utandawazi upo imuhimu wa kumjenga katika maadili ya kutunza usafi wa maisha yake. Hii ni kwa sababu jambo hili lina mchango mkubwa huko mbeleni anapoyaendea maisha ya ndoa na kujenga familia iloyo bora. Ninamuomba Mungu awape macho ya ndani kuona na kuelewa somo hili. YESU AWATUNZE kwa ajili ya utukufu wake AMINA
NAFASI YA MWANAMKE KATIKA MALEZI YA MTOTO
zhlédnutí 122Před 2 měsíci
Tunaishi katika ulimwengu amabao kila mtu yuko busy na majukumu mengi. Baadhi ya wanawake wa sasa wako katika hatihati ya kushindwa kuwatengeneza vema familia zao ikiwemo kutoa malezi bora kwa watoto kwa sababu muda mwingi wanutumia ofisini, kwenye biashara , wakitafuta pesa kwa ajili ya kujikimu pamoja na familia. Sababu zipo nyingi lakini kubwa ni pale wanawake ambao ndio walezi wakubwa wa fa...
MAKOSA YA KIMAISHA YANAYOWAKUMBA VIJANA
zhlédnutí 117Před 3 měsíci
Katika maisha, kutambua kosa ni hatua muhimu katika kushughulika na kosa hilo. Katika wakati wa sasa, vijana wengi wanakumbwa na misukumo unayowaingiza katika kutenda makosa mbalimbali. Jambo linalosikitisha ni kwamba, wengi wao huwa hawatambui mapema na kurekebisha bali shetani anawapiga upofu na kuwafanya kuona wako sawa. Jambo ambalo hatimaye linaleta uharibifu. Baadhi ya makosa ni matumizi ...
JE UNALISHA NINI AKILI YAKO NA UBONGO WAKO
zhlédnutí 245Před 3 měsíci
Mwanadamu ameumbwa katika sehemu kuu tatu. Mwili nafsi na Roho. Siku zote mwili ushindana na Roho kupitia nafsi. Sehemu inayochakata maamuzi , emossions ni katika nafsi. Nafsi inajumuisha matumizi ya akili, ubongo ambavyo hufanya maamuzi kutokana na ni nini unalisha au unatunza kupitia milango ya fahamu. ni vema kuwa mwangalifu nini unasikiliza au unaona ili kusaidia Roho iwe na nguvu kuliko mw...
JE UNAFANYAJE UNAPOKUTANA NA "MSHANGAO" KATIKA MAHUSIANO?
zhlédnutí 164Před 4 měsíci
Dunia imejaaa mishangao ( suprises) miongoni mwake ni pale unapokutana na tukio ambalo hukutegemea toka upande uliofikiri kuwa mko pamoja. Mwl Joyce Kisha anakuletea baadhi ya njia rahisi za namna ya kukabili na kisha kubaki salama na ukiwa focused na kuendelea na maisha bila kujidhuru wala kudhurika. Vijana wengi tunakutana na breakups na mara nyingi wengi tunaathirika kitabia, kimwenendo na h...
Mitazamo katika mahusiamo - semina ya mabinti
zhlédnutí 44Před 6 měsíci
Mitazamo katika mahusiamo - semina ya mabinti
ZIJUE FAIDA ZA KUWA NA HESHIMA KATIKA MAHUSIANO
zhlédnutí 197Před 7 měsíci
Kumheshimu au kuwa na heshima kwa mweza wako si UTUMWA au ishara ya kunyanyasika kama wengi tunavyodhani. Kwa kutambua umuhimu wa heshima, katika kujenga mahusiano bora yasiyo na migogoro isiyo ya lazima , mhusika anastahili kufanya tendo hili kwa moyo wake wote huku akimwomba Mungu kibali kwa mwenza wake kufunguliwa ufahamu na kuelewa umuhimu huu. Wanawake wengi hasa waliotutangulia wameijua k...
WATOTO WAFUNDISHWE HESHIMA WANGALI WADOGO
zhlédnutí 39Před 7 měsíci
WATOTO WAFUNDISHWE HESHIMA WANGALI WADOGO
FAHAMU VIASHIRIA VYA KUWEPO KWA HESHIMA KATIKA MAHUSIANO
zhlédnutí 3,2KPřed 7 měsíci
Katika mahusiano ya ndoa , Heshima ni jambo muhimu sana. Wakati mwingine wahusika / mhusika anaweza asiwe na ufahamu wa namna ya kufanya ili heshima iwepo. Mafundisho haya yanalenga kutoa baadhi ya viashiria au dalili zinazoonyesha ipo heshima ili kusaidia mahusiano kuboreka na kuwa sehemu salama ya kuishi Ninawaombea Amani ya Kristo iwafunike nyote mnapoendelea kujifunza SHALOM SHALOM
HESHIMA KATIKA MAHUSIANO
zhlédnutí 526Před 8 měsíci
Heshima ni kiungo muhimu sana katika kufanikisha mahusiano yenye Tija. Ni wajibu wa kila upande kuwa na heshima kwa mwenziwe. Lakini Biblia katika kitabu cha Waefeso %:22-33 inatoa maelekezo mahsusi kwa WANAWAKE/WASICHANA/MABINTI kutii/kuheshimu waume zao, wenza wao , Je umewahi kujiuliza ni kwa nini? Huduma ya DAUGHTERS OF JERUSALEM kupitia Mwl Joyce Kisha inakukaribisha , njoo upate maarifa k...
Umuhimu wa kujua kujielelza kwa kijana
zhlédnutí 93Před 11 měsíci
Umuhimu wa kujua kujielelza kwa kijana
MAKUZI KWA VIJANA WADOGO (TEENEGERS) SEHEMU YA PILI
zhlédnutí 26Před 11 měsíci
Maarifa ya jamii kwa vijana muhimu kwa vijana wetu. Tukiwa kama wazazi ama walezi tunawiwa kuwaandaa vijana kwa kuwapa maarifa ya jamii ikiwemo; Kufanya mawasiliano yenye tija, kuwa wasikivu na wavumilivu, kuweza kusema Hapana katika mambo yaliyo nje ya uwezo wao, kuchagua marafiki n.k Tunatakiwa kufanya bidii katika kutafuta maarifa haya na kuwawekea vijana wetu ili waweze kumydu vema maisha y...
MAARIFA MUHIMU KWA MTOTO WAKO ATAKAPOKUWA MKUBWA KWENYE ULIMWENGU MPANA
zhlédnutí 120Před rokem
MAARIFA MUHIMU KWA MTOTO WAKO ATAKAPOKUWA MKUBWA KWENYE ULIMWENGU MPANA
MAARIFA YA NYUMBANI KWA WAZAZI WA KIZAZI KIPYA
zhlédnutí 208Před rokem
MAARIFA YA NYUMBANI KWA WAZAZI WA KIZAZI KIPYA
NGUVU YA MAKOSA / THE POWER OF MISTAKES.
zhlédnutí 373Před rokem
NGUVU YA MAKOSA / THE POWER OF MISTAKES.
UMUHIMU WA KUJADILI KUHUSU FEDHA NA MAPATO WAKATI WA UCHUMBA
zhlédnutí 225Před rokem
UMUHIMU WA KUJADILI KUHUSU FEDHA NA MAPATO WAKATI WA UCHUMBA
SIMPLE AND EFFECTIVE UPBRINGING SKILLS FOR YOUNG MOTHERS
zhlédnutí 217Před rokem
SIMPLE AND EFFECTIVE UPBRINGING SKILLS FOR YOUNG MOTHERS
IJUE ASILI YA MKE AU MUME WAKO. SEMINA YA VIJANA NA Mwl. JOYCE KISHA.
zhlédnutí 644Před rokem
IJUE ASILI YA MKE AU MUME WAKO. SEMINA YA VIJANA NA Mwl. JOYCE KISHA.
BEYOND LOVE AND ATTRACTION. Mlw. JOYCE KISHA.
zhlédnutí 586Před rokem
BEYOND LOVE AND ATTRACTION. Mlw. JOYCE KISHA.
FAHAMU MATUMIZI SAHIHI YA NENO HAPANA - Sehemu ya Pili
zhlédnutí 122Před rokem
FAHAMU MATUMIZI SAHIHI YA NENO HAPANA - Sehemu ya Pili
FAHAMU MATUMIZI SAHIHI YA NENO HAPANA - Sehemu ya kwanza
zhlédnutí 153Před rokem
FAHAMU MATUMIZI SAHIHI YA NENO HAPANA - Sehemu ya kwanza
Barikiwa sanaaa mtumishi wa Bwana Mungu na azidi kukutunza.
Kwa mwanaume kujua kuhusu mkewe sio shida sana ila kuhusu mke kujua wengi hukosea kuanza kukupangia kwa kila kijisenti kitu ambacho wanaume huona km tunatawaliwa ktk hilo na sometimes inategemea na huyo mke mwenyewe km anauwezo wa kumanage hali ya kubaki ktk utulivu wa matumizi ya kifedha hata pale ambapo anajua kuna pesa nyingi hivyo ni sahihi kabisa ila inategemea una mke wa aina gani kwasabab wapo wasiokua na uwezo wa kutulia wakijua kuna fedha/money management hivyo basi n vema usemacho ila msome mwenzio n mtu gan kwanza ndipo utafanikiwa eneo hilo.
❤mom
Shalom Mwl. Kisha. Mungu akubariki kwa unayotulishia chakula cha rohoni mabinti zetu.
Hii shule ni kali na iko vizuri
Gharama ni sh ngapi kitabu. Kinapatikana wapi?
Ni shilingi elfu kumi tu, kama uko nje ya Dodoma kinatumwa kwako Contact: 0745 069443 Barikiwa
Amina Mama
Amina Mama
Wawww... Nimebarikiwa
Ameen
Ubarikiwe sana mwalim nakupenda bureee
Amina mama❤
🙏
❤
❤Amina mama
❤️🔥
🎉
kunakitu nimepata hapo Mama!
Mama umereza vizuli sana japokua siamini mwanamke kufundisha
❤
🔥🔥🔥❤❤
Amina Mungu akubariki
DAH BARIKIWA SANA MTUMISHI WA MUNGU NIMEPATA CHANGU HAPO
Amen and Amen
Mtumishi wa Mungu Asante Kwa mda wako na kuitikia mwito wa Mungu Kwa utumishi huu, Mungu anisaidie ili namimi nitumie Kwa nafasi ya wito wangu, haki nahitaji msaada wa Mungu nimeokoka ndio ila itakuaje Yesu akirudi na kunipata nimeitika ila sijatekeleza Mona nashindwa! Ee Mungu wangu nisaidie . Nashukuru Mungu Kwa ajili yako Mwl Joyce ukipata nafasi nikumbuke Kwa maombi nami nitaendelea kukuombea , hata watu wasipo comment usiache Wala kulengea nimeona kitu ulichopewa ubarikiwe katika jina la Yesu Kristo
Amen, nimefurahi ujumbe mzuri , lakini hauelezi mizigo ikijaa network huwa inakamata hasa akipita mrembo mzuri, au umeamka zako tu asubuhi mtambo unakuta upo full charge au na enyewe tukimbie?
Gdbless madam somo nzuri sn
Somo nzuri sn madam ubarikiwe sn
Ameee
Mungu akubariki mtumishi wa mungu
❤🎉
🔥🔥🔥🔥❤❤❤
Asante kwa comments nitafanya hivyo
Safi sana mwalimu Joyce wambie pia wazazi waombee watoto wao na familia zao kila wakati ili Mungu awaongoze katika hayo mafunzo
Ninaomb namba zako za simu
Mungu akubarki mamy
Safi sana👍🙏
Mungu akuinue sana
Amina
Congratulations mom🥳🥳🥰
God bless you my daughter keep watching better is not enough the best is yet to come
🔥🔥
Ameeen
Hongera sana Mwl kisha
Asante sana mentor wangu, Mungu akubariki sana
🥳🔥
💃💃💃💃💃
God bless you. Great teachings
Amen, God bless you Thank you for your comment
Thank you, God bless you, please assist by sharing to others
Ameen
Ahsante sana mwalimu Joyce kwa mafundisho mazuri sana kwa vijana wetu. Nikuombe pia semina hizi ufanye na kwa vijana wetu wa kiume.
Ndiyo kwa sasa najitahidi kuongea nao pia, nitajitahidi wqkati ujao kizingatia hilo maana wengi wananiambia hivyo Ubarikiwe kwa comment yako, tafadhali endelea kiwqjuza na wengine wafikiwe Barikiwa sana
🔥
Amen ubarikiwe
Barikiwa
Ubarikiwe saaaaaana 🎉
Asante sana mpendwa Tunalifanyia kazi
🔥🔥🔥🔥
Thank you my daughter, God bless you
👏
🙏🙏
Mayo mayo Aleluya❤