Huyu dada nampenda sana,, ana huduma kubwa sana kwny kusifu na kuabudu,, Devotha sio msanii wa Gospel Music bali ni Mtumishi ktk upande huo,, Mungu anamtumia sana sana ktk eneo hilo,, Huwa akisimama madhabahuni kuhudum aisee nguvu za Mungu zinashuka kwa ukubwa sana sana,, na akiwa anaimba watu hufunguliwa na kuponywa,, she is realy Mtumishi wa Mungu. Pia ni mnyenyekevu sana,, Namuombea kwa Mungu azidi kumtumia zaidi.
I LOVE YOU SO MUCH DARLING DEVOTHA YAAN KANISANI UKIHUDUMU SITAMANI IBADA KUISHA mUNGU AZIDI KUKUINUA NA KUKULINDA NA ILE NIA YA MUNGU UKUE NDANI MWAKO
Huyu dada nampenda sana,, ana huduma kubwa sana kwny kusifu na kuabudu,, Devotha sio msanii wa Gospel Music bali ni Mtumishi ktk upande huo,, Mungu anamtumia sana sana ktk eneo hilo,, Huwa akisimama madhabahuni kuhudum aisee nguvu za Mungu zinashuka kwa ukubwa sana sana,, na akiwa anaimba watu hufunguliwa na kuponywa,, she is realy Mtumishi wa Mungu. Pia ni mnyenyekevu sana,, Namuombea kwa Mungu azidi kumtumia zaidi.
My love devotha Yesu akuinue kipenzi Changu 😍😍
Barikiwa sana Devotha
Nampenda Sana uyu dada jmn👏
❤️❤️❤️❤️🙌🏼
So much appriciation to OUR HOLY LORD JESUS KRIST
Hongera sana Mungu akuinue juu zaidi
🔥🔥🔥🔥🔥 Thank you so much
I LOVE YOU SO MUCH DARLING DEVOTHA YAAN KANISANI UKIHUDUMU SITAMANI IBADA KUISHA mUNGU AZIDI KUKUINUA NA KUKULINDA NA ILE NIA YA MUNGU UKUE NDANI MWAKO