Jitibu mwenyewe maradhi ya MAJINI, VIFUNGO chukua muongozo huu
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- Jiandae na maisha ya milele ya akhera kwa ibada na kusikiliza muongozo wa masheikhe mbalimbali hapa Miraj khan
⚫️ WASILIANA NASI MIRAJ KHAN WHATSAPP +255 713 730 907, +255 0687 524 797
⚫️ Email: buikhan21@gmail.com
Sheikh unajua kuelezea na kutia Moyo wallai Allah akuhifadhi
ALLAHUMMA AMIN
(9:128) Laqad jaaa'akum Rasoolum min anfusikum 'azeezun 'alaihi maa 'anittum hareesun 'alaikum bilmu'mineena ra'oofur raheem
(9:129) Fa in tawallaw faqul hasbiyal laahu laaa ilaaha illaa Huwa 'alaihi tawakkkaltu wa Huwa Rabbul 'Arshil 'Azeem (section 16)
Shukran
Mashaallah tabaraka rwahmani Allah akujazi kheri fidunia wal-akhera
Asalama Aleyekumu mngekuwa mnandika aya mnazozizungumza inakuwa rahisi kwetu
Mashaallah tabaraka Allah Allah akujazi kheri sheikh wetu
Je , io kinga kwa kila ya shari baada ya kuisoma izo aya usku wa Alhamisi kuamkia jumaa ni io sku ama ni kwa maisha yote kuanzia pale
Maashaallah akhy Allah atuongoze
Asalaam aleikum shiek shukran kwa kisomo.huwa nakufwatilia Mimi ni mkisto nifanyie aje Niko nchi za warabu .majini nitaomba dua Gani nitafute u tube.majini hunisumbua
Shukran laka
Shukran
Jee nitakapopenda kuzidisha kutokana na idadi ilyotajwa patakua na ubora Gani au hasara gani
Manshallah shukran Sheikh wetu
MaashaAllah, Shukran
Mngu ya kupe kila la heri incha Allah
Mbona husomi hizo haya twataka kujua
Kwanini kuweka mkono kweny kifua nini faida yake?
subhanallah
sura gani she.khe
Shukrani