Miraj Khan
Miraj Khan
  • 205
  • 1 594 562
Mitihani anyopitia mama akiwa mjamzito || Adhabu ya mwenye kuaasi wazizi
Sheikh Abdulirazak Amir kutoka mkoani Arusha anatukumbusha juu ya kuwatunza wazazi wawili
__________________________________________________________________________
Jiandae na maisha ya milele ya akhera kwa ibada na kusikiliza muongozo wa masheikhe mbalimbali hapa Miraj khan
__________________________________________________________________________
⚫️ WASILIANA NASI MIRAJ KHAN WHATSAPP +255 744 730 907
⚫️ Email: buikhan21@gmail.com
zhlédnutí: 73

Video

Maulana abubakar: Tafsiri ya Suratul Al Anaam aya 120
zhlédnutí 249Před 7 měsíci
Maulana abubakar: Tafsiri ya Suratul Al Anaam aya 120
Maulana Abubakar: Tafsir Suratul Al Anaam aya 122 || sehemu ya pili
zhlédnutí 256Před 7 měsíci
Maulana Abubakar: Tafsir Suratul Al Anaam aya 122 || sehemu ya pili
KISA CHA IBILISI ALIYENENEPA NA ALIYEKONDA: Mwalim Kinyogoli
zhlédnutí 98Před 7 měsíci
KISA CHA IBILISI ALIYENENEPA NA ALIYEKONDA: Mwalim Kinyogoli
JIFUNZE KWA WEMA HAWA KUMUOMBA ALLAH AKUPE UNACHOKITAKA
zhlédnutí 131Před 7 měsíci
#Shabanmuhoro Akielezea uhumimu muislamu kujitibu maradhi ya majini na vifungo kwa njia ya kumuelekea Allah na sio kumshirikisha Allah
Sauti Tamu yakumuita na Kumlilia ALLAH....Shariff Swaleh Elbadaw.........MAASHAALLAH
zhlédnutí 148Před 8 měsíci
Sauti Tamu yakumuita na Kumlilia ALLAH....Shariff Swaleh Elbadaw.........MAASHAALLAH
Duwa JALJALUT || Duwa ya kuondosha Mabalaa na mateso ya MAJINI katika Majumba na Mwili
zhlédnutí 179Před 8 měsíci
Duwa ya Jaljalut imesomwa na sheikh Shaaban Muhoro katika viwanja vya wazi Mkoani Mtwara ikiwa ni Maandalizi ya kuelekea katika Duwa kubwa itakayo fanyika tarehe 21.1.2024 Mkoani hapa
Kipozeo, Kinyogoli, kessy na Khalifa Adinan Kunguruma kwenye kongamano kubwa Mjimwema kigamboni
zhlédnutí 141Před 11 měsíci
Kipozeo, Kinyogoli, kessy na Khalifa Adinan Kunguruma kwenye kongamano kubwa Mjimwema kigamboni
#MOKHATY || HUZUNI || NEW QASWIDA
zhlédnutí 341Před 11 měsíci
#MOKHATY || HUZUNI || NEW QASWIDA
Imani za Maswahaba zilikua kubwa kiasi cha kushangaza || Visa vya maswahaba
zhlédnutí 2,1KPřed rokem
Imani za Maswahaba zilikua kubwa kiasi cha kushangaza || Visa vya maswahaba
Mama asimulia kwa uchungu uchawi ulivyo Mtesa, Vipimo vya Hospital havisomi Mimba ya miezi 7
zhlédnutí 165Před rokem
Mama asimulia kwa uchungu uchawi ulivyo Mtesa, Vipimo vya Hospital havisomi Mimba ya miezi 7
Profesa Mazinge: Kuna mama alipandisha JINI akataka CHIPS. Ampa Zawadi SHARIFU FURDAUS
zhlédnutí 592Před rokem
Profesa Mazinge: Kuna mama alipandisha JINI akataka CHIPS. Ampa Zawadi SHARIFU FURDAUS
Kuwa utakavyokuwa huu ndio MWISHO WAKO MWANADAMU
zhlédnutí 1,5KPřed rokem
#Maulanaabubakar Jiandae na maisha ya milele ya akhera kwa ibada na kusikiliza muongozo wa masheikhe mbalimbali hapa Miraj khan ⚫️ WASILIANA NASI MIRAJ KHAN WHATSAPP 255 744 730 907 ⚫️ Email: buikhan21@gmail.com
"Waache WANAFIKI wafurahi kidogo watakuja kulia vilio visio na mbembelezaji" N0 2
zhlédnutí 617Před rokem
Jiandae na maisha ya milele ya akhera kwa ibada na kusikiliza muongozo wa masheikhe mbalimbali hapa Miraj khan ⚫️ WASILIANA NASI MIRAJ KHAN WHATSAPP 255 744 730 907 ⚫️ Email: buikhan21@gmail.com
Maulana Abubakar: Tafsiri ya QURAN sura tul Ghafir AYA ya 69
zhlédnutí 1,1KPřed rokem
Maulana Abubakar: Tafsiri ya QURAN sura tul Ghafir AYA ya 69
Nililetewa Maiti niifufue Nilipokuwa Mchungaji. Kilichotokea utacheka
zhlédnutí 2,9KPřed rokem
Nililetewa Maiti niifufue Nilipokuwa Mchungaji. Kilichotokea utacheka
DUA baada ya SWALA ni BIDAA? Zifahamu DUA mbalimbali zakujikinga na HASADI na MARADHI
zhlédnutí 6KPřed rokem
DUA baada ya SWALA ni BIDAA? Zifahamu DUA mbalimbali zakujikinga na HASADI na MARADHI
Sauti tamu za Polisi wanawake wakisoma Quran kwa Tajwid
zhlédnutí 275Před rokem
Sauti tamu za Polisi wanawake wakisoma Quran kwa Tajwid
Mwana Mama Polisi Katika ubora wake wakusoma Quran kwa Tajwid
zhlédnutí 287Před rokem
Mwana Mama Polisi Katika ubora wake wakusoma Quran kwa Tajwid
Mambo MUHIMU uyajuwe na uyazingatie ili DUA YAKO IJIBIWE HARAKA
zhlédnutí 380Před rokem
Mambo MUHIMU uyajuwe na uyazingatie ili DUA YAKO IJIBIWE HARAKA
SILAHA alizoachiwa MUISLAM akizitumia lazima AFANIKIWE
zhlédnutí 1KPřed rokem
SILAHA alizoachiwa MUISLAM akizitumia lazima AFANIKIWE
FUATA muongozo MWEPESI utatue shida zako haraka
zhlédnutí 4,8KPřed rokem
FUATA muongozo MWEPESI utatue shida zako haraka
Aliyekuwa mchungaji Congo aeleza hali ya waislam wa Congo
zhlédnutí 551Před rokem
Aliyekuwa mchungaji Congo aeleza hali ya waislam wa Congo
Da'awa ya SHAMA'AN kwa FIRA'AUN ndio Da'awa inavyotakiwa ifanyike | Sura ya 40 aya 34 - 39
zhlédnutí 803Před rokem
Da'awa ya SHAMA'AN kwa FIRA'AUN ndio Da'awa inavyotakiwa ifanyike | Sura ya 40 aya 34 - 39
DIAMOND NA ZUCHU MZIKI NA BET NIHARAMU, MOMO ACHAKUTOA FATWA HUNA ELIMU
zhlédnutí 359Před rokem
DIAMOND NA ZUCHU MZIKI NA BET NIHARAMU, MOMO ACHAKUTOA FATWA HUNA ELIMU
Hakuna udhuru wa kumuingilia mkeo mchana wa RAMADHAN
zhlédnutí 585Před rokem
Hakuna udhuru wa kumuingilia mkeo mchana wa RAMADHAN
Maneno watakayosema makafiri wakiwa MOTONI na ALLAH atawauliza? Sura ya 40 aya 1-11
zhlédnutí 1,2KPřed rokem
Maneno watakayosema makafiri wakiwa MOTONI na ALLAH atawauliza? Sura ya 40 aya 1-11
Je TABLIGH ni USUFI? ?//Salafy wajibiwa madai yote ya uongo kuhusu TABLIGH
zhlédnutí 7KPřed rokem
Je TABLIGH ni USUFI? ?//Salafy wajibiwa madai yote ya uongo kuhusu TABLIGH
Maulana Abubakar awakumbusha ukubwa wa ALLAH mahujaj
zhlédnutí 2,9KPřed 2 lety
Maulana Abubakar awakumbusha ukubwa wa ALLAH mahujaj
Umri unaoishi umechagua mwenyewe. mawaidha yawaliza watu
zhlédnutí 340Před 2 lety
Umri unaoishi umechagua mwenyewe. mawaidha yawaliza watu

Komentáře

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k Před 22 hodinami

    Shukran

  • @amineyjumah-kv9kb
    @amineyjumah-kv9kb Před 2 dny

    Hili neno ni yaa saliú?

  • @BeatuxDuga
    @BeatuxDuga Před 6 dny

    Shekh mim sio muislam nawezaje kupona kigugumizi 🤲

  • @YusuphMashaka-z1d
    @YusuphMashaka-z1d Před 11 dny

    Salafi hawana hoja

  • @ramadhanimahuba9630
    @ramadhanimahuba9630 Před 12 dny

    Tokea nianze nianze kuwafatilia mganga hali pesa tena ila subra na uvivu lazima vikae pembeni

  • @user-qo3ei9tp7t
    @user-qo3ei9tp7t Před 14 dny

    Na bilaal hakusoma,mtume hakumwambia kasome kwanza

  • @user-qo3ei9tp7t
    @user-qo3ei9tp7t Před 14 dny

    Waambie sheikhe

  • @apollorutamucero6971
    @apollorutamucero6971 Před 16 dny

    Sawuti

  • @biashaqtr-xd2mf
    @biashaqtr-xd2mf Před 18 dny

    Shukran shekhe Allahu akubari

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 Před 18 dny

    Ukiristo ni upagani. Hata hawaoni haya ukweli wote wanaopewa. Makafiri hawa fy nari jahannam

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 Před 18 dny

    Kinyogoli kiboko 😂

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 Před 18 dny

    Wanatetea ukiristo dini ya uongo. Hawana hata ushahidi. Hawafati hata amri moja ya yesu. Wangemfata yesu wangeingia msikitini wakasujudu ndio yesu anavofundisha

  • @JOHNMWACHOFI
    @JOHNMWACHOFI Před 27 dny

    Allha.wakipari.takibiri.allha.wskibari

  • @abubakarsuleman1983
    @abubakarsuleman1983 Před měsícem

    Nakupenda kwa ajili ya Allah mpaka machozi yananitoka

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 Před měsícem

    Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh! Hakika sheikh umesema kweli Naomba kutoa ushahidi juu ya hili jina TUKUFU LA YAAA LATWIIIF mimi nilifululiza kwa muda wa siku 7 Nililisoma mara elfu 16 Naamka usiku saa 9 na kuswali haja kisha kuanza kulitaja mara 16elf Wallahi shida yangu siku ya 8 ilitatuka Allah kareem

  • @Mduba68thedon
    @Mduba68thedon Před měsícem

    Mmmhhhh❤❤

  • @HajrahRamadan
    @HajrahRamadan Před měsícem

    Asalamu alykm warahmatulah wabarakatu,shehe namiaka zaidi ya ishirini naumwa jamani nisaidieni dua

  • @SabrinaSabrina-dr6mv
    @SabrinaSabrina-dr6mv Před měsícem

    Takibrii Allah Akbar

  • @IssaSimbilla-hw9ev
    @IssaSimbilla-hw9ev Před měsícem

    Jahili wewe uwwkusanye pamoja na uvundo ipo wapi haq na batwir mwehu wewe😂

  • @vitalcool9266
    @vitalcool9266 Před měsícem

    Mashallah

  • @AbujannatyRayaan-sf4fx
    @AbujannatyRayaan-sf4fx Před měsícem

    As salaam alaykum wa rahamatullahi wa barakaatuh Akhil kariim Baarakallahu fiik! Mimi Nina swali ! Nimepata clip hii Leo lakini nataka niulize tu haya yalioaungumziwa hapa yanapatikana katika kitabu Gani? Na ni Nani katika wema walio tangulia ameyafunza haya ? Ao Mtume (Rehma Na Amani ziwe juu yake) kayafunza haya kweli ? Naomba Ndugu yangu Lillahi unipe ushahidi

  • @homeboyvr8184
    @homeboyvr8184 Před měsícem

    Yani ukiwa mtu wa bidaa unakuw unamacho lkn unakuw huon nd jnc masuf walivyooo

  • @RazzackNdayambaje
    @RazzackNdayambaje Před 2 měsíci

    Naam shukran sana,kwakuzingua nyumba imefungwa kichawi tunaweza tumia utaratibu huo?

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před 2 měsíci

    Wote ninyi watu wa bidah kasoro wale zimevuka mipaka

  • @AhmadiMadua
    @AhmadiMadua Před 2 měsíci

    Masalafihawa niwajinga sijapatakuona hamnakitu

  • @KhamisBakar-ge4sp
    @KhamisBakar-ge4sp Před 2 měsíci

    Masha Allah

  • @HemedSerious
    @HemedSerious Před 2 měsíci

    Kwa mujibu wa hoja na ushahidi ndani ya kur-an ata mtu anaejua aya moja vizr anafaa kufanya daawa. Ata mm nafaa kutoa daawa sharti liwe jambo ninalolifaham vzr

  • @HemedSerious
    @HemedSerious Před 2 měsíci

    Mnapinga nini masalafi apo?

  • @user-sk7ir2nv1z
    @user-sk7ir2nv1z Před 2 měsíci

    Mashaallah ❤

  • @user-mh9hj3lx7q
    @user-mh9hj3lx7q Před 2 měsíci

    Mazinge mjinga unawadanganya wailamu

  • @HemedSerious
    @HemedSerious Před 2 měsíci

    Jihadi ya nafsi na mali

  • @HemedSerious
    @HemedSerious Před 2 měsíci

    Ahsante sana, sheikh tabligh Allah akulipe kheri inshallah

  • @SalumMuhsin
    @SalumMuhsin Před 2 měsíci

    Naaam جزك الله خير

  • @AishaAthimani
    @AishaAthimani Před 2 měsíci

    Jazakallah khair shekh ALLAH akupe afya nimefaidika na masomo yako yasini imenifungua vifungo Alhamndulillah

  • @rolandolussoca8124
    @rolandolussoca8124 Před 3 měsíci

    Shukrani djazila

  • @AishaAthimani
    @AishaAthimani Před 3 měsíci

    Shekh wangu niendele kusoma tena yatatoka?

  • @AishaAthimani
    @AishaAthimani Před 3 měsíci

    Alhamndulillah shekh wangu nilisoma nilipatwa na mambo makubwa nilitapika sana vitu vikaanza kunitembea mwili mzima yamejitokeza majini yanasema yalipotoka

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 Před měsícem

      Allahu Akbar Pole sana Aisha Allah akufanyie wepesi yatoke

  • @NurdiniMussa-lx3jw
    @NurdiniMussa-lx3jw Před 3 měsíci

    Atakuja kaelewa uyo na itikadi za kiuyaudi yeye Bado azungumzie uma unapotea anazungunguzia kitu ambacho kasoma lakini Allah kamnyima akili

  • @Abuusamhasalum
    @Abuusamhasalum Před 3 měsíci

    Iyo elimu yenyewe hamuijui tabligh

    • @RahimJafari-j4x
      @RahimJafari-j4x Před měsícem

      Toka miezi sita utaelewa kwa macho ya yaqini. So elimu ya kujua nyanya mbovu na nzim Wala sio ya qibri. Allahu Akbar

    • @user-yb9cl6fr6l
      @user-yb9cl6fr6l Před měsícem

      Sasa kama ilimu hawana iyo anayoitoa hapo nimaviyako

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před měsícem

      Masalafi kwani mna shida gani na tabligh?! Kama hana ilmu hicho anachokisema hapo ni nini?!

  • @user-pw9lf6yt9b
    @user-pw9lf6yt9b Před 3 měsíci

    Aamin

  • @sangokipozi4611
    @sangokipozi4611 Před 3 měsíci

    Jazaak Allahul kheir! Waalaikum salaam wa Rahmatullahi wabarakatuh

  • @sangokipozi4611
    @sangokipozi4611 Před 3 měsíci

    Waalaikumu salam wa rahmatullahi wa barakatu

  • @hakizimanatatuhakizimana6186

    Maashallah tabarakallah

  • @RamaNevi-fs6zr
    @RamaNevi-fs6zr Před 3 měsíci

    Ety mwanzo kulikua n neno na neno alikua n Mungu sasa maneno yalitamkwa na nan,wakristo hamna elimu someni Kwanza,hasa ndacha jifunze Kiswahili na usome sna

  • @AliKahin-cs3yd
    @AliKahin-cs3yd Před 3 měsíci

    Mashallah shukran ustadhi

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před 3 měsíci

    Ahaa mnatumia nguvu nyingi kuelewesha, jamaat tabligh ni ahlu bidaa rudini katika sunna ya mtume.

  • @RayaRashid-dc2hn
    @RayaRashid-dc2hn Před 3 měsíci

    😂😂😂😂 mashia machawa 2

  • @NassorroButcher-cu3pg
    @NassorroButcher-cu3pg Před 3 měsíci

    Naaam sikikundi tabligh, hao kina barahiyan, na mwenziwe anae jiita salafia elim ndogo sana, riha ndio maisha yao tuwaombee dua

    • @majidiabdi424
      @majidiabdi424 Před 3 měsíci

      Acha kuropoka ropoka - Unakipimo Gani juu ya Elimu za WATU ?

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před 4 měsíci

    Ukweli ni kasema ndy,mpigeni raddi na utheiminy ninyi si mabingwa kuwatoa watu katika sunna,mtoeni na shekhe saleh utheimi allah amrahamu shekkhe wetu,ametowa dalili za kikundi cha mafuta na wenziwe awana usalafi wowote,usalifiya jadida unaowasumbua wale.

  • @SaidKatuga-qx1xr
    @SaidKatuga-qx1xr Před 4 měsíci

    Mtume ,saw kafundisha hayo kweli.toa ushahidi jamani usizungumzee tu