🔘JE, NA WEWE UNA HABARI? 🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402), 🔘WhatsApp (+255 767 400402) 🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com 🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Hii nchi wengi wetu tumeridhika na shida zetu, ila tunatakiwa tuiondoe ccm madarakani maana hela ya kodi inayokusanywa, wanaigawana haohao wenye dhamana na mamlaka, na ndo maana wako radhi kumpoteza yeyote wanayeona anataka kuwaharibia ulaji wao ili waendelee kujinufaisha wenyewe na kuzidi kumfanya maskini awe maskini kabisa.
Sio Chakula,wala bidhaa yoyote,Madawa,Huduma,hakuna kilichosalia Waziri wa fedha Mh.Mwigulu hajaweka kodi juu ya kodi ndio ubunifu wa kisomi wa vyanzo vipya vya kodi kwa maendeleo ya nchi! Wao wanajitosheleza,sisi wananchi tunabangaiza siku kwa siku sio bure wana jambo lao...
Pambaneni Makamanda na Mungu wa mbinguni awatangulie mapambano yenu yakazae matunda kwa jina la Yesu
Hogereni sana kiogozi tupo pamoja
Ccm lazima waondoke .
Sababu rais kutoka zanzibar acheni ujinga machogo
Hii nchi wengi wetu tumeridhika na shida zetu, ila tunatakiwa tuiondoe ccm madarakani maana hela ya kodi inayokusanywa, wanaigawana haohao wenye dhamana na mamlaka, na ndo maana wako radhi kumpoteza yeyote wanayeona anataka kuwaharibia ulaji wao ili waendelee kujinufaisha wenyewe na kuzidi kumfanya maskini awe maskini kabisa.
Lema uko vzr
Jamani hawajamaa wanaongea yaan mungu atusaidie
Sio Chakula,wala bidhaa yoyote,Madawa,Huduma,hakuna kilichosalia Waziri wa fedha Mh.Mwigulu hajaweka kodi juu ya kodi ndio ubunifu wa kisomi wa vyanzo vipya vya kodi kwa maendeleo ya nchi! Wao wanajitosheleza,sisi wananchi tunabangaiza siku kwa siku sio bure wana jambo lao...
Pamoja sana
CCM ni kikundi cha majambazi, tutakipiga mapema tuu!
LEma Si muhuni wewe ndiyo muhuni na mjinga ambayo haujui lolote
Mapambano yaendelee
Apo nimekuerewa ndio mana maendereo uku mitaani akuna kilasiku tunaliatu izo pesa viasilimia ndio wanajenga mwendokasi basi imetoka
Hata sisi wakulima tukilima Kahawa hawohawo Ccm ndiyo madalali wakubwa hivyo tunajikuta tumelipwa fedha kidogo sana
Hapo hapo
Muhuni ni wewe lema ni Kamanda mtetezi wa wanyonge
Lema niungovi au unasema sera Huna lolote mhuni tu wewe
Kilaza
Mkondya wewe ni chawa wa kwanza kutoka mwisho nani hakujui?! Ndio mana wanyatu mnaongoza kwa umasikini nchi nzima
Stop your nonsense or go to hell lema his right why tanzanian were suffering katika nchi yenye rasilimali more than all countries in africa