🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 767 400402)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Komentáře • 21

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 Před měsícem +8

    Pambaneni Makamanda na Mungu wa mbinguni awatangulie mapambano yenu yakazae matunda kwa jina la Yesu

  • @JeremiaholendikaMakeseni
    @JeremiaholendikaMakeseni Před měsícem +4

    Hogereni sana kiogozi tupo pamoja

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 Před měsícem +5

    Ccm lazima waondoke .

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 Před měsícem +3

    Hii nchi wengi wetu tumeridhika na shida zetu, ila tunatakiwa tuiondoe ccm madarakani maana hela ya kodi inayokusanywa, wanaigawana haohao wenye dhamana na mamlaka, na ndo maana wako radhi kumpoteza yeyote wanayeona anataka kuwaharibia ulaji wao ili waendelee kujinufaisha wenyewe na kuzidi kumfanya maskini awe maskini kabisa.

  • @user-xh8kd9ze7o
    @user-xh8kd9ze7o Před měsícem +1

    Lema uko vzr

  • @user-nn5oz4cn2g
    @user-nn5oz4cn2g Před měsícem +1

    Jamani hawajamaa wanaongea yaan mungu atusaidie

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před měsícem +2

    Sio Chakula,wala bidhaa yoyote,Madawa,Huduma,hakuna kilichosalia Waziri wa fedha Mh.Mwigulu hajaweka kodi juu ya kodi ndio ubunifu wa kisomi wa vyanzo vipya vya kodi kwa maendeleo ya nchi! Wao wanajitosheleza,sisi wananchi tunabangaiza siku kwa siku sio bure wana jambo lao...

  • @user-hj3ky9zy6y
    @user-hj3ky9zy6y Před měsícem

    Pamoja sana

  • @kamalabuberwa2001
    @kamalabuberwa2001 Před měsícem +1

    CCM ni kikundi cha majambazi, tutakipiga mapema tuu!

  • @juliusmlula1658
    @juliusmlula1658 Před měsícem +1

    LEma Si muhuni wewe ndiyo muhuni na mjinga ambayo haujui lolote

  • @halimachadai863
    @halimachadai863 Před měsícem +1

    Mapambano yaendelee

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf Před měsícem

    Apo nimekuerewa ndio mana maendereo uku mitaani akuna kilasiku tunaliatu izo pesa viasilimia ndio wanajenga mwendokasi basi imetoka

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur Před měsícem

    Hata sisi wakulima tukilima Kahawa hawohawo Ccm ndiyo madalali wakubwa hivyo tunajikuta tumelipwa fedha kidogo sana

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b Před měsícem

    Hapo hapo

  • @CostansiaKimaro
    @CostansiaKimaro Před měsícem

    Muhuni ni wewe lema ni Kamanda mtetezi wa wanyonge

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Před měsícem

    Lema niungovi au unasema sera Huna lolote mhuni tu wewe

    • @pueblo148
      @pueblo148 Před měsícem

      Kilaza

    • @elibarikimollel7149
      @elibarikimollel7149 Před měsícem +2

      Mkondya wewe ni chawa wa kwanza kutoka mwisho nani hakujui?! Ndio mana wanyatu mnaongoza kwa umasikini nchi nzima

    • @shabanadam4476
      @shabanadam4476 Před měsícem

      Stop your nonsense or go to hell lema his right why tanzanian were suffering katika nchi yenye rasilimali more than all countries in africa