Mseto wa wali na choroko / (green grams with rice mix) Chakula Cha kiTanzania
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- Mahitaji:
Choroko 1/4kg
Mchele 3/4kg
Chumvi
Mafuta 2tbsp
Maziwa 1 cup (Optional)
Ingredients:
+ Green grams 1/4kg
+ Rice 3/4kg
+ Salt (to your liking)
+ Oil 2tbsp
+ Milk 1 cup (Optional) you can use coconut milk instead...
Huu mseto sijajua mm sitaki hivyo mmmmm nimezoea kusonga alafu choroko mm naweka ziwe sawa na mchele au ndio mapishi mpya
Yaan robo nzima ya video ni kuosha tuuuu choroko😂😂😂
Nzuri, Asante!
Asante sana. Ni vizuri kuwa na vipimo vya vyakula. Hususani mchele na maji kawaida ni kipimo kimoja cha mchele kinaenda na kipimo kimoja na nusu cha maji au nazi.
🔥🔥🔥🔥🔥 asante snaaa
💪💪
Maji yawe moto au baridi
Process yako ndefuu mno unapoteza muda😅 sema tuu unachagua vizur na kuosha then anza kupika. Khaaaaa
usifundishe wenzio uongo
SAFI KWELI 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Cjaelelewaaa pishi lako
Tumezoea mseto wa kusonga
Nimependa unafanya kwamakini mno
Wale wa Tanga wenzangu nadhani hapa mtaona kuna utofauti mkubwa
🤣🤣🤣🤣
Ni kweli kabisa. Mbona amelifanya pishi kuwagumu hivyo wakati ni jepesi tu. Haina haja ya kukaanga na kitunguu. Choroko zikikaribia kuiva ndipo unachanganya na mchele kupika kwa pamoja. Vikiiva unasonga kisha weka tui la nazi mwisho koroga na kupalua na mkaa kidogo juu na chini ya sufuria.Ni vizuri kitoweo kikawa cha samaki wa nazi.
Ungeweka na kachumbari hua ni tamu
Ubwabwa unavutia
Inapoteza mda kwa unnecessary things
What is unnecessary hapo?
@@Taymuulicious kuchambua vitu was unneccessary..