Mseto wa wali na choroko / (green grams with rice mix) Chakula Cha kiTanzania

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Mahitaji:
    Choroko 1/4kg
    Mchele 3/4kg
    Chumvi
    Mafuta 2tbsp
    Maziwa 1 cup (Optional)
    Ingredients:
    + Green grams 1/4kg
    + Rice 3/4kg
    + Salt (to your liking)
    + Oil 2tbsp
    + Milk 1 cup (Optional) you can use coconut milk instead...

Komentáře • 21

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 Před 2 měsíci

    Huu mseto sijajua mm sitaki hivyo mmmmm nimezoea kusonga alafu choroko mm naweka ziwe sawa na mchele au ndio mapishi mpya

  • @solomonifavour7247
    @solomonifavour7247 Před 3 měsíci

    Yaan robo nzima ya video ni kuosha tuuuu choroko😂😂😂

  • @jojoko64
    @jojoko64 Před 2 lety +1

    Nzuri, Asante!

  • @jayzeem14
    @jayzeem14 Před 3 lety

    Asante sana. Ni vizuri kuwa na vipimo vya vyakula. Hususani mchele na maji kawaida ni kipimo kimoja cha mchele kinaenda na kipimo kimoja na nusu cha maji au nazi.

  • @TzSPYTv
    @TzSPYTv Před 4 lety

    🔥🔥🔥🔥🔥 asante snaaa

  • @maryamjuma9579
    @maryamjuma9579 Před 3 lety +1

    Maji yawe moto au baridi

  • @solomonifavour7247
    @solomonifavour7247 Před 3 měsíci

    Process yako ndefuu mno unapoteza muda😅 sema tuu unachagua vizur na kuosha then anza kupika. Khaaaaa

  • @RajabuSeif-kz2mu
    @RajabuSeif-kz2mu Před 4 měsíci

    usifundishe wenzio uongo

  • @ekasasimba7106
    @ekasasimba7106 Před 2 lety

    SAFI KWELI 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @eliminataelisey9574
    @eliminataelisey9574 Před 3 lety +1

    Cjaelelewaaa pishi lako

  • @user-od1oi3ks8j
    @user-od1oi3ks8j Před 11 měsíci

    Tumezoea mseto wa kusonga

  • @zakiaslim5268
    @zakiaslim5268 Před 2 lety

    Nimependa unafanya kwamakini mno

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb Před 3 lety +2

    Wale wa Tanga wenzangu nadhani hapa mtaona kuna utofauti mkubwa

    • @shadyakimaro3245
      @shadyakimaro3245 Před 3 lety +2

      🤣🤣🤣🤣

    • @safiaothman1098
      @safiaothman1098 Před 2 lety +5

      Ni kweli kabisa. Mbona amelifanya pishi kuwagumu hivyo wakati ni jepesi tu. Haina haja ya kukaanga na kitunguu. Choroko zikikaribia kuiva ndipo unachanganya na mchele kupika kwa pamoja. Vikiiva unasonga kisha weka tui la nazi mwisho koroga na kupalua na mkaa kidogo juu na chini ya sufuria.Ni vizuri kitoweo kikawa cha samaki wa nazi.

  • @lucysalvatory1511
    @lucysalvatory1511 Před 3 lety +1

    Ungeweka na kachumbari hua ni tamu

  • @rosemarymtessi2577
    @rosemarymtessi2577 Před 4 lety +1

    Ubwabwa unavutia

  • @minyabby3298
    @minyabby3298 Před 2 lety +1

    Inapoteza mda kwa unnecessary things