Mgomo Kariakoo. Kwa nini Serikali Inahitaji Uthubutu Kufanya Mageuzi ya Kikodi | Mtazamo Wa Pili

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Leo Juni 24,2024, wafanyabiashara kariakoo walifunga maduka yao kwa sababu mbalimbali walizozitaja ikiwemo usumbufu wa kikodi na masuala mengine. Sakata hili limeishia na serikali na wafanyabiashara hao kufikia muafaka katika mambo sita.
    Fuatilia uchambuzi huu unaongalia kwa nini serikali inaweza kwenda mbali zaidi.
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Komentáře • 19

  • @BarakerZeonlist
    @BarakerZeonlist Před 2 měsíci +3

    SHIDA SIO KULIPA KODI IMMAGINE NAPAMBANA USIKU NA MCHANA KUHAHIKISHA NAPIGA ATUA PAMOJA NA NCHI KUPIGA HATUA MARA UNASIKIA BILION IMEPIGWA NA HAKUNA SHERIA INAYOWASHIKILIA HAWA VIONGOZI KESI INAISHIA JUU KWA JUU, HAWA WATU WAPIGWE RISASI KAMA TUNATAKA NCHI IKAE SAWA ISHAKUWA TATIZO

  • @bakariulimwengu8533
    @bakariulimwengu8533 Před 2 měsíci +1

    Sehemu za wazawa ni za serikalini... kwenye biashara mtu kama documents zake zimekamilika kwanini asifanye biashara

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk Před 2 měsíci +1

    Huyu chalamila alitudanganya ameongea na Magufuli wakati skies tiari amekufa tunamshangaa kwenye uongozi leo.. Mama India huu ujinga

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 Před 2 měsíci +2

    Tusing'ate maneno; mfumo wa kodi wa serikali ni kandamizi, kuna multiple taxation

    • @UncleBigi
      @UncleBigi Před 2 měsíci

      Tuingie barabarani 😂

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Před 2 měsíci

      ​@@UncleBigitangulia wewe uonyeshe mfano kuliko kupiga umbea mtandaoni

  • @drallan6879
    @drallan6879 Před 2 měsíci

    uchumi WA nchi utaparalyse plz government sct urgently on this

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 Před 2 měsíci +3

    ..Dialogue with govt is just a waste of time. there is no political will at this time to resolve the challenges on hand.

    • @UncleBigi
      @UncleBigi Před 2 měsíci

      So we just give up then, i’m really moved with what kenya is doing

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 Před 2 měsíci

      @@UncleBigi it is way overdue that is the path we need to take to bring real change in Tz.

  • @eliaezekiel6766
    @eliaezekiel6766 Před měsícem

    Safisana Tony

  • @eliaezekiel6766
    @eliaezekiel6766 Před měsícem

    Miongoni mwa makala ninazozielewa zaidi

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 Před 2 měsíci

    Wachina wanauziwa mji huo. Watanzania wamewashtukia.

  • @hassankidilikia5566
    @hassankidilikia5566 Před 2 měsíci

    Hamakwambia TENGENEZA TATIZO KISHA TATUA TATIZO watu watakupenda sana😅tutaasahau10ten?

  • @drallan6879
    @drallan6879 Před 2 měsíci

    mgomo unaenea nch I mzima mbona mku WA nchi uko kimya?

  • @bakariulimwengu8533
    @bakariulimwengu8533 Před 2 měsíci

    Mnataka mlete ya south africa ukiulizwa wageni wanachukua kazi zenu wakati flame zingine ziko wazi

    • @UncleBigi
      @UncleBigi Před 2 měsíci

      Xenophobia 😂 kibongo kibongo i don’t think so

  • @BarakerZeonlist
    @BarakerZeonlist Před 2 měsíci

    HAPA KAMSEMA MO DIRECT

  • @user-fe8tx5bo2f
    @user-fe8tx5bo2f Před 2 měsíci

    Ww unatumika