Country Wizzy -TAKE ONE Episode 01 (Official Video)
Vložit
- čas přidán 20. 02. 2022
- Country Wizzy ONE TAKE Official Video Season 01 Episode 01
Produced By Daz Naledge
Directed By @gihcue
Follow Country Wizzy
Website : countrywizzy.com
Instagram: / countrywizzy_tz
Twitter: / countrywizzy_tz
Facebook: / countryboy.mateso
Tik Tok : / countrywizzy__tz
Triller : triller.co/@countrywizzy_tz
Listen to Country Wizzy
CZcams: / @countrywizzy
Audiomack: audiomack.com/countrywizzy
Apple Music : / country-wizzy
Spotify: open.spotify.com/artist/3yhr2...
Boomplay: www.boomplay.com/artists/1215948
Deezer : www.deezer.com/en/artist/1078...
The Official CZcams Channel Of Country Wizzy. Subscribe For The Latest Music Videos, Performances, And More.
For Bookings: bookcountrywizzy@gmail.com
Contact: +255 787378575 /+255764888767
Email: Bookcountrywizzy@gmail.com - Hudba
Kunasehemu ulifosi kuenda kumbe Chaka lako unalijua lilipo Baba..ngoma Kali, the only rapper aliyebaki 255
acha uongo mzee sa hapo kaimba nini?
Anarap kizamani
Uyu jama anajuwa mpeni heshima zake
Baba never disappoint. Much respect from 🇰🇪. Wap likes za wizzy watu wangu wa kenya happa💥💥
Much respect to him man .
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🏝️💪
@@yohmantv1500 dope
Njia Ya Kutengeneza Hits...
Wakwanza kucoment like zenu jaman
Nan kaona ile gari jamani RIP popsmoke
One like from Kenya 254
Kalibu mwana mpotevu tuli miss ngokali Kama izii✌️✌️✌️✌️✌️✌️🧨🧨🧨🧨🧨🧨🧨🧨🧨🧨👆👆👆
Nomaaaaa kaka nomaaaa
Safi kaz nzur....Country
Wizzy #BABA
Wizzy tingiiiiiii 🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮🦅🦅
Oyaaa hatariii sanaa
THIS TRACK IS ON MY REPEAT!! 🌎🔥🔥🔥🔥🔥
we mwamba ni kipengele kingn kabiiiiisa the untachable GADAFI, UNYAMA NI MWIINGI MKUU
Duhh yeah country himself 👂
But hyo gari mbona iliingia kac Sana nmerudia Mara mbil mbli bt it was very fast Sana 🥵
Halafu ilo video home sweet home 💥💥💥👌👽👿👿 mnyamwez wzzy
kabisa ulikuwa unapotea ulilokuwa apakufai baba apa nitakuwa shabikiak
Alikuwa anabaniwa Damn
Wizzy wewey nimkari Sana Ila konde gang sioo Siri ilikuwa unatupoteza mashabiki
Wizzy 🌋
Ulkuw wap ktoka konde gang mapema daaah noma saan
Country anaogopa kuanguka😂
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Siunaona tofauti ya me na weeeeeh!!!
Motooooo umekuwa umejizika kwa sulambaya
Yes bRO🙏🙏
uyo mnyamwez kumamake halafu show imefanyika home sweet home🏡 nakubl mnymwez weezy
Anaitwa Daz Naledge...., #kijengejuu #SuA
Nilipoanza kumjua country nilijua ni mtu mnoma sana na baya in trap bongo nzima
GISTOFF MUSIC new label in Nairobi Kenya tunaikubali hii banger
Sana mwanetu daaaaah ulipo tok alikuuwa now ss tunamuan wizzy wetu
Mwenye Max anavibe mda wote🦾
nakubali county wizz unyama mwing ujawaiga kuferi big hop
Unawezaa.. Sana.. Wizzy.. One.. Day.. Ntakuja.. Kufanya.. Kazii.. Na.. Ww.. Bro.. God.. Bless.. You..!!
Baba Kama Machi imetoka ep ya mondi wa Tandale🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🪐🪐🪐makiniii
This is u mr country boy we need yule mmakonde alikua anachelewesha makali haya tungeyapata wapi....💪💪 trap king rap king is back
Duuuh kuna gar imepita hapo sijaelewa ilivopita pita,,,kam ilitaka kua ajar wile
Ulipokuwa konde gang ulikuwa huachii nyimbo nzur fala wew umetoka ndo umeona uachie vyuma mbwa wew
Uyu ndo countrywiz nae mjua
We back!!
Ni uyo yeye Country wizzy ninae mjua🎉🙌🙌🙌
Father of new generation umeua
huu ndo unyama tulioumiss bro 🌋🌋💥💥💣💣💯💯💯💯
Welcome back to the world, ulikuwa umepotelea konde
Drill shit man this is fire #countrywizzy 🔥 R.I.P POPSMOKE🙏🏾
Another popsmoke in the word🔥
1:28 🙌🙌🙌 watu Wana roho mbayaa
😀😀😀😀koh koh koh
Mad🔥🔥🔥🔥
Rwandan 🇷🇼 here watching
Kiukweli wiz Nakumbuka nyimbo yako ya mwisho mmi kuisikiliza ni Ile opo na harm bado ypo wcb makalio toka utoke kwa harm hii ndo nyimbo ya pili ya kwako na angalia kiukwe ulikua umefumbwa macho sna kaka yngu this is next level kbsaaaa nice 🇿🇦🇿🇦
Baba umerudi yess naona 💥💥💥💥💥
We jamaa mjinga sana ilipoteza mda wa konde ww sio wa kuwa kwenye rebo
Nakubali kaka jamaica moja apa miko gang
Wiiiiiiiiiizzzzzzzzyyyyyyyy🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Jambazi kuu katoka jelaa 🔓🔓
Kwel we n father. Ngoma la kwenda
County Nomaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nani kaona iyo gari inapita speed apo kat kat ya izo pikipiki
Jamaa wa Nissan xtral anazngua!!
We n mnoma sanaaa adi unattisha aiseh
itoshe kusema we jamaa ni mkali✔
🔥 bongo bahati mbaya.......umeweza kinyama 🔥 🔥
Huyu ndo yule boy gadafi and I'm true really saffyy
Waagwan to Zenji Boys 🤟🏽
zanzibar nakuja sana namtakuja sana tende boy hapa nakubali kazi
Koffi olomide njoo utuigeeee
Na pia kondegang ilikua inakuua kabisa
Ilo ndinga niaje aieeee
Me na wanangu hatulali mpka pesa iwe imeingia mana ukiwa na pesa haukosi pa kujimwagia💪💪💪💪more respect to u country💯💯💯
Yule boy Gaddafi unatishaaaaaaaa htr mwnao apa nakubali Sana kazi zako
Hapo sawa lilly wizzy nae mjua
Kali
booom my nicaaaa #rapgameallthewayUp
Sasa ndo furaha imerud sio kule
Wee ndo country nae kujua sio ule uchafu wa konde genge
L
Ahaa zenji kumbe nion plate number
Wimbo mkali sana kule umakondeni ulijizima data
Unyama mwingi brother kinyamwezi saana pia daznoledge kafanya yake 🎯🎯
Country wizzy worldwide no konde gang no problem 🩸🔥🔥🩸🩸
czcams.com/video/0Jw4GiPnAhY/video.html
czcams.com/video/U9EBaCtGjN8/video.html yup
Support us jaman, hatuna issue nyngn mjini hapa 👉czcams.com/video/9rK399duqKM/video.html
Baba khadafiiii
Nimekubali saana Ngoma Kali brother 👏👏🇲🇿🔥🔥🔥🎤
Daz knoledge hatari sana
Kama mbele yeah hhhhhhhhh💯💯💯💯💯💯💯💯💯
Baba umelud wataelew tu 🔥🔥🔥
Its like we in philly...noma sana wizzy
FADHAR✊
Bora umetoka kwa yule kibaka
Yule boe gaddafy
Ayiiiiiiiiiii father
Konde boy walkua wanakuarbu ukaanza bana pua fck...hii ni lit
Mkali mwenyewe
WIZZY
Umeuaaa Sana 👊🛠️
#haruna1 daaah kaka umetisha yaani nimependa sana
Unyamaah.!.R.I.P Pop Smoke..!
Ngoma ya kawaida sana
Ujawai kuniangusha
Dope for life country wiz mnyama
This dude ako na mavitu za kipekee yake ni hatari 💣