😂😂Hapana haya ni maneno ya watanzania Instagram. Samahani watu wa IT sijaiweka chini taaluma yenu ila ndio fikra potofu za wabongo and we need to change that. Napenda sana kucheka na sio tabia nzuri😂
Ok sawa wakat Tz utafanya kazi lakini mapato kidogo sana ama haifai kitu huko kazi zipo na malipo mazuri japo kuna bills lkn ukijituma ni bora sana kuliko kwetu
I T wa Tanzania wengi wanamaliza chuo wakiwa hamna kitu mimi nilipata msichana ana bachelor ya IT kutoka chuo cha tumaini lkn nilimwambia afanye service ya komputer kufungua tu ule mfuniko wa ameshindwa nikashangaa sana
@@Witnessvlog huwezi amini kufungua ule mfuniko wa mashine alichukua bisibisi akawa anafungua screw ambazo hazihusiani mana ule mfuniko haujafungwa na screw ni unatoa lock tu nikashangaa sana dada
😂Nimecheka kama mazuri lakini ujue bongo wengi wanaanza hyo kozi hata hawajui maana ya what is computer , unakuta kozi Tano tofaut mnawekwa hall moja mnasoma somo moja, sasa unakuta computer hazitoshi kwa mafunzo, wanachuo wanaishia tu kusoma kama wanafunz wa la Tatu C
@Witness Vlog siku nyingine muwazungumzie madaktari, tena w first Degree wanaweza kuja huko? Tueleze wanaweza kupata visa gan huko kustay na kufanya kazi urahisi ni upi
Dada @witness_vlog wewe wakusema IT wa TZ wanabani CD😂 nimecheka sana daahh
😂😂Hapana haya ni maneno ya watanzania Instagram. Samahani watu wa IT sijaiweka chini taaluma yenu ila ndio fikra potofu za wabongo and we need to change that.
Napenda sana kucheka na sio tabia nzuri😂
Nimekuelewa msukuma mwenzangu
mwamba kama mwamba mzee mshana wamba wa bongo wanaburn cd mzeee😂😂😂
Hbar Dada witness
🎉Hongera asee kuwa mwanaume
Hii interview imenifunza kitu kikubwa sana hutakiwi kukata tamaaa ukiweka nia kwenye kitu kifanye no matter what ❤❤❤.
Asante sana kwa mrejesho🙌🏾 . Hakika ukichoka pumzika ila sio kukata tamaa
Asante dada Wit
Napenda sana interview zako
Asante sana kaka
Dada witness ubalikiewe mno mie nafatilia vipidi vyako sana kwali tunapata kujuwa vitu vingi sana
Yani kwajinsi nilivyo Mimi na tabia yangu nakwajinc ninavyopenda I have to live in America,,I deserve that,,
You deserve it dear
Hiyo hata mimi nimeipenda jinsi ya wanavyofundisha cc hatuwakuti
Good job!
Thank you Peter
Yes learned alot thanks
You are welcome
Duuuu kafanana kidogo na billinas mume wa nandy
Hehehe hapana kwakweli 😃
Kaka asant sana natamani Sana kuja uko afu nijiunge na jeshi
🙌🏾🙌🏾👏🏾
Uingereza haupo kwenye Schengen
Ok sawa wakat Tz utafanya kazi lakini mapato kidogo sana ama haifai kitu huko kazi zipo na malipo mazuri japo kuna bills lkn ukijituma ni bora sana kuliko kwetu
Exactly
Witty wetu, upo lakini ❤
Sijambo Jeff. Habari ya Zanzibar?
@@Witnessvlog Salama Kabisa Huku Wazima Tu, Nikiwa Kama Diaspora Mtarajiwa.. I can't wait to have a Live Interview with you soon, hahahaha
That is the spirit. Keep dreaming and i am looking forward
Tupo kujifunza tena
Karibu sana
Sawa kabisa swali zuri umeuliza
Nashukuru sana
#Witness Vlog
🙌🏾🫶🏾
I T wa Tanzania wengi wanamaliza chuo wakiwa hamna kitu mimi nilipata msichana ana bachelor ya IT kutoka chuo cha tumaini lkn nilimwambia afanye service ya komputer kufungua tu ule mfuniko wa ameshindwa nikashangaa sana
😳😳Aisee inafikirisha sana aisee
@@Witnessvlog huwezi amini kufungua ule mfuniko wa mashine alichukua bisibisi akawa anafungua screw ambazo hazihusiani mana ule mfuniko haujafungwa na screw ni unatoa lock tu nikashangaa sana dada
@@Salumchiwili2023 Nalaumu mfumo wetu wa Elimu
@@Witnessvlog sana tena unakuta mwalimu wa Kiswahili yuko very peaceful lkn mwalimu wa mathe sasa haingiliki
😂Nimecheka kama mazuri lakini ujue bongo wengi wanaanza hyo kozi hata hawajui maana ya what is computer , unakuta kozi Tano tofaut mnawekwa hall moja mnasoma somo moja, sasa unakuta computer hazitoshi kwa mafunzo, wanachuo wanaishia tu kusoma kama wanafunz wa la Tatu C
Naangalia live nikiwa Tanzania mjini dasalama
Asante sana Zulfa. Nimepamiss dar
Nimepachoka Sana yani
@@zulfamwakitosi5002zulfa bana eti dasalama
Kaka nitumie namba yako basi
@Witness Vlog siku nyingine muwazungumzie madaktari, tena w first Degree wanaweza kuja huko? Tueleze wanaweza kupata visa gan huko kustay na kufanya kazi urahisi ni upi
Asante sana
Madebele
Nakingine nimejifunza ukiwa America hutakiwi kuwa mvivu kabisa
Yani Lazima Uwe mchapakazi upende usipende maana maisha yako juu na Lazima ulipe bills
Mimi ninawaangalia kutokea Tanzania
Shukrani sana
Wale wa Bugarika dah aloo
👏🏾🙌🏾🙌🏾
Hii interview ina madini yakutosha
Shukrani sana
Nafatilia nikiwa saudia rabia
Shukrani sana ndugu yangu
Uyu kweli kasomea American culture anautulivu wa nafsi 😂😂😂anaongea kistaarabu sana..
😂😂🙌🏾🙌🏾 Yuko vizurii
Kaka umeoa???
🤣🤣🙌🏾Ameoa eeh
Tanzania wanapigana na milango😅
😃😃😃
Drsm
Kwanza kwa nini kuondowa usukuma???! That is fullshness mentality
Acha kukurupuka hujasikiza video umeshatokwa mapovu😳😂.
Hamtaniwiiiiii huo ni Jtani tu.
Mm niko bunda
Unaleta usiriazi kwenye mambo yautani..Utachoka boss
@@Witnessvlog niacheeee