Nuru The Light afunguka kuongezeka kwa wabaguzi wasiotaka wageni Sweden, kwanini hataki kuzaa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024
  • Sasa unaweza kujiunga na SnS VIP Family ili kupata mambo mengi exclusive kwaajili yako tu. Bonyeza link hii ili kujiunga na kufahamu zaidi kuhusiana na SnS VIP Family membership
    / @simulizinasauti

Komentáře • 72

  • @Winstonfying
    @Winstonfying Před rokem +5

    Nimependa point moja muhimu sana, sis Nuru ameongea, nchi yetu haitaki kushirikiana na Diasporas. Na tunajichelewesha sana sana, time will tell.

  • @m___ck799
    @m___ck799 Před rokem +6

    I enjoyed the topic ya kutokuwa na mtoto..I 100% agree. Kwanini unaulizwa mbona Huna mtoto lakini siyo mbona wewe siyo mzazi bora kwa mtoto/watoto wako!? As for me I have 1 Child and am comfortable and happy with one but kila mara naulizwa when are you having more...and this usually comes from Africans !!I find it irritating ...having a kid /kids is a huge responsibility speaking from experience..

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Před rokem +2

      Exactly. Watu wanataka kuingilia watu mpaka sehemu nyeti. Kuzaa ni jambo binafsi na Mungu basi. Wabongo wana maswali ya hovyo sana.

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 Před rokem

      @@damariszuckschwert9489 kuzaa ni muhimu kama huna tatizo kwanini usizae mbona wewe usizae any way fainali uzeeeni utakosa wa kukuuguza

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 Před rokem +2

    I live this sister nd she got my favorite song SUBILI USILALE ♥️💯

  • @virendavictoria5174
    @virendavictoria5174 Před rokem +2

    Nimependa sana mawazo yake kuhusu kuwa mama very true itabidi tuongee sio dhambi kutokuwa mama. Maana siku hizi tunazaa watoto tunawaachia wadada wa kazi matokeo yake tunayajua mashoga, wezi, hawana nidhamu hawajitumi hawataki responsibilities. Kuwa mzazi ni responsibility i like that!

  • @tommyegan3000
    @tommyegan3000 Před rokem +1

    Well said dada Nuru you are quite intellectual , people need to see this interview kuna madini mengi sana

  • @Witnessvlog
    @Witnessvlog Před rokem +2

    I would say Denmark sasa hawataki foreigners kabisa. Kupata visa penyew ni kazi. They have tough immigration laws na kila mwaka wanakaza.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Před rokem

      Wanaguzi sana yani

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Před rokem

      Watu wanakua deported huku na wamekaa miaka mingi huku .

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 10 měsíci

    I do understand you very much my dear ❤️

  • @berthatz
    @berthatz Před rokem

    Dada yetu huyu ameongea point tupu,Apewe ulinzi kuanzia sasa🔥🔥🔥👏🏾👏🏾👏🏾❤️

  • @UgandanAllstarTales
    @UgandanAllstarTales Před rokem +1

    LOVE HER ENERGY

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Před rokem +1

    Interview🔥🔥 I'm registered with union two years ago here in 🇬🇧 wana tupigania mishahara tuongezewe hop soon maana wamewakalia kooni

  • @aromaofzanzibar
    @aromaofzanzibar Před rokem

    Ahsante brother Sky nime enjoy every minute of it and as usual nasoma sana kwenye hizi interview

  • @ghelimafilemon9653
    @ghelimafilemon9653 Před rokem

    Hongera Nuru umeongea ukweli, maisha ni ghali balaa, mtu akikukaribisha msosi wake inabidi ushangae kidogo

  • @Igauf3
    @Igauf3 Před rokem +1

    Her laugh is contagious !

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před rokem +1

    Ushamba na ulimbukeni hupo mkubwa kwa watu weusi jambo ili linasikitisha sana

  • @ivankadaudi8161
    @ivankadaudi8161 Před rokem

    Nimekupenda Dada aise

  • @gilliardgodfriend5745
    @gilliardgodfriend5745 Před rokem +1

    Wanawake wengi wanaoishi nchi zilizoendelea huwa wanaiga tabia za makabila hayo na wengine ni kwasababu wanakuwa wapo busy sana na kutafta pesa sasa huona watoto ni kero kwa utaftaji wao. Siamini wakati alipokuwa Tanzania alikuwa na wazo hilo😅😅. Eleza watu kwamba umeigha tabia za Mashariki Kaskazini na Magharibi na sio una kitu kinakuzuia😅

  • @taylorkasitu3819
    @taylorkasitu3819 Před rokem +1

    Nuru umezungumza big upp my girl umezungumza mambo mengi .kuhusu familia.maisha .haki za watoto ,kina mama ,wafanyakazi.maradhi,ulimbukeni,nahaki za wafanya kazi,unahitajika kupeleka africa ,tanzania mbele,endelea kuelimisha big upp

  • @user-mp4lf4ji8k
    @user-mp4lf4ji8k Před 11 měsíci

    Nuru i miss you ❤❤❤❤❤

  • @isaacelijah6516
    @isaacelijah6516 Před rokem +9

    Ubaguzi uko kila sehemu sio hata Afrika uko wa kumwaga. . Ucwacngizie wazungu 2 😂. Kuna wachina, waarabu ndio kabisa namba 1 😭😭😭 na waafrika kwa waafrika 😁😁

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Před rokem

      Kweli kabisa usemayo💯

    • @KasminaCreation
      @KasminaCreation Před rokem

      Umeongea point bro

    • @mwanatz5980
      @mwanatz5980 Před rokem

      😂 Mpaka waafrika tunabaguana lakini hao wenzetu ndio wamezidi

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 Před rokem

      @@mwanatz5980 Hakuna mtu mbaguzi kama mwafrica yaani jamani tuko wabaguzi mno

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před rokem

      kabisa mbaguzi mbaguzi wakupitiliza tunaona mitaoni maneno mengi ya chuki na ubaguzi leo yamerudi kwa watu weusi

  • @abdulrajabu8252
    @abdulrajabu8252 Před rokem

    truth 💯

  • @gilliardgodfriend5745

    Hapo kwenye kulipiana chakula umedanganya wapo wake wanaolipia na wapo waume wanaolipia inategemea mnavoishi japo wazungu wana tamaduni tofauti

  • @Witnessvlog
    @Witnessvlog Před rokem +1

    Wow, Denmark pcr test was free and bado no free. So many benefits here

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Před rokem +1

      Danmark mfumo wao wa kodi japo uko ju ila ukiwa na tatizo haswa ktk maradhi ndio utaona faida yake.
      Ila umeme ndio msala kwa sasa hapa kodi Ya Nyumba ipo chini kuliko matumizi Ya umeme haswa kipindi hiki cha baridi

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Před rokem

      @@sonnyr1899 Sahihi kabisa. Kodi ni nusu ya mshara ila wako na the best social walfare in the world.
      Kila kitu ni ghali huku. Sweden life is bit cheaper than Denmark.

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Před rokem +1

      @@Witnessvlog
      Nasikia kweli watu wengi wanasema Sweden mambo yao yana unafu kuliko apa Danmark. Nilikuaga uko 2018 na vitu madukani bei yao ni poa sana.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Před rokem +1

      @@sonnyr1899 Yes na wengi huenda kufanya shopping sweden. Unaishi Denmark?

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Před rokem +1

      @@Witnessvlog
      Ndio kama sa kutoka mji mku Copenhagen.
      Karibu sana.

  • @MK-mz8bz
    @MK-mz8bz Před rokem +1

    Arrogancy ni dalili na ya kwanza kuwa na laana

  • @mussafoum6562
    @mussafoum6562 Před rokem

    Nice one 💯💯💯

  • @VexMaizoOfficial
    @VexMaizoOfficial Před rokem +1

    Nuru dah zhahabu jamani mi natoka Mozambique 🇲🇿

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 Před rokem

    Nimesikiliza hii interview. Inaonekana mfumo wa Sweeden uko tofauti na Denmark. Vitu kweli vimepanda lakini huwezi kulinganisha maisha ya Ulaya na nyumbani. Huku maisha yako balance kimshahara. Denmark kuhusu kuwa Mwafrika peke yako kwenye functions na mikitano ni kitu cha kawaida. Inategemea sehemu unayoishi kuna sehemu Waafrika sio wengi. Mimi nina group langu la jumuiya niko peke yangu. Sijui Sweden vipi siwezi kuzungumzia.

  • @MK-mz8bz
    @MK-mz8bz Před rokem

    Huyo ni mlezi mtu aliyeshindwa

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 Před rokem

    Kunne Sweeden na Denmark social security ni tofauti. Denmark Covid test hæs always been free for all Citizens. Unaigia kwenye computer unapewa available Say and time. Hapakuwa na usumbufu wa kusubiria hata kipindi vha Covid. Vituo vilikuwa vya kutosha na foleni ilikuwa inaenda kwa kasi. Vyumba vya chanjo kila kituo vilikuwa vya kutosha.Ukisubiri sana kwenye foleni lisaa limoja hivi. Anyway nchi ni tofauti.

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem

    😍😍❤️

  • @hanihaadamuhanifaadamu4125

    Kachangamkahadilaha😍😍

  • @lilyg2134
    @lilyg2134 Před 10 měsíci

    Nuru kabila gani

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Před rokem

    Utofauti ni lazima uwepo, wao wazungu, wana desturi zao, mfano ushoga ni desturi yao, nasi waafrika tuna desturi zetu, hatuwezi kuwa sawa, desturi za kila jamii ziheshimiwe

  • @pastoraile7195
    @pastoraile7195 Před rokem

    Dunia hiyiiii ndio inchiii yakwnza kwenye ubaguziii

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Před rokem

    👍❤🇨🇭

  • @Kibaadvocate
    @Kibaadvocate Před rokem

    Nuru wajina

  • @hakunamatata8065
    @hakunamatata8065 Před rokem +1

    Huyu inawezekana akawa msagaji 🤔

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před rokem

    Ubaguzi wakupitiliza sasa tunaona mitaoni kwa watu weusi maneno mengi ya chuki katika kivuli chakulalamika huku nakujisifu sifusifu nakutumia mda wao vibaya, Leo tunaona vita ya ubaguzi katika Africa baina ya nchi na nchi wakileteana dharau nakejeli

  • @nshimirimanaradjabu1543

    Nazunguza upunzitu

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 Před rokem

    Kiufupi km mwanaadam uzae usizae..matatizo hayawezi kuepukika katika maisha ya mwanaadam .

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Před rokem +1

    Mtoto wakike ujioni kuwa mama kwedraaa

    • @virendavictoria5174
      @virendavictoria5174 Před rokem +2

      Kwani lazima kuwa mama au kutokuwa mama dhambi kwani? Bora yeye ameamua hivyo kuliko wanaobeba mimba na kutupa au kutelekeza watoto

    • @issazalala4907
      @issazalala4907 Před rokem +1

      @@virendavictoria5174 Hili swali nalileta kwako vipi mamaako angesema sitakikuwa mama Leo tunge chat 😂 mia35 hautaki kuwa mama Unaua Tu watoto

    • @nakalikyumile3234
      @nakalikyumile3234 Před rokem

      Kugoma kuwa mzazi huo ni unyani

  • @yusufally5168
    @yusufally5168 Před rokem

    Nuru mambo vp? Mm niko Sweden hapa Södertälje Stockholm nichki tafadhar.

  • @zclassichb9614
    @zclassichb9614 Před rokem

    NIMEKUELEWA NURU HAYA NISUBIRI USILALE

  • @pembemussa2804
    @pembemussa2804 Před rokem

    Dah Nuru amekua chibonge sio yule wa Msela wangu kipindi hiko kweli Ulaya Ulaya tu✌️

  • @user-mp4lf4ji8k
    @user-mp4lf4ji8k Před 11 měsíci

    Mudogo

  • @MK-mz8bz
    @MK-mz8bz Před rokem +1

    Unaongea ujinga kwenye media

  • @MK-mz8bz
    @MK-mz8bz Před rokem +1

    Unatatukana mama yako na baba yako walifanya mapenzi ukazaliwa mjinga wewe nitafute mie niko nelsinki

  • @Heisgvoice
    @Heisgvoice Před rokem

    Ifike number 1 jamani hii ya moto 💣💣💣💣🔥🎼🎼🔥🔥🔥czcams.com/video/7w_-Yv_R91A/video.html