😂😂😂😂J hajawahi kuwa serious wallah weeeeh hamna lolote afu akitaja Hilo lolote lazima ugonge ili uwe umesaport nyie J Ila bonge la mjengo na la kupanga tu Hilo duh wakishua kweli❤
Yaan nna kaka yangu huyo ni Jackson ila wakamwita Juma mm nachukia alivyo najua Juma ndiyo shida yake sema huyu amejijua amepeleka uzinguzi wake kazini😅..
Kumbe mdogo wangu ila watoto wa kiume wanakuwa na miili mikubwa unaweza ukasema mtu ni mkubwa kumbe anaumri mdogo. Hongera kwa mafanikio hayo katika umri mdogo
Jitahidi kaka kaa vizuri wanaangalia watu tofauti
Kwan kabila gn uy😂😂😂
Unataka akaaje😂
😂😂😂 sikiliza kinacho ongeleka siyo mkao
Ila hayakuhuusu kwan ye ajitambui
Ni vyema mtu ake vizuri ndo mana watoto hufunzwa kukaa vizuri na tabia nyingine kama kutafuna vizuri hivi vitu sio vya kuchukulia poa
Much love from 🇰🇪 juma wa jua kali
Weeee juma weeeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤ saleh mambo vp nakukumbuka sana pale Linda salon wewe na masha mlikua mnakuja Bg up san kwasasa. Npo pande za 🇴🇲 o
Ila jamaa ni msafi mwenyezi Mungu amfanyie wepesi kwenye kutafuta riziki
😂😂😂😂J hajawahi kuwa serious wallah weeeeh hamna lolote afu akitaja Hilo lolote lazima ugonge ili uwe umesaport nyie J Ila bonge la mjengo na la kupanga tu Hilo duh wakishua kweli❤
Yaan nna kaka yangu huyo ni Jackson ila wakamwita Juma mm nachukia alivyo najua Juma ndiyo shida yake sema huyu amejijua amepeleka uzinguzi wake kazini😅..
Yan tokea nkutane na show bizz bando langu linaishia hapa😅
Juma bwan 😅😅😅hongera sana 🎉🎉🎉
Nakupenda jumaa wetuu wajua Kali my wangu jamani😂
Ukiacha uchekeshaji wa mahi wangu but the guy is real.
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nakupenda cn juma
Kijana napenda sana uigizaji wako pambana utafika mbali❤
Juma kaa vizuri mahiii
Mashallah uko vzur
Jumaaaaa huna baya kaka ❤❤❤❤❤❤❤
Ka Saleh nenda kwa kidundu wa jua kali tumemmiss pia😊😊😊
Huyu jamaa kuna kitu hakiko sawa
Umeona bomba la maji na nguo ziko karibu
Nampendaga mtangazaji anajua
🤣🤣🤣🤣ila juma jmn vituko tupu kla kitu hamna lolote👏🏻
🤣🤣🤣🤣
Sasa uvaaji gani huko+mkao wenyewe siyo rafiki na hicho kipensi😢
Ni msafi Mashaallah 🤍
Juma kumbe ni mzr sana
Alivyokaa sasa kwenye hilo kochi
Anavyokaa sasa na hicho kuguo !
Nimekupenda bureeeee
Yan juma hujawah kua sirias🤣🤣🙌nakupend n ujinga wk 😂😂
Mtangazaji chenga sana
Mikende yote njee 😂😂😂😂😂 musimbebe huyu simzima😅😅😅
Nimekupenda bure
Juma wetu wajua kali kichwa maji myiiii wangu 😂😂😂😂❤
Mara ya kwanza kabisa kukuona Jol master' nilikuona katika skonga' ukiwa Mwanafunzi
Na Mimi aisee
Mahii 🎉🎉🎉
Juma wa juakali duuu we noma kumbe unajumba kote hilo
Utakaa uchi juma 😂😂
Mh ila ukiwa msanii bhana unapekuliwa mpk chupi zako😂😂😂😂😂hii kaz mmmh hapana hata km ujatandika bahat mbaya kaz unayo😂
Mahiii wangu
Juma vituko vya jua kali pia huku unaleta 😂😂😂😂😂
Juma sasa watuonesha mjengo wako kwa nn walati wa interview kavae vizuri 😅😅😅😅
yaniii mi mwenyewe simuelewi
😂😂eti usimwambie mtu😅😅 wakati uko kwenye interview 😅
Mimi sijasikia kitu macho yangu yapo kwenye mkao mbka naona babu anacheza😅😅
Hatari jamani muna macho makali sio wenzenu tumetegesha masikio kusikia si macho😅😅
Sasa mnakaa wawili wanaume tupu Mafuta ya nazi ya MINARA ya nini hapo showcase.
Ana mkono na kifua kizuri
Umenishinda tabia interviw au😂😂😂
Juma
fridge halina kitu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
NI KWASABABU UNA MAFANIKIO TU,,,NA ULIPOWASALITI WALIKUPAKA LIVE,,NDO UMEMAIND HADI LEO,,,ELIUD MWENZIO ANAGONGA KILA SEHEMU..KIPOTOSHI NK...
Mahi wangu wewe eti hayatuhusu😀😀😀
Eva amekuambukiza ukimwi ww na frank 😅😅😅😅umeme huoooo
Juma fala sana 😅😅😅
😂😂😂😂😂eti unapenda kusoma vitabu???
“Hamna lolooooteee “
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂I love this guy
Kwani wanaume ndo wanaruhudiwa kukaa hovyohovyo.yani juma a avyojibanua
mi mwenyewe sija muelewa😅
Kama msengeee kujikaaaa uchi tuuu hana maadili kabisaaaa
nyumba nzur kubwa
Ni yak au ya kupanga
Saleh kipindi kinachokupendeza shughuli zetu jinsi unavowapaisha warembo
Asimwambie mtu!🤣ila kanambia peke yangu🤣🤣🤣
Jumaaaaaa 😂😂😂😂😂😂❤
Kweny swal l kupangish nyumb kubwa kw bei mby mnazngua kwnn msitafut nyumb z kawaid mkajenga
Sa hv wanatumia nyumba zao kushoot content
Mahi wangu😂😂
Ila iko kipensi jmn 😄
Nice
Jumaaaa 😂
Juma me naomba kaz ya kuwa mpishi tu kwenu hapo nia yangu nipate kucheka 2 nkikuona ntanenepa😅😂
😂😂😂😂 Hii intarview sjawahi ona
Yan interview hii vichekesho vitupu🤣🤣
Mahi
salehe hajui hata kumenya ndiziii anaulizia sana misosiii anataka kula nin🤣🤣🤣🤣🤣🤣
,😂😂😂😂kichaa huyu
Nachekaga Sana nikimuona huyu jamaa
Juma anao umeme kwa kikomwe wake
Yn uyu kaka😂😂😂😂😂😂😂
Toka elfu mbili na kumi ishirini😂😂😂😂😂😂😂
YUPO VZR HUYU KAKA JUMA WA JUAKALI😊
Juma weye hata bila kuigiza unachekesha tu yani kama unaigiza tu😅😅😅
izo nywele vip mahi
Mwambieni. Juma nipo gorani 😂😂😂
Sasa huku kutukalia uchiii ndioo nn
Et wanawake wakija 😅😅
Joel mbona unyoi sasa😅😅
Ila mahii😂😂😂😂
Afu handsome
😂😂😂😂😂dah
Kumbe mdogo wangu ila watoto wa kiume wanakuwa na miili mikubwa unaweza ukasema mtu ni mkubwa kumbe anaumri mdogo. Hongera kwa mafanikio hayo katika umri mdogo
Mahii
Sasa umevaa Nini hicho umeshindwa kujistiri
Ila Juma bhana 😂😂😂😂😂
kwa nini usivae nguo ukainekana mtu kukaka uchi sio vizur sio
Jmn juma wewe htr cn nakupenda ndaga cn nainjoi cn nikikuona kwenye jua kali😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅
Mayi nakupenda saaa❤❤❤🎉mayiiih wangu upo pouwah kabisa hauna baya tunakukubali🎉🎉🎉🎉
Nguo gani ya intavyuu iyo uyu kaka vipi
Ila usimwambie mtu😂😂😂
Kazidi mdomo😂
😂😂amna loloteee
Wa pili leo' nipeni Like zangu hapa👇
😂😂😂😂😂 etiiii ma mon ma bad fala hili😂😂😂😂
Eti hamna lolote😅😅😅😅
Hivi huyu Mbona kama alikua anaigiza futuhi? Me kama nimemuona kitambo sio kweli kwamba kaanzia cheka tu
Kwahiyo wamliiba tivii2
Sasa jolmaster kuvaa ilo bukta wakati akihojiwa ndo nini sisi wangine kutufanyaje 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 ukorofii huoooo!!!
😂😂😂naalivyokua amekaa sasa😂😂hajali Wala nini
Mpitie na kwangu jamani
Mpitie na kwangu jamani
Mwenye kanga yake akiona atahamia mazima
😂😂😂 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Et nilienda kuchekesha bar wakagoma kucheka 😂😂😂😂😂