Video není dostupné.
Omlouváme se.

KIFO CHA MWAMI WA ASILI YA KIBEMBE CHA UZUNISHA WENGI BÙMBÉ MATANGO ATIYA NENO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 06. 2024

Komentáře • 20

  • @muliamadi859
    @muliamadi859 Před měsícem +3

    Pole sana ndugu zetu

  • @user-we5zc7xk8x
    @user-we5zc7xk8x Před měsícem +3

    Eheeeeeee jamani poleni sana wapendwa mwami ameuliwaje jamaniiiiiii!!!! mshangao kweli kwani akuwa na walinzi?wabembe wivu autawafikisha muendako maana munasalitiana kweli mutashindaje huku mnageukana?

  • @BlackBenz997
    @BlackBenz997 Před měsícem

    Ttv nawapenda sana

  • @BlackBenz997
    @BlackBenz997 Před měsícem +1

    Kbs ni kweli mwami awezi kufa kwa risasi

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 Před měsícem

    Poleni sana kutoka Tanzania 🇹🇿

  • @BlackBenz997
    @BlackBenz997 Před měsícem

    Good sn

  • @LamaribamJumbe
    @LamaribamJumbe Před měsícem

    Mmhhh ngumu kumeza chungu kutema😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 AISSEH

  • @user-we5zc7xk8x
    @user-we5zc7xk8x Před měsícem +2

    Niahibu wami kuuliwa kama popo ukuu wenu uko wapi wami?

  • @masumbukojamesmajaliwa8205
    @masumbukojamesmajaliwa8205 Před měsícem +3

    Rest in peace😢😢😢

  • @BlackBenz997
    @BlackBenz997 Před měsícem

    Kuwajulisha lundi joo siku ya mazishi ya mwami simbi naomba Tanganyika tv musikose kufika tuna waomba sn

  • @BlackBenz997
    @BlackBenz997 Před měsícem

    Mwami kuhuwawa na risasi duuuuh wa bembe muko ovyo

  • @jonachanmijan
    @jonachanmijan Před měsícem

    MUJIFUNZE SIYASA NDUGU ZAGU WABEMBE kuhuwa wami niwatu ambaho wana penda kutawala kivu kwaku wahondowa ndo wana anziya kuhuwa wami wa asili muwemacho namambo ya siyasa tusije tuka sikiya kesho huna hitwa kishasa na huna henda uta pewa sumu

  • @BlackBenz997
    @BlackBenz997 Před měsícem

    Nawafata nikiwa fizi

  • @BlackBenz997
    @BlackBenz997 Před měsícem

    Good image ttv tv kubwa Duniani

  • @sylvanosalumu5840
    @sylvanosalumu5840 Před měsícem

    Mwami atakufaje kwa masasi kama kuku moja tu hivi,inamaana wazee walishindwa kumpiga EKYEMBWE?
    Bosenga bono,abenu!!!!

  • @kizabushiri2082
    @kizabushiri2082 Před měsícem

    Tunaomba muwe mnaongea katika lugha yetu ya kibembe kwasababu watoto wetu wanafuatilia mambo ya kwetu na wanaitaji kusikia lugha yetu ya kibambe inasikika Duniani kote, sio kuongea katika lugha ya kiswaili.

  • @ClaverSelemani
    @ClaverSelemani Před měsícem +1

    Pole sana kwa wabembe 😢