DIAMOND Ampa Bajaj Mama Mlemavu Tandale

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 10. 2018
  • #DIAMONDPLANTINUM #BIRTHDAYDIAMOND
    LIVE: DIAMOND Akitoa Msaada kwa Watu wa Tandale Siku ya Kuzaliwa Kwake
    STAA wa Bongo Fleva, Nasbu Abdul ‘Diamond Platinumz’ amewakumbuka wakazi wa Tandale kwa kutoa misaada ya pikipiki na bima za afya katika siku yake ya kuzaliwa.
    Diamond ametoa msaada huo leo Ijumaa, Oct 5, 2018 ikiwa ni sehemu ya kuwakumbuka wakazi wa tandale ambako ndipo haswa alikozaliwa na kukulia, kuanza muziki kabla ya kuwa staa.
    Imekuwa utamaduni wa msanii huyu mkubwa Tanzania na Afrika nzima kuwasaidia watu wenye kipato cha chini hasa kwenye sikukuu kwa kuwapa vyakula ili nao washerehekee vyema sikukuu hizo na familia zao.
    Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. .

Komentáře • 801

  • @mariamali1887
    @mariamali1887 Před 5 lety +33

    Nasibu nataka kukwambia siri ya mafanikio yako. Si hayo tu siri ya mafanikio yako ni dua ya mama yako umemtanguliza Mama yako mbele mashaallah kwa kila mafanikio Yoko. Na sisi waislam tunaamini ukimfurahisha mama ndio ufunguo wa mafanikio yako. Nimekupenda sana kwa hilo

    • @maida2710
      @maida2710 Před 4 lety

      Mungu ndie aliyemuumba nassib kila lakher duniani na akher baba tiffa

  • @jamesokari9787
    @jamesokari9787 Před 5 lety +1

    mimi nilichimbia watu choo huko kisii kenya kulimia watu mashamba elimu mbele sasa nimetembea nchi nyingi..thats true Diamond,i love that motivation

  • @danielsifuna5344
    @danielsifuna5344 Před 5 lety +3

    Safi sana Diamond Platinumz, you have done me shed tears kwa kumkabidhi yule mama bajaj, so awesome and stunning

  • @bahatimatiku4294
    @bahatimatiku4294 Před 5 lety +4

    Diamond umenifanya nilie na ujfunze vng am going to change from now nazan mungu amekuleta Tanzania kwa makusud ishi maisha mrefu my broo 😍 😍 😍

  • @EK-kp2np
    @EK-kp2np Před 5 lety +67

    Naseeb, machozi yangu ya furaha leo yawe dua jema kwa Mungu, ubarikiwe zaidi mwanangu, nimelia saaaana kwa furaha kijana wangu, pia napenda muziki wako👏🏻👏🏻👏🏻asante kwa yote

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua2067 Před 5 lety +52

    Yaan kusema ukweli vitu vingine tuwage tunapunguza uteam,ukuda,minongono, na majungu ama kweli diamond ni kioo cha jamii na mfano wa kuigwa like nyingi kwa simba aka chibu de like plese

  • @ludovicangelino9303
    @ludovicangelino9303 Před 5 lety +9

    i cant hold my tears, Diamond platnumz big up brother hopefully one day i will be doing the same kuwasaidia wenye uhitaji

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua2067 Před 5 lety +99

    Kila siku nasemaga diamond ni mwili mdogo akili bahari like nyingi kwake please

  • @tumajuma6917
    @tumajuma6917 Před 5 lety +6

    Diamond siku ukifa wengi watalia sana .Allah akujalie umri mrefu na akujalie moyo huohuo wakukumbuka wasiojiweza.ubarikiwe sana kaka.

  • @solomonimani6583
    @solomonimani6583 Před 5 lety +2

    Mm n Kenya but Diamond hunipa moyo sana, kwa ushauri wake, hakika amekoma. Brother na kweshimu sio muziki tu hila ushauri wako. Mungu abariki kazi yko

  • @danielwyre5481
    @danielwyre5481 Před 5 lety +1

    Congratulations bro chenye umefanya ni cha maana sana katika ulimwengu Wa sai mwanadamu haezi akakulipa ila mwenyezi Mungu akuzidishie

  • @winniemwasenga
    @winniemwasenga Před 5 lety +7

    Diamond Jamani ni mtu mwema Sana, ukiachana na mapungufu Mengin ya binadamu. Mungu ampe maisha marefu

  • @ndorobotv9161
    @ndorobotv9161 Před 5 lety +10

    Mungu akubariki kaka yetu, na akubaridi zaid ya hapo,nimefurah sana huyo mama mlemavu ulimsaidia bajaji jaman.hongera sana mama yangu

  • @reaganotieno5359
    @reaganotieno5359 Před 5 lety +64

    Kenya tungekua na wazani kama diamond si tungekua mbele AKY GOD BLESS YOU SIMBA🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤😢😢

    • @chasawilly1235
      @chasawilly1235 Před 5 lety

      tunajivunia kwakweli

    • @kelvinkiprono7501
      @kelvinkiprono7501 Před 5 lety

      Kweli kaka ,tungekuwa Na wasanii kaa hawa sisi vijana tungefaidika bt diamond we pray for you more endelea kabisa hivo 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🙌

    • @spphiamigiro3171
      @spphiamigiro3171 Před 5 lety

      Mndi amefanya ki2 chamaana sana ambapo hata preso ha jai Fanya mungu akuongesee. We're still praying 4 u na wasani wengine. 2 jione kwa mndi ki2 amefanya, may God blz u

  • @annamlay6088
    @annamlay6088 Před 5 lety +8

    Mwenyezi Mungu akuzidishie. mfano wako wa kuambiwa njoo baada ya miezi kadhaa na mfadhili aliyehitaji kukusaidia nimeupenda na jinsi ambavyo hukukata tamaa. Ahasante sana kwa kushare.

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 Před 5 lety +10

    Mashaallah nacbu ata machozi yananitoka mungu akuongoze kwa kila ufanyalo akulinde akupe afya bora napenda kazi zako wakenya yothe happy birthday to you nacb

  • @solomonfaithbless5940
    @solomonfaithbless5940 Před 5 lety +3

    No this young man is just smart and intelligent, hi 👋 from the Congolese nation

  • @sasinematinda9273
    @sasinematinda9273 Před 5 lety +7

    hongera San Mr Diamond binafsi umenigusa sana kaka kwa mafanikio yako makubwa na ukaamua kupeleka sehemu ya mgao wako pale ambapo ulizawaliwa na mama yako kizaa chema! Mungu akuwe salama na kukupa Afya njema! ....

  • @judithvihendaoyangi5130

    I Looove Diamond so much...nah so amesema ukitaka kitu omba mungu akutendee na amesema Omba kuanzia sasa...na sasa Mimi na muomba Mungu anisaidie siku moja nipatane na yeye akija Kenya hata nimpee tu hug... I'm sure God you go answer my Prayer Oooooh can get Amen from somebody...

  • @nurumapamba8295
    @nurumapamba8295 Před 5 lety +7

    Mungu akujalie naseeb uendee kuwa na moyo Wa upendo namna hiyo n upendo Wa ajabu kwakweli sijatoka bule kwa maneno yako mazuri ya kutuambia vijana wenzio tusikate tamaa kwenye kutafuta n uvumilivu ubunifu vinaitajika na kumshilikisha mungu ktk yote asante sana

  • @asilaalhabsi6481
    @asilaalhabsi6481 Před 5 lety +50

    Duuu yani leo umejua kuniliza nasseb mungu akujalie kila la kheri kwa duniani na kesho akhera utaikuta babaangu kutoa ni moyo sio utajiri kweli yani nimelia kwa kweli mungu akubariki wewe na wenzio na wazazi wako ameen yaraab

    • @waneytv2459
      @waneytv2459 Před 5 lety

      Acha kuhisi, ingawaj mungu ndio anajua ya kesho, ila hakuna pepo ya muhimba mziki au mvaa hereni mwanaume, na mzinifu

    • @asharamadhani4975
      @asharamadhani4975 Před 5 lety

      Allah akusimamie upaye zaidi ya hapo nasibu choxi langu liwe baraka kwako

  • @halzyomar4214
    @halzyomar4214 Před 5 lety +14

    Yani hadi nimetoa machozi kwakweli Mungu akuzidishie zaidi diamond mingi unafanya kwa kusaidia watu

  • @tangakwanza2512
    @tangakwanza2512 Před 5 lety +7

    Mungu akubarik bro! Ubarikiwe kwahiki ulichokifanya umewaliza wengi sn uwe nguzo nafunzo kwawatanzania wte wenye nafas mungu akubarik sn mama wenzio ni wko pia mungu akusmamia kwa hili umetoa bajaji 1 mungu akupe zaid ya mia 1

  • @angelmirindi2234
    @angelmirindi2234 Před 5 lety +9

    Love u diamo Mungu akubariki sana akuzidi shiye maradufu👏👏👏

  • @zainabtamimu6624
    @zainabtamimu6624 Před 5 lety +18

    Mungu akupe maisha marefu na uzidi kutusaidiya nakupenda miaka yote kwa moyo wako mzur.

  • @hellenmtana6945
    @hellenmtana6945 Před 5 lety +23

    Diamond, Mungu akufanyie wepesi katika kila unalo lifanya.

  • @tatuomari781
    @tatuomari781 Před 5 lety

    Mungu akuongezee sana Diamond. Kwa kweli machozi yamenitoka ulipomzawadia huyo mama mlemavu bajaji. Yani umegusa maisha ya huyo mama kwa kiasi kikubwa sana na hakuna anayeweza kuthaminisha huo msaada kwake bali ni Mungu pekee. Mungu atakulipa Mond na atakuongezea pale ulipopunguza. Be blessed Diamond

  • @wowwwow5863
    @wowwwow5863 Před 5 lety +8

    Saidi ya yote congratulations mama diamond kwa baraka ya mutoto ulie muleta duniani mungu amuonekanie kwa kile akifanyacho na kumupa muke mwenye yoro kama yake inshallah

    • @hidayaamri1112
      @hidayaamri1112 Před 5 lety

      Diamond wewe ni chuma cha reli kaka mungu akubarikibsana

  • @joviangeofrey7212
    @joviangeofrey7212 Před 5 lety +8

    leo nimetokwa na machozi kwa ajil ya Diamond. Kafanya Mungu anayotaka binadamu tufanye kwa wenzetu. Hata sisi wenye kidogo tufanye vivyo hivyo kwa udogo wake. Barikiwa sana MONTH MENT MWENZANGU

    • @shemsakeza3372
      @shemsakeza3372 Před 5 lety +1

      Allah akutiliye wepesi kwa tabiya nzuri unao nakutakiyana nzuri kwawezako

    • @joviangeofrey7212
      @joviangeofrey7212 Před 5 lety

      @@shemsakeza3372 ahsante sana. najua wengine maisha bado ni magumu. ila tufanye japo kidogo tukipatacho

    • @maulidulomi8426
      @maulidulomi8426 Před 5 lety

      Uko vzr Mr diamond

  • @nicenice413
    @nicenice413 Před 5 lety +8

    Mungu akuweke Simba, ukafanikiwe zaidi na zaidi, msaada usiishie Tandale tu, Bali na Tanzania yotee kwa wenye shida mbalimbali. God bless you.

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 Před 5 lety +9

    Mashallah mashallah big up bro D ..umejituma mungu akubariki naakizidishie na moto huwo na usisite zidii kutoa na. ALLAH atatilia barka na neema na njia akunyooshe kwasababu unawasaidia maskin nawasio jiweza ........nmelia sana nanimefrai sana ....chamsingi tunakuombea kwa Allah......na walioko nyumaaa yako....tabarakallah.....inshallah Ameen ...Happy birthday to you DMD ...from KENYAN

  • @angelmirindi2234
    @angelmirindi2234 Před 5 lety +4

    Wewe hauzarau mutu nadio kwa maana mungu atazidi kuku inua 💖I love u my brother God bless more and protect u

    • @wittymotta720
      @wittymotta720 Před 5 lety

      hongera sana. Diamond kweli umenitoa machozi.....wewe kijana utabarikiwa sana

  • @zalubiakambona6987
    @zalubiakambona6987 Před 5 lety +8

    Yaan daimond mung akuweke uzid kusaidia watu nimelia wallah mungu atazid kukusimamia akuondolee husda

  • @shamilaalfred3989
    @shamilaalfred3989 Před 5 lety +22

    Yaani imeniuma sana...nmetokwa na machozi jamani 😢😢 kwa kweli Dai umetoka mbali Mungu ako pamoja nawe ubarikiwe sana kwa pale ulipopunguza Mungu akujazie zaidi... +254

  • @vivianlenard3618
    @vivianlenard3618 Před 5 lety +10

    Nasibu mungu akubariki sanasana na akuzidishie ulipotoa. huo ndio moyo wa utajiri na wenye uwezo wote wanatakiwa wakuige.

  • @ostazclassic3370
    @ostazclassic3370 Před 5 lety +38

    Japo tunajaribu kumponda diamond platinum ila kupitia diamond najifunza mengi sana Maana kashutumiwa sana sijui Freemason, utapeli,midomo,eti sura mbaya ila jamaa kapambana mpaka amefika hapa alipo Kweli mungu mkuu👈diamond japo nipo us state natamani tukutane ili nikaombe ushauri ulipo Maana napenda kushauriwa sana Maana nataka kufanikiwa👈🌠🌠🌠 diamond ni mpambanaji tosha tena ni mfano wa kuigwa

  • @IVANtv.
    @IVANtv. Před 5 lety

    Diamond you are a true hustler...mtu anapokumbuka alipotoka is a great treasure in the eyes of God and man you are blessed.

  • @aishasande3592
    @aishasande3592 Před 5 lety +1

    Nimelia yaani sijawah kuandika chochote lakin hii imenigusa mungu akubariki Kaka hakika unatumia nafasi yako vizuri tunamwomba mungu atupe nafasi ss siku mmoja in Sha Allah God bless you brother

  • @dotomohd9156
    @dotomohd9156 Před 5 lety +9

    Mungu anakupa kujituma nakutokuwa nakinyongo nawatu, ubarikiwe kipato kiongezeke ikiwemo afya na uhai mrefu

  • @japhethemanuel1445
    @japhethemanuel1445 Před 4 lety +1

    Big up brother nasibu god blessed u mshikaj una saidia wa2 na nazan akuna msanii waku mkamata huyu jamaa eaxt afrika ntabk kuwa xhabik wako daima💪💪

  • @josephjsadian4770
    @josephjsadian4770 Před 5 lety

    Nimejifunza mengi sana kutoka kwako sitokata tamaa kamwe,baba wanatujuwa baada ya kufanikiwa ipo siku hata mm nitafanikiwa,mungu akutie nguvu akulinde uishi salama ,nikutakie maisha mema kaka!.

  • @salmamassoud9863
    @salmamassoud9863 Před 5 lety +13

    ndo mana mungu anakupa INSHAALLAH atazidi kukuongoza

  • @puritygakii2911
    @puritygakii2911 Před 5 lety +3

    Kazi nzuri.. na ujifunze kuheshimu wanawake walo kuzalia watoto uache kuwaita kima na sidechik

  • @mamyabdalah885
    @mamyabdalah885 Před 5 lety +4

    Allah akulinde nasibu akupe afya njema naumri mrefu uzidi kuwasaidiwa watu

  • @aminadaudi4680
    @aminadaudi4680 Před 5 lety +6

    daaah kweli ametoka mbali sanaa mungu akubariki sana mond akupe maisha malefu

  • @Yegon254
    @Yegon254 Před 5 lety +1

    Sina cha kusema nimetokwa na machozi tu,Mungu amjaalie mema Diamond platinamz

  • @happymushi8197
    @happymushi8197 Před 5 lety +3

    Mungu aliyekuumba akujalie uishi maisha marefu yenye kufanikiwa cku zote diamond.

  • @zennahwangare3952
    @zennahwangare3952 Před 5 lety +1

    Mpaka nimelia😭diamond mungu akubariki

  • @kolokokoloko1955
    @kolokokoloko1955 Před 5 lety +3

    Safi sana Diamond....wewe ndio mwanamuziki bora zaidi apa bongo katika nyanja nyingi

  • @enjoojustin3323
    @enjoojustin3323 Před 5 lety +1

    mungu akubariki daimond jaman had nmelia mungu akupe umri mrefu akuzdshie kpato ili uzidi kutusaidia wa tanzania wenzio love you mond

  • @masaluhamis5579
    @masaluhamis5579 Před 5 lety +1

    kutoa ni bora kuliko kupokea HONGERA DIOMOND watanzania tunaona matunda ya kipaji na umaarufu wako. May God bless you.

  • @jano254jayc4
    @jano254jayc4 Před 5 lety

    Uzuri wake diamond he don't hide or pretend like some of guys wakifanikiwa ety wanasahau backwards...I can't hold my tears be blessed diamond.

  • @herymkristo9042
    @herymkristo9042 Před 5 lety +28

    Nakubal brother diamondplatnumz maisha niubunifu broo shukran sana kwa kutupa shule

  • @sabitrajab2355
    @sabitrajab2355 Před 5 lety

    Mimi tangia nianze kukujua nakubali sana kaka mondi,wacha watu wakuponde watakavyo lakina Jalali ndie kila kitu,nakuombea maisha marefu braza wacha wasema ufreemason wewe muamini Allah,nakupenda sana bro.

  • @vostikid
    @vostikid Před 5 lety

    GIVING BACK IS SEARCH A GOOD THING, kile unachokifanya Diamond ni cha mapenzi makubwa sana kwa kila mtu duniani hata kama hatuko Tanzania but kupitia social medias tunapata kuona jinsi una roho ya utu na tunasema hongera....nendelea vile vile kukaba na kumaliza umaskini na kuiendeleza Tanzania isonge mbele, Mungu akuzidishie vingi Bro.

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Před 5 lety +4

    Penda sanaa hilijamaaà hata agombe uris nampa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥wenye loho za kwanini hawawezi kuona thamani ya huyu kijana mungu akuongezeeee zaidiii nasibu simbaaa dimondi baba wa3 chibudenga ksngote🔥🔥🔥🔥jamani mungu anasema mtu anapofanya jema mpongezeni

  • @mamabruno6308
    @mamabruno6308 Před 5 lety +1

    Mwenyezi Mungu akubariki na akutangulie katika njia zako

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 Před 5 lety +1

    Huyu jamaa pia ni comedy sana 😅, Mungu akubariki Nasibu.

  • @latifakongo1780
    @latifakongo1780 Před 5 lety +1

    Yan nakupenda sana naseeb Allah akupe maish maref and kila LA kher mung atakulpa

  • @zeinabsalehe8937
    @zeinabsalehe8937 Před 5 lety +1

    diamond nizawadi alioileta Allah mungu azidi kukulinda kaka angu ili uweze kutusaidia maskini. wallah unamoyo wakipekee Hakuna msanii yeyote atakaekufikia, we love you brother.. happy birthday simba my Allah bless you

  • @teklamanase7088
    @teklamanase7088 Před 5 lety +12

    nimetoa machozi, hakika Mungu you mwema kwako Diamond. Ahsante kwa kumuona mama huyu. Barikiwa sana mwanangu

  • @lightnessnixon2185
    @lightnessnixon2185 Před 4 lety

    Nimejifunza kitu kikubwa san.kumuomba Mungu na kusaidia wasiojiweza.kwel Mondi acha Mungu aendelee kukubariki.nimeumia na nimejifunza kitu.let u shine forever

  • @patrickteddy808
    @patrickteddy808 Před 5 lety

    Toka nizaliwe siawahi kuona tukio Kama ili kwa msanii diamond kutoa msaada mkubwa Kama huu, hasahasa kumpa mama mremavu bajaji. Mungu akubariki diamond nakuombea usirudi nyuma, nataman ungezaliwa kwetu mbeya hizo opportunity tungenufaika maana mbeya ss niwapambanaji mno, asante diamond kwa tandale, asante pia kwa daresaalam kadhalika kwa Tanzania nzima, wcb good job

  • @mercymercy8566
    @mercymercy8566 Před 5 lety +12

    Mungu akujaxie pale pamepungua akufungulie milango ya baraka akuoe uzima na afya pamoja familia H.B.D

  • @swaumumustaphamapondanga4707

    mondi leo unatuliza mungu akuzidishie sana

  • @kambachaku8390
    @kambachaku8390 Před 5 lety +9

    northing today duuhh mungu ni mwema ubarikiwe sana diamond

    • @moreenkandie7517
      @moreenkandie7517 Před 5 lety

      Diamond nimeishi kuthauliwa sana hatakuetu coz I don't have apparent all of them nikona Mm wakambo but naomba unisadie coz am help less pia niko na watoto watatu hata me nikumbuke pls

  • @fatmangoriko4704
    @fatmangoriko4704 Před 5 lety +6

    Ubarikiwe mond m/mungu akupe moyo kama huo wa kusaidia watu

  • @kitalewawcbwasafiii7214
    @kitalewawcbwasafiii7214 Před 5 lety +13

    Daaah simba hongera xn kaka mungu akupe maisha malefu

  • @sushillatyvird1286
    @sushillatyvird1286 Před 5 lety

    Allah akuzidishie ulipopunguza Inshaallah sku Zotee ndio mana Hua unafanikiwa kwa yote ufanyayo Allah azd kukufanyia weps n akuletee kher nyng Inshaallah Ameen

  • @annaelias5487
    @annaelias5487 Před 5 lety

    Jamani Diamond, mwenyez mungu akupe maisha maref,sidhani km kuna kijana mwenye moyo km wako,ubarikiwe sana ktk maisha yako,ww ni mtu wa watu wallah🙏

  • @azzaalsalty4806
    @azzaalsalty4806 Před 5 lety

    Mtaka cha uvunguni sharti uiname....allah akupe kila la kheir n.a. daima mueke allah mbele katika kila kitu chako...na mimi kama ndugu yako wa kislam na nyenyua mikono yangu juu kukuombe uwache zina akupe muke wa kheir ya rabi

  • @vavabeni5217
    @vavabeni5217 Před 5 lety

    Watching..crying...Diamond I don't know what to tell you..thank you so much kwa kila kitu unafanya. God bless you

  • @salmadalaquimane5303
    @salmadalaquimane5303 Před 5 lety

    Nlikua nakupenda kikawaida2 but leo I really love 4 u from now japo teem kiba nime kua teem mond pia nawapenda nyote king kiba 4 my life mond 4rever

  • @ladymashaallahilikeuaadvis997

    Nalia kwa furaha,mwanangu diamond ,japo wengi wanakuponda lkn unalolifanya Allah akulipe mema duniani na Akhera,
    Nimelia kwa furaha sana mm mamako kutoka Kenya,Allah akulinde na kila aina ya shari ya Alichokiumba

  • @DMNJAGI
    @DMNJAGI Před 5 lety +10

    big up bro unapendwa sana .watu wa tandale pia nynyi mnapendwa na watu wa nairobi from kenya

  • @veronicascottmollel7897
    @veronicascottmollel7897 Před 5 lety +13

    Hongera sana kijana wetu, kwakweli Tz tunajivunia wawe. Hongera mama Dangote kwa malezi.

  • @fatumasaid7456
    @fatumasaid7456 Před 5 lety +12

    Dah yani mama ameniliza jamanii...mungu akubariki diomond

  • @erickhaule8680
    @erickhaule8680 Před 5 lety +11

    Mungu akuweke salama sana na akubariki sana

  • @ForeveryoungNana2019
    @ForeveryoungNana2019 Před 5 lety

    Wah! Nimelia lakini kwa furaha, kuzaaa raha jamani..mwenyezi mungu azidi kukubaliki na kukuongezea maisha uzidi kufanya makubwa kwa walio wanyonge🙏🙏🙏🙏

  • @newassong7194
    @newassong7194 Před 5 lety +128

    Maisha ya huyu kijana mm siezi kukata tamaa kila kiumbe ana mapungufu yake lakini huyu kijana yuajituma sanaaaa

    • @hananmustafa6430
      @hananmustafa6430 Před 5 lety +3

      Wallahi mja hakatitama alhamdulilah Mashaallah Mashaallah

    • @nuhuminja8798
      @nuhuminja8798 Před 5 lety +1

      Diamond yani kweli Mungu akuinue ufike viwango vya juu juu zaidi zaidi sana

    • @nuhuminja8798
      @nuhuminja8798 Před 5 lety

      Mama Diamond hongera sana dada yangu kwa malezi bora uliomlea Diamond, yani malezi ya uvumilivu
      Asma pia ubarikiwe sana kwa kuishi maisha ya umoja Mungu azidi kuwainua viwango vya juu sana.

    • @abdurazaqhamisi4576
      @abdurazaqhamisi4576 Před 5 lety

      Najiuliza nasibu watu wengi husema anatokea kigoma.ila kauli yake mwenyewe amesema kama yeye kazaliwa tandale sasa inakuwaje wamnasibishe na kgma?sielewielewi

    • @ruttatibenda9941
      @ruttatibenda9941 Před 5 lety

      Big up kijana

  • @salmadalaquimane5303
    @salmadalaquimane5303 Před 5 lety +1

    Daaah huyu mma kanitoa machoz kka mond Allah AKUFANYIE wepec inshallah katka kaz zako na kila jambo lako

  • @zuenaomary9987
    @zuenaomary9987 Před 5 lety +13

    Kiukweli kwenye utafutaji kuna kukatishana tamaa sana hasa unaenda muomba usgauli ndo anakukandamiza nasema hakuna kukata tamaa gonga like twende

  • @timelessbeauty5677
    @timelessbeauty5677 Před 5 lety

    Mungu akubariki Mondy .....hizi baraka za machozi .....ndugu yangu ..... pokea hasante kwa moyo huo...

  • @munashabanimunashabani9976
    @munashabanimunashabani9976 Před 5 lety +25

    waallaah nasibu umenifanya nalia

  • @alphonsinedusabe3590
    @alphonsinedusabe3590 Před 5 lety +10

    Ushuuda mzuri kaka yangu
    🙏🙏. Ubarikiw.

  • @amandamapunda6201
    @amandamapunda6201 Před 5 lety

    ubarikiwe Nasibu wewe ni mfano wa Watanzania asante sana Mungu akupe maisha marefu

  • @mudynationtz3412
    @mudynationtz3412 Před 5 lety

    Duuuh 😭amakweli mungu hukupa siku usiyo ijua daaaah mungu akupe miaka mingi diamond plantinum🙏

  • @innocentnkya5916
    @innocentnkya5916 Před 5 lety +7

    Mungu akupe maisha marefu na moyo huo ulionao na nakuomba kwa mungu akukinge na wabaya wote na malaika wakutawale diamond

  • @gmark3754
    @gmark3754 Před 5 lety

    Mungu ni mwema anaona kwa la tofauti na ss wanadamu.. Atujalie na akupe stahi yako.

  • @halimashemmela829
    @halimashemmela829 Před 5 lety

    dah , kaka Diamond mungu aendelee kukujaalia kheri zaidi maana wewe ni kijana ambae unafikiria mbali sana ,, mungu akulipe mema aamin.

  • @MaryAnn-vh2xl
    @MaryAnn-vh2xl Před 5 lety

    Diamond,Mimi ni mkenya.nimelizwa sana na story ya mama mwenye mtoto wake amejiua na akajaribu kumpa mtoto sumu juu ya ulemavu lakini mtoto kwa mapenzi ya Mungu alinusurika.Nakuomba tu,msaidie kama unaweza.Wish u read this Diamond

  • @lilsome6331
    @lilsome6331 Před 4 lety

    Machozi yananitoka nna miaka 39 sasa sijawahi kumuona msanii mwenye imani kama diamond never ever jamaniii Mungu ampe umri mrefu wenye mafanikio zaidi

  • @theastephen5878
    @theastephen5878 Před 5 lety +2

    Uko juu diamond

  • @hilarygodfrey5862
    @hilarygodfrey5862 Před 5 lety +15

    Broo mungu akubariki kaka umekuwa mtu wa pekee sana ndugu yangu adi una nipa uchungu wakusaka pesa sichoki kuku shabikia bro

  • @Graphic177
    @Graphic177 Před 5 lety

    diamond mi mkenya all along nimekua nikisifia alikiba but kleo hii nimetokw3a na machozi juu ya hiki kitendo ubarikiwe sana am now ur stronget fun may GOD BLESS U

  • @qudraassan9429
    @qudraassan9429 Před 4 lety

    Brather, mungu azidi kukuongezea kipato na uzidi kusaidia mama nawengine ambao wanakosa ajira uzidi kuwa saidia na akusaidie sana kwazi yako brather.

  • @halimaomari3415
    @halimaomari3415 Před 5 lety +2

    Mashaallah mwanangu mola akupe umri na akuzidishie moyo huo huo mola akubariki inshaallah

  • @jacklinevosevwa9859
    @jacklinevosevwa9859 Před 5 lety

    I wish diamond angekua mkenya jamani😭😭 Good job bro God bless you am from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Marshkuck-19
    @Marshkuck-19 Před 5 lety +2

    Brilliant my young bro I really like your speech and thank you for spit out the things you were experienced that went through all of your way to success and I’m profoundly humbled for your motivation for all ranks” I mean for the past and present generations which is awesome” really like that, thus many thanks to you and may Allah grant you health, strength, wealth and prosperity. Happy birthday.

  • @salmakea7797
    @salmakea7797 Před 5 lety +6

    Hadi machozi yamenitoka aki a
    Allah akuzidishie jaman Nasibu