Maisha Yangu, Nia Yangu: Historia ya Rais Mkapa, maisha ya dhiki na jinsi Bibi yake alivyouawa
Vložit
- čas přidán 22. 07. 2020
- Kama yalivyo maisha ya kila binadamu, safari ya Rais Mstaafu wa awamu ya 3 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imefikia mwisho usiku wa kumkia Ijumaa ya July 24. Kifo chake kilitangazwa live kwenye TV na Rais Dkt John Pombe Magufuli ambaye uso wake ulionesha dhahiri huzuni kubwa aliyokuwa nayo.
November mwaka 2019, Mhe. Mkapa alizindua kitabu cha historia yake kiitwacho My Life, My Purpose. Kwenye uzinduzi huo. Prof. Rwekaza Mukandala, alisimulia kwa ufupi kile kilichoandikwa kwenye kitabu hicho.
Kwa kutumia alichokiandika Prof. Mukandala, ifahamu historia yake
Tutamkumbuka kwa mengi. Makala nzuri sana "Sky Walker"
𝐒𝐚𝐟𝐢 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐚𝐤𝐚
So Inspired Na Raisi Wangu Mkapa Acha Tujitume Baba Ahsnte Kwa Yote Uliofanya,Mwendo Umemaliza Rest In Internal Peace Legends 🙏
Mungu amlaze pema peponi nenda baba nasi twaja katika siku ninazokeshaga Leo ndo nimepata habari mbaya na ndo yakulalia najaribu kuangalia jinsi vyombo vya habari vitakavyo zizima @sns mmekuwa wa pili kuiweka after Millard kweli mnachapa kazi God bless u #SNS
Mungu amlaze mahala pema peponi, bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe,AMEN
NDANDA high Alumna. Nikiwa kama Mwana Ndanda Nimesikitishwa sana Na kifo cha Mwana Ndanda Mwenzetu His Excellence Benjamin W Mkapa . Mungu Ampumzishe mahala panapostahili 🙏🙏
😭😭😭
INNALLILLAHI Wainna ilaihi rajeuun tuwe pole watanzania pamoja na familia yake kwa ujumla. 🤲
Yahani kiufupi katutendea mengi amazing tunakuombea kwamwenyezimungu apuguziwe azabu zakaburi amina
Pole sisi watanzania , Mungu amtangulie naayatizamr mema yake baba mkapa amee
Pole watanzanie na familia yake🇧🇮
Asante nimefurahi kujua historia ya mhe Ben Mkapa NwenyenziMungu amlaze mahala pema peponi Ameen tutamkumbuka daima
Simulizi nzuri sana Brother Sky, ahsante sana 🙏 #RIPMkapa
Mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani. Amina. RIP
Amina 🤲🤲🤲
Amin
Amina
AMEEN
Tutamkumbuka kwa mengi sana,yeye katangulia tu lakini nasi tunafuatia😥..Makala nzuri brother Sky alway's nakukubali👍
Mungu mpumuzishe kwa hamani mzee mkapa amina
Raha ya milele umpe ehee Bwana mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa Amani 🙏🙏💔💔💔😭
Makala nzuri sana, sky walker uko vizuri sana kaka! Najaribu kupiga picha ya tofauti ya wewe na hivi vi so called presenters vya sasa hivi, ambavyo kila wanacho hoji wana lazimisha kihusiane na UDAKU
imeniuma sana basi tu namshukuru Mungu kwa kila jambo I.R.P OUR lovely fomer president.
Innal lillah waina illah rajiun poleni Tanzania 🇹🇿
22:15 ...... Taking me back in 2007 huko kwetu Kenya 😭😭😭
Pumzika kwa amani Mheshimiwa, mbele yake nyuma yetu 🙏🙏
Mungu amuwekewe pema peponi mzee mkapa watanzania wote watoto wababa mmoja tuungane pamoja.😭🙏🏾✊🏾✌🏾
Mungu atupe mwisho mwema Yarab 😭😭😭
Amin yarrabi 🤲
AMEEN
RIP Pres. Mkapa. Good job Sky
Pole Pole sana sana DR Magufuli 🙏🏽😭 May he soul Rest In Peace 😭😭🇹🇿
Ewe mola waviumbe,mpe kauli thabiti Rais wetu baba yetu,Ameeni🙏🏾
So sad condolences to the people of Tanzania,may God give you people peace at this hard tym,may his soul rest in peace
Innalillah wainna ilaih raj'iun pumzika kwa aman historia nzuri sana mwil wote umesisimka dah
Pumzika kwa amani, Mwenyezi Mungu akupokee kwa aman🙏
Mungu amrehemu mbele yake nyuma yetu. Amen
Oooh nmeumia sn😢😢
Gud job my brther @Skytz
Sky wizzy gentry wizzy!! much respect, you have good voice brother
Inalilah wainailah rajiun Mungu amlaze pahala pema
Aise😭
Excellent content🔥
Mungu ailaze roho mahar pema pepon amen tutakukumbuka daima
Dah story nzuri
Innaillah wainna lilah rajiu'n
Tutakukumbuka daima tangulia baba safari yetu ni moja tangulia kamanda
Inalila inalila rajiun pole sana ndungu zote mungu amuake pema penye wema peponi inshallah
So said
Raha yamilele umpe ee bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa Aman . Amina 🙏
Mungu awape subra sana
Big yes
Kweli rais magufuli apo alikuwa na huzuni mkubwa sana pole sana mjomba magu rest in peace mkapa kila nafsi itaonja Umauti 😢😢😢🙏🙏🙏🙏
Mbele yako nyuma yetu baba😢😢 tutakukumbuka daima
Linaloho mbaya sana hili limalehemu
Ooh ni masikitiko sana RIP
😓😭😭😭😢😢😢innalillah wainna rajioun
Mungu amlaze mahala.pema
Mungu amlaze mahala pema peponi🙏
be blessed bro kwa kazi nzuri
rest in peace 😭😭😭😭
Daaah inauma sana asee,Ila ndo hatuna Jinsi ,mwndo ameumaliza imani ameilinda
Pole kwa watanzania wote.....R.I.P Mr.President🕯🕯
From 🇧🇮 Saudia pole ni wa tanzania
🙏🙏🇹🇿🇹🇿
My condolences to tanzania n the family. May God gve them peace in this hard tym.#254
Simulizi nzuri
Inauma sana😭😭😭
Rest in peace! Mbele yake nyuma yetu!!
Oh my God
Kafa baba kiukweli ss Wa Masasi tutapat shida mno maaana watu wa Lupasi yeye ndo kainua
Rest in peace papa 😥
Vizuri
Nimelia mimi 😭😭💔🕊️🖤
Rest easy Mzee wetu Mkapa.🙏
Innalillah wainnaillahi rajiun 😭
Innah lilah wahnailah rajoun
Innalilah wainna ilah rajiuun
Yaan akishakufa utasikia masifa kibao akiwa hai mmmmmh
Thanks sky...this is great...rip retired presda
Poleni sana ndugu zangu wa Tanzania wote kwa ujumla pamoja na familia nzima Mwenyezi Mungu awatie Nguvu na kuwapa faraja katika kipindi hiki kigumu may her soul rest in peace
Dah r.i.p mkapa
Inna lillah wainnailehy rajioun
Huyu jmaaa mwanaharakati Sana 😥
Innalillah wa Innalillah wa Rajun poleni sana😭😭
Tanguria kwa amani laisi wetu mpendwa
R I p😭😭😭😭😭😭
😥😥
🙏🙏
Inna lillah wainna illah rajiun 😢
Mungu akuweke unapo sitahili milele
Innalilah wainailah rajuun
😭😭😭
Apumzike kwa amani 😭😭😭
Rip daddy 😢😢😢😢🙏🙏
R.I .P🙏
Allaah akulaze mahal pem pepon bd tunakupend nabad tutakukumbuka
R.I.P
😭😭😭😭😭
😭😭😭😭
rest easy babu mpaka mzee wetu,,
R.I.P Mkapa
😭😭😭😭😢
Pumzika kwa amani hakika tumejifunza mengi kupitia history yako😭
Innalillah wa inalillah rajun
hakika kifo siyo kitu kirahisi kupokeya Rais paka ninapo mutizama natoka na mashozi. pole sana watazania
Msiba wa kitaifa watanzania tumeumia sana Pole tanzania pole South tz nguzo yetu tegemeo imedondoka pande za kusin alikua anamaliza migogoro yte kusin .leo itakuaje cc ni wa taabu
Innalilah wa inna ilahi rajuun
Hichi kitabu nitakununua ishaallh kaongea ukweli wote kuhusu life ya tanzania ilivyokua mafisadi walikua wengi sana now naiyona Tanzania mpya yenyekupendeza mbeleni.
Rest in peace
R.I.P.