Ma sha allah. Hakika imetawala nuru yake wetu mtume mohhammad . Muulizaji pesa hizo nifuraha2 ya msomaji kakosha nafs za waja n kama zawadi kumpatia msomaji . Pili hizo sio ngoma hutwa dufu, or dafaa na hazipigwi msikitini . Hizo hupigwa wakati wa mkusanyiko kama huo .na sio kwenye swala. Karibu ndugu ktk uislamu ndo dini ya haqq na sallama mbele ya allah . Baada ya maisha haya mafupi ya duniani ..))
Hayo mashairi ya matondoni niyaukweli kabisa.watu wa matondoni niwatu wazuri sana wapenda wageni. hawana balaa.huskii matondoni watu hukatana kwa mapanga hata cku moya
Ma sha allah. Hakika imetawala nuru yake wetu mtume mohhammad . Muulizaji pesa hizo nifuraha2 ya msomaji kakosha nafs za waja n kama zawadi kumpatia msomaji . Pili hizo sio ngoma hutwa dufu, or dafaa na hazipigwi msikitini . Hizo hupigwa wakati wa mkusanyiko kama huo .na sio kwenye swala. Karibu ndugu ktk uislamu ndo dini ya haqq na sallama mbele ya allah . Baada ya maisha haya mafupi ya duniani ..))
MASHALLAH!!!!
Masha'Allah. ماء شاء الله
Mashallah matondoni.muko nasifa ya umoja na kupendana.Allah awazidishe
Mashaallah matondoni imejaa nuru
mashaallah
Cake ya mtume iwapi 😁
Hayo mashairi ya matondoni niyaukweli kabisa.watu wa matondoni niwatu wazuri sana wapenda wageni. hawana balaa.huskii matondoni watu hukatana kwa mapanga hata cku moya
MASHAA ALLAH
V
Waisilamu nawauliza maswali. Dini yenu inaruhusu kupiga mangoma msikitini. Swali la pili ni maana ya kuwekewa pesa kwenye makofia.
Kwani wewe sio muislamu ?
@@ghostlion1999 kama ameskia khutba mwsho nafkiri suala lake limejibika
Bidaa