OFISI YA MUFTI ZANZIBAR YA IMWAGIA BARAKA AL FATAH

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 03. 2020
  • Kutoka AL FATAH CHARTABLE ASSOCIATION.
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline
    #OfisiMuftiZanzibar

Komentáře • 16

  • @mariamali1887
    @mariamali1887 Před 4 lety +1

    Shukran alfatah. Nawapenda sana wallahi kwa ajili ya Allah nawakubali. Mollah awahifadhi awape moyo wa subira. Mahasidi ni wengi wasopenda kuwaunga mkono

  • @abdullah-eq3lt
    @abdullah-eq3lt Před 4 lety +2

    hongereni alfatah nataman ningekua miongon mwenu

  • @mwanakombopongwe8244
    @mwanakombopongwe8244 Před 4 lety

    Mashallah mashallah mashallah jazakallah kheir inshallah ALLAH AKBAR

  • @salummkubwa
    @salummkubwa Před 4 lety +1

    Allah awazidishie mafanikio zaidi katika majukumu haya ya msaada kwa jamii, Amin

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 Před 4 lety +1

    Hata mm nawapa baraka nawapenda sana kwa ajili ya Allah

  • @binthassancollection.6308

    Masha Allah

  • @abdulhamidhaji5056
    @abdulhamidhaji5056 Před 4 lety +1

    Safi sana
    Pia suraka amewekwa pembeni naona hapo ofisini
    Allah akuongoze usimamie.haki

  • @asiahaji5081
    @asiahaji5081 Před 4 lety

    Munatakiwa kuwafikiria sana sana sana na kutambua kwamba Walimu wa Madrassa pamoja na Maimamu hao ndio watu muhimu wa kutunzwa na kusaidiwa. Kazi wanayoifanya ni kubwa sana Wallahi!

  • @safiaabubakar1120
    @safiaabubakar1120 Před 4 lety

    Mashaa Allah

  • @slemaniissa5029
    @slemaniissa5029 Před 4 lety

    Asalamu alaikum bnahamja hangaikia wala kuwafikria walimu Wa madrasa kipindi hich kizito cha korona

  • @harounali9057
    @harounali9057 Před 4 lety

    Sasa huyo alie vaa nikab halafu akaipandisha ndio Vipi?

  • @saidishariff383
    @saidishariff383 Před 4 lety

    Tuneni na sisi tupo katika wakat mgumu sanaa ramadhani hatuna lolote lile ambalo twategemea kwa allah tuu watu wanaachana na wake zao kwa hali ya maisha ilipo kisiwani pemba maeneo ya UWANDANI chake chake pemba 0776121220