OFISI YA MUFTI ZANZIBAR YA IMWAGIA BARAKA AL FATAH
Vložit
- čas přidán 25. 03. 2020
- Kutoka AL FATAH CHARTABLE ASSOCIATION.
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#OfisiMuftiZanzibar
Shukran alfatah. Nawapenda sana wallahi kwa ajili ya Allah nawakubali. Mollah awahifadhi awape moyo wa subira. Mahasidi ni wengi wasopenda kuwaunga mkono
hongereni alfatah nataman ningekua miongon mwenu
Mashallah mashallah mashallah jazakallah kheir inshallah ALLAH AKBAR
Allah awazidishie mafanikio zaidi katika majukumu haya ya msaada kwa jamii, Amin
Hata mm nawapa baraka nawapenda sana kwa ajili ya Allah
Masha Allah
Safi sana
Pia suraka amewekwa pembeni naona hapo ofisini
Allah akuongoze usimamie.haki
Munatakiwa kuwafikiria sana sana sana na kutambua kwamba Walimu wa Madrassa pamoja na Maimamu hao ndio watu muhimu wa kutunzwa na kusaidiwa. Kazi wanayoifanya ni kubwa sana Wallahi!
Mashaa Allah
Asalamu alaikum bnahamja hangaikia wala kuwafikria walimu Wa madrasa kipindi hich kizito cha korona
Sasa huyo alie vaa nikab halafu akaipandisha ndio Vipi?
We yaone tu
Muhimu kajihivazi kuvaa nikabu nikuwengeza haikuwekwa lazima asivuwe msiufanye uwisilamu mgumu
Kwa iyo nd kakaa vibaya au
Tuneni na sisi tupo katika wakat mgumu sanaa ramadhani hatuna lolote lile ambalo twategemea kwa allah tuu watu wanaachana na wake zao kwa hali ya maisha ilipo kisiwani pemba maeneo ya UWANDANI chake chake pemba 0776121220