Mume asimulia jinsi mchungaji alivyomuaga, kumlazimisha avae vazi lake la kichungaji
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- Mungu ameficha siri kubwa katika kifo. Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mchungaji Kiongozi wa Usharika wa Kimashuku, Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Kantate Munis (42) kufariki dunia kwa ajali, saa chake baada ya kumtaka mumewe ambaye pia ni mchungaji, Israel Moshi kuvaa vazi lake la kichungaji kwenda kutoa huduma.
Mchungaji Munisi pamoja na mzee wake wa Ushirika, Laban Kweka (50), wamefariki dunia jana Jumapili Agosti 4, 2024 baada ya gari walilokuwa wakisafiria wakitokea kwenye uimbaji Usharika wa Gezaulole wilayani Hai, kugongwa na basi la abiria, wakati akikata kona kuingia kwenye usharika huo ambako ndiko anakoishi.
Akisimulilia namna alivyoagana na mkewe asubuhi, Mchungaji Moshi amesema wakati wanajiandaa kwenda kwenye huduma, mkewe alimweleza hajapendezwa na vazi la huduma alilokuwa amevaa (kanzu), hivyo akamtaka alivue kisha avae vazi lake la huduma.
Mkuu wa Jimbo la Hai, Dayosisi ya Kaskazini Mchungaji, Biniel Mallyo amesema kanisa limepokea kwa masikitiko makubwa msiba wa mchungaji huyo pamoja na mzee wa kanisa wa usharika huo ambao walifariki dunia papohapo na wengine kujeruhiwa.
Pole baba MUNGU akupe nguvu, inauma na inasikitisha sana. Usilie, mtumaini MUNGU. Yupo YESU anaetupa faraja, faraja ya mwanadamu inaishia nje ya kaburi. Lakini faraja ya YESU iko milele. Shukuru MUNGU sana, mtumishi amefariki akiwa kwenye huduma. Pole sana. Mshukuru MUNGU kwa yote
Baba Mchungaji Mungu akutie nguvu... Ni wakati mgumu sana... Lakini neema ya Mungu inakutosha. Tunakuombea baba Mungu mwenyewe awe faraja kwako....😭😭
Kaka yangu Mchg Israel Mungu akushike pole sana hatuna maneno ya kutosha kukufariji neema ya Kristo unayemtumikia akupe nguvu mno mno😢😢😢
Pole sana Mchg. Israel Moshi. Mungu akutie nguvu. Bwana Yesu akufute machozi yako, na Faraja ya Roho Mtakatifu ikae moyoni mwako.
Pole sana baba naiona huzuni yako. Bwana akutie nguvu. Lakini nashauri waandishi wawahoji wafiwa baada ya mazishi. Kumuhoji mfiwa kabla ya mazishi inamuongezea uchungu sana.
Baba Mchungaji sina lugha ya kusema ,ila namsihi Mungu akupe faraja kutoka kwake na nguvu ya kusitahimili kipindi hiki kigumu unachopitia pole sana.
Pole sana Mchungaji Israel Moshi.Mungu awe faraja na kimbilio lako siku zote za maisha yako.
Mungu akuwezeshe akupe nguvu na akufaliji
Pole sana mtumishi wa Mungu,faraja ya Bwana Yesu iwe nawe ktk kipindi HIKI kigumu.
Polesan mchungaji kupoteza mwenza ni zaidi ya maumivu inauma sana😢
Pole sana baba mchungaji...poleni sana washarika! Mungu ni Mungu bado!
Pole Sana mkuu na Mungu awabariki Sana IPO siku mutakutana pamoja tena
Pole sana baba,MUNGU wa mbinguni akufariji
Pole sana mchungaji mungu akufunge mkanda akupe faraja
Pole sana Mchungaji. Mungu akupe faraja ya pekee iliyo kuu sana, ambayo sisi wanadamu hatuwezi kuitoa. Tunakuombea🙏
Aisee pole sana Mchungaji. Mungu awape nguvu na kuwa mfariji Mkuu kwa wote walioguswa na misiba hii. Mungu awapumzishe kwa amani
Imeniuma sana muchungaji ukilia nasisi tunalia😭😭😭😭
Pole sana baba , Mungu akutie nguvu sana. Mungu awahudumie watoto pia.
Mungu Akutie nguvu
Mungu akutie nguvu mtu wa Mungu.. Yesu akupe faraja ya kweli akuvushe
POLENI sana wapendwa. Mungu azidi kuwapa faraja KATIKA Magumu haya. Pumzika kwa Amani Mchungaji Kantate. Ni msiba mzito sana kwa kweli.
Pole sana,.Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu
Baba mch pole sana kwa msiba mzito Yesu hatakuacha.. Na hatakupungukia
Pole sana baba Mchungaji, Mungu wetu akutie nguvu.
Mungu azidi kukupa faraja baba mchungaji, Mungu awatunze watoto pia! Tunamuombea mama apumzike kwa amani.
Daaaah!!! Inauma sn, pole sn baba mchungaji Mungu wa mbinguni hatokuacha kamwe... ZABURI 125:1 wamtumainio bwana ni kama mlima sayuni, ambao hautatikisika wakaa milele.
Daah inaumiza sana Pole mchungaji, kifo hakizoeleki kwakweli imenigusa sana.
Pole sana Baba Mchungaji, Mungu awafanyie wewe na watoto moyo mkuu wa kuhimili mapenzi yake maana yeye ndiye hutoa na Kutwaa, Jina lake lihimidiwe, ni jambo gumu sana
Pole Sana baba, Mungu awe faraja kwako na wote waliofikwa na msiba huu.
Daaah mch. Pole sana hakika ni ngumu kuipokea hali hii Mungu akutie tu nguvu😢😢😢😢
Pole sanaaaa
Innalillah waina lillah rajuuni
Hiii ajali kwa laiyoishuhudia ni zaidi ya maumivu, mungu ailaze mahali pema peponi amina
Pole Mzazi Allah akusmamie
Pole Sana mtumishi. Pole watoto. Mungu awafunge mkanda WA faraja😭😭😭
M!...kama I Mungu...Mungu...Mungu....Tunakupenda!
Pole Mtumishi wa Mungu,pole sana😭😭😭😭, Mungu awape faraja 🙏🏽
Pole sana Mchungaji Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki
😭😭😭😭Daah pole sana Mchungaji. Mungu wa amani akupe nguvu 😢
Pole sana Baba Mchungaji Mungu awatie nguvu na kuwa faraja kwenu🙏🏻
Mungu akupe nguvu kwa wakati huu mgumu kwako mungu amempenda zaidi pole sana sana
Pole sana mchungaji moshi,huduma yako ya utumishi ilitukuka sana K.K.K.T sumbawanga mjini 2013,apumzike kwa amani mama mchungaji.
Poleni sana mungu awape faraja watu wa mungu!
Pole sana mtumishi, mungu akutangulie katika kipindi hiki kigumu,
Amini kuwa upo mlango wa kulishinda Hilo jaribu, Mungu akutie nguvu mtumishi wa Mungu
Pole mchungaji Mungu akupe nguvu
Nimekumbuka kifo cha Mch wetu Tumain, poleni sana wanausharika najua mnapopitia maana na sisi tuliumia sana. All in all Mungu atabaki kuwa Mungu tu
pole sana mchungaji mungu akutiye nguvu
Shabiby amekuwa akisababisha sanaaa ajali haswa kila mwaka mwezi wa August.
Poleni sana Mungu awape faraja
Pole sana mtumishi wa Mungu. Mungu atakuwa faraja kwako
Poleni sana
Pole sana mchungaji mungu akutie nguvu
Mungu hatakuacha baba
Pole sana mtumishi wa Mungu ni vigumu sana kupokea
Pole sana mchungaj Mungu awe faraway kuu kwako pamoja na watoto
Mungu anatosha kukufariji mchungaji Pole sana
Pole sana baba mungu akutie nguvu
Pole sana Shemeji yangu. Mungu akupe nguv kipind hichi kigumu
Pole sana Mungu baba akutie nguvu sana
Pole sana mungu anajuwa sababu
😢😢😢😢 Pole baba pamoja na family yako mwenyezi mungu akutie nguvu
Poleni sana familia ndugu na jamaa wote
Mungu awape faraja
Pole sana,Mungu akutie nguvu
Pole sana baba mchungaji M/MUNGU akutie nguvu
So sad Mungu akutie nguvu
Pole sana mtu wa Mungu nawatoto pia
Poleni sanaaa jamani mchungaji Ezra Mungu WA faraja awafariji jamani si jambo rahisi ila Mungu wafara awafariji wote ndugu jamaa na marafiki
Pole sana Mchungaji, jamani juzi tumepoteza Mchungaji wa Usharika wetu jamani poleni sana Kanisa, Mungu atuimarishe
Baba pole naijua hiyo kufiwa na mke usiombe ikutokee sikia kwa mbaliii. Mungu akutie nguvu.
M!...Jamani Mungu...Mungu...Eee Munguuu!!...Tunakupenda kwa Yotee!
Mungu akupe faraja
Mungu amuangazie mwanga wamilele mchungaji wangu wako roho
Usijali mungu atakubanguza machozi❤
Pole sana baba mchungaj isee inaumiza Sanaa 😭😭😭
Pole sana kiongozi
Mungu ni mwema
Pole sana baba mchungaji Mungu ndio mfariji wako
Pole mungu akupe wepesi
Pole sana Mungu akufariji sana.
pole sana baba Mungu akutie nguvu
Ajali zingine hata hazieleweki...makanisa yote nayajua, kutoka gezaulole kuja kimashuku hakuna mahali dereva anavuka barabara...makanisa yote yako kushoto....kwa mazingira hayo itoshe kusema Mungu amempenda zaidi...pumzika amani mtumishi wa Mungu.
😭😭😭😭😭😭
Una uhakika??? Ukitokea boma unatembea upande upi??? Na kanisa la kimashuku liko upande upi??
Poleni
Pole mno mchungaji Mungu akufariji pekeyake
Pole sana baba mchungaji na familia yote kwa ujimla
Mtetezi wako yu hai
Hata kuacha Peke yako mtu wa Mungu
Mungu akusaidie Baba
Pole sana baba Mungu akujalie
Pole sana sana baba Mchungaji
Poleni sn
Pole sana mtumishi wa Bwana
Poleni Sana ,Mungu awatie nguvu. Ufunuo 21:4!
Baba inaumiza Sana lakini naamini Mungu mwaminifu Sana utakaa Sana
Pole sana kiongozi!
Pole sana jamani Mungu akufariji mchungaji
Pole Sana Baba Yangu Mchungaji Israel Moshi
pole sana Mungu awatie nguvu
😭😭😭 pole sana baba Mungu akutie nguvu
Pole sana baba
Sina neno njema lakusema kwako Mtumishi wangu kwani hata Pole Naona kama haitoshi pia Naona kama tarudisha maumivu au machungu pia ukae katika PENDO lake YESU yeye ndiye mfariji wako pekee ndiye atakae ganga moyo wako nakulejesha amani pamoja na familia yako
Huyu mchungaji namfahamu , poleni sana familia na kanisa kwa ujumla
Poleni sana wapendwa
😢😢😢