This man is quiet and the beast in field at the same time. He should be hyped and trusted in order to unleash his capability. I expect many wonders from him in the new coming season 2023/2024. Give him a chance
Niishauri yanga kama Mayele hayupo tayari kubaki Bora kumuacha kama antaka kwenda nje Kwa sababu sidhani kama Kuna team ya ndani ambayo inaweza kumlipa yanga ikashindwa kuendelea kumlazimisha abaki Kuna uwezekano asikupe kinachostahili Kwa kuwa atakuwa ameshaathirika kisaikolojia Lakini pia inaweza kupoteza nafas Kwa wachezaji wengine kukataa kusajiliwa yanga Kwa sababu ya kiwangangania Musonda ni striker nzuri sana aaminiwe viongozi acheni kusikiliza pressure za mashabiki mi ni shabiki wa yanga ila hili linaweza kututia dosari.
My maen Msonda scores all the important goals. What a Chipolopolo man !
Musonda n mzur mno kwenye mipira ya kichwa ndo maana akipata nafas kwenye kona anafunga bravooo kennedy musonda
Njema sana hii,
Tupatie save na talking za bacca,
Pasi za sure boy,na interceptions za Aucho🎉🎉🎉
Zifuatee za bacca
This man is quiet and the beast in field at the same time. He should be hyped and trusted in order to unleash his capability. I expect many wonders from him in the new coming season 2023/2024. Give him a chance
Hizi ndiyo contents tunataka sasa ... Safi sana Kamwe and co.
Privadinho
Musonda is a man ⚽⚽🇹🇿
Keddo Muzzo mzee wa vibe na mikimbio 🙌🏽🙌🏽 my player 🔥
Waliosema huyu hafiki mbali hapo ni wapi 😂😂😂😂
important player.
Musonda ni 🔥
I LIKE THIS MAN HE HV HIGH FIGHT SPIRIT
Aminini nawaambien kenendy musonda msimu ujao anakuj kuchukua ufalme wamayele😂
Jamaa Anajua.
Super Musonda
best striker
Hongera kamanda ipo saw hii
Wakwanza kukomenti🤣🤣
KENNY MUSONDA 🙌
nice one
Musonda mipir ya vichwa yuko pw sana
Ama kwa hakika hiki kizaz kitadumu vizaz kwa Vizaz
Tubakishieni msonda plz
Alwat uko vizuri sana
Tupate magoli bora ya msimu, best saves, magoli ya Mayele (hata all his goals for us), best passes, na michongo mingi.
Waoooo
Love it
Mbona kuna kuna king'amuz kinaonekan hap kibiashara haipo saw
Niishauri yanga kama Mayele hayupo tayari kubaki Bora kumuacha kama antaka kwenda nje Kwa sababu sidhani kama Kuna team ya ndani ambayo inaweza kumlipa yanga ikashindwa kuendelea kumlazimisha abaki Kuna uwezekano asikupe kinachostahili Kwa kuwa atakuwa ameshaathirika kisaikolojia Lakini pia inaweza kupoteza nafas Kwa wachezaji wengine kukataa kusajiliwa yanga Kwa sababu ya kiwangangania Musonda ni striker nzuri sana aaminiwe viongozi acheni kusikiliza pressure za mashabiki mi ni shabiki wa yanga ila hili linaweza kututia dosari.
Moloko msenge sana😄😄
Atar sana musonda
Allaah Akbar
Huyu jamaa kasajliwa ln aysee kumbe almkuta had mayele.😅
Mwalimu wa mathe
Superkenny
Top striker
King msonda
Makolo walisema hafiki mbali hapo niwapi hapo niwapi😂😂😂😅
Bullet header💥💥💥💥💞💞💞
Walisema hawezi kufika mbali apa ni wapi wananchi
Kennedy kaingia dilisha dogo ila kafanya vema sana
Kafanya vizuri kuzidi hata phir wa upande wa pili
Moloko 🙏🙏🙏
Mbon kuna king'amuz kinaonekan hap kibiashara haipo saw
Give us these contents, behind the scenes za mechi na interviews
Ahsante alwatan 😂
ety hafiki mbali na hapa ni wap
Hapo ni wap
🔥🔥🔥
moloko bhn 😂😂
Raha zote zinapatikana na kwa wan😅anchi
Kenny
Musonda
💛💚💚💛💚🔰🔥
💚💚💛💛
💚💛💚💛
Kwenye suala la documentary nadhani linahitaji mtu bro aliwatan abaki kuwa reporter tu Kuna kitu nahisi kina miss kwenye documentary chache alizofanya
Wazo zuri lakn tutoshek na hilo kwanza akipatikn saw
Wazo zuri lakn tutoshek na hilo kwanza akipatikn saw
Bro ,,Bora ungetueleza kipi kilichokosekana ? Mbona kijana anaelekea kwenye ubora mzurii tu ...
Sema kuna Music Background zinahitajika
Za kununua ndo nzuri zinakuwa Clean kwa matumizi ya Channel yetu
Mbona goli la fainal na azam halipo?
Aminini nawaambien kenendy musonda msimu ujao anakuj kuchukua ufalme wamayele😂
Mbon kuna king'amuz kinaonekan hap kibiashara haipo saw
Mbon kuna king'amuz kinaonekan hap kibiashara haipo saw
Mbon kuna king'amuz kinaonekan hap kibiashara haipo saw
Mbon kuna king'amuz kinaonekan hap kibiashara haipo saw
Mbon kuna king'amuz kinaonekan hap kibiashara haipo saw
Mbon kuna king'amuz kinaonekan hap kibiashara haipo saw
Mbon kuna king'amuz kinaonekan hap kibiashara haipo saw