MCHOME: SIMBA ISIWAUME TP MAZEMBE KUJIFUNZA KWA YANGA | WAMETUACHA MBALI SANA | MIFUMO YETU BADO
Vložit
- čas přidán 14. 05. 2024
- JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136. - Sport
Mimi namkubali sana mchome ni ndugu yangu mpare wa gonja
Hongera TP Mazembe Elimu Haina mwisho
Vyanzo Vya Mapato Umetaja Vitatu 3 ila Umesahau Chanzo Cha Nne Cha Viingilio Vya Mashabiki Uwanjani GATES COLLECTION "
Watu wanabisha tu bila kufikir hamjaambiwa TP Mazembe kaja kujifunza namna ya kuchukua kombe bali wamekuja kujifunza namna ya uongozi bora na transiformation sasa hapo sijui mnapinga nini na alf hawajalazimishwa bali wamekuja wenyew na isitoshe TP mazembe kapigwa nje ndani na pia kuna mchezaj aligombewa na TP mazemb na yanga na yanga wakaipiku mazembe wakamchukua
Napenda yanga yangu
Unaogea vizili sana hamia yanga
Simba muacheubishi naubishiqenu utawachelewesha kuaminishwa uongo,charles benjamin
Mashabiki wenzang mchome asiwaumize kichwa uyo ana utindio wa ubongo
hahaha hujajua kua nyie mshabik ndo mna utindio wa ubongo mangungu alishawai kuwaambia hamna akili hamstuki 2
hongera chama langu yanga
Tatizo Simba ni club ya watu wa mdomo saana na majivuno
exetent umenena jambo na mm hua 2mapishanga kiswahil na hao masha biki wa simba hua wamebarikiwa midomo kama uyo msemaji wao sijawahi kuona anaongea point hata siku moja hua kama mwimba taarabu
nilichogudua huyu jamaa anaugomvi na baadhi ya viongozi wa Simba.
Big up mchome uko poa sana unaongea ukweri kabisa
Ukitaka mafanyikio kubali kushuka, TP MAZEMBE ni bingwa mara 5 ya CAF CL, wamefika finali ya world cup ya club 2010 na Inter Milan, ila wanajifanya kushuka Ili wajifunze
Hii Nchi INAMIJItu mijingi mijinga sajapata kuona yani tp wakujifunza yanga ili jamaa lipimwe pakunyea ninamashaka litakuwa shoga
Hakuna shoga ambae anaweza kuwa na akili za Mchome acha ushamba na ujinga we ukiwa unasikiliza tumia akili zako za kuzaliwa ww
Yani siku makolo watapo acha ujinga watafika mbali
Usisahau ilikuwa ni miaka ya korona piya😂😂😂
Acha waendelee kubisha sisi tunasonga mbele kisugu endelea kuwadanganya makolo wenzio
Tusiwalaumu hawa masimba jike😂😂😂
Wao wenyewe wamechanganyana wameathirika kiakili wanajiongelea tu kama wana malaria kichaa😅😅😅
Wanajiuliza hivi ndo sisi tunaogombania nafasi ya pili? Wakati YANGA ile ya bakuli inafukuzia ubingwa nasio kufukuzia nafasi ya pili
Sasa umakoloni wanaminyana kupata nafasi yapiki ikiwa machampions wameshatangaza ubingwa
Sasa makulibwanji wamekua kama vichaa vichaa hivi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣daadekizao
Baada ya TP Mazembe Mwingine anaekuja kujifunza ni TP LINDANDA 🤔🤔
Makolo wanaumia hakuna jambo jingine. Wanabisha tu
Simba walishinda Mara NNE mfululizo kwa kudaidiwa na viporo tu,do vyengine huo ndio ukweli
Alafu mbona jamaa kama macho yake yamelegea huyu
Tajiri kuwatembelea na kuwasaidia Viwete na mayatima vile vile akiwa anatoa misaada Kuna kitu anajifunza
Huyu Mchome kumbe ana akili Sana, ni kweli kabisa simba ili shine wakati yanga haina ela. Walikuwa natembeza bakuli, mpaka kocha mwinyi zahera alikuwa analipa wachezaji mishahara.
Ila Yanga ya leo inachukua ubingwa mara tatu mfululizo simba ikiwa na uchumi mzuri kama yanga tu.
kwani mashabiki wa mazembe wanasemaje achana na awa wehu makolo awa washavurugwa mo hajawamwagia ndani kitanbo
Bingwa mara kombe la Africa mara 5
Kujifunza ni muhimu kunanchi kubwa zinajifunza kwa nchi ndogo haya mambo yapo tuu kwa uongozi imara kamayanga
Ndoo wamesha jiifunza Sasa unabishann?
Wanao bisha umu ndan n maKoLo fc 😂 mangungu fc madunduka fc 😂 kitimoto fc
Kwan mazembe wameitwa na yanga? Si wao ndo wamekuja
Leo ndiyo nimeamini ni mamluki
Makolo bhana mbona mapovu Sasa au nafasi ya tatu hamuitaki
Uy jamaa ubongo wake umechanganyka na mavi tp wanajifunza nin pale yanga kuingia robo au
Sasa unabishana na TP Mazembe? Wao wamesema wamekuja kujifunxa wewe unawakatakia! We we sio kichaa kweli!
Huyo mchome ni mjinga , ni mpumbavu tena ni bwege sana ,,, 😂😂😂😂 ,,,,
achen mchome awakate wenge hamjui mliko ndo maana mkiambiwa ukweli mnatema nyongo kwenye amna mchome yuko sawa 100%
Mchome wape madini adimu
MCHOME POKEA MAUA YAKO,NI WANAMICHEZO WACHACHE WAKWELI KAMA WEWE.WAELIMISHE WENZAKO WATAELEWA TU,MEANADAMU SI JIWE
Unataka kupakwa mafuta tena
Kama bb yako
Madunduka mna tatizo la Afya ya akili
Kwenda uko chawa wenyewe ndio nyie
Mjinga msifie kufanikisha Malengo Yako. Mhitimu wa Chuo akajifunze Kwa mhitimu wa Darasa la Saba Kwenye Masomo
Nchii hii inamaajabu timu imekuwa bingwa wa Africa mara tano ivi ijifunze nini kwa timu ambayo haijafika hata nusu fainali ya kombe la Africa.
Zipo Namna Nyingi Zakujifunza. Sio Waje Kujifunza Hicho Mnachofikiria Inawezekana Wamekuja Kitu Ambacho Haamkijui. Hivyo Nivetu Mkae Kwa Kutulia.
Itawachoma Sana, endelea kuuliza
Nusu tumeingia ila tumenyimwa goli
Tp Mazembe wajifunze nn kwa Yanga mwaka huu 2 wameingia nusu final wameshachuguaga CAf champion league mara mbili au Tatu Uto miaka 25 ndio kwanza kuongia makundi kenge ww kakojoe ulale
Yanga kwa sasa n bora tuache ubishi tuache historia hata yanga ilipaswa kwenda nusu n fitna ndio imewatoa tukubali kwa sasa yanga n bora Africa mashariki
Yanga Inamashabiki wengi na wanachama TP mazembe wamekuja kujifunza.
Yanga alimpiga TP Mazembe ndan na inje ao hujui 😀😀😀
Mmeambiwa isiwaume lakini Cha ajabu mnaumia
Raja waliwapiga 6 nyie mnaona ajabu kupiga Mazembe