Video není dostupné.
Omlouváme se.

MAHITAJI MUHIMU YA KUANDAA ILI KUOMBA MKOPO WA HESLB DEGREE NA DIPLOMA MWAKA 2024/2025

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 05. 2024

Komentáře • 41

  • @IBRAHIMOTHMANRAMADHAN
    @IBRAHIMOTHMANRAMADHAN Před 27 dny

    Ahsante sana ..nimekuelewa vizuri sana

  • @JoshuaMeshack-v2c
    @JoshuaMeshack-v2c Před 27 dny

    Thanks bro because unatupa elimi nzuri sana

  • @user-yu2sl4yw9v
    @user-yu2sl4yw9v Před 5 dny +1

    Hivi bro mambo ya mkopo si yanauwezekano wa kuishia online tu au ndo mambo ya kwenda kwenye sanduku la posta

    • @Therapist_kicha
      @Therapist_kicha  Před 5 dny

      Ahsante sana kwa swali zurii....yap kila kitu ni online...hakuna kwenda kusubmit kwa posta offices

  • @JenniferOnesmo-u5p
    @JenniferOnesmo-u5p Před 12 dny +1

    Kama umechelewa ku apply mkopo je kuna probability ya kupata mkopo

    • @Therapist_kicha
      @Therapist_kicha  Před 12 dny

      Ahsante sana kwa swali lako zuri...kuwahi au kuchelewa kuomba mkooo sio tiket ya ww kupata mkopo...kikubwa ni uajaze taarifa kama ilivyo elekezwa kutoka kagika mwongozo uombaji mkopo ...kiusahihi...ata kama umechelewa unapata ..

  • @ABDULPuga-y5u
    @ABDULPuga-y5u Před dnem

    Kama ukikosea post code kuandika halafu ulituma tayar. Je unaweza ukakosa mkopo

  • @ChodiSamwel
    @ChodiSamwel Před 2 měsíci +1

    bro no zako tafadhal

  • @NicolausNkwabi
    @NicolausNkwabi Před 29 dny

    Kwa wale tuliomaliz f4 tukachaguliw moja kwa moja vyuo vya kati tunawez kupat mikop

    • @Therapist_kicha
      @Therapist_kicha  Před 29 dny

      ahsante..sana kwa swali lako zuri fahamu ya kuwa mkopo wa diploma utapata endapo kozi uliochaguliwa itakuwa ndani ya kozi zilizotolewa na bodi ya mkopo na kuwekwa kama kiopaumbele,,ingia heslb.go.tz tehna tafuta mwongozo wa diploma mwaka 2024 kuon hizo kozi
      ///endapo ukiwa nje na kozi hizooo huwez pewa mkpop

  • @PrinceJerryson-un7oj
    @PrinceJerryson-un7oj Před 22 dny

    Bro kama ulipostpone mwaka uliopita,na hukusoma semista ikaisha ukiomba mkopo unaomba kama first year au continues?

    • @Therapist_kicha
      @Therapist_kicha  Před 22 dny

      Ahsante sana kwa swali zuri....jibu...Unaomba kama continous....

    • @Therapist_kicha
      @Therapist_kicha  Před 22 dny

      I mean contioues sababu tayr,,ulishaingiza kwenye mfumo...yule ambaye hakuingiza kwenye mfumo yaan ku be registered..huyo ndo first yr

    • @PrinceJerryson-un7oj
      @PrinceJerryson-un7oj Před 22 dny

      @@Therapist_kicha duh! Teacher nshaomba kama first year, Kuna madhara? Au labda naweza kujitoa kwenye mfumo niombe chuo upya?

  • @lydiajulius5339
    @lydiajulius5339 Před 25 dny

    Kaka Naomba kujua unaweza kutumia copy kuverify Cheti za kuazaliwaw

    • @Therapist_kicha
      @Therapist_kicha  Před 25 dny

      ahsante sana kwaswali zuri,,,kutumia kopi ili kutuma rita si vyema hasa ikiwa ni negative yaan white in black ..,,,hivyo basi kama coppy yako ni colored basi itumie hiyo hiyo ku verify ila inatakiwa uipige picha kinamna fulani ambapo hawawez gundua kuwa ni kopi,,,na kama hautajua jinsi ya kukupiga icho cheti copy nitafute 0656485159 ili nikupe sample ya picha namna gani ikaee,,,,jibu sahihi i kuwa unaweza kitumia ukakituma ni kikaarudi kimehakikiwa na ukapata verification code au application code,,,,,

  • @QueenDanford
    @QueenDanford Před měsícem

    Dilisha la mkopo linafungwa tarehe ngap?

    • @Therapist_kicha
      @Therapist_kicha  Před 29 dny

      ahsante sana queen kw swali zuri...
      faham ya kuwa dirisha la mkopo limefunguliwa toka tar 1,6,2024,,,hivyo bsi dirisha tayr limefunguloiiwa

  • @DoriyceYohana
    @DoriyceYohana Před měsícem

    Kama unachet cha kifo copy na kimehakikiwa na mahakam je ukitaka ku verify rita wanakubal

  • @FrolaMkolo
    @FrolaMkolo Před 2 měsíci

    Mimi nemaliza 2015 form 4 nafanyaje kuomba mkopo?

    • @Therapist_kicha
      @Therapist_kicha  Před 2 měsíci

      Umepata chuo?.. na umepita form six au ni form leaver?....,kama ni form 4 tu ..pata chuo kwanza then omba mkopo maana kuna mmoja pia alimaliza 2016 na kaomba mkopo wa diploma.mwaka 2023 kapata asolimia mia moja(kozi ya clinical dentistry)....kama ni form six leaver kupata mkopo ni kipengele kidogo ila sio kwamba hupati..

    • @JuniorBrayan-ws1tc
      @JuniorBrayan-ws1tc Před 2 měsíci

      kama umehitim f4 unatena ada ya kujiunga na chuo unaweza kuchukua mkopo au mpaka kwanza upiz chuo​@@Therapist_kicha

  • @JuniorBrayan-ws1tc
    @JuniorBrayan-ws1tc Před 2 měsíci

    kama umeliza f4 alafu umepata kujiunga na chuo alafu unatena pesa ya kuendelea unaweza kutoa mkopo au

    • @Therapist_kicha
      @Therapist_kicha  Před 2 měsíci

      Sijakuelwwa swali lako mdogo wangu... Unaweza nichek 0656485159 wasap,call au sms

    • @JuniorBrayan-ws1tc
      @JuniorBrayan-ws1tc Před měsícem

      @@Therapist_kicha bro bona namb yako apatikan

    • @Therapist_kicha
      @Therapist_kicha  Před měsícem

      Inapatikana muda wote 0656485159

    • @Therapist_kicha
      @Therapist_kicha  Před měsícem

      Inapatikana ...muda wote na kama haipatikani why hujanichek WhatsApp au telegram?...inapatikana bro

  • @mrregis956
    @mrregis956 Před měsícem

    Nawezaje kupata barua ya mdhamini

  • @joshuorphaustyn5573
    @joshuorphaustyn5573 Před 2 měsíci +1

    Diploma ya dental hata kwa chuo cha private kuna mkopo?