Video není dostupné.
Omlouváme se.
MAHITAJI MUHIMU YA KUANDAA ILI KUOMBA MKOPO WA HESLB DEGREE NA DIPLOMA MWAKA 2024/2025
Komentáře • 41
Další v pořadí
Automatické přehrávání
MAKOSA HAYA YANAYOPELEKEA UKOSE MKOPO WA HESLB KATIKA UJAZAJI WA MKOPO ONLIMEKICHA THERAPIST
zhlédnutí 539
ZAIDI YA BILIONI 787 KUTOLEWA KWA WANUFAIKA 224,056 • MIKOPO YA HESLB 2024/25Teacher SHARAK
zhlédnutí 380
Tohle už je vážně moc...Vidrail
zhlédnutí 210K
NEVIDITELNOST???🤯AlkanShorts
zhlédnutí 175K
What is going on? 😂 (via haechii_br/IG) #shortsSportsNation
zhlédnutí 15M
JINSI RPC NA RCO WALIVYOKUWA WAKIBISHA NDANI YA OFISI YA CHADEMA MENGI YAFICHUKAChadema Media TV
zhlédnutí 42K
Faida 8 za Kuandaa Regista ya Kila Siku ya Mauzo ya Biashara YakoSeraphia Mgembe
zhlédnutí 180
KOZI ZA HKL/HGL/HGK ZA DEGREE ZENYE FURSA YA AJIRA SERIKALINI NA MTAANIKICHA THERAPIST
zhlédnutí 6K
Njia 4 Rahisi Za Kujenga Nidhamu Ya Fedha Ili Utimize Malengo YakoJoel Nanauka
zhlédnutí 218K
HIZI NDIZO KOZI ZENYE MKOPO 100% CHUO KIKUU NA DIPLOMA | KOZI ZENYE KIPAOMBELE CHA MKOPO HESLBTeachMe Plus+
zhlédnutí 6K
BODI YA MIKOPO YAFUNGUKA KUTOA BILIONI 787 KWA WANAFUNZI "TUNATOA MIEZI 3, WAOMBE MKOPO"Millard Ayo
zhlédnutí 3,2K
UFAFANUZI WA MIKOPO VYUO VYA KATI, "WALIOPO VYUO VYA KATI NI WATOTO WA KITANZANIA PIA"Daily News Digital
zhlédnutí 12K
GHARAMA ZOTE ZINAZOHITAJIKA ILI KUOMBA MKOPO HESLB ELIMU YA JUU DEGREE NA DIPLOMA MWAKA 2024KICHA THERAPIST
zhlédnutí 311
DALILI HATARISHI KWENYE UPENDO - JOEL NANAUKAJoel Nanauka
zhlédnutí 130K
Gyms in 2024☠️Noel Deyzel
zhlédnutí 17M
Survival Skills: Steam Distiller for Dirty Water in Extreme Conditions. #survival #campingSergio Outdoors
zhlédnutí 17M
Magic trick 🪄😁Andrey Grechka
zhlédnutí 26M
Joker can't swim!#joker #shortsUntitled Joker
zhlédnutí 29M
Hardest Basketball Shots Ever 😳Red Bull
zhlédnutí 44M
VOLO VIA dallo staggio (elemento PROIBITO)😂🚀Sophialand
zhlédnutí 18M
Megaluxus PŘÍRODNÍ ŘÍZEK 🍺 #ostravskygastrošef #heřmangazdaOstravsky Gastrošef (Heřman Gazda)
zhlédnutí 128K
Ahsante sana ..nimekuelewa vizuri sana
ahsante pia kwashukrani,,pamoja sana mkuu wangu
Thanks bro because unatupa elimi nzuri sana
ahsante pia damu yangu,,mnanipa surpot pia kubwa
Hivi bro mambo ya mkopo si yanauwezekano wa kuishia online tu au ndo mambo ya kwenda kwenye sanduku la posta
Ahsante sana kwa swali zurii....yap kila kitu ni online...hakuna kwenda kusubmit kwa posta offices
Kama umechelewa ku apply mkopo je kuna probability ya kupata mkopo
Ahsante sana kwa swali lako zuri...kuwahi au kuchelewa kuomba mkooo sio tiket ya ww kupata mkopo...kikubwa ni uajaze taarifa kama ilivyo elekezwa kutoka kagika mwongozo uombaji mkopo ...kiusahihi...ata kama umechelewa unapata ..
Kama ukikosea post code kuandika halafu ulituma tayar. Je unaweza ukakosa mkopo
Hapana huwezi kosa mkopo..utapata maana maeneo yanajulikana uliojazs..
Asante
bro no zako tafadhal
0656485159
Kwa wale tuliomaliz f4 tukachaguliw moja kwa moja vyuo vya kati tunawez kupat mikop
ahsante..sana kwa swali lako zuri fahamu ya kuwa mkopo wa diploma utapata endapo kozi uliochaguliwa itakuwa ndani ya kozi zilizotolewa na bodi ya mkopo na kuwekwa kama kiopaumbele,,ingia heslb.go.tz tehna tafuta mwongozo wa diploma mwaka 2024 kuon hizo kozi
///endapo ukiwa nje na kozi hizooo huwez pewa mkpop
Bro kama ulipostpone mwaka uliopita,na hukusoma semista ikaisha ukiomba mkopo unaomba kama first year au continues?
Ahsante sana kwa swali zuri....jibu...Unaomba kama continous....
I mean contioues sababu tayr,,ulishaingiza kwenye mfumo...yule ambaye hakuingiza kwenye mfumo yaan ku be registered..huyo ndo first yr
@@Therapist_kicha duh! Teacher nshaomba kama first year, Kuna madhara? Au labda naweza kujitoa kwenye mfumo niombe chuo upya?
Kaka Naomba kujua unaweza kutumia copy kuverify Cheti za kuazaliwaw
ahsante sana kwaswali zuri,,,kutumia kopi ili kutuma rita si vyema hasa ikiwa ni negative yaan white in black ..,,,hivyo basi kama coppy yako ni colored basi itumie hiyo hiyo ku verify ila inatakiwa uipige picha kinamna fulani ambapo hawawez gundua kuwa ni kopi,,,na kama hautajua jinsi ya kukupiga icho cheti copy nitafute 0656485159 ili nikupe sample ya picha namna gani ikaee,,,,jibu sahihi i kuwa unaweza kitumia ukakituma ni kikaarudi kimehakikiwa na ukapata verification code au application code,,,,,
Dilisha la mkopo linafungwa tarehe ngap?
ahsante sana queen kw swali zuri...
faham ya kuwa dirisha la mkopo limefunguliwa toka tar 1,6,2024,,,hivyo bsi dirisha tayr limefunguloiiwa
Kama unachet cha kifo copy na kimehakikiwa na mahakam je ukitaka ku verify rita wanakubal
Ndiyo,,wanakubali tena ndo vzur zaidi
Hakikisha kisiwe kopi,,kiwe halisi au coloured
Mimi nemaliza 2015 form 4 nafanyaje kuomba mkopo?
Umepata chuo?.. na umepita form six au ni form leaver?....,kama ni form 4 tu ..pata chuo kwanza then omba mkopo maana kuna mmoja pia alimaliza 2016 na kaomba mkopo wa diploma.mwaka 2023 kapata asolimia mia moja(kozi ya clinical dentistry)....kama ni form six leaver kupata mkopo ni kipengele kidogo ila sio kwamba hupati..
kama umehitim f4 unatena ada ya kujiunga na chuo unaweza kuchukua mkopo au mpaka kwanza upiz chuo@@Therapist_kicha
kama umeliza f4 alafu umepata kujiunga na chuo alafu unatena pesa ya kuendelea unaweza kutoa mkopo au
Sijakuelwwa swali lako mdogo wangu... Unaweza nichek 0656485159 wasap,call au sms
@@Therapist_kicha bro bona namb yako apatikan
Inapatikana muda wote 0656485159
Inapatikana ...muda wote na kama haipatikani why hujanichek WhatsApp au telegram?...inapatikana bro
Nawezaje kupata barua ya mdhamini
Naomba nitafute kwa namba 0656485159 ili nikupe maelekezo bureee
Kwa njia ya sms,call wasap au telegram
Kichado you remember me?!
Diploma ya dental hata kwa chuo cha private kuna mkopo?
Ndioo,,kuna mkopo piaa..
Na unapewa 100%