BODI YA MIKOPO YAFUNGUKA KUTOA BILIONI 787 KWA WANAFUNZI "TUNATOA MIEZI 3, WAOMBE MKOPO"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 06. 2024

Komentáře • 10

  • @honorascusmatembe2987
    @honorascusmatembe2987 Před 2 měsíci +1

    Millard ayo your the best

  • @Benxon-hc3kr
    @Benxon-hc3kr Před měsícem

    Mnazingua

  • @AnselmiMsantu
    @AnselmiMsantu Před 2 měsíci

    Vp kwa waombaji wapya ambao mpaka sasa ni wahitimu na bado hawaja Pata matokeo je wanaweza kuomba mkopo?

  • @azizisulay6005
    @azizisulay6005 Před 2 měsíci

    Sasa unakuta wanatoa boom halafu hawalipii ada, mwanachuo anajikuta boom hilo hilo analipia ada yaan unakuta kama ni utan tu,kama mwaka jana asilimia kubwa wamepewa asilimia 23 na hawana mpango wa kuongeza, wanachuo wanateseka tu

  • @mus2sandege
    @mus2sandege Před 2 měsíci +1

    Ukweli mlichokifanya kwa mwaka 2023/24 mlichofanya mtu ada ya milioni 4.5 ambapo serikali ilitakiwa kulipa m3.5 mlichofanya mnalipa laki 3 na boom na huyo anasoma udaktari ambao ndio vipaombele vya serikali na haitoshi ni yatima harafu mnatangaza mmetoa mikopo kweli???Mungu atawalipa kwa kodi za watu

    • @azizisulay6005
      @azizisulay6005 Před 2 měsíci

      Ndugu yangu hii nchi ni ngumu sana, vinasifiwa vitu vya kijinga, na hili la wanafunz kuteseka halizungumziwi hata kidogo ni mabango tu et Mama kaongeza mikopo vyuon kaupiga mwingi

    • @Fantastic.-gm1eo
      @Fantastic.-gm1eo Před 2 měsíci

      @@azizisulay6005 mbona tunasikia kupitia hilo boom wanavyuo wanakula bata pesa wanatumia hovyo kama vile kuhonga madem,kukesha club... Sasa nashangaa mnalaum nn?

    • @azizisulay6005
      @azizisulay6005 Před 2 měsíci

      @@Fantastic.-gm1eo Hiyo inabakj kuwa tabia ya mtu binafsi, Mara ngapi umeona au kusikia kwa mwanafunz wa sekondar kula ada ya shule lakin sio wanafunz wote, hata ule ni mkopo huwez pangia watu matumiz kuwanyima watu eti kwa sababu ya watu baadhi wananywea pombe

  • @Fantastic.-gm1eo
    @Fantastic.-gm1eo Před 2 měsíci

    Na diploma sikuiz wanapewa mikopo?

    • @azizisulay6005
      @azizisulay6005 Před 2 měsíci

      Hakuna chochote ni kudanganya tu kwa kutafuta sifa za kijinga, wanafunz wa vyuo vikuu wanateseka hawana mikopo wanaish maisha magum