Tuheshimu wanawake wanaotubebea mimba jamani,mimba zina mambo mengi,very beautiful & educated,"Marehemu alimentary sana watoto" pumzika kwa amanita shangazi/ mama mdogo.
Poleni sana huyu marehemu nilisoma naye udsm engineering kuanzia MWAKA 1999 kwakweli alikuwa anapendeza kuwashinda wanawake wa Sheria ambao walikuwa wengi alafu wanavaa vizuri. Yaani wanafunzi wengi walipokuwa wanaambiwa ni engineer mwenzetu walikuwa wanakataa. Kunasiku tulikuwa na test na yeye alikuwa karibu yangu na ilikuwa ngumu basi alinihurumia yeye mwenyewe bila kumuomba alinipa paper lake niangalie. Kwakweli nilimuona mtu mwenye moyo safi. Namuombea kwa MUNGU mwenyezi apumzike salama.
Alikuwa Na Umri mkubwa 45 plus ilikuwa risk sana kushika mimba Na strange enough professor mke Na mume Na professor mke anakubali kuweka maisha yake rehani it was a stupid decision Na ndio maana hamna mtu professor kwenye kila kitu !
@@itanzaniaAS unapingana na sayansi hamna kuzaa salama kwa miaka kwanza age hiyo tayari umeanza kufika wakati wa menopause na kuna risk inaonekana watanzania wengi ni wajinga na sio watafutaji maarifa kuanzia 40 plus pregnancy risk ziko nyingi sasa kama wewe unajua kuliko wataalamu Na madaktari utuambie
Pumzika kwa amani! Mungu akukuzie watoto! Mmmh! Mungu ndie ajuae kukosa hewa kwenye damu! Pumzika kwa amani! Umeacha alama ya kupenda watoto ktk familia
Yeah op kuna muda mtihani sana.nakumbuka mimi tupijifungua wiki moja na jirani yngu. Wangu siku 8 tu kidonda kilifunga ila mwenzangu mshono ulifumuka mara 3
Hiyo ni bahati tu. Siyo jambo la kujivunia au kuiga. Hapo ni Mungu alikuwa pamoja na huyo mama mjamzito mwenye umri wa miaka (54) zaidi ya 35. Wengi wanaozaa zaidi ya miaka hiyo hupatwa na madhila makubwa.
Jamaniiii haiwezekani Kiungulia hikii cha viazi vitamu ndio kimuue mtu...mmmh hii ni vita ya KIROHO wa mwilin hamwezi nielewa yan adui kamtafuta koote kamsubiria akizaa tu ampige na kitu kizito mmmmh shetani muongo sanaaaa
Watu wanapukutika kwa kukosa maarifa huyo marehemu alikuwa ni mzee 45 plus Na bado anabeba mimba Na kuzaa Na inajulikana kuanzisha miaka 35 kwenda juu mwanamke akizaa complications zinaongezeka , yaani mke ni professor Na mume ni professor Na hata baba yake alikuwa professor ina maana ni upuuzi gani kuchukua uamuzi huo ni very irresponsible kama mume Na marehemu kama mama wa watoto wengine kama wangetaka watoto zaidi si mnge adapt au kutumia surrogate mothers , vifo vingine mtazidi kusema ni mikosi bahati mbaya Na kumlaumu Mungu ila tatizo watu kukosa maarifa Na kuchukulia vitu poa poa mkiwa wanawake mmezeeka tumieni condoms au contraceptive measures msipate mimba!
Ndugu yangu umefika mbali sana kifo kimeubwa na hakikwepeki hata asinge zaa pia angekufa ndio Mwenyezi Mungu alivyomkadiria tofauti na hivyo kifo hakikwepeki ni mapenzi ya Mungu Usikufuru.
@@atuganilemaendeleo9428 endelea kubishia wataalamu ambao wanasema hili as scientific proof risk zipo kukizaa Na Umri kubwa Na inajulikana dukianj nzima tuache ujinga ukiwa mzee usizae kuna risk nyingi !
Tuheshimu wanawake wanaotubebea mimba jamani,mimba zina mambo mengi,very beautiful & educated,"Marehemu alimentary sana watoto" pumzika kwa amanita shangazi/ mama mdogo.
Inaonesha alikua na uzao wa mapacha nimeona kma kuna mapacha wanne wakufanana Mungu amlaze salama🙏
Poleni sana familia na taifa kwa ujumla kwa kumpoteza mtu muhimu. Mungu awe faraja kwenu.
Poleni sana huyu marehemu nilisoma naye udsm engineering kuanzia MWAKA 1999 kwakweli alikuwa anapendeza kuwashinda wanawake wa Sheria ambao walikuwa wengi alafu wanavaa vizuri. Yaani wanafunzi wengi walipokuwa wanaambiwa ni engineer mwenzetu walikuwa wanakataa. Kunasiku tulikuwa na test na yeye alikuwa karibu yangu na ilikuwa ngumu basi alinihurumia yeye mwenyewe bila kumuomba alinipa paper lake niangalie. Kwakweli nilimuona mtu mwenye moyo safi. Namuombea kwa MUNGU mwenyezi apumzike salama.
ALIKUDESESHA kwa lazima😂 kuhusu kujipenda atakuwa alirithi kwa Mama yake #MamaMlozi Mwalimu wangu Morogoro TTC. Huyo Mama ni anajipenda🙌
Mungu amlehemu alikuwa mrembo sana na roho nzuri mpenda watu😢
RIP SHOGO.
Pole sana Profesa na familia kwa ujumla.
Mungu ni pending apenda watu,ahsante kwa kupenda watoto, mimba zina mambo mengi jamani,pumzika shangazi/ mama mdogo, very beautiful & educated ❤
Hatari😢😢😢😢😢dah
Alikuwa Na Umri mkubwa 45 plus ilikuwa risk sana kushika mimba Na strange enough professor mke Na mume Na professor mke anakubali kuweka maisha yake rehani it was a stupid decision Na ndio maana hamna mtu professor kwenye kila kitu !
@@Kabwela776 mpaka miaka 50 umazaa tena salama. Sema kifo hakikosi sababu
@@itanzaniaAS unapingana na sayansi hamna kuzaa salama kwa miaka kwanza age hiyo tayari umeanza kufika wakati wa menopause na kuna risk inaonekana watanzania wengi ni wajinga na sio watafutaji maarifa kuanzia 40 plus pregnancy risk ziko nyingi sasa kama wewe unajua kuliko wataalamu Na madaktari utuambie
Tatizo umri tusidanganyane ni htrii hiyo miaka kuzaa Mateso makubwa mno
Pumzika kwa amani! Mungu akukuzie watoto! Mmmh! Mungu ndie ajuae kukosa hewa kwenye damu! Pumzika kwa amani! Umeacha alama ya kupenda watoto ktk familia
Maskini mapachaaa. Poleee❤
Mungu awape amani familia! 🙏🏾
NMEUMIAAAA SANAAAAAA. MTOTO hata mama hajamuona😢😢😢😢😢😢😢😢😢DAH
Poleni sana engel pamoja na sarida na Familia nzima
Jamani na ni wifi wa yule dada wa RTD aliyefariki mwaka jana somebody sedoyeka
Poleni sana wafiwa
Amina
May The Almighty God Rest Her Soul In Eternal Peace.
Pumzika kwa Amani mdogo wetu , Tulikupenda lakini Mungu alikupenda Zaidi.
R.I.P.OUR SISTER
vita umevipiga mwendo umeumaliza
Polen sana kwa familia
Poleni sana familia ya mlozi hasa my ment nasoro mlozi
pole sana kwa familia
Pole sana Boss. Nsolo polen sana na familia yote!😢 R.I.P Dr.
Poleni sana wanafamilia
Poleni
Mm haya marazi ya kina mama hatari wee
RIP DR SHOGO.😊
Pole kaka solo
Kumbe poleni sana kifo ni fumbo
Innalillah wainnaa lillahi rajiun polen familya
June 1 kajifungua? Au nimesikia vibaya?? Watoto wako wapiiii Mungu wangu😢😢😢😢😢😢😢😢😢jamaniii
Ndio june 1 kaacha vichanga vya siku 9 😢
Ndio sikiliza mpaka mwisho
Pengine hizo madawa za operation kuna kilichomdhuru
Ni kweli, maana mwenyewe zinipa kiungulia, sijui presha mara kiungulia aiseee niliteseka sana
Yeah op kuna muda mtihani sana.nakumbuka mimi tupijifungua wiki moja na jirani yngu. Wangu siku 8 tu kidonda kilifunga ila mwenzangu mshono ulifumuka mara 3
So sad my Condolences to the families and friends
Moyo umeniuma SANAAA😢😢😢😢😢
Pole our boss Nsolo
Innalilah wainna ilah rajiun poleni sana 😢
Polen sana wanafamilia😢
Apumzike kwa amani 😢polen wafiwa 😢
Rip😭🙏
😭😭😭😭😭😭🌷
Innalillaih wainnaillaih rajiuun
Kuna mama kazaa 14 kids na wa mwisho kazaa na 54 ni mzima anadunda to date
Ni Mungu tu
Hiyo ni bahati tu. Siyo jambo la kujivunia au kuiga. Hapo ni Mungu alikuwa pamoja na huyo mama mjamzito mwenye umri wa miaka (54) zaidi ya 35. Wengi wanaozaa zaidi ya miaka hiyo hupatwa na madhila makubwa.
@@HinohiatHidoCojamani mwenyezi mungu atunusuru. Nina katoto kamoja na miaka iko 40 huko inakuwaje sijui na natamani kuongeza
Akina mama kama ni vifo vya uzaz tu vinatumaliza kwakwel du rip
Akapumzike mahali pema, MUNGU akawe mfariji wenu ndugu wote 😭
Pumzika kwa amani ndugu yetu
poleni jamani
Jamaniiii haiwezekani Kiungulia hikii cha viazi vitamu ndio kimuue mtu...mmmh hii ni vita ya KIROHO wa mwilin hamwezi nielewa yan adui kamtafuta koote kamsubiria akizaa tu ampige na kitu kizito mmmmh shetani muongo sanaaaa
Ndugu yangu shangaa na wewe yaan😭😭
ni kweli kabisa
@@deborahmchona5584kuna jambo jmn😭
Dunia ina mambo mengi Sana
So sad RIP Dr. Shogo
Poléeeni
Dunia hii😢😢😢😢😢😢
Amekula mema ya nchi
R,I,P kiongozi shogo
😢😢😢😢 apumzike kwa amani Dr.Shogo
Vita vya viwango
Aisee umenipa prayer point aisee
Vita ya viwango ni mbaya sanaaaa
@@joycehaule9717 ndo hivyo alaf watu wengi hawajui kupigana sasa
Innalillahi wainnalillah rajiun
😢😢😢😢😢💔💔
Pole familia ya mwalim sedoyeka endasak
Maisha mafupi sana
Hao watoto waliambiwa wasimame ni wake wote au nimesikia vibaya
Yatima alikuwa anawalea
RIP Dr. Shogo.😭
R.i.p mkuu wangu wa chuo
Acha hizo sikiliza vizuri
Aliwahi Kuwa mkuu wa Chuo cha utalii
@@makinjau4872 Ahaaa sawa
@@veronicahermaniwewe ndio usikilize vzr aikuwa mkuu wa chuo cha utalii before kuwa mbunge wewe
😭😭😭😭😭😭😭
Siku 8 baada ya uzazi inahesabika ni kifo cha uzazi.
Kweli uzazi maskini.Mungu amrehemu
Yay mpaka zingegika 40
Madaktari waliomruhusu kurudi nyumbani bila ya kufanya uchunguzi wa makini wakijua amefanyiwa operation ya uzazi, ndio waliosababisha kifo chake,
What the hell are you talking about?
Watu wanapukutika kwa kukosa maarifa huyo marehemu alikuwa ni mzee 45 plus Na bado anabeba mimba Na kuzaa Na inajulikana kuanzisha miaka 35 kwenda juu mwanamke akizaa complications zinaongezeka , yaani mke ni professor Na mume ni professor Na hata baba yake alikuwa professor ina maana ni upuuzi gani kuchukua uamuzi huo ni very irresponsible kama mume Na marehemu kama mama wa watoto wengine kama wangetaka watoto zaidi si mnge adapt au kutumia surrogate mothers , vifo vingine mtazidi kusema ni mikosi bahati mbaya Na kumlaumu Mungu ila tatizo watu kukosa maarifa Na kuchukulia vitu poa poa mkiwa wanawake mmezeeka tumieni condoms au contraceptive measures msipate mimba!
Ndugu yangu umefika mbali sana kifo kimeubwa na hakikwepeki hata asinge zaa pia angekufa ndio Mwenyezi Mungu alivyomkadiria tofauti na hivyo kifo hakikwepeki ni mapenzi ya Mungu Usikufuru.
Kweli kabisa@@KhadijaMiteya-hh8xl
sio kweli ndugu,kuna watu wamezaa na miaka 50 na hadi Leo bado wapo.Ni basi tu Bahati Mbaya.
Mungu akurehemu wewe uliyeandika ujumbe huu na akusamehe sana maana hujui uwazavyo na kunena
@@atuganilemaendeleo9428 endelea kubishia wataalamu ambao wanasema hili as scientific proof risk zipo kukizaa Na Umri kubwa Na inajulikana dukianj nzima tuache ujinga ukiwa mzee usizae kuna risk nyingi !