SABABU YA KIFO CHA MBUNGE SHOGO CHATAJWA KANISANI, WAOMBOLEZAJI WAMWAGA MACHOZI "AMEACHA MAPACHA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 06. 2024

Komentáře • 142

  • @SallyMinja
    @SallyMinja Před 17 dny +16

    Tuheshimu wanawake wanaotubebea mimba jamani,mimba zina mambo mengi,very beautiful & educated,"Marehemu alimentary sana watoto" pumzika kwa amanita shangazi/ mama mdogo.

  • @deborahmchona5584
    @deborahmchona5584 Před 16 dny +15

    Inaonesha alikua na uzao wa mapacha nimeona kma kuna mapacha wanne wakufanana Mungu amlaze salama🙏

  • @naomibildad509
    @naomibildad509 Před 16 dny +4

    Poleni sana familia na taifa kwa ujumla kwa kumpoteza mtu muhimu. Mungu awe faraja kwenu.

  • @mosesmasanja8295
    @mosesmasanja8295 Před 16 dny +11

    Poleni sana huyu marehemu nilisoma naye udsm engineering kuanzia MWAKA 1999 kwakweli alikuwa anapendeza kuwashinda wanawake wa Sheria ambao walikuwa wengi alafu wanavaa vizuri. Yaani wanafunzi wengi walipokuwa wanaambiwa ni engineer mwenzetu walikuwa wanakataa. Kunasiku tulikuwa na test na yeye alikuwa karibu yangu na ilikuwa ngumu basi alinihurumia yeye mwenyewe bila kumuomba alinipa paper lake niangalie. Kwakweli nilimuona mtu mwenye moyo safi. Namuombea kwa MUNGU mwenyezi apumzike salama.

    • @mgayan1222
      @mgayan1222 Před 16 dny +1

      ALIKUDESESHA kwa lazima😂 kuhusu kujipenda atakuwa alirithi kwa Mama yake #MamaMlozi Mwalimu wangu Morogoro TTC. Huyo Mama ni anajipenda🙌

    • @PhelisterPeter
      @PhelisterPeter Před 15 dny

    • @agnesvictor9857
      @agnesvictor9857 Před 12 dny

      Mungu amlehemu alikuwa mrembo sana na roho nzuri mpenda watu😢

    • @user-st4mr7lg7z
      @user-st4mr7lg7z Před 7 dny

      RIP SHOGO.

  • @nathaliakoola2957
    @nathaliakoola2957 Před 16 dny +2

    Pole sana Profesa na familia kwa ujumla.

  • @SallyMinja
    @SallyMinja Před 17 dny +11

    Mungu ni pending apenda watu,ahsante kwa kupenda watoto, mimba zina mambo mengi jamani,pumzika shangazi/ mama mdogo, very beautiful & educated ❤

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS Před 16 dny

      Hatari😢😢😢😢😢dah

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 Před 16 dny

      Alikuwa Na Umri mkubwa 45 plus ilikuwa risk sana kushika mimba Na strange enough professor mke Na mume Na professor mke anakubali kuweka maisha yake rehani it was a stupid decision Na ndio maana hamna mtu professor kwenye kila kitu !

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS Před 16 dny +2

      @@Kabwela776 mpaka miaka 50 umazaa tena salama. Sema kifo hakikosi sababu

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 Před 16 dny

      @@itanzaniaAS unapingana na sayansi hamna kuzaa salama kwa miaka kwanza age hiyo tayari umeanza kufika wakati wa menopause na kuna risk inaonekana watanzania wengi ni wajinga na sio watafutaji maarifa kuanzia 40 plus pregnancy risk ziko nyingi sasa kama wewe unajua kuliko wataalamu Na madaktari utuambie

    • @user-ho2sj8lc1x
      @user-ho2sj8lc1x Před 16 dny

      Tatizo umri tusidanganyane ni htrii hiyo miaka kuzaa Mateso makubwa mno

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 Před 16 dny +1

    Pumzika kwa amani! Mungu akukuzie watoto! Mmmh! Mungu ndie ajuae kukosa hewa kwenye damu! Pumzika kwa amani! Umeacha alama ya kupenda watoto ktk familia

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Před 17 dny +4

    Maskini mapachaaa. Poleee❤

  • @pceodhc
    @pceodhc Před 17 dny +4

    Mungu awape amani familia! 🙏🏾

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Před 16 dny +3

    NMEUMIAAAA SANAAAAAA. MTOTO hata mama hajamuona😢😢😢😢😢😢😢😢😢DAH

  • @Revinarenatus
    @Revinarenatus Před 11 dny

    Poleni sana engel pamoja na sarida na Familia nzima

  • @lakiabalozi5633
    @lakiabalozi5633 Před 15 dny +3

    Jamani na ni wifi wa yule dada wa RTD aliyefariki mwaka jana somebody sedoyeka

  • @esthersissamo1120
    @esthersissamo1120 Před 15 dny +1

    Poleni sana wafiwa

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 Před 17 dny +2

    Amina

  • @user-xn8jh1yw1h
    @user-xn8jh1yw1h Před 17 dny +2

    May The Almighty God Rest Her Soul In Eternal Peace.

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před 16 dny +4

    Pumzika kwa Amani mdogo wetu , Tulikupenda lakini Mungu alikupenda Zaidi.

  • @eliamlozi756
    @eliamlozi756 Před 16 dny +2

    R.I.P.OUR SISTER
    vita umevipiga mwendo umeumaliza

  • @user-rt5fd4lb1j
    @user-rt5fd4lb1j Před 16 dny

    Polen sana kwa familia

  • @EdithMangu
    @EdithMangu Před 12 dny

    Poleni sana familia ya mlozi hasa my ment nasoro mlozi

  • @rizikinicholaus8154
    @rizikinicholaus8154 Před 15 dny

    pole sana kwa familia

  • @angelinamwakilufi8881
    @angelinamwakilufi8881 Před 14 dny

    Pole sana Boss. Nsolo polen sana na familia yote!😢 R.I.P Dr.

  • @VeronicaIsimalilo
    @VeronicaIsimalilo Před 15 dny

    Poleni sana wanafamilia

  • @user-jx9xc6vo9x
    @user-jx9xc6vo9x Před 16 dny

    Poleni

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Před 17 dny +3

    Mm haya marazi ya kina mama hatari wee

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před 16 dny +2

    RIP DR SHOGO.😊

  • @shabaniramadhani8026
    @shabaniramadhani8026 Před 10 dny

    Pole kaka solo

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Před 16 dny +2

    Kumbe poleni sana kifo ni fumbo

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 Před 16 dny

    Innalillah wainnaa lillahi rajiun polen familya

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Před 16 dny +7

    June 1 kajifungua? Au nimesikia vibaya?? Watoto wako wapiiii Mungu wangu😢😢😢😢😢😢😢😢😢jamaniii

  • @upendokiwanga9538
    @upendokiwanga9538 Před 16 dny +5

    Pengine hizo madawa za operation kuna kilichomdhuru

    • @zuhurasaid
      @zuhurasaid Před 11 dny

      Ni kweli, maana mwenyewe zinipa kiungulia, sijui presha mara kiungulia aiseee niliteseka sana

    • @user-vy2bc6xg3i
      @user-vy2bc6xg3i Před 10 dny +1

      Yeah op kuna muda mtihani sana.nakumbuka mimi tupijifungua wiki moja na jirani yngu. Wangu siku 8 tu kidonda kilifunga ila mwenzangu mshono ulifumuka mara 3

  • @FatumaIssa-kw3vv
    @FatumaIssa-kw3vv Před 12 dny

    So sad my Condolences to the families and friends

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Před 16 dny +1

    Moyo umeniuma SANAAA😢😢😢😢😢

  • @NuruMockey
    @NuruMockey Před 17 dny +1

    Pole our boss Nsolo

  • @mankaswai5313
    @mankaswai5313 Před 16 dny

    Innalilah wainna ilah rajiun poleni sana 😢

  • @user-dm9pe5wu6e
    @user-dm9pe5wu6e Před 11 dny

    Polen sana wanafamilia😢

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 Před 17 dny

    Apumzike kwa amani 😢polen wafiwa 😢

  • @edmundnkarangu134
    @edmundnkarangu134 Před 16 dny

    Rip😭🙏

  • @user-vl1ts1eh8s
    @user-vl1ts1eh8s Před 14 dny +1

    😭😭😭😭😭😭🌷

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar Před 16 dny

    Innalillaih wainnaillaih rajiuun

  • @upendokiwanga9538
    @upendokiwanga9538 Před 16 dny +3

    Kuna mama kazaa 14 kids na wa mwisho kazaa na 54 ni mzima anadunda to date

    • @TatuKimario
      @TatuKimario Před 16 dny +1

      Ni Mungu tu

    • @HinohiatHidoCo
      @HinohiatHidoCo Před 11 dny +1

      Hiyo ni bahati tu. Siyo jambo la kujivunia au kuiga. Hapo ni Mungu alikuwa pamoja na huyo mama mjamzito mwenye umri wa miaka (54) zaidi ya 35. Wengi wanaozaa zaidi ya miaka hiyo hupatwa na madhila makubwa.

    • @user-vy2bc6xg3i
      @user-vy2bc6xg3i Před 10 dny

      ​@@HinohiatHidoCojamani mwenyezi mungu atunusuru. Nina katoto kamoja na miaka iko 40 huko inakuwaje sijui na natamani kuongeza

  • @trifoniambilo2400
    @trifoniambilo2400 Před 5 dny

    Akina mama kama ni vifo vya uzaz tu vinatumaliza kwakwel du rip

  • @konemelau9068
    @konemelau9068 Před 16 dny

    Akapumzike mahali pema, MUNGU akawe mfariji wenu ndugu wote 😭

  • @user-vb9ci1wl5e
    @user-vb9ci1wl5e Před 16 dny

    Pumzika kwa amani ndugu yetu

  • @MathiasMei-df9ys
    @MathiasMei-df9ys Před 14 dny

    poleni jamani

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 Před 17 dny +15

    Jamaniiii haiwezekani Kiungulia hikii cha viazi vitamu ndio kimuue mtu...mmmh hii ni vita ya KIROHO wa mwilin hamwezi nielewa yan adui kamtafuta koote kamsubiria akizaa tu ampige na kitu kizito mmmmh shetani muongo sanaaaa

  • @SanareLaizer-en5it
    @SanareLaizer-en5it Před 16 dny +1

    Poléeeni

  • @agriculturefarm76
    @agriculturefarm76 Před 14 dny

    Dunia hii😢😢😢😢😢😢

  • @josiahbineguro6393
    @josiahbineguro6393 Před 17 dny +1

    Amekula mema ya nchi

  • @HareneKipande
    @HareneKipande Před 16 dny

    R,I,P kiongozi shogo

  • @zuhurasaid
    @zuhurasaid Před 11 dny

    😢😢😢😢 apumzike kwa amani Dr.Shogo

  • @abelianraphili5150
    @abelianraphili5150 Před 17 dny +2

    Vita vya viwango

  • @Zubaiba
    @Zubaiba Před 12 dny

    Innalillahi wainnalillah rajiun

  • @DativaMbowe
    @DativaMbowe Před 12 dny

    😢😢😢😢😢💔💔

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 Před 16 dny

    Pole familia ya mwalim sedoyeka endasak

  • @annanadula4043
    @annanadula4043 Před 14 dny +1

    Maisha mafupi sana

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Před 16 dny

    Hao watoto waliambiwa wasimame ni wake wote au nimesikia vibaya

  • @annacyril5832
    @annacyril5832 Před 16 dny +1

    RIP Dr. Shogo.😭

  • @saidmanjuti7441
    @saidmanjuti7441 Před 17 dny +3

    R.i.p mkuu wangu wa chuo

  • @user-dy8yc5ml1p
    @user-dy8yc5ml1p Před 16 dny

    😭😭😭😭😭😭😭

  • @1stladyafrica402
    @1stladyafrica402 Před 16 dny

    Siku 8 baada ya uzazi inahesabika ni kifo cha uzazi.

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Před 12 dny +1

    Madaktari waliomruhusu kurudi nyumbani bila ya kufanya uchunguzi wa makini wakijua amefanyiwa operation ya uzazi, ndio waliosababisha kifo chake,

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 Před 16 dny +4

    Watu wanapukutika kwa kukosa maarifa huyo marehemu alikuwa ni mzee 45 plus Na bado anabeba mimba Na kuzaa Na inajulikana kuanzisha miaka 35 kwenda juu mwanamke akizaa complications zinaongezeka , yaani mke ni professor Na mume ni professor Na hata baba yake alikuwa professor ina maana ni upuuzi gani kuchukua uamuzi huo ni very irresponsible kama mume Na marehemu kama mama wa watoto wengine kama wangetaka watoto zaidi si mnge adapt au kutumia surrogate mothers , vifo vingine mtazidi kusema ni mikosi bahati mbaya Na kumlaumu Mungu ila tatizo watu kukosa maarifa Na kuchukulia vitu poa poa mkiwa wanawake mmezeeka tumieni condoms au contraceptive measures msipate mimba!

    • @KhadijaMiteya-hh8xl
      @KhadijaMiteya-hh8xl Před 16 dny +6

      Ndugu yangu umefika mbali sana kifo kimeubwa na hakikwepeki hata asinge zaa pia angekufa ndio Mwenyezi Mungu alivyomkadiria tofauti na hivyo kifo hakikwepeki ni mapenzi ya Mungu Usikufuru.

    • @user-ib2uf3uk2d
      @user-ib2uf3uk2d Před 16 dny

      Kweli kabisa​@@KhadijaMiteya-hh8xl

    • @atuganilemaendeleo9428
      @atuganilemaendeleo9428 Před 16 dny +4

      sio kweli ndugu,kuna watu wamezaa na miaka 50 na hadi Leo bado wapo.Ni basi tu Bahati Mbaya.

    • @jacklinefrancis4401
      @jacklinefrancis4401 Před 16 dny +5

      Mungu akurehemu wewe uliyeandika ujumbe huu na akusamehe sana maana hujui uwazavyo na kunena

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 Před 16 dny

      @@atuganilemaendeleo9428 endelea kubishia wataalamu ambao wanasema hili as scientific proof risk zipo kukizaa Na Umri kubwa Na inajulikana dukianj nzima tuache ujinga ukiwa mzee usizae kuna risk nyingi !