MSIGWA APOKEWA KWA KISHINDO CCM/NJOO NYUMBANI KUMENOGA/KUANDAMANA NI UZURURAJI....
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►CZcams: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Watu wamekuja kwa ajili ya makonda majitu yenyewe hajui hata kujieleza
Mbona wakipongezwa kwa kuja kwao wengi wananchi wapo kimya nini tena jamani hamna imani na chama?
Ccm wamebaki watu watatu tu wanaojielewa wapo kwajili ya wananchi makonda slaa na mpina wengine hawa kuanzia mwenyekiti wao mpaka chini wapo Kwajili ya matumbo Yao tu
2025 tutaiadhibu kama ANC ILIVYOFANYWA SOUTH AFRICA
Ccm wahuni sana kwani wabunge wengi ni wamagufuli acha usenge mungu yupo shenzi
Imani peleka kanisani na msiongee san subir uchaguz
Kama sio makonda hapo msingemuona mtu
Kuandamana siyo uzururaji, labda kama mtu haelewi katiba ya nchi.
Miaka 60 mnafikiria uchaguzi uchaguzi chadema ni tishio katiba mpya na tume huru ya uchaguzi shenz zenu amtoboi
Mama nakupenda , naomba uongeze Vijana km Makonda, Silaa na Mpina. Yaani Mafisadi yangekonda
Watalii wanawasidia nini wananchi wa Arusha?.
Hela za watalii zinaliwa na wanasiasa
CCM haifai kutuongoza.
Kawaulize afrika kusini
chadema tumieni mbinu hii kuhakikisha kama Sheria zilikiukwa waliye stahili wapewe Ili kuleta Imani
Hii nafas ya uenezi makala haiwezi...
Kama kweli ccm mnaona mtoeni huyu jamaa
😂😂😂😂makala bhana, chadema iko juu
Wapii?Muda utawaambia, cyo leo!
Hapo wananchi wamekuja kumsikiliza makonda
Ccm bwana tunataka maji maneno mengi
Acheni vichwa vya habari vya kitapeli
Mbinu ya wagawe utawale tunajua
Àdui mwombee njaa. Unajidanganya!!
Uchaguzi wa kanda mambo moto moto je uchaguzi mkuu wa viongozi chadema si watauwana hawa?..makamo mwenyekiti bara Lisu alisha sema kuna pesa chafu ndani ya chadema kuwa uyaone😂😂😂.
SIASA NI UONGO JAMANI HUYU MAKALA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mmmh! Ay bana..
Makala umepoa sana yaani sikuelewi,Amsheni amsheni Kama MAKONDA.
Makala kwenye hicho kiti huenei
Eliza sera za chama
Kwashida kama zile nitashangaa kwamba watu wa arusha waunge mkono ccm
Imani
Ivi dira ya ccm kwa wananchi nini
Mkisha shinda inakuwaje
Hivi Makala..🤣🤣🤣
Samia tena na tenaaaa
Imani na ccm imepoteeeaaa👹👹
Lazima tuwachape sana tu
msijidanganye wananchi hawatashiriki huo uchaguzi bila katiba mpya
Du kweli
maCCM hakuna kitu maisha yetu yanazidi kuwa magumu bei za bidhaa zimezidi kupanda hakuna haja ya kulazimisha watu kuwa maisha yao ni mazuri wkt wanajua ni uongo mtupu..
Du Sugu amemalizwa kimbinu ubunge Mbeya na Tulia atabaki na uenyekiti was kanda
Ccm wameshalewa madaraka, wanawaza ushindi tu na uchaguzi🤣
Ukweli hapo ni makonda tu ndo anayependwa. Na kingine makonda hua aongeleagi mambo ya siasa wala kuhusu wapinzan ndo mana anakubalika sanaaaa. ( acha kaz ziongee)
Zero
Ccm wakija arusha wanahofu kubwa,hili Jiji ni la kipekee.
Wameangaika wengi wacha azidishe nuba aingie kwenye genge tangu hapo ye shamba
Wewe hamna kitu bila Makonda wala kusingejaa hivyo
Makala usiwaze wapinzani kuja wetu waza wananchi wanahitqji nn
Siasa ni uongo mtupu
SAMIA 5 TENA❤❤❤
Umesema kwa jirani kukiwaka moto usipeleke maji. Ko 2025 mbunge akichaguliwa wa upinzani hatutapata maendeleo. Hamuoni kama mtatukomoa wananchi wenu? Chapeni kazi kama Makonda muone kama wananchi tutawaacha.
SSH❤
CHADEMA KUITOA CCM BADO SANA INAMADUDU KIBAO WAKAE KWANZA WAJIPANGE
Una matatizo ya uoni hafifu