MSIGWA APOKEWA KWA KISHINDO CCM/NJOO NYUMBANI KUMENOGA/KUANDAMANA NI UZURURAJI....

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►CZcams: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Komentáře • 54

  • @JumanneIbazu
    @JumanneIbazu Před 3 měsíci +5

    Watu wamekuja kwa ajili ya makonda majitu yenyewe hajui hata kujieleza

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 3 měsíci +6

    Mbona wakipongezwa kwa kuja kwao wengi wananchi wapo kimya nini tena jamani hamna imani na chama?

  • @JeremiahMwalukosya-eh5nf
    @JeremiahMwalukosya-eh5nf Před 3 měsíci +2

    Ccm wamebaki watu watatu tu wanaojielewa wapo kwajili ya wananchi makonda slaa na mpina wengine hawa kuanzia mwenyekiti wao mpaka chini wapo Kwajili ya matumbo Yao tu

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 Před 3 měsíci +5

    2025 tutaiadhibu kama ANC ILIVYOFANYWA SOUTH AFRICA

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1o Před 3 měsíci +2

    Ccm wahuni sana kwani wabunge wengi ni wamagufuli acha usenge mungu yupo shenzi

  • @SimbaNaali-fw3zz
    @SimbaNaali-fw3zz Před 3 měsíci +4

    Imani peleka kanisani na msiongee san subir uchaguz

  • @HajiKassimu-ww5oz
    @HajiKassimu-ww5oz Před 3 měsíci +6

    Kama sio makonda hapo msingemuona mtu

  • @adeltuszakumuha9618
    @adeltuszakumuha9618 Před 3 měsíci +3

    Kuandamana siyo uzururaji, labda kama mtu haelewi katiba ya nchi.

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 Před 3 měsíci +3

    Miaka 60 mnafikiria uchaguzi uchaguzi chadema ni tishio katiba mpya na tume huru ya uchaguzi shenz zenu amtoboi

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před 3 měsíci

    Mama nakupenda , naomba uongeze Vijana km Makonda, Silaa na Mpina. Yaani Mafisadi yangekonda

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 Před 3 měsíci +4

    Watalii wanawasidia nini wananchi wa Arusha?.
    Hela za watalii zinaliwa na wanasiasa

  • @fadhilimsafiri216
    @fadhilimsafiri216 Před 3 měsíci +2

    CCM haifai kutuongoza.

  • @TambikoLetu
    @TambikoLetu Před 3 měsíci +4

    Kawaulize afrika kusini

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 Před 3 měsíci +1

    chadema tumieni mbinu hii kuhakikisha kama Sheria zilikiukwa waliye stahili wapewe Ili kuleta Imani

  • @Ezeqsweya1116
    @Ezeqsweya1116 Před 3 měsíci +1

    Hii nafas ya uenezi makala haiwezi...
    Kama kweli ccm mnaona mtoeni huyu jamaa

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 Před 3 měsíci +2

    😂😂😂😂makala bhana, chadema iko juu

  • @LemayanOlesenet-mq2yl
    @LemayanOlesenet-mq2yl Před 3 měsíci +3

    Wapii?Muda utawaambia, cyo leo!

  • @MazikuSaid
    @MazikuSaid Před 3 měsíci +1

    Hapo wananchi wamekuja kumsikiliza makonda

  • @StaniMponzi-kx6ok
    @StaniMponzi-kx6ok Před 3 měsíci +1

    Ccm bwana tunataka maji maneno mengi

  • @meckymngwale5019
    @meckymngwale5019 Před 3 měsíci +1

    Acheni vichwa vya habari vya kitapeli

  • @user-rj2kt5qg5y
    @user-rj2kt5qg5y Před 3 měsíci +2

    Mbinu ya wagawe utawale tunajua

  • @stanmashamba7055
    @stanmashamba7055 Před 3 měsíci +3

    Àdui mwombee njaa. Unajidanganya!!

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf Před 3 měsíci +1

    Uchaguzi wa kanda mambo moto moto je uchaguzi mkuu wa viongozi chadema si watauwana hawa?..makamo mwenyekiti bara Lisu alisha sema kuna pesa chafu ndani ya chadema kuwa uyaone😂😂😂.

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 3 měsíci +3

    SIASA NI UONGO JAMANI HUYU MAKALA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @InnocentCharles-hm3ff
    @InnocentCharles-hm3ff Před 3 měsíci +1

    Mmmh! Ay bana..

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před 3 měsíci

    Makala umepoa sana yaani sikuelewi,Amsheni amsheni Kama MAKONDA.

  • @robertzamani5612
    @robertzamani5612 Před 3 měsíci +1

    Makala kwenye hicho kiti huenei

  • @tedlema8105
    @tedlema8105 Před 3 měsíci +1

    Eliza sera za chama

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Před 3 měsíci +3

    Kwashida kama zile nitashangaa kwamba watu wa arusha waunge mkono ccm

  • @SimbaNaali-fw3zz
    @SimbaNaali-fw3zz Před 3 měsíci +1

    Imani

  • @wokovumwazembe3505
    @wokovumwazembe3505 Před 3 měsíci +1

    Ivi dira ya ccm kwa wananchi nini

  • @JosephMosabi
    @JosephMosabi Před 3 měsíci +1

    Mkisha shinda inakuwaje

  • @adeltuszakumuha9618
    @adeltuszakumuha9618 Před 3 měsíci +1

    Hivi Makala..🤣🤣🤣

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 Před 3 měsíci

    Samia tena na tenaaaa

  • @PatrickKalinga-xm8ke
    @PatrickKalinga-xm8ke Před 3 měsíci

    Imani na ccm imepoteeeaaa👹👹

  • @johnshayo9635
    @johnshayo9635 Před 3 měsíci

    Lazima tuwachape sana tu

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 Před 3 měsíci

    msijidanganye wananchi hawatashiriki huo uchaguzi bila katiba mpya

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn Před 3 měsíci +1

    Du kweli

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 Před 3 měsíci +3

      maCCM hakuna kitu maisha yetu yanazidi kuwa magumu bei za bidhaa zimezidi kupanda hakuna haja ya kulazimisha watu kuwa maisha yao ni mazuri wkt wanajua ni uongo mtupu..

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 Před 3 měsíci

    Du Sugu amemalizwa kimbinu ubunge Mbeya na Tulia atabaki na uenyekiti was kanda

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 Před 3 měsíci

    Ccm wameshalewa madaraka, wanawaza ushindi tu na uchaguzi🤣

  • @laizermaasai6759
    @laizermaasai6759 Před 3 měsíci

    Ukweli hapo ni makonda tu ndo anayependwa. Na kingine makonda hua aongeleagi mambo ya siasa wala kuhusu wapinzan ndo mana anakubalika sanaaaa. ( acha kaz ziongee)

  • @Ezeqsweya1116
    @Ezeqsweya1116 Před 3 měsíci +1

    Zero

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 Před 3 měsíci

    Ccm wakija arusha wanahofu kubwa,hili Jiji ni la kipekee.

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz Před 3 měsíci

    Wameangaika wengi wacha azidishe nuba aingie kwenye genge tangu hapo ye shamba

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 3 měsíci

    Wewe hamna kitu bila Makonda wala kusingejaa hivyo

  • @amosmangura
    @amosmangura Před 3 měsíci

    Makala usiwaze wapinzani kuja wetu waza wananchi wanahitqji nn

  • @charlesmnuo3292
    @charlesmnuo3292 Před 3 měsíci +1

    Siasa ni uongo mtupu

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 3 měsíci +1

    SAMIA 5 TENA❤❤❤

  • @XaveryMwasamwene
    @XaveryMwasamwene Před 3 měsíci +1

    Umesema kwa jirani kukiwaka moto usipeleke maji. Ko 2025 mbunge akichaguliwa wa upinzani hatutapata maendeleo. Hamuoni kama mtatukomoa wananchi wenu? Chapeni kazi kama Makonda muone kama wananchi tutawaacha.

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Před 3 měsíci

    SSH❤

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 3 měsíci

    CHADEMA KUITOA CCM BADO SANA INAMADUDU KIBAO WAKAE KWANZA WAJIPANGE