Mungu akutie nguvu sana,kwa maana roho ya hofu ni utumwa tena au nikutawaliwa na shetani,,au kutawaliwa na giza maana giza likikutawala huwezi kufanikiwa kwa chochote maana yake umefanyika kuwa mateka utafanya kazi uchumi unaenda kwao, Mungu aingilie kati akutetee, Mungu akuokoe
Kwakwel barikiwa sana mtumishi NAMI nmejifunza kitu Kuna ugonjwa nilikuwa nao apo zaman nikiwa na hofu tu ulikuwa unanirudia lakn nikakili kuwa sitoumwa tena kumbe ilikuwa ni roho ya hofu
Yaaani haya unayosema yamenipata miezi miwili iliyopita.Nilianza tu kupata hofu kua mwanaume niliyetegemea anioe tutaachana ndani ya hiyo wiki akaniacha.
Barikiwa mtumishi wa mungu
Napenda ukifundisha na unapana testemony ushuhuda
Ee Mungu ili neno nakushkuru baba umeongea
Hyu ni Mimi kbsa mungu anisaidie nimeangaika sana narud nyuma Kila skuu ,🙏😒
Mungu anipe kuishinda roho ya hofu...
Amen
Amen nnaishinda Roho ya hofu kwa Jina la Yesu
Ni kweli hofu ni roho chafu .nami najiashanga Sasa hivi nimekumbwa na hofu lakini siku za nyuma nilikua jasili kwa kila hali .
Mungu akutie nguvu sana,kwa maana roho ya hofu ni utumwa tena au nikutawaliwa na shetani,,au kutawaliwa na giza maana giza likikutawala huwezi kufanikiwa kwa chochote maana yake umefanyika kuwa mateka utafanya kazi uchumi unaenda kwao, Mungu aingilie kati akutetee, Mungu akuokoe
Ninataman Mungu anifungue nguvu zote za giza na mtumishi wa Mungu bwana azid kukuinua nawe uwe wakuzishika njia zake mwenyezi Mungu
Kwakwel barikiwa sana mtumishi NAMI nmejifunza kitu Kuna ugonjwa nilikuwa nao apo zaman nikiwa na hofu tu ulikuwa unanirudia lakn nikakili kuwa sitoumwa tena kumbe ilikuwa ni roho ya hofu
Amen kila uteka wa kiroho kwenye maisha yangu napokea kufunguliwa kwa ubora,usahihi na ukamili kwa Jina la Yesu .
Nimebarikiwa kwa hili neno....na Mungu aendelee kuwatunza watu wake.....Amen
Amen mtumishi barikiwa sana
Ninashinda roho ya hofu kwa jina la yesu
Navunja roho ya hofu kwenye maisha yangu
Upo mtaalam wangu,tuko wote
Roho ya hofu aina nafasi katika maisha yangu
😮😮
Amen..napata Raha iliyobeba mema kwa Jina la Yesu Amen
Ameni Mungu aniondolee roho ya hofu
🙌🏿🙌🏿Mateka wa kiroho 😢
Amen..marafiki zangu nawawe ni wakuu...Oo Glory be to God
Ubarikiwe sana nabii
Watching from South Africa
Amen amen Mungu akubariki sana mutushi wa Mungu 🙏🙌❤️
Asante ee Yesu kwa neno lako
Mungu akubariki baba
Amen nafunguliwa
Amén 🙏
Amina 🙏
Mchungaji mm naomba nipate namba yako
Mimi naomba kujua nyaluji ni nini
Kiukweli mtumishi hapo umenihubiri mimi ninapata hofu kwa kipindi cha Mwezi mzima. Nisaidieni jamani
kiukweri mchungaji napenda mahubiri yako
Yaaani haya unayosema yamenipata miezi miwili iliyopita.Nilianza tu kupata hofu kua mwanaume niliyetegemea anioe tutaachana ndani ya hiyo wiki akaniacha.
Pole dia keep on praying
Amen
😮😮
🙌🏿🙌🏿Mateka wa kiroho 😢
Amen
🙌🏿🙌🏿Mateka wa kiroho 😢😢
Amen