MATEKA WA KIROHO(I) - PASTOR SUNBELLA KYANDO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 42

  • @paulaboniface8759
    @paulaboniface8759 Před 4 měsíci +1

    Barikiwa mtumishi wa mungu

  • @niyonkurufreddy1984
    @niyonkurufreddy1984 Před 10 měsíci

    Napenda ukifundisha na unapana testemony ushuhuda

  • @christinekyando3108
    @christinekyando3108 Před 10 měsíci +1

    Ee Mungu ili neno nakushkuru baba umeongea

  • @victoriamkaya1504
    @victoriamkaya1504 Před 5 měsíci

    Hyu ni Mimi kbsa mungu anisaidie nimeangaika sana narud nyuma Kila skuu ,🙏😒

  • @rispercharo810
    @rispercharo810 Před 10 měsíci +1

    Mungu anipe kuishinda roho ya hofu...

  • @ellenatilio5666
    @ellenatilio5666 Před 9 měsíci

    Amen

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es Před 10 měsíci +1

    Amen nnaishinda Roho ya hofu kwa Jina la Yesu

  • @leonidasbzzojoyhatung3118
    @leonidasbzzojoyhatung3118 Před 10 měsíci +2

    Ni kweli hofu ni roho chafu .nami najiashanga Sasa hivi nimekumbwa na hofu lakini siku za nyuma nilikua jasili kwa kila hali .

    • @mamasmartcollection7063
      @mamasmartcollection7063 Před 10 měsíci +1

      Mungu akutie nguvu sana,kwa maana roho ya hofu ni utumwa tena au nikutawaliwa na shetani,,au kutawaliwa na giza maana giza likikutawala huwezi kufanikiwa kwa chochote maana yake umefanyika kuwa mateka utafanya kazi uchumi unaenda kwao, Mungu aingilie kati akutetee, Mungu akuokoe

  • @eliasadrian5026
    @eliasadrian5026 Před 10 měsíci

    Ninataman Mungu anifungue nguvu zote za giza na mtumishi wa Mungu bwana azid kukuinua nawe uwe wakuzishika njia zake mwenyezi Mungu

  • @HeriethSuline
    @HeriethSuline Před 10 měsíci

    Kwakwel barikiwa sana mtumishi NAMI nmejifunza kitu Kuna ugonjwa nilikuwa nao apo zaman nikiwa na hofu tu ulikuwa unanirudia lakn nikakili kuwa sitoumwa tena kumbe ilikuwa ni roho ya hofu

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es Před 10 měsíci +1

    Amen kila uteka wa kiroho kwenye maisha yangu napokea kufunguliwa kwa ubora,usahihi na ukamili kwa Jina la Yesu .

    • @nehemiahsima1389
      @nehemiahsima1389 Před 9 měsíci

      Nimebarikiwa kwa hili neno....na Mungu aendelee kuwatunza watu wake.....Amen

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 Před 10 měsíci +1

    Amen mtumishi barikiwa sana

  • @happysadallah4590
    @happysadallah4590 Před 10 měsíci

    Ninashinda roho ya hofu kwa jina la yesu

  • @tegemlowe1144
    @tegemlowe1144 Před 10 měsíci

    Navunja roho ya hofu kwenye maisha yangu

  • @user-zc1xq8xk1i
    @user-zc1xq8xk1i Před 8 měsíci

    Upo mtaalam wangu,tuko wote

  • @christinamwakitalima4267
    @christinamwakitalima4267 Před 10 měsíci

    Roho ya hofu aina nafasi katika maisha yangu

  • @gracejacob6506
    @gracejacob6506 Před 5 měsíci

    😮😮

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es Před 10 měsíci

    Amen..napata Raha iliyobeba mema kwa Jina la Yesu Amen

  • @jacklinekyando560
    @jacklinekyando560 Před 10 měsíci

    Ameni Mungu aniondolee roho ya hofu

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 10 měsíci

    🙌🏿🙌🏿Mateka wa kiroho 😢

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es Před 10 měsíci

    Amen..marafiki zangu nawawe ni wakuu...Oo Glory be to God

  • @danielbihuzu2365
    @danielbihuzu2365 Před 10 měsíci

    Ubarikiwe sana nabii
    Watching from South Africa

  • @bahatibakenga8236
    @bahatibakenga8236 Před 10 měsíci

    Amen amen Mungu akubariki sana mutushi wa Mungu 🙏🙌❤️

  • @akidamnyambo5126
    @akidamnyambo5126 Před 10 měsíci

    Asante ee Yesu kwa neno lako

  • @PerisiperisiKingi
    @PerisiperisiKingi Před 10 měsíci

    Mungu akubariki baba

  • @diforestambilinyi3871
    @diforestambilinyi3871 Před 10 měsíci

    Amen nafunguliwa

  • @evelynmutunga
    @evelynmutunga Před 10 měsíci

    Amina 🙏

  • @braytonjonas7069
    @braytonjonas7069 Před 8 měsíci

    Mchungaji mm naomba nipate namba yako

  • @joycekaphevemba7215
    @joycekaphevemba7215 Před 10 měsíci

    Mimi naomba kujua nyaluji ni nini

  • @happysadallah4590
    @happysadallah4590 Před 10 měsíci

    Kiukweli mtumishi hapo umenihubiri mimi ninapata hofu kwa kipindi cha Mwezi mzima. Nisaidieni jamani

  • @Zoe-ow5vf
    @Zoe-ow5vf Před 10 měsíci

    Yaaani haya unayosema yamenipata miezi miwili iliyopita.Nilianza tu kupata hofu kua mwanaume niliyetegemea anioe tutaachana ndani ya hiyo wiki akaniacha.

  • @selinabirya1431
    @selinabirya1431 Před 8 měsíci

    Amen

  • @gracejacob6506
    @gracejacob6506 Před 5 měsíci

    😮😮

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 10 měsíci

    🙌🏿🙌🏿Mateka wa kiroho 😢

  • @angeljoseph4666
    @angeljoseph4666 Před 9 měsíci

    Amen

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 10 měsíci

    🙌🏿🙌🏿Mateka wa kiroho 😢😢

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es Před 10 měsíci

    Amen