UKISOMA SURA HII HAINGII MWIZI WALA MCHAWI NDANI KWAKO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • ‪@Tadhkiraonlinetvworld_wide‬

Komentáře • 10

  • @Ayuminchasi
    @Ayuminchasi Před měsícem

    Alhamdulillah kwa kupewa ulinzi na ALLAH

  • @SultanSaid-js9yj
    @SultanSaid-js9yj Před měsícem

    Allah akuhifadhi sheikh

  • @seifsalum3018
    @seifsalum3018 Před měsícem

    Hahaha eti mwizi haingii masufi jamani

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana8928 Před měsícem

    Mashallah ❤

  • @user-fi4qy9se4r
    @user-fi4qy9se4r Před měsícem

    Mashallah

  • @BushDoctor-dw8el
    @BushDoctor-dw8el Před měsícem

    Ukitaka mwizi asiingie eka Askari na mbwa Kali.
    Shetani ni sifa ya muelekeo wa mtu kwa hiyo nae pia haingii pakiwa na security.
    Acheni kupotisha umuhimu wa Qur'an bwana.
    Qur'an umuhimu wake ni kukutoa kizani (ushirikina) na kukuelekaza kwenye mwanga (kumtii na kufuata maamrisho ya Allah) period

    • @naimarashid490
      @naimarashid490 Před měsícem

      Wewe Ni muislam.?TUJITAIDI KUISOMA DINI VIZURI TUSIPINGE HADITHI ZA MTUME S.A.W.SHEIKH IN SHAA ALLAH YUKO SAWA

    • @BushDoctor-dw8el
      @BushDoctor-dw8el Před měsícem

      @@naimarashid490 ikiwa wajua shekhe yuko sawa fuata wewe dini yenu ya kufuata hadithi walizomaingizia mtume. Na nakuapia kwa Allah mtume hana ameepukana na uzushi huo.
      Unayofyata ni dini ya shetani ila hujui kwa sababu husomi Qur'an kwa kuielewa ila ikiwa unasoma unasoma kama kasuku bila kuielewa.
      Siku ya hisabu shekhe wako atakuruka wallahi.

    • @BushDoctor-dw8el
      @BushDoctor-dw8el Před měsícem

      @@naimarashid490 Na ikiwa unaamini dini yako unasoma kutoka kwa vitabu vya mashekhe wako basi sawa.
      Dini inatoka kwa Qur'an pekee.
      Al jaathiya Aya 6.
      Al qalam Aya 44.
      Al furqaan Aya 17-19

  • @user-xn3sg8rh3m
    @user-xn3sg8rh3m Před měsícem

    Sh kipozeo huna elimu we fitna we Kila unapoenda wapemba wachawi huna lolote hunaelimu umekua komedi t