Ukitaka mwizi asiingie eka Askari na mbwa Kali. Shetani ni sifa ya muelekeo wa mtu kwa hiyo nae pia haingii pakiwa na security. Acheni kupotisha umuhimu wa Qur'an bwana. Qur'an umuhimu wake ni kukutoa kizani (ushirikina) na kukuelekaza kwenye mwanga (kumtii na kufuata maamrisho ya Allah) period
@@naimarashid490 ikiwa wajua shekhe yuko sawa fuata wewe dini yenu ya kufuata hadithi walizomaingizia mtume. Na nakuapia kwa Allah mtume hana ameepukana na uzushi huo. Unayofyata ni dini ya shetani ila hujui kwa sababu husomi Qur'an kwa kuielewa ila ikiwa unasoma unasoma kama kasuku bila kuielewa. Siku ya hisabu shekhe wako atakuruka wallahi.
@@naimarashid490 Na ikiwa unaamini dini yako unasoma kutoka kwa vitabu vya mashekhe wako basi sawa. Dini inatoka kwa Qur'an pekee. Al jaathiya Aya 6. Al qalam Aya 44. Al furqaan Aya 17-19
Alhamdulillah kwa kupewa ulinzi na ALLAH
Allah akuhifadhi sheikh
Hahaha eti mwizi haingii masufi jamani
Mashallah ❤
Mashallah
Ukitaka mwizi asiingie eka Askari na mbwa Kali.
Shetani ni sifa ya muelekeo wa mtu kwa hiyo nae pia haingii pakiwa na security.
Acheni kupotisha umuhimu wa Qur'an bwana.
Qur'an umuhimu wake ni kukutoa kizani (ushirikina) na kukuelekaza kwenye mwanga (kumtii na kufuata maamrisho ya Allah) period
Wewe Ni muislam.?TUJITAIDI KUISOMA DINI VIZURI TUSIPINGE HADITHI ZA MTUME S.A.W.SHEIKH IN SHAA ALLAH YUKO SAWA
@@naimarashid490 ikiwa wajua shekhe yuko sawa fuata wewe dini yenu ya kufuata hadithi walizomaingizia mtume. Na nakuapia kwa Allah mtume hana ameepukana na uzushi huo.
Unayofyata ni dini ya shetani ila hujui kwa sababu husomi Qur'an kwa kuielewa ila ikiwa unasoma unasoma kama kasuku bila kuielewa.
Siku ya hisabu shekhe wako atakuruka wallahi.
@@naimarashid490 Na ikiwa unaamini dini yako unasoma kutoka kwa vitabu vya mashekhe wako basi sawa.
Dini inatoka kwa Qur'an pekee.
Al jaathiya Aya 6.
Al qalam Aya 44.
Al furqaan Aya 17-19
Sh kipozeo huna elimu we fitna we Kila unapoenda wapemba wachawi huna lolote hunaelimu umekua komedi t